< Hesabu 33 >
1 Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni.
Estas son las partidas de los hijos de Israel, que salieron de la tierra de Egipto por sus escuadrones, por mano de Moisés y Aarón,
2 Kwa agizo la Bwana, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao:
Que Moisés escribió sus salidas por sus partidas por dicho de Jehová: y estas son sus partidas por sus salidas.
3 Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku iliyofuata Pasaka. Walitembea kwa ujasiri wazi mbele ya Wamisri wote,
De Ramesses partieron el mes primero a los quince días del mes primero: el segundo día de la pascua salieron los hijos de Israel con mano alta a ojos de todos los Egipcios.
4 waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao Bwana alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa Bwana alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.
Enterrando los Egipcios los que Jehová había muerto de ellos, a todo primogénito; y habiendo Jehová hecho juicios en sus dioses.
5 Waisraeli waliondoka Ramesesi na kupiga kambi huko Sukothi.
Partieron pues los hijos de Israel de Ramesses, y asentaron campo en Socot.
6 Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.
Y partiendo de Socot asentaron en Etam, que es al cabo del desierto.
7 Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.
Y partiendo de Etam volvieron sobre Pihahirot, que es delante de Baal-sefón, y asentaron delante de Magdalo.
8 Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.
Y partiendo de Pihahirot pasaron por medio de la mar al desierto, y anduvieron camino de tres días por el desierto de Etam, y asentaron en Mara.
9 Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.
Y partiendo de Mara vinieron a Elim, donde había doce fuentes de aguas y setenta palmas; y asentaron allí.
10 Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.
Y partidos de Elim asentaron junto al mar Bermejo.
11 Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.
Y partidos del mar Bermejo asentaron en el desierto de Sin.
12 Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.
Y partidos del desierto de Sin asentaron en Dafca.
13 Wakaondoka Dofka, wakapiga kambi huko Alushi.
Y partidos de Dafca asentaron en Alús.
14 Wakaondoka Alushi, wakapiga kambi Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji kwa ajili ya watu kunywa.
Y partidos de Alús asentaron en Rafidim, donde el pueblo no tuvo aguas para beber.
15 Wakaondoka Refidimu na kupiga kambi katika Jangwa la Sinai.
Y partidos de Rafidim asentaron en el desierto de Sinaí.
16 Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.
Y partidos del desierto de Sinaí asentaron en Kibrot-hattaava.
17 Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.
Y partidos de Kibrot-hattaava asentaron en Jaserot.
18 Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.
Y partidos de Jaserot asentaron en Retma.
19 Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.
Y partidos de Retma asentaron en Remmon-fares.
20 Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.
Y partidos de Remmon-fares asentaron en Lebna.
21 Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.
Y partidos de Lebna asentaron en Ressa.
22 Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.
Y partidos de Ressa asentaron en Cealata.
23 Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.
Y partidos de Cealata asentaron en el monte de Sefer.
24 Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.
Y partidos del monte de Sefer asentaron en Harada.
25 Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.
Y partidos de Harada asentaron en Macelot.
26 Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.
Y partidos de Macelot asentaron en Tahat.
27 Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.
Y partidos de Tahat asentaron en Tare.
28 Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.
Y partidos de Tare asentaron en Metca.
29 Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.
Y partidos de Metca asentaron en Hesmona.
30 Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.
Y partidos de Hesmona asentaron en Moserot.
31 Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.
Y partidos de Moserot asentaron en Bene-jaacán.
32 Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.
Y partidos de Bene-jaacán asentaron en el monte de Guidgad.
33 Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.
Y partidos del monte de Guidgad asentaron en Jetebata.
34 Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.
Y partidos de Jetebata asentaron en Hebrona.
35 Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.
Y partidos de Hebrona asentaron en Asión-gaber.
36 Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.
Y partidos de Asión-gaber asentaron en el desierto de Zin, que es Cádes.
37 Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu.
Y partidos de Cádes asentaron en el monte de Hor en el fin de la tierra de Edom.
38 Kwa amri ya Bwana, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.
Y subió Aarón el sacerdote en el monte de Hor, conforme al dicho de Jehová, y allí murió a los cuarenta años de la salida de los hijos de Israel de la tierra de Egipto, en el mes quinto, en el primero del mes.
39 Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.
Y era Aarón de edad de ciento y veinte y tres años cuando murió en el monte de Hor.
40 Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.
Y oyó el Cananeo rey de Arad, que habitaba al mediodía en la tierra de Canaán, como habían entrado los hijos de Israel.
41 Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.
Y partidos del monte de Hor asentaron en Salmona.
42 Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.
Y partidos de Salmona asentaron en Funón.
43 Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.
Y partidos de Funón asentaron en Obot.
44 Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.
Y partidos de Obot asentaron en Je-abarim en el término de Moab.
45 Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.
Y partidos de Je-abarim asentaron en Dibon-gad.
46 Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.
Y partidos de Dibon-gad asentaron en Helmon-deblataim.
47 Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.
Y partidos de Helmon-deblataim asentaron en los montes de Abarim delante de Nebo.
48 Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
Y partidos de los montes de Abarim asentaron en los campos de Moab junto al Jordán de Jericó.
49 Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.
Finalmente asentaron junto al Jordán desde Bet-jesimot hasta Abel-satim en los campos de Moab.
50 Katika tambarare za Moabu kando ya Yordani kuvukia Yeriko, Bwana akamwambia Mose,
Y habló Jehová a Moisés en los campos de Moab junto al Jordán de Jericó, diciendo:
51 “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani,
Habla a los hijos de Israel, y díles: Cuando hubiereis pasado el Jordán a la tierra de Canaán,
52 wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada.
Echaréis a todos los moradores de la tierra de delante de vosotros, y destruiréis todas sus pinturas, y todas sus imágenes de fundición, destruiréis asimismo todos sus altos:
53 Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.
Y echaréis los moradores de la tierra, y habitaréis en ella: porque yo os la he dado para que la heredéis.
54 Mtaigawanya nchi hiyo kwa kupiga kura, kufuatana na koo zenu. Kwa kundi kubwa zaidi toa urithi mkubwa zaidi, na kwa kundi dogo zaidi urithi mdogo zaidi. Chochote kinachowaangukia kwa kura kitakuwa chao. Mtaigawanya nchi kufuatana na makabila ya babu zenu.
Y heredaréis la tierra por suertes por vuestras familias; al mucho daréis mucho por su heredad, y al poco daréis poco por su heredad: donde le saliere la suerte, allí la tendrá: por las tribus de vuestros padres heredaréis.
55 “‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi.
Y si no echareis los moradores de la tierra de delante de vosotros, será, que los que dejareis de ellos serán por aguijones en vuestros ojos, y por espinas en vuestros costados, y afligiros han sobre la tierra en que vosotros habitareis.
56 Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’”
Y será, que como yo pensé hacerles a ellos, haré a vosotros.