< Hesabu 35 >
1 Bwana akamwambia Mose katika nchi tambarare ya Moabu, kando ya Mto Yordani kuvukia Yeriko,
Hahoi Jeriko teng Jordan palang teng vah Moab tanghling dawk BAWIPA ni Mosi hah a pato.
2 “Waagize Waisraeli kuwapa Walawi miji ya kuishi kutoka urithi ambao Waisraeli wataumiliki. Wape maeneo ya malisho kuzunguka hiyo miji.
Isarel canaw hah kâpoe leih. A ram thung dawk Levihnaw o nahanlah kho poe awh naseh. Saring a pâ nahanlah kho tengpam hah Levihnaw na poe awh han.
3 Kisha watakuwa na miji ya kuishi na maeneo ya malisho kwa ajili ya ngʼombe zao, mbuzi, kondoo na mifugo yao mingine yote.
Kho a saknae kho tawn awh vaiteh, a tengpam pueng teh a maito hoi saringnaw a paca awh e a pâ nahanlah awm naseh.
4 “Maeneo ya malisho kuzunguka miji hiyo ambayo mtawapa Walawi yataenea mita 450 kutoka kwenye ukuta wa miji.
Kho tengpam Levihnaw na poe awh hane teh, kho rapan petkâkalup lah dong 1000 touh akaw han.
5 Nje ya mji, pima mita 900 upande wa mashariki, upande wa kusini mita 900, upande wa magharibi mita 900, na upande wa kaskazini mita 900, na mji utakuwa katikati. Eneo hili litakuwa lao kwa ajili ya malisho.
Hahoi tumdumnae alawilah hoi na bangnue awh vaiteh, kanîtholah dong 2000, akalah dong 2000, kanîloumlah dong 2000, atunglah dong 2000, alungui kho ao han. Hetnaw heh a ham awh e khopuinaw rapan alawilah han.
6 “Miji sita mtakayowapa Walawi itakuwa ya makimbilio, ambayo mtu anayemuua mwenzake aweza kukimbilia humo. Zaidi ya hiyo, wapeni miji mingine arobaini na miwili.
Levihnaw na poe awh hane khonaw thung dawkvah, tamikathetnaw a yawng nahane taruk touh na rawi awh han. Hothloilah kho 42 touh na thapsin han.
7 Kwa jumla inawapasa kuwapa Walawi miji arobaini na minane, pamoja na maeneo ya malisho yao.
Levihnaw na poe hane khonaw pueng teh, a ram hoi kho 48 touh a pha han.
8 Miji ambayo mtawapa Walawi kutoka nchi ambayo Waisraeli wanamiliki itatolewa kwa uwiano wa urithi wa kila kabila. Chukua miji mingi kutoka lile kabila lenye miji mingi, lakini uchukue miji michache kutoka kwa kabila lile lenye miji michache.”
Isarelnaw khosak nahan na poe e teh, kapap hah kapap na poe vaiteh, kayoun hah kayoun na poe han. Tami pueng ni a coe awh e ram apap e patetlah Levihnaw kho na poe awh han.
9 Kisha Bwana akamwambia Mose:
BAWIPA ni Mosi hah a pato teh,
10 “Sema na Waisraeli, uwaambie: ‘Mtakapovuka Yordani kuingia Kanaani,
Isarel canaw hah pato nateh, ahnimouh koe Jordan na raka awh teh, Kanaan ram na kâen toteh,
11 chagueni baadhi ya miji iwe miji yenu ya makimbilio, ambayo mtu ambaye ameua mwenzake bila kukusudia aweza kukimbilia humo.
pouk laipalah tamikathet payon e teh a yawng vaiteh a kângue nahane kho na pouk pouh han.
12 Itakuwa mahali pa kukimbilia kutoka mlipiza kisasi, ili kwamba mtu aliyeshtakiwa kwa mauaji asife kabla ya kujitetea mbele ya mkutano.
Tamimaya hmalah lawkceng hanlah a kangdue hoehnahlan, tamikathet payon e teh, ama a due hoeh nahanelah, hote khonaw teh moipathungkung ni a tawng navah a kângue awh nahanelah ao han.
13 Miji hii sita mtakayoitoa itakuwa miji yenu ya makimbilio.
Hottelah, nangmouh hanlah kângue nahane kho na pouk awh hane teh kho 6 touh a pha han.
14 Mtatoa miji mitatu ngʼambo hii ya Yordani na miji mingine mitatu upande wa Kanaani kama miji ya makimbilio.
Jordan namran lah kho kathum touh na pouk awh vaiteh, Kanaan ram lah kho kathum touh na pouk awh han. Kânguenae kho lah ao han.
15 Miji hii sita itakuwa mahali pa makimbilio kwa ajili ya Waisraeli, wageni na watu wengine wanaoishi katikati yenu, ili kwamba mtu yeyote ambaye ameua mtu mwingine pasipo kukusudia aweze kukimbilia humo.
Isarel catounnaw hoi ahnimouh koe kaawm e imyinnaw hanlah kho 6 touh hah kânguenae kho lah ao han. Awi hawvah, tamikathet payonnaw ni a yawng awh han.
16 “‘Kama mtu akimpiga mwenzake kwa chuma naye mtu huyo akafa, mtu huyo ni muuaji; muuaji sharti atauawa.
Hatei, sum hoi tami hem boilah dout pawiteh, tamikathet e lah ao dawkvah, tamikathet e teh ama hai roup thei roeroe han.
17 Au kama mtu analo jiwe mkononi mwake ambalo laweza kuua, naye akampiga mwenzake akafa, yeye ni muuaji; muuaji huyo sharti atauawa.
Hahoi talung hoi tami kadout lah dei pawiteh, ayâ ka thet e lah ao dawkvah, ayâ ka thet e teh ama hai thei roeroe han.
18 Au kama mtu ana chombo cha mti mkononi mwake ambacho chaweza kuua, naye akampiga mwenzake akafa, yeye ni muuaji; muuaji huyo sharti atauawa.
Hahoi tami ni thing hoi tami kadout lah hem pawiteh, ayâ ka thet e lah ao dawkvah, ayâ ka thet e teh ama hai thei roeroe han.
19 Mlipiza kisasi cha damu atamuua muuaji; wakati akikutana naye, atamuua.
Thiphu moipathungkung ni tami ka thet e teh tang a thei thai han. A hmu boum teh a thei han.
20 Ikiwa mtu ana chuki ya siku nyingi na mwenzake akamsukuma au akamtupia kitu kwa kukusudia naye akafa,
Hahoi tami a hmuhma kecu dawk puenghoi dei tanawt nakunghai thoseh, sut pawp laihoi kadout lah a dêi nakunghai thoseh,
21 au ikiwa katika uadui akampiga ngumi naye akafa, mtu yule sharti atauawa; yeye ni muuaji. Mlipiza kisasi cha damu atamuua muuaji atakapokutana naye.
kâoun hoi kut hoi thaw lah koe dout pawiteh, kathetkung hah thei van hane roeroe lah ao. Bangkongtetpawiteh, tamikathetkung doeh. Thipaling moipathungkung ni a hmu nah tangkuem koe a thei han.
22 “‘Lakini kama mtu akimsukuma mwenziwe ghafula pasipo chuki, au kumtupia kitu pasipo kukusudia,
Hatei, kâoun kâtai dawk laipalah, a tanawt payon dawk nakunghai thoseh, lam hoi a pawp dawk tho laipalah, tami awm hoeh ti hoi a panue hoehnahlan vah, taran lah hai kaawm hoeh e,
23 au, pasipo kumwona, akimwangushia jiwe ambalo laweza kumuua naye akafa, basi kwa kuwa hakuwa adui yake naye hakukusudia kumuumiza,
pataw nahan poe hanlah hai kâcai hoeh eiteh, talung hoi koe dêi lah dout payon pawiteh,
24 kusanyiko lazima liamue kati yake na mlipiza kisasi wa damu kufuatana na sheria hizi.
tamimaya ni hete lawkcengnae kâlawk patetlah kathetkung hoi thipaling moipathungkung hanlah lawk a ceng awh han.
25 Kusanyiko ni lazima limlinde yule anayeshtakiwa kuua kutoka kwa mlipiza kisasi wa damu, na kumrudisha katika mji wa makimbilio alikokuwa amekimbilia. Lazima akae humo mpaka atakapokufa kuhani mkuu ambaye alikuwa amepakwa mafuta matakatifu.
Hahoi tamimaya ni tamikathetkung hah thipaling moipathungkung koehoi a la ring awh vaiteh, tamimaya ni a yawng nahane kânguenae kho dawk ao sak awh han. Satui kathoung hoi awi e vaihma kacue ka tawk lahun e a due hoehroukrak haw vah ao han.
26 “‘Lakini kama mshtakiwa atatoka nje ya mipaka ya mji wa makimbilio ambao amekimbilia,
Hatei, bangpatet e tueng pueng dawk hai tami ka thet e teh, a yawngnae kânguenae kho, khori hloilah cet pawiteh,
27 na mlipiza kisasi wa damu akamkuta nje ya mji, mlipiza kisasi wa damu anaweza kumuua mshtakiwa huyo bila kuwa na hatia ya kuua.
thipaling moipathungkung ni kânguenae kho hloilah hmawt boilah thet pawiteh, thipaling dawk yonpennae awm mahoeh.
28 Mshtakiwa lazima akae katika mji wake wa makimbilio mpaka atakapokufa kuhani mkuu; atarudi tu kwenye mali yake baada ya kifo cha kuhani mkuu.
Bangkongtetpawiteh, vaihma kacue a due hoehroukrak, kânguenae kho dawk pou o hanlah ao. Vaihma a due hnukkhu, hote tami ka thet e teh ama onae kho dawk a ban han.
29 “‘Hizi ndizo kanuni za sheria zitakazohitajiwa kwenu na katika vizazi vyenu vijavyo, popote mtakapoishi.
Hatei, hnonaw pueng hah na catounnaw totouh na o awh nah tangkuem koe lawkceng e lah ao han.
30 “‘Yeyote anayeua mtu atauawa kama muuaji ikiwa tu kuna ushuhuda wa mashahidi. Lakini hakuna mtu atakayeuawa kwa ushuhuda wa shahidi mmoja tu.
Tami bangpatet ni nakunghai tami thet pawiteh, tamikathetkung teh kapanuekkhaikung e pahni dawk lawk a tâco sak e lawk lahoi thei lah ao han. Hatei, kapanuekkhaikung buet touh dueng e a pahni dawk e lawk pawiteh, thei khai nahanelah khout hoeh.
31 “‘Usikubali fidia yoyote ya kuokoa uhai wa muuaji ambaye anastahili kufa. Mtu huyo hakika lazima auawe.
Tami kathetkung teh na ratang awh mahoeh. Bangkongtetpawiteh, due han kamcu totouh yonpen e lah ao toung dawkvah, na thei awh roeroe han.
32 “‘Usikubali fidia ya mtu yeyote ambaye amekimbilia katika mji wa makimbilio na kumruhusu kurudi kuishi katika nchi yake kabla ya kifo cha kuhani mkuu.
Kânguenae kho dawk ka yawng e tami teh, hatnae tueng dawk vaihma kacue ka tawk e a due hoehroukrak a onae khoruem dawk bout ban thai nahan, ratang thai mahoeh.
33 “‘Msiinajisi nchi mnayoishi. Umwagaji damu hunajisi nchi, na upatanisho hauwezekani kufanyika katika nchi ambayo damu imemwagwa, isipokuwa tu kwa damu ya yule aliyeimwaga damu.
Hatdawkvah, na onae ram na khin sak mahoeh. Bangkongtetpawiteh, thipaling ni ram hah a khin sak teh, ram a dam nahanlah, thipalawngkung e thipaling hoi dueng doeh yontha thai lah ao.
34 Msiinajisi nchi mnayoishi, ambayo nami ninakaa, kwa kuwa Mimi, Bwana, ninakaa katikati ya Waisraeli.’”
Hatdawkvah, a lungui e khosaknae na coe awh e ram teh, na khinsak awh mahoeh. Bangkongtetpawiteh, kai Jehovah teh Isarel catounnaw koe ka o tet pouh telah ati.