< Filemoni 1 >

1 Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, pamoja na Timotheo ndugu yetu: Kwa Filemoni rafiki yetu mpendwa na mtendakazi mwenzetu,
U Paulo ufungwe wa Yesu Kristi, nu holo uTimotheo hwa Filemoni, ukundwe wetu ubhomba mbombo wamwetu,
2 kwa dada yetu mpendwa Afia, kwa Arkipo askari mwenzetu na kwa kanisa lile likutanalo nyumbani mwako:
na hwa Afia uilumbu wetu na hwa Arkipas usikali wa mwitu, na hwi kanisa lyalitangana mu nyumba yaho.
3 Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
Eneema nu lutengano lwalufuma hwa Ngulubhi uise witu nahwa Gosi witu U Yesu Kilisti.
4 Siku zote ninamshukuru Mungu ninapokukumbuka katika maombi yangu,
Uwakati wonti ehusalifya Ungulubhi nehutambula humpuuto zyane.
5 kwa sababu ninasikia juu ya imani yako katika Bwana Yesu na upendo wako kwa watakatifu wote.
Enumvwizye ulugano nu lweteshelo lwolinalwo hwa Yesu, kwa Kilisti bhonti.
6 Naomba utiwe nguvu katika kuishuhudia imani yako, ili upate kuwa na ufahamu mkamilifu juu ya kila kitu chema tulicho nacho ndani ya Kristo.
Elabha huje oumoja wenyu nulweteshelo lwenyu lubhe ne mbombo enyinza ya shila hantu hamubhomba hwa Yesu Kilisti.
7 Upendo wako umenifurahisha mno na kunitia moyo, kwa sababu wewe ndugu, umeiburudisha mioyo ya watakatifu.
Ane endi nu luhobhoshelo nu luzinzyo hunongwa ye lugano lwaho awe wuhapumizyaga amooyo ga Kristi wu holo witu.
8 Hata hivyo, ingawa katika Kristo ningeweza kuwa na ujasiri na kukuagiza yale yakupasayo kutenda,
Ata embene amli huje ubhombe zyazi hwanziwa azibhombe,
9 lakini ninakuomba kwa upendo, mimi Paulo, mzee na pia sasa nikiwa mfungwa wa Kristo Yesu,
lelo hunongwa ye lugano, lwulinalwo ane ehulamba ane ne Paulo negogolo eshi endi fungwe hunongwa ya Yesu Kristi.
10 nakuomba kwa ajili ya mwanangu Onesimo, aliyefanyika mwanangu nilipokuwa kwenye minyororo.
Ehulabha hunongwa ya mwana waive u Onesmo, yempepe muufungwe wane.
11 Mwanzoni alikuwa hakufai, lakini sasa anakufaa sana wewe na mimi pia.
Ulwahande sigakhuundiye lelo eshi skhuundiye sewumwe nane wayo.
12 Namtuma kwako, yeye aliye moyo wangu hasa.
Etumile huliwe uyo we mwoyo gwane awele huliwe.
13 Ningependa nikae naye ili ashike nafasi yako ya kunisaidia wakati huu nikiwa kifungoni kwa ajili ya Injili.
Nazilishe huje ayendelele akhale nane aje ambombelaje badala ye izula Ngulubhi.
14 Lakini sikutaka kufanya lolote bila idhini yako, ili wema wowote uufanyao usiwe wa lazima, bali wa hiari.
Lelo simbajiye abhombe lyalyonti bila luhusayaho. Nilifanya hivi ili kwamba jambo lolote zuri lisifanyike kwa sababu nilikulazimisha, bali kwa sababu ulipenda mwenyewe kulitenda.
15 Huenda sababu ya yeye kutengwa nawe kwa kitambo kidogo ni ili uwe naye daima. (aiōnios g166)
Ulwenje pepo alehene nawe hashe zyaliesho, aje nkuhakhale nawo wilawila. (aiōnios g166)
16 Si kama mtumwa, bali bora kuliko mtumwa, kama ndugu mpendwa. Yeye ni mpendwa sana kwangu na hata kwako zaidi, yeye kama mwanadamu na kama ndugu katika Bwana.
Nantele huje siga abheboyi aje abhe holo huline na huliwe hubilena na hwa Yesu.
17 Hivyo kama unanihesabu mimi kuwa mshirika wako, mkaribishe kama vile ungenikaribisha mimi mwenyewe.
Eshi elabha umwejelele neshi huje unejelela nene.
18 Kama amekukosea lolote au kama unamdai chochote, nidai mimi.
Lelo nkashele hahweli hatulile hahonti ulwenje ohudai eho ane embahusombe.
19 Ni mimi Paulo, ninayeandika waraka huu kwa mkono wangu mwenyewe. Nitakulipa. Sitaji kwamba nakudai hata nafsi yako.
Ane ne Paulo ensimbile hukhono gwane nene embahusombe see huje ehudai.
20 Ndugu yangu, natamani nipate faida kwako katika Bwana, uuburudishe moyo wangu katika Kristo.
Amba epate uluseshe huliwe ugwizye umwoyo gwane hwa Yesu Kristi.
21 Nikiwa na hakika ya utii wako, nakuandikia, nikijua kwamba utafanya hata zaidi ya yale ninayokuomba.
Endi nulwitishilo nu lweteshelo lwaho huje ubhabhombe zyesimbiye na zila zyasiga esimbiye.
22 Jambo moja zaidi: Niandalie chumba cha wageni, kwa kuwa nataraji kurudishwa kwenu kama jibu la maombi yenu.
Elabha undinganyizye apagone ane hwanza aje na hinze hujendelele.
23 Epafra, aliye mfungwa mwenzangu katika Kristo Yesu, anakusalimu.
U Epafra, ufungwe wamwetu ahulamuha,
24 Vivyo hivyo Marko, Aristarko, Dema na Luka, watendakazi wenzangu wanakusalimu.
neshi shabhomba uMarko, Aristarko, Dema, Luka, abhomba mbombo pandwimo nane.
25 Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.
Eneema ya Yesu Kristi ebhe nu mwoyo gwaho. Amina.

< Filemoni 1 >