< Hesabu 33 >
1 Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni.
Estos son los viajes de los hijos de Israel, cuando salieron de la tierra de Egipto en sus ejércitos, bajo la dirección de Moisés y Aarón.
2 Kwa agizo la Bwana, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao:
Y las etapas de su viaje al salir fueron escritas por Moisés por orden del Señor: estas son las etapas de su viaje y la forma en que se fueron.
3 Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku iliyofuata Pasaka. Walitembea kwa ujasiri wazi mbele ya Wamisri wote,
El decimoquinto día del primer mes salieron de Ramsés; El día después de la Pascua, los hijos de Israel salieron por el poder del Señor ante los ojos de todos los egipcios.
4 waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao Bwana alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa Bwana alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.
Mientras los egipcios colocaban en la tierra los cuerpos de sus hijos a quienes el Señor había enviado destrucción: y sus dioses habían sido juzgados por él.
5 Waisraeli waliondoka Ramesesi na kupiga kambi huko Sukothi.
Entonces los hijos de Israel salieron de Ramsés y pusieron sus tiendas en Sucot.
6 Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.
Y salieron de Sucot y levantaron sus tiendas en Etam, al borde del desierto.
7 Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.
Y desde Etam, volviendo a Pi-hahirot que está antes de Baal-zefón, levantaron sus tiendas antes de Migdol.
8 Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.
Y después de haber viajado desde delante de Hahiroth, atravesaron el mar hacia el desierto recorrieron tres días por el desierto de Etam y pusieron sus tiendas en Mara.
9 Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.
Y de Mara pasaron a Elim, y en Elim había doce manantiales de agua y setenta palmeras; y allí levantaron sus tiendas.
10 Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.
Y salieron de Elim y pusieron sus tiendas junto al Mar Rojo.
11 Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.
Luego, desde el Mar Rojo, avanzaron y acamparon en el desierto de sin.
12 Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.
Y salieron del desierto de Sin, y pusieron sus tiendas en Dofca.
13 Wakaondoka Dofka, wakapiga kambi huko Alushi.
Y salieron de Dofca y pusieron sus tiendas en Alus.
14 Wakaondoka Alushi, wakapiga kambi Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji kwa ajili ya watu kunywa.
Salieron de Alus y pusieron sus tiendas en Refidim, donde no había agua para el pueblo.
15 Wakaondoka Refidimu na kupiga kambi katika Jangwa la Sinai.
Y salieron de Refidim, y pusieron sus tiendas en el desierto del Sinaí.
16 Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.
Salieron de la tierra baldía de Sinaí y pusieron sus tiendas en Kibrot Hataava.
17 Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.
Salieron de Kibrot-hataava y pusieron sus tiendas en Hazerot.
18 Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.
Y se fueron de Hazerot, y pusieron sus tiendas en Ritma.
19 Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.
Y salieron de Ritma, y pusieron sus tiendas en Rimón -peres.
20 Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.
Y salieron de Rimón Peres, y pusieron sus tiendas en Libna.
21 Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.
Y se fueron de Libna y pusieron sus tiendas en Rissa.
22 Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.
Y se fueron de Rissa y pusieron sus tiendas en Ceelata.
23 Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.
Y salieron de Ceelata, y pusieron sus tiendas en el monte Sefer.
24 Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.
Salieron del monte Sefer y pusieron sus tiendas en Harada.
25 Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.
Salieron de Harada y pusieron sus tiendas en Macelot.
26 Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.
Y ellos se fueron de Macelot, y pusieron sus tiendas en Tahat.
27 Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.
Y salieron de Tahat y pusieron sus tiendas en Taré.
28 Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.
Y se fueron de Taré y pusieron sus tiendas en Mitca.
29 Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.
Y salieron de Mitca y pusieron sus tiendas en Hasmona.
30 Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.
Y salieron de Hasmona y pusieron sus tiendas en Moserot.
31 Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.
Salieron de Moserot y pusieron sus tiendas en Bene-jaacan.
32 Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.
Y se fueron de Bene-jaacan, y pusieron sus tiendas en Gidgad.
33 Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.
Y se fueron de Gidgad, y pusieron sus tiendas en Jotbata.
34 Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.
Y salieron de Jotbata y levantaron sus tiendas en Abrona.
35 Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.
Y salieron de Abrona, y pusieron sus tiendas en Ezion-geber.
36 Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.
Y salieron de Ezión-geber y levantaron sus tiendas en el desierto de Zin (que es Cades).
37 Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu.
Y salieron de Cades y levantaron sus tiendas en el monte Hor, en el límite de la tierra de Edom.
38 Kwa amri ya Bwana, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.
Entonces el sacerdote Aarón subió al monte por orden del Señor, y murió allí, en el cuadragésimo año después de que los hijos de Israel hubieran salido de la tierra de Egipto, en el quinto mes. El primer día del mes.
39 Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.
Aarón tenía ciento veintitrés años cuando murió en el monte Hor.
40 Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.
Y llegó la noticia de la venida de los hijos de Israel al rey de Arad, el cananeo, que vivía en el sur de la tierra de Canaán.
41 Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.
Y desde el monte Hor siguieron y pusieron sus tiendas en Zalmona.
42 Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.
Y salieron de Zalmona, y pusieron sus tiendas en Punón.
43 Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.
Y salieron de Punón, y pusieron sus tiendas en Obot.
44 Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.
Salieron de Obot y pusieron sus tiendas en Ije-abarim, al borde de Moab.
45 Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.
Y salieron de Ije-abarim pusieron sus tiendas en Dibon-gad.
46 Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.
Y de Dibón-gad continuaron y pusieron sus tiendas en Almón-diblataim.
47 Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.
Y de Almon-diblataim siguieron y levantaron sus tiendas en las montañas de Abarim, delante de Nebo.
48 Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
Salieron de los montes de Abarim y acamparon en las llanuras de Moab, junto al Jordán en Jericó.
49 Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.
Plantando sus tiendas al lado del Jordán desde Bet-jesimot hasta Abel-sitim en las tierras bajas de Moab.
50 Katika tambarare za Moabu kando ya Yordani kuvukia Yeriko, Bwana akamwambia Mose,
Y en las llanuras de Moab, junto al Jordán en Jericó, el Señor dijo a Moisés:
51 “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani,
Di a los hijos de Israel: Cuando pases el Jordán a la tierra de Canaán,
52 wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada.
Mira que todas las personas de la tierra son expulsadas de ti, y destruyen todas sus piedras labradas, todas sus imágenes metálicas y todos sus lugares altos.
53 Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.
Y tomen la tierra para ustedes, para su lugar de descanso: porque a ustedes les he dado la tierra como su herencia.
54 Mtaigawanya nchi hiyo kwa kupiga kura, kufuatana na koo zenu. Kwa kundi kubwa zaidi toa urithi mkubwa zaidi, na kwa kundi dogo zaidi urithi mdogo zaidi. Chochote kinachowaangukia kwa kura kitakuwa chao. Mtaigawanya nchi kufuatana na makabila ya babu zenu.
Y tomarás tu herencia en la tierra por la decisión del Señor, a cada familia su parte; cuanto mayor sea la familia, mayor será su patrimonio, y cuanto más pequeña sea la familia, menor será su patrimonio; dondequiera que la decisión del Señor dé a cualquier hombre su parte, esa será suya; Las tribus de tus padres te harán la distribución.
55 “‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi.
Pero si demoras en expulsar a la gente de la tierra, entonces aquellos de los que todavía están allí serán como puntos de alfiler en tus ojos y como espinas en tus costados, molestándote en la tierra donde estás habitando.
56 Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’”
Y sucederá que tal como fue mi propósito hacerles, así te haré a ti.