< Filemoni 1 >

1 Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, pamoja na Timotheo ndugu yetu: Kwa Filemoni rafiki yetu mpendwa na mtendakazi mwenzetu,
Bulu fucuna ker yeecu kriti kange yiice Timoti a ne Filimon ma cuiti cuiye farnge kange far nangene nye kange.
2 kwa dada yetu mpendwa Afia, kwa Arkipo askari mwenzetu na kwa kanisa lile likutanalo nyumbani mwako:
Afiya nin korya nye kange Akifuc far nangene tarkwene, yaciko nubo bwantan kwama ti mwer kanti lo mwe.
3 Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
Luma kange fwor nered fiye kwama tebe, kange teluwe yeecu kriti luma kange for nered ayi kange mo wuro fiye kwama tebe kange teluwe kriti
4 Siku zote ninamshukuru Mungu ninapokukumbuka katika maombi yangu,
Kir kir mi bũ kwama nin kanti. mi yo komti mor dilo mi kwobtiye.
5 kwa sababu ninasikia juu ya imani yako katika Bwana Yesu na upendo wako kwa watakatifu wote.
Min nuwa fulen cwikanka mweko kange bileng ke mwe mo ciko mor teluwe yeecu kange gwam yitobbo wo bwan cinen tiye.
6 Naomba utiwe nguvu katika kuishuhudia imani yako, ili upate kuwa na ufahamu mkamilifu juu ya kila kitu chema tulicho nacho ndani ya Kristo.
Mi kwob dilo tibilen ker mwero ayilam dike abou ti ki mũka nymka dikero gwam yoryore more bemor kriti.
7 Upendo wako umenifurahisha mno na kunitia moyo, kwa sababu wewe ndugu, umeiburudisha mioyo ya watakatifu.
Min nuwa fornered ducce, take min fiya birum nere morcuika mweko, nyori ner nubo bwam kwama nin tiye dãken fiye mu wiye yice.
8 Hata hivyo, ingawa katika Kristo ningeweza kuwa na ujasiri na kukuagiza yale yakupasayo kutenda,
Na wo nyeu nomin wi ki bi kwan nered mor kriti na yi nen ki nyial na ma diko wo mwa. matiye,
9 lakini ninakuomba kwa upendo, mimi Paulo, mzee na pia sasa nikiwa mfungwa wa Kristo Yesu,
La ker cuikar makeng nen tiye mo bulu cẽle kange nii fucuna ker kriti yeecu.
10 nakuomba kwa ajili ya mwanangu Onesimo, aliyefanyika mwanangu nilipokuwa kwenye minyororo.
Mi ken nen ti dor bi bwemi onicimu wo ma yilam tẽ kange nii bwaka,
11 Mwanzoni alikuwa hakufai, lakini sasa anakufaa sana wewe na mimi pia.
Fiye cuwo ci kebo ni ken munen, caneu conken munen kange mo.
12 Namtuma kwako, yeye aliye moyo wangu hasa.
Min twom co munen nii nyimom ner mire.
13 Ningependa nikae naye ili ashike nafasi yako ya kunisaidia wakati huu nikiwa kifungoni kwa ajili ya Injili.
Nomi cuiti na yoken co na tikanye nanger mwero ki kwama wo mi fucuna ker fulen kered kwama.
14 Lakini sikutaka kufanya lolote bila idhini yako, ili wema wowote uufanyao usiwe wa lazima, bali wa hiari.
La macuibo ma dike kange kebo ki cuika mwek ma cuibo dikemu mati yoryore ayilam na mui ci ki ciyaka mwek.
15 Huenda sababu ya yeye kutengwa nawe kwa kitambo kidogo ni ili uwe naye daima. (aiōnios g166)
Nyeu co ma tikagum co kange mwe buri, no mo fiye coyilauri ayi kange mo diki. (aiōnios g166)
16 Si kama mtumwa, bali bora kuliko mtumwa, kama ndugu mpendwa. Yeye ni mpendwa sana kwangu na hata kwako zaidi, yeye kama mwanadamu na kama ndugu katika Bwana.
Maca yila caga ti tak, con la canga yii mwe ken mo cuitiyẽ, la nyo ma fiye mo wiyeu. mor bwiye kanye mor teluwe be.
17 Hivyo kama unanihesabu mimi kuwa mshirika wako, mkaribishe kama vile ungenikaribisha mimi mwenyewe.
No mon tũye min far nangene mweri, yuwo co na mwi muki yuwo mo.
18 Kama amekukosea lolote au kama unamdai chochote, nidai mimi.
No ma mwen dike yorberi kaka no mu bwan cinen ten diker tiri, tuken na mwi co ma fiye mi wiye.
19 Ni mimi Paulo, ninayeandika waraka huu kwa mkono wangu mwenyewe. Nitakulipa. Sitaji kwamba nakudai hata nafsi yako.
Mo bulu ma mulang wo ki kang mike man biya nen. ma yibo miki man yinen mi ma bwan mwen cend doremwe ti.
20 Ndugu yangu, natamani nipate faida kwako katika Bwana, uuburudishe moyo wangu katika Kristo.
Min ciya yice cii ye mor teluwebe yob men nermor kriti,
21 Nikiwa na hakika ya utii wako, nakuandikia, nikijua kwamba utafanya hata zaidi ya yale ninayokuomba.
Mi ki bi kwang mor neremi, ki neka dore mweko mi mulang mwenti min nyimom mwan ma dike wo lawo mi kennenti na mane.
22 Jambo moja zaidi: Niandalie chumba cha wageni, kwa kuwa nataraji kurudishwa kwenu kama jibu la maombi yenu.
Fiye cuwo win, ywl men luwe. mi yo ner ti mor dilo mwe man bou fiye mu wiye.
23 Epafra, aliye mfungwa mwenzangu katika Kristo Yesu, anakusalimu.
Ebabara far nangene yeecu kubwaka yarmum nen ti.
24 Vivyo hivyo Marko, Aristarko, Dema na Luka, watendakazi wenzangu wanakusalimu.
Nyo Marku kange Aritaku kange Dima, kange luka farb nangene mi
25 Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.
Luka teluwe be yeecu a kange yuwa tangbe ce ayi bi nen a titinyo

< Filemoni 1 >