< Hesabu 7 >

1 Mose alipomaliza kuisimamisha Maskani, aliitia mafuta na kuiweka wakfu pamoja na samani zake zote. Pia alitia madhabahu mafuta na kuiweka wakfu, pamoja na vyombo vyake vyote.
Då nu Mose hade satt upp tabernaklet och smort och helgat det, med alla dess tillbehör, och hade satt upp altaret med alla dess tillbehör, och smort och helgat detta,
2 Ndipo viongozi wa Israeli, wale wakuu wa jamaa waliokuwa viongozi wa kabila wasimamizi wa wale waliohesabiwa, wakatoa sadaka.
framburos offergåvor av Israels hövdingar, huvudmännen för stamfamiljerna, det är stamhövdingarna, som stodo i spetsen för de inmönstrade.
3 Walizileta kama matoleo yao mbele za Bwana: magari sita ya kukokotwa yaliyofunikwa, pamoja na maksai kumi na wawili; yaani maksai mmoja kutoka kwa kila kiongozi, na gari moja la kukokotwa kutoka kwa kila viongozi wawili. Haya waliyaleta mbele ya Maskani.
De förde fram såsom sin offergåva inför HERRENS ansikte sex övertäckta vagnar och tolv oxar: två hövdingar tillhopa en vagn och var hövding en oxe; dessa förde de fram inför tabernaklet.
4 Bwana akamwambia Mose,
Och HERREN sade till Mose:
5 “Vikubali vitu hivi kutoka kwao, ili viweze kutumika katika kazi kwenye Hema la Kukutania. Wapatie Walawi kama kazi ya kila mtu itakavyohitaji.”
»Tag emot detta av dem för att bruka det till uppenbarelsetältets tjänst; och lämna det åt leviterna, alltefter beskaffenheten av vars och ens tjänst.»
6 Hivyo Mose akachukua yale magari ya kukokotwa pamoja na maksai, na kuwapa Walawi.
Och Mose tog emot vagnarna och oxarna och gav dem åt leviterna.
7 Aliwapa Wagershoni magari mawili ya kukokotwa na maksai wanne, kama walivyohitaji kwa kazi yao,
Två vagnar och fyra oxar gav han åt Gersons barn, efter beskaffenheten av deras tjänst;
8 na pia aliwapa Wamerari magari manne ya kukokotwa na maksai wanane, kama kazi yao ilivyohitaji. Wote walikuwa chini ya maelekezo ya Ithamari mwana wa kuhani, Aroni.
fyra vagnar och åtta oxar gav han åt Meraris barn, efter beskaffenheten av den tjänst de förrättade under ledning av Itamar, prästen Arons son;
9 Lakini Mose hakuwapa Wakohathi chochote kati ya hivyo, kwa sababu walitakiwa kubeba vitu vitakatifu mabegani mwao, vile walikuwa wanawajibika.
men åt Kehats barn gav han icke något, ty dem ålåg att hava hand om de heliga föremålen, och dessa skulle bäras på axlarna.
10 Wakati madhabahu yalitiwa mafuta, viongozi walileta sadaka zao kwa ajili ya kule kuwekwa wakfu kwake na kuziweka mbele ya madhabahu.
Och hövdingarna förde fram skänker till altarets invigning, när det smordes; hövdingarna förde fram dessa sina offergåvor inför altaret.
11 Kwa maana Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Kila siku kiongozi mmoja ataleta sadaka yake ili kuwekwa wakfu madhabahu.”
Och HERREN sade till Mose: »Låt hövdingarna, en i sänder, var och en på sin dag, föra fram sina offergåvor till altarets invigning.»
12 Yule ambaye alileta sadaka yake siku ya kwanza alikuwa Nashoni, mwana wa Aminadabu, wa kabila la Yuda.
Och den som på första dagen förde fram sin offergåva var Naheson, Amminadabs son, av Juda stam
13 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
Hans offergåva var ett silverfat, ett hundra trettio siklar i vikt, och en silverskål om sjuttio siklar, efter helgedomssikelns vikt, båda fulla med fint mjöl, begjutet med olja, till spisoffer,
14 sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
vidare en skål av guld om tio siklar, full med rökelse,
15 fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
vidare en ungtjur, en vädur och ett årsgammalt lamm till brännoffer
16 mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
och en bock till syndoffer,
17 maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.
samt till tackoffret två tjurar, fem vädurar, fem bockar och fem årsgamla lamm. Detta var Nahesons, Amminadabs sons, offergåva.
18 Siku ya pili yake Nethaneli mwana wa Suari, kiongozi wa kabila la Isakari, alileta sadaka yake.
På andra dagen förde Netanel, Suars son, hövdingen för Isaskar, fram sin gåva;
19 Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
han framförde såsom sin offergåva ett silverfat, ett hundra trettio siklar i vikt, och en silverskål om sjuttio siklar, efter helgedomssikelns vikt, båda fulla med fint mjöl, begjutet med olja, till spisoffer,
20 sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
vidare en skål av guld om tio siklar, full med rökelse,
21 fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
vidare en ungtjur, en vädur och ett årsgammalt lamm till brännoffer
22 mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
och en bock till syndoffer,
23 maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Suari.
samt till tackoffret två tjurar, fem vädurar, fem bockar och fem årsgamla lamm. Detta var Netanels, Suars sons, offergåva.
24 Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa kabila la Zabuloni, alileta sadaka yake.
På tredje dagen kom hövdingen för Sebulons barn, Eliab, Helons son;
25 Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
hans offergåva var ett silverfat, ett hundra trettio siklar i vikt, och en silverskål om sjuttio siklar, efter helgedomssikelns vikt, båda fulla med fint mjöl, begjutet med olja, till spisoffer
26 sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
vidare en skål av guld om tio siklar, full med rökelse,
27 fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
vidare en ungtjur, en vädur och ett årsgammalt lamm till brännoffer
28 mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
och en bock till syndoffer,
29 maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana wa Heloni.
samt till tackoffret två tjurar, fem vädurar, fem bockar och fem årsgamla lamm. Detta var Eliabs, Helons sons, offergåva.
30 Siku ya nne Elisuri mwana wa Shedeuri, kiongozi wa kabila la Reubeni, alileta sadaka yake.
På fjärde dagen kom hövdingen för Rubens barn, Elisur, Sedeurs son;
31 Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
hans offergåva var ett silverfat, ett hundra trettio siklar i vikt, och en silverskål om sjuttio siklar, efter helgedomssikelns vikt, båda fulla med fint mjöl, begjutet med olja, till spisoffer,
32 sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
vidare en skål av guld om tio siklar, full med rökelse,
33 fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
vidare en ungtjur, en vädur och ett årsgammalt lamm till brännoffer
34 mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
och en bock till syndoffer,
35 maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Elisuri mwana wa Shedeuri.
samt till tackoffret två tjurar, fem vädurar, fem bockar och fem årsgamla lamm. Detta var Elisurs, Sedeurs sons, offergåva.
36 Siku ya tano Shelumieli mwana wa Surishadai, kiongozi wa watu wa Simeoni, alileta sadaka yake.
På femte dagen kom hövdingen för Simeons barn, Selumiel, Surisaddais son;
37 Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
hans offergåva var ett silverfat, ett hundra trettio siklar i vikt, och en silverskål om sjuttio siklar, efter helgedomssikelns vikt, båda fulla med fint mjöl, begjutet med olja, till spisoffer,
38 sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
vidare en skål av guld om tio siklar, full med rökelse,
39 fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
vidare en ungtjur, en vädur och ett årsgammalt lamm till brännoffer
40 mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
och en bock till syndoffer,
41 maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Shelumieli mwana wa Surishadai.
samt till tackoffret två tjurar, fem vädurar, fem bockar och fem årsgamla lamm. Detta var Selumiels, Surisaddais sons, offergåva.
42 Siku ya sita Eliasafu mwana wa Deueli, kiongozi wa watu wa Gadi, alileta sadaka yake.
På sjätte dagen kom hövdingen för Gads barn, Eljasaf, Deguels son;
43 Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
hans offergåva var ett silverfat, ett hundra trettio siklar i vikt, och en silverskål om sjuttio siklar, efter helgedomssikelns vikt, båda fulla med fint mjöl, begjutet med olja, till spisoffer,
44 sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
vidare en skål av guld om tio siklar, full med rökelse,
45 fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
vidare en ungtjur, en vädur och ett årsgammalt lamm till brännoffer
46 mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
och en bock till syndoffer,
47 maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deueli.
samt till tackoffret två tjurar, fem vädurar, fem bockar och fem årsgamla lamm. Detta var Eljasafs, Deguels sons, offergåva.
48 Siku ya saba Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa watu wa Efraimu, alileta sadaka yake.
På sjunde dagen kom hövdingen för Efraims barn, Elisama, Ammihuds son;
49 Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
hans offergåva var ett silverfat, ett hundra trettio siklar i vikt, och en silverskål om sjuttio siklar, efter helgedomssikelns vikt, båda fulla med fint mjöl, begjutet med olja, till spisoffer,
50 sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
vidare en skål av guld om tio siklar, full med rökelse,
51 fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
vidare en ungtjur, en vädur och ett årsgammalt lamm till brännoffer
52 mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
och en bock till syndoffer,
53 maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Elishama mwana wa Amihudi.
samt till tackoffret två tjurar, fem vädurar, fem bockar och fem årsgamla lamm. Detta var Elisamas, Ammihuds sons, offergåva.
54 Siku ya nane Gamalieli mwana wa Pedasuri, kiongozi wa watu wa Manase, alileta sadaka yake.
På åttonde dagen kom hövdingen för Manasse barn, Gamliel, Pedasurs son;
55 Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
hans offergåva var ett silverfat, ett hundra trettio siklar i vikt, och en silverskål om sjuttio siklar, efter helgedomssikelns vikt, båda fulla med fint mjöl, begjutet med olja, till spisoffer,
56 sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
vidare en skål av guld om tio siklar, full med rökelse,
57 fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
vidare en ungtjur en vädur och ett årsgammalt lamm till brännoffer
58 mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
och en bock till syndoffer,
59 maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Gamalieli mwana wa Pedasuri.
samt till tackoffret två tjurar, fem vädurar, fem bockar och fem årsgamla lamm. Detta var Gamliels Pedasurs sons, offergåva.
60 Siku ya tisa Abidani mwana wa Gideoni, kiongozi wa watu wa Benyamini, alileta sadaka yake.
På nionde dagen kom hövdingen för Benjamins barn, Abidan, Gideonis son;
61 Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
hans offergåva var ett silverfat, ett hundra trettio siklar i vikt, och en silverskål om sjuttio siklar, efter helgedomssikelns vikt, båda fulla med fint mjöl, begjutet med olja, till spisoffer,
62 sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
vidare en skål av guld om tio siklar, full med rökelse,
63 fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
vidare en ungtjur, en vädur och ett årsgammalt lamm till brännoffer
64 mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
och en bock till syndoffer,
65 maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gideoni.
samt till tackoffret två tjurar, fem vädurar, fem bockar och fem årsgamla lamm. Detta var Abidans, Gideonis sons, offergåva.
66 Siku ya kumi Ahiezeri mwana wa Amishadai, kiongozi wa watu wa Dani, alileta sadaka yake.
På tionde dagen kom hövdingen för Dans barn, Ahieser, Ammisaddais son;
67 Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
hans offergåva var ett silverfat, ett hundra trettio siklar i vikt, och en silverskål om sjuttio siklar, efter helgedomssikelns vikt, båda fulla med fint mjöl, begjutet med olja, till spisoffer,
68 sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
vidare en skål av guld om tio siklar, full med rökelse,
69 fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
vidare en ungtjur, en vädur och ett årsgammalt lamm till brännoffer
70 mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
och en bock till syndoffer,
71 maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Ahiezeri mwana wa Amishadai.
samt till tackoffret två tjurar, fem vädurar, fem bockar och fem årsgamla lamm. Detta var Ahiesers, Ammisaddais sons, offergåva.
72 Siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa watu wa Asheri, alileta sadaka yake.
På elfte dagen kom hövdingen för Asers barn, Pagiel, Okrans son;
73 Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
hans offergåva var ett silverfat, ett hundra trettio siklar i vikt, och en silverskål om sjuttio siklar, efter helgedomssikelns vikt, båda fulla med fint mjöl, begjutet med olja, till spisoffer,
74 sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
vidare en skål av guld om tio siklar, full med rökelse,
75 fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
vidare en ungtjur, en vädur och ett årsgammalt lamm till brännoffer
76 mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
och en bock till syndoffer,
77 maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.
samt till tackoffret två tjurar, fem vädurar, fem bockar och fem årsgamla lamm. Detta var Pagiels, Okrans sons, offergåva.
78 Siku ya kumi na mbili Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa watu wa Naftali, alileta sadaka yake.
På tolfte dagen kom hövdingen för Naftali barn, Ahira, Enans son;
79 Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
hans offergåva var ett silverfat, ett hundra trettio siklar i vikt, och en silverskål om sjuttio siklar, efter helgedomssikelns vikt, båda fulla med fint mjöl, begjutet med olja, till spisoffer,
80 sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
vidare en skål av guld om tio siklar, full med rökelse,
81 fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
vidare en ungtjur, en vädur och ett årsgammalt lamm till brännoffer
82 mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
och en bock till syndoffer,
83 maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Ahira mwana wa Enani.
samt till tackoffret två tjurar, fem vädurar, fem bockar och fem årsgamla lamm. Detta var Ahiras, Enans sons, offergåva.
84 Hizi ndizo zilikuwa sadaka za viongozi wa Israeli madhabahu yalipowekwa wakfu, wakati yalitiwa mafuta: sahani kumi na mbili za fedha, bakuli kumi na mbili za fedha za kunyunyizia, na masinia kumi na mawili ya dhahabu.
Detta var vad Israels hövdingar skänkte till altarets invigning, när det smordes: tolv silverfat, tolv silverskålar och tolv guldskålar.
85 Kila sahani ya fedha ilikuwa na uzito wa shekeli 130, na kila bakuli la fedha la kunyunyizia lilikuwa na uzito wa shekeli sabini. Masinia yote kumi na mawili yalikuwa na uzito wa shekeli 2,400kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.
Vart fat kom på ett hundra trettio silversiklar och var skål på sjuttio siklar, så att silvret i dessa kärl sammanlagt utgjorde två tusen fyra hundra siklar, efter helgedomssikelns vikt.
86 Sahani kumi na mbili za dhahabu zilizojazwa uvumba zilikuwa na uzito wa shekeli kumi kila moja, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu. Kwa jumla, sahani za dhahabu zilikuwa na uzito wa shekeli 120.
Av de tolv guldskålarna, som voro fulla med rökelse, vägde var och en tio siklar, efter helgedomssikelns vikt, så att guldet i skålarna sammanlagt utgjorde ett hundra tjugu siklar.
87 Jumla ya wanyama waliotolewa kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa walikuwa fahali kumi na wawili wachanga, kondoo dume kumi na wawili na wana-kondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja, pamoja na sadaka zao za nafaka. Mbuzi waume kumi na wawili walitolewa kwa ajili ya sadaka za dhambi.
Brännoffers-fäkreaturen utgjorde tillsammans tolv tjurar, vartill kommo tolv vädurar, tolv årsgamla lamm, med tillhörande spisoffer, och tolv bockar till syndoffer.
88 Jumla ya wanyama kwa ajili ya dhabihu ya sadaka ya amani walikuwa maksai ishirini na wanne, kondoo dume sitini, mbuzi dume wa mwaka mmoja sitini na wana-kondoo dume wa mwaka mmoja sitini. Hizi ndizo zilikuwa sadaka zilizoletwa kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu baada ya kutiwa mafuta.
Och tackoffers-fäkreaturen utgjorde tillsammans tjugufyra tjurar, vartill kommo sextio vädurar, sextio bockar och sextio årsgamla lamm. Detta var vad som skänktes till altarets invigning, sedan det hade blivit smort.
89 Mose alipoingia kwenye Hema la Kukutania kuzungumza na Bwana, alisikia sauti ikisema naye kutoka kati ya wale makerubi wawili waliokuwa juu ya kile kiti cha rehema, juu ya Sanduku la Ushuhuda. Mose akazungumza naye.
Och när Mose gick in i uppenbarelsetältet för att tala med honom, hörde han rösten tala till sig från nådastolen ovanpå vittnesbördets ark, från platsen mellan de två keruberna; där talade rösten till honom.

< Hesabu 7 >