< Obadia 1 >
1 Maono ya Obadia. Hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi kuhusu Edomu: Tumesikia ujumbe kutoka kwa Bwana: Mjumbe alitumwa kwa mataifa kusema, “Inukeni, twendeni tukapigane vita dhidi yake.”
Oubadaia da amo ba: la: lusu olelei. Amo ganodini, Ouligisudafa Hina Gode da Idome dunu fi ilima doaga: mu hou olelei. Hina Gode da Idome Fi ilima se imunu sia: i Hina Gode da Ea sia: ne iasu dunu fifi asi gala dunu huluane ilima asunasi dagoi. Amola ninia da Ea sia: ne iasu nabi dagoi. “Momagema! Ninia da Idome fi doagala: musa: ahoa: di!”
2 “Angalieni, nitawafanya wadogo miongoni mwa mataifa, mtadharauliwa kabisa.
Hina Gode da Idome fi ilima amane sia: sa, “Na dilia nimi hou fonobonesimu, amola dunu huluane ilia da dilima higale ba: mu.
3 Kiburi cha moyo wako kimekudanganya, wewe unayeishi katika majabali ya miamba na kufanya makao yako juu, wewe unayejiambia mwenyewe, ‘Ni nani awezaye kunishusha chini?’
Dilila: gasa fi hou amoeawane dilila: ogogoi. Dilia bisili moilai bai bagade da igiga gagili sali amola goumia gadodafa gagui. Amaiba: le dilila: da amane sia: sa, ‘Nowa ea da ninia fi muguluma: bela: ? Hame mabu!’
4 Ingawa unapaa juu kama tai na kufanya kiota chako kati ya nyota, nitakushusha chini kutoka huko,” asema Bwana.
Be Na da dilima sia: sa, ‘Dilia da buhiba ea hou agoane, ifa balu da: iya gado mu amola gasumuni amo gadenene gagula heda: i sia: sa, Be amomane dili da Na hiougili sanasimu amola mugululi fasimu.
5 “Ikiwa wevi wangekuja kwako, ikiwa wanyangʼanyi wangekujia usiku: Lo! Tazama ni maafa kiasi gani yangekuwa yanakungojea: je, si wangeiba tu kiasi ambacho wangehitaji? Kama wachuma zabibu wangekuja kwako, je, wasingebakiza zabibu chache?
Amola wamolasu dunu da gasia misini, liligi hi hanai amo fawane ladisa, be oda ea hame hanai amo da yolesisa. Amola dunu huluane ilia waini fage hawa: ladisia, ilia oda yolesisa. Be dilima ha lai dunu da dili huluane gugunufinisi dagoi.
6 Lakini tazama jinsi Esau atakavyotekwa, jinsi hazina zake zilizofichwa zitatekwa nyara!
Iso egaga fi dilia! Dilia muni amola liligi noga: i huluane da enoga gegene lai dagoi.
7 Wote ulioungana nao watakufukuza hadi mpakani, rafiki zako watakudanganya na kukushinda, wale wanaokula mkate wako watakutegea mtego, lakini hutaweza kuugundua.
Amola osobo bagade fi dunu ilia dilima saga hamoi amoeawane dilima ogogoi. Ilia da dilia sogega dili sefasi dagoi. Amola dilima olofoiwane esalu dunu da wali dilima osa: le heda: i dagoi. Amola dilia saga hamoi, ali gilisili ha: i nasu, ilia da dili famusa: sanigei agoane gala. Ilia da dili hou amane olelesa, ‘Ilia musa: bagade dawa: su hou da habila: ?’
8 “Katika siku hiyo,” asema Bwana, “je, sitaangamiza watu wenye hekima wa Edomu, watu wenye ufahamu katika milima ya Esau?
Na da eso afaega, Idome fi se nabasimu. Amo esoga Na da ilia bagade dawa: su dunu fane legemu Amola Na da ilia dawa: lai hou amo huluane dogale fasimu.
9 Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu, kila mmoja katika milima ya Esau ataangushwa chini kwa kuchinjwa.
Dima: ne osobo dogone fi da gegesu bagade dawa: , be amomane ilia da beda: mu. Amola Idome ea dadi gagui dunu huluane bogogia: i dagoi ba: mu.”
10 Kwa sababu ya jeuri uliyofanya dhidi ya ndugu yako Yakobo, aibu itakufunika; utaangamizwa milele.
Hina Gode da bu agoane sia: sa, “Dilia da dilia sosogo fi dunu (Ya: igobe egaga fi dunu) amo ilia liligi wamolale, ili medole legeiba: le, dilia da gugunufinisi dagoi ba: mu. Amola eno dunu da eso huluane mae fisili dili higale ba: mu.
11 Siku ile ulisimama mbali ukiangalia wakati wageni walipojichukulia utajiri wake na watu wa nchi nyingine walipoingia malango yake wakipiga kura kwa ajili ya Yerusalemu, ulikuwa kama mmoja wao.
Ga fi dunu da Yelusaleme moilai bai bagade logo ga: i fi, amola Yelusaleme dunu fi ilia muni lale, momogili ilia fi dunuma sagoi. Be dilia da Yelusaleme fi ilima mae asigili, udigili la: ididili lelebe ba: i.
12 Usingemdharau ndugu yako katika siku ya msiba wake, wala kufurahia juu ya watu wa Yuda katika siku ya maangamizi yao, wala kujigamba sana katika siku ya taabu yao.
Dilia da dilia diolalali Yuda soge ganodini esala se nababeba: le hidale habosesele ba: i. Amo da defea hame galebe. Ilia da gugunufinisi ba: loba, dilia da ilima asigimu da defea galu. Amola ilia da se nababeba: le, hame ofesega: mu da defea galu.
13 Usingeingia katika malango ya watu wangu katika siku ya maafa yao, wala kuwadharau katika janga lao katika siku ya maafa yao, wala kunyangʼanya mali zao katika siku ya maafa yao.
Dilia da Na fi dunu ilia se nabasu amoma asigimu da defea galu, amola amo se nabasu babeba: le hahawane hame hamomu galu. Amola dilia da ilia liligi bagade agui da amo esoga hame wamolamu galu.
14 Usingengoja kwenye njia panda na kuwaua wakimbizi wao, wala kuwatoa watu wake waliosalia katika siku ya shida yao.
Na fi dunu da ilia ha lai ilima beda: iba: le, hobea: i dagoi. Be dilia da logo sasagulufai dogoa amo dunu gagumusa: lelu. Amo da defea hame galebe. Na fi dunu da se bagade nabi. Be dilia da mae asigili, ili afugili ilia ha lai dunuma i dagoi. Amo amola da defea hame gala.
15 “Siku ya Bwana iko karibu kwa mataifa yote. Kama ulivyofanya, nawe utafanyiwa vivyo hivyo, matendo yako yatakurudia juu ya kichwa chako.
Eso da gadenesa. Na da osobo bagade fifi asi gala huluane ilima fofada: mu eso da gadenesa. Idome! Dia adi hamoi amo defele, amo hou dima doaga: mu. Dia adi i amo defele dima doaga: mu.
16 Kama vile ulivyokunywa juu ya mlima wangu mtakatifu, vivyo hivyo mataifa yote watakunywa mfululizo, watakunywa na kunywa, nao watatoweka kana kwamba hawajawahi kuwepo.
Fedege agoane, Na fi dunu ilia Na sema agolo da: iya, gamogai hano faigeleiga nawene, se iasu bagadedafa lai dagoi. Be dunu fifilai ilima sisiga: le diala, ilia se iasu da Na fi ilia se nabi amo bagade baligimu. Ilia da se nabasu faigelei nanu, amasea ilia da alalolesili, bu hamedafa ba: mu.
17 Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwepo na wale watakaookoka; nao utakuwa mtakatifu, nayo nyumba ya Yakobo itamiliki urithi wake.
Be dunu mogili da Saione Goumia gaga: i dagoi ba: mu. Amola amo goumi da hadigi sogebi agoane ba: mu. Isala: ili soge da Ya: igobe ea fi ili gaguma: ne ilegei dagoi. Amaiba: le, ilia da amo soge lalegagumu.
18 Nyumba ya Yakobo itakuwa moto, na nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto; nayo nyumba ya Esau itakuwa bua kavu, nao wataiwasha moto na kuiteketeza. Hakutakuwa na watakaosalimika kutoka nyumba ya Esau.” Bwana amesema.
Amola Ya: igobe ea fi amola Yousefe ea fi ilia nimi da lalu nei agoai ba: mu. Ilia da Iso ea fi amo bisili gegesea, da samaso bioi ulagi nebe agoane nemu. Amola Iso egaga fi dunu afae esalebe da hamedafa ba: mu. Na, Hina Gode, Na da sia: i dagoi.
19 Watu kutoka nchi ya Negebu wataikalia milima ya Esau, na watu kutoka miteremko ya vilima watamiliki nchi ya Wafilisti. Watayakalia mashamba ya Efraimu na Samaria, naye Benyamini atamiliki Gileadi.
Yuda fi gagoe (south) esala ilia da Idome soge amo ganodini fimu. Amola Yuda fi goumi soge guma: goe esala amo da Filisidia soge lamu. Isala: ili dunu da gegene Ifala: ime soge amola Samelia soge lamu. Bediamini fi da gegene, Gilia: de soge lamu.
20 Kundi la Waisraeli walioko uhamishoni Kanaani watarudi na kumiliki nchi mpaka Sarepta. Walioko uhamishoni Sefaradi kutoka Yerusalemu watamiliki miji ya Negebu.
La: di gagoe (north) Isala: ili fi ilia mugululi asi dunu huluane, ilia da sinidigili, Founisia fi amo hasalasili, gagoe (north) asili, ilia soge amogainini Sa: lefa: de moilai amo ganodini fifi lamu. Amola Yelusaleme mugululi asi dunu, Sadisi moilai bai bagade esala yolesili, gegene amola ga (south) Yuda moilale gagai huluane gegene lamu.
21 Waokoaji watakwea juu ya Mlima Sayuni kutawala milima ya Esau. Nao ufalme utakuwa wa Bwana.
Amola Yelusaleme dunu amo da hasalasu dawa: , ilia da Idome fi bisili gegena masunu amo soge amo ilia da lamu, amola ilia amo ouligimu. Amola Hina Gode Hisu da ilia Hina Bagade hamone, ili ouligimu. Sia: ama dagoi