< Hesabu 8 >

1 Bwana akamwambia Mose,
and to speak: speak LORD to(wards) Moses to/for to say
2 “Sema na Aroni umwambie, ‘Wakati utakapoziweka zile taa saba, zinatakiwa kuangaza eneo lililo mbele ya kinara cha taa.’”
to speak: speak to(wards) Aaron and to say to(wards) him in/on/with to ascend: establish you [obj] [the] lamp to(wards) opposite face: before [the] lampstand to light seven [the] lamp
3 Aroni akafanya hivyo; akaziweka zile taa ili zielekee mbele kwenye kinara cha taa, kama vile Bwana alivyomwamuru Mose.
and to make: do so Aaron to(wards) opposite face: before [the] lampstand to ascend: establish lamp her like/as as which to command LORD [obj] Moses
4 Hivi ndivyo kinara cha taa kilivyotengenezwa: Kilitengenezwa kwa dhahabu iliyofuliwa, kuanzia kwenye kitako chake hadi kwenye maua yake. Kinara cha taa kilitengenezwa sawasawa kabisa na kielelezo ambacho Bwana alikuwa amemwonyesha Mose.
and this deed: work [the] lampstand beating gold till thigh her till flower her beating he/she/it like/as appearance which to see: see LORD [obj] Moses so to make [obj] [the] lampstand
5 Bwana akamwambia Mose:
and to speak: speak LORD to(wards) Moses to/for to say
6 “Watwae Walawi kutoka miongoni mwa Waisraeli wengine na uwatakase kwa kawaida ya ibada.
to take: take [obj] [the] Levi from midst son: descendant/people Israel and be pure [obj] them
7 Ili kuwatakasa fanya hivi: Nyunyizia maji ya utakaso juu yao; kisha uwaambie wanyoe nywele kwenye mwili mzima, wafue nguo zao na hivyo wajitakase wenyewe.
and thus to make: do to/for them to/for be pure them to sprinkle upon them water sin: punishment and to pass razor upon all flesh their and to wash garment their and be pure
8 Waambie wamchukue fahali mchanga pamoja na sadaka yake ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta; kisha utamchukua fahali mchanga wa pili kwa ajili ya sadaka ya dhambi.
and to take: take bullock son: young animal cattle and offering his fine flour to mix in/on/with oil and bullock second son: young animal cattle to take: take to/for sin: sin offering
9 Walete Walawi mbele ya Hema la Kukutania na ukusanye jumuiya yote ya Waisraeli.
and to present: bring [obj] [the] Levi to/for face: before tent meeting and to gather [obj] all congregation son: descendant/people Israel
10 Utawaleta Walawi mbele za Bwana, na Waisraeli wataweka mikono yao juu ya Walawi.
and to present: bring [obj] [the] Levi to/for face: before LORD and to support son: descendant/people Israel [obj] hand their upon [the] Levi
11 Aroni atawaweka Walawi mbele za Bwana kama sadaka ya kuinua kutoka kwa Waisraeli, ili kwamba wawe tayari kuifanya kazi ya Bwana.
and to wave Aaron [obj] [the] Levi wave offering to/for face: before LORD from with son: descendant/people Israel and to be to/for to serve: minister [obj] service: ministry LORD
12 “Baada ya Walawi kuweka mikono yao juu ya vichwa vya hao mafahali wawili, tumia mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi kwa Bwana, na mwingine kuwa sadaka ya kuteketezwa, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Walawi.
and [the] Levi to support [obj] hand their upon head [the] bullock and to make: offer [obj] [the] one sin: sin offering and [obj] [the] one burnt offering to/for LORD to/for to atone upon [the] Levi
13 Waambie hao Walawi wasimame mbele ya Aroni na wanawe, kisha wawatoe kama sadaka ya kuinuliwa kwa Bwana.
and to stand: stand [obj] [the] Levi to/for face: before Aaron and to/for face: before son: child his and to wave [obj] them wave offering to/for LORD
14 Kwa njia hii utakuwa umewatenga Walawi kutoka kwa Waisraeli wengine, nao Walawi watakuwa wangu.
and to separate [obj] [the] Levi from midst son: descendant/people Israel and to be to/for me [the] Levi
15 “Utakapokuwa umekwisha kuwatakasa Walawi na kuwatoa kama sadaka ya kuinuliwa, watakuja kufanya kazi yao katika Hema la Kukutania.
and after so to come (in): come [the] Levi to/for to serve: minister [obj] tent meeting and be pure [obj] them and to wave [obj] them wave offering
16 Wao ndio Waisraeli ambao watatolewa kabisa kwangu. Nimewatwaa kama mali yangu mwenyewe badala ya mzaliwa wa kwanza, mzaliwa wa kwanza wa kiume kutoka kwa kila mwanamke wa Kiisraeli.
for to give: give to give: give they(masc.) to/for me from midst son: descendant/people Israel underneath: instead firstborn all womb firstborn all from son: descendant/people Israel to take: take [obj] them to/for me
17 Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume katika Israeli, awe wa mwanadamu au mnyama, ni wangu. Wakati nilipowaua wazaliwa wote wa kwanza huko Misri, niliwatenga kwa ajili yangu mwenyewe.
for to/for me all firstborn in/on/with son: descendant/people Israel in/on/with man and in/on/with animal in/on/with day to smite I all firstborn in/on/with land: country/planet Egypt to consecrate: consecate [obj] them to/for me
18 Nami nimewatwaa Walawi badala ya wazaliwa wote wa kwanza wa kiume katika Israeli.
and to take: take [obj] [the] Levi underneath: instead all firstborn in/on/with son: descendant/people Israel
19 Kati ya Waisraeli wote, nimempa Aroni na wanawe Walawi kama zawadi ili wafanye kazi katika Hema la Kukutania kwa niaba ya Waisraeli, na kufanya upatanisho kwa ajili yao ili pasiwepo na pigo lolote litakalowapata Waisraeli wakati watakapokaribia mahali patakatifu.”
and to give: give [emph?] [obj] [the] Levi to give: give to/for Aaron and to/for son: child his from midst son: descendant/people Israel to/for to serve: minister [obj] service: ministry son: descendant/people Israel in/on/with tent meeting and to/for to atone upon son: descendant/people Israel and not to be in/on/with son: descendant/people Israel plague in/on/with to approach: approach son: descendant/people Israel to(wards) [the] holiness
20 Mose, Aroni na jumuiya yote ya Waisraeli wakawafanyia Walawi kama Bwana alivyomwamuru Mose.
and to make: do Moses and Aaron and all congregation son: descendant/people Israel to/for Levi like/as all which to command LORD [obj] Moses to/for Levi so to make: do to/for them son: descendant/people Israel
21 Walawi wakajitakasa wenyewe na wakafua nguo zao. Kisha Aroni akawasogeza mbele za Bwana kuwa sadaka ya kuinuliwa, na kufanya upatanisho kwa ajili yao ili kuwatakasa.
and to sin [the] Levi and to wash garment their and to wave Aaron [obj] them wave offering to/for face: before LORD and to atone upon them Aaron to/for be pure them
22 Baada ya hayo, Walawi walikuja kufanya kazi yao katika Hema la Kukutania chini ya usimamizi wa Aroni na wanawe. Waliwafanyia Walawi kama vile Bwana alivyomwamuru Mose.
and after so to come (in): come [the] Levi to/for to serve: minister [obj] service: ministry their in/on/with tent meeting to/for face: before Aaron and to/for face: before son: child his like/as as which to command LORD [obj] Moses upon [the] Levi so to make: do to/for them
23 Bwana akamwambia Mose,
and to speak: speak LORD to(wards) Moses to/for to say
24 “Hili linawahusu Walawi: Wanaume wenye umri wa miaka ishirini na mitano au zaidi watakuja kushiriki katika kazi kwenye Hema la Kukutania,
this which to/for Levi from son: aged five and twenty year and above [to] to come (in): come to/for to serve army: duty in/on/with service: ministry tent meeting
25 lakini watakapofika umri wa miaka hamsini, ni lazima waache kazi zao za kawaida wala wasiendelee.
and from son: aged fifty year to return: again from army: duty [the] service: ministry and not to serve: minister still
26 Wanaweza kuwasaidia ndugu zao kufanya wajibu wao katika Hema la Kukutania, lakini wao wenyewe kamwe hawatafanya hiyo kazi. Basi, hivi ndivyo utakavyogawa wajibu kwa Walawi.”
and to minister [obj] brother: male-relative his in/on/with tent meeting to/for to keep: guard charge and service: ministry not to serve: minister thus to make: do to/for Levi in/on/with charge their

< Hesabu 8 >