< Obadia 1 >

1 Maono ya Obadia. Hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi kuhusu Edomu: Tumesikia ujumbe kutoka kwa Bwana: Mjumbe alitumwa kwa mataifa kusema, “Inukeni, twendeni tukapigane vita dhidi yake.”
Obadiah kah mangthui he ka Boeipa Yahovah loh Edom ham a thui. BOEIPA taeng lamloh olthang ka yaak uh coeng. Te dongah namtom taengah laipai a tueih coeng. Thoo uh lamtah caemtloek la a taengah thoo uh.
2 “Angalieni, nitawafanya wadogo miongoni mwa mataifa, mtadharauliwa kabisa.
Nang te namtom rhoek lakli ah canoi la kang khueh vetih nang te rhep n'hnaep pawn ni he.
3 Kiburi cha moyo wako kimekudanganya, wewe unayeishi katika majabali ya miamba na kufanya makao yako juu, wewe unayejiambia mwenyewe, ‘Ni nani awezaye kunishusha chini?’
Na lungbuei kah althanah loh nang n'rhaithi coeng. A hmuen sang kah thaelpang thaelrhaep ah kho a sak tih a lungbuei ah, “Ulong kai he diklai la n'hlak eh?,” a ti.
4 Ingawa unapaa juu kama tai na kufanya kiota chako kati ya nyota, nitakushusha chini kutoka huko,” asema Bwana.
Thahum bangla na sang sitoe cakhaw, aisi laklo ah na bu na khueh sitoe cakhaw, te lamloh nang te kan hlak ni. He tah BOEIPA kah olphong ni.
5 “Ikiwa wevi wangekuja kwako, ikiwa wanyangʼanyi wangekujia usiku: Lo! Tazama ni maafa kiasi gani yangekuwa yanakungojea: je, si wangeiba tu kiasi ambacho wangehitaji? Kama wachuma zabibu wangekuja kwako, je, wasingebakiza zabibu chache?
Hlanghuen rhoek loh nang te m'paan uh mai tih khoyin ah n'rhoelrhak koinih metlam na hmata eh? Amamih rhoeh hil huen uh mapawt nim? Aka bit rhoek te na taengla ha pawk uh koinih a yoep te hlun uh mahpawt nim?
6 Lakini tazama jinsi Esau atakavyotekwa, jinsi hazina zake zilizofichwa zitatekwa nyara!
Esau te metlam a phuelhthaih uh a hnothuh te a yam uh eh?
7 Wote ulioungana nao watakufukuza hadi mpakani, rafiki zako watakudanganya na kukushinda, wale wanaokula mkate wako watakutegea mtego, lakini hutaweza kuugundua.
Na huitai hlang boeih loh khorhi duela nang n'tueih uh ni. Na ngaimongnah hlang rhoek loh nang te rhaithi nah vetih nang m'vueinan thil ni. Na buh dongah nang hamla doi a khueh vetih a taengah na lungcuei mahpawh.
8 “Katika siku hiyo,” asema Bwana, “je, sitaangamiza watu wenye hekima wa Edomu, watu wenye ufahamu katika milima ya Esau?
BOEIPA kah olphong he te khohnin kah moenih a? Edom lamloh aka cueih tih Esau tlang lamkah lungcuei khaw ka milh sak ni?
9 Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu, kila mmoja katika milima ya Esau ataangushwa chini kwa kuchinjwa.
Teman nang kah hlangrhalh rhoek te rhihyawp uh tih, Esau tlang kah ngawnnah loh hlang a khoe ni.
10 Kwa sababu ya jeuri uliyofanya dhidi ya ndugu yako Yakobo, aibu itakufunika; utaangamizwa milele.
Na mana Jakob kah kuthlahnah kongah yah loh nang n'khuk vetih kumhal duela n'khoe ni.
11 Siku ile ulisimama mbali ukiangalia wakati wageni walipojichukulia utajiri wake na watu wa nchi nyingine walipoingia malango yake wakipiga kura kwa ajili ya Yerusalemu, ulikuwa kama mmoja wao.
A hmai ah na pai khohnin ah, kholong loh a thadueng a khuen khohnin ah khaw kholong rhoek te amah vongka, vongka ah kun ni. Jerusalem ham hmulung a naan uh coeng tih nang khaw amih kah hlang pakhat la na om.
12 Usingemdharau ndugu yako katika siku ya msiba wake, wala kufurahia juu ya watu wa Yuda katika siku ya maangamizi yao, wala kujigamba sana katika siku ya taabu yao.
A yoethaenah hnin ah tah na manuca kah khohnin te so boeh. A milh uh khohnin ah Judah ca rhoek soah kokhahnah boeh. Citcai khohnin ah na ol vikvawk boeh.
13 Usingeingia katika malango ya watu wangu katika siku ya maafa yao, wala kuwadharau katika janga lao katika siku ya maafa yao, wala kunyangʼanya mali zao katika siku ya maafa yao.
Amih kah rhainah hnin ah ka pilnam kah vongka ah mop uh boeh. A rhainah hnin ah anih kah yoethaenah te nang loh so van boeh. A rhainah hnin ah tah anih ham tatthai te na tueih pah hae mahpawh.
14 Usingengoja kwenye njia panda na kuwaua wakimbizi wao, wala kuwatoa watu wake waliosalia katika siku ya shida yao.
A hlangyong rhoek te saii hamla longrhak ah pai boeh. Citcai khohnin kah a rhaengnaeng rhoek te khoh boeh.
15 “Siku ya Bwana iko karibu kwa mataifa yote. Kama ulivyofanya, nawe utafanyiwa vivyo hivyo, matendo yako yatakurudia juu ya kichwa chako.
BOEIPA kah khohnin he namtom cungkuem hamla yoei coeng. Na saii bangla namah taengah a saii ni. Na thaphu te namah lu dongla mael ni.
16 Kama vile ulivyokunywa juu ya mlima wangu mtakatifu, vivyo hivyo mataifa yote watakunywa mfululizo, watakunywa na kunywa, nao watatoweka kana kwamba hawajawahi kuwepo.
Ka hmuencim tlang ah na ok uh bangla namtom boeih loh a ok uh yoeyah ni. A ok uh tih a dolh uh akhaw aka om pawt bangla om uh ni.
17 Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwepo na wale watakaookoka; nao utakuwa mtakatifu, nayo nyumba ya Yakobo itamiliki urithi wake.
Tedae Zion tlang ah loeihnah om vetih hmuencim la om ni. Te vaengah Jakob imkhui loh amamih kah a hut te a pang uh ni.
18 Nyumba ya Yakobo itakuwa moto, na nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto; nayo nyumba ya Esau itakuwa bua kavu, nao wataiwasha moto na kuiteketeza. Hakutakuwa na watakaosalimika kutoka nyumba ya Esau.” Bwana amesema.
Te vaengah Jakob im te hmai la, Joseph im te hmaisai la, Esau im te divawt la poeh ni. Amih te a toih uh vetih tlum uh ni. BOEIPA loh a thui coeng dongah Esau im lamkah rhaengnaeng om mahpawh.
19 Watu kutoka nchi ya Negebu wataikalia milima ya Esau, na watu kutoka miteremko ya vilima watamiliki nchi ya Wafilisti. Watayakalia mashamba ya Efraimu na Samaria, naye Benyamini atamiliki Gileadi.
Tuithim loh Esau tlang neh Philisti kolrhawk te a pang ni. Ephraim khohmuen neh Samaria khohmuen khaw, Benjamin, Gilead khaw a pang uh ni.
20 Kundi la Waisraeli walioko uhamishoni Kanaani watarudi na kumiliki nchi mpaka Sarepta. Walioko uhamishoni Sefaradi kutoka Yerusalemu watamiliki miji ya Negebu.
Israel ca rhoek he Kanaan neh Zarepthah hil rhalmahvong kah hlangsol la om. Sepharad kah Jerusalem hlangsol rhoek loh tuithim khopuei rhoek te a pang uh ni.
21 Waokoaji watakwea juu ya Mlima Sayuni kutawala milima ya Esau. Nao ufalme utakuwa wa Bwana.
A khang rhoek tah Esau tlang te laitloek hamla Zion tlang la luei uh vetih mangpa la BOEIPA hut la om ni.

< Obadia 1 >