< Hesabu 33 >

1 Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni.
این است منازل بنی‌اسرائیل که از زمین مصر با افواج خود زیردست موسی وهارون کوچ کردند.۱
2 Kwa agizo la Bwana, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao:
و موسی به فرمان خداوندسفرهای ایشان را برحسب منازل ایشان نوشت، واین است منازل و مراحل ایشان:۲
3 Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku iliyofuata Pasaka. Walitembea kwa ujasiri wazi mbele ya Wamisri wote,
پس در ماه اول از رعمسیس، در روز پانزدهم از ماه اول کوچ کردند، و در فردای بعد از فصح بنی‌اسرائیل درنظر تمامی مصریان با دست بلند بیرون رفتند.۳
4 waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao Bwana alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa Bwana alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.
ومصریان همه نخست زادگان خود را که خداوند ازایشان کشته بود دفن می‌کردند، و یهوه بر خدایان ایشان قصاص نموده بود.۴
5 Waisraeli waliondoka Ramesesi na kupiga kambi huko Sukothi.
و بنی‌اسرائیل از رعمسیس کوچ کرده، درسکوت فرود آمدند.۵
6 Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.
و از سکوت کوچ کرده، درایتام که به کنار بیابان است، فرود آمدند.۶
7 Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.
و ازایتام کوچ کرده، به سوی فم الحیروت که در مقابل بعل صفون است، برگشتند، و پیش مجدل فرودآمدند.۷
8 Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.
و از مقابل حیروت کوچ کرده، از میان دریا به بیابان عبور کردند و در بیابان ایتام سفر سه روزه کرده، در ماره فرود آمدند.۸
9 Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.
و از ماره کوچ کرده، به ایلیم رسیدند و در ایلیم دوازده چشمه آب و هفتاد درخت خرما بود، و در آنجا فرودآمدند.۹
10 Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.
و از ایلیم کوچ کرده، نزد بحر قلزم فرود آمدند.۱۰
11 Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.
و از بحر قلزم کوچ کرده، در بیابان سین فرود آمدند.۱۱
12 Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.
و از بیابان سین کوچ کرده، دردفقه فرود آمدند.۱۲
13 Wakaondoka Dofka, wakapiga kambi huko Alushi.
و از دفقه کوچ کرده، درالوش فرود آمدند.۱۳
14 Wakaondoka Alushi, wakapiga kambi Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji kwa ajili ya watu kunywa.
و از الوش کوچ کرده، دررفیدیم فرود آمدند و در آنجا آب نبود که قوم بنوشند.۱۴
15 Wakaondoka Refidimu na kupiga kambi katika Jangwa la Sinai.
و از رفیدیم کوچ کرده، در بیابان سینافرود آمدند.۱۵
16 Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.
و از بیابان سینا کوچ کرده، درقبروت هتاوه فرود آمدند.۱۶
17 Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.
و از قبروت هتاوه کوچ کرده، در حصیروت فرود آمدند.۱۷
18 Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.
و ازحصیروت کوچ کرده، در رتمه فرود آمدند.۱۸
19 Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.
واز رتمه کوچ کرده، و در رمون فارص فرود آمدند.۱۹
20 Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.
و از رمون فارص کوچ کرده، در لبنه فرودآمدند.۲۰
21 Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.
و از لبنه کوچ کرده، در رسه فرودآمدند.۲۱
22 Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.
و از رسه کوچ کرده، در قهیلاته فرودآمدند.۲۲
23 Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.
و از قهیلاته کوچ کرده، در جبل شافر فرود آمدند.۲۳
24 Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.
و از جبل شافر کوچ کرده، درحراده فرود آمدند.۲۴
25 Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.
و از حراده کوچ کرده، درمقهیلوت فرود آمدند.۲۵
26 Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.
و از مقهیلوت کوچ کرده، در تاحت فرود آمدند.۲۶
27 Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.
و از تاحت کوچ کرده، در تارح فرود آمدند.۲۷
28 Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.
و از تارح کوچ کرده، در متقه فرود آمدند.۲۸
29 Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.
و از متقه کوچ کرده، در حشمونه فرود آمدند.۲۹
30 Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.
و از حشمونه کوچ کرده، در مسیروت فرود آمدند.۳۰
31 Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.
و از مسیروت کوچ کرده، در بنی یعقان فرود آمدند.۳۱
32 Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.
و ازبنی یعقان کوچ کرده، در حورالجدجاد فرودآمدند.۳۲
33 Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.
و از حورالجدجاد کوچ کرده، دریطبات فرود آمدند.۳۳
34 Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.
و از یطبات کوچ کرده، درعبرونه فرود آمدند.۳۴
35 Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.
و از عبرونه کوچ کرده، درعصیون جابر فرود آمدند.۳۵
36 Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.
و از عصیون جابرکوچ کرده، در بیابان صین که قادش باشد، فرودآمدند.۳۶
37 Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu.
و از قادش کوچ کرده، در جبل هور درسرحد زمین ادوم فرود آمدند.۳۷
38 Kwa amri ya Bwana, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.
هارون کاهن برحسب فرمان خداوند به جبل هور برآمده، در سال چهلم خروج بنی‌اسرائیل از زمین مصر، در روز اول ماه پنجم وفات یافت.۳۸
39 Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.
و هارون صد و بیست و سه ساله بود که در جبل هور مرد.۳۹
40 Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.
و ملک عراد کنعانی که در جنوب زمین کنعان ساکن بود از آمدن بنی‌اسرائیل اطلاع یافت.۴۰
41 Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.
پس از جبل هور کوچ کرده، در صلمونه فرود آمدند.۴۱
42 Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.
و از صلمونه کوچ کرده در فونون فرود آمدند۴۲
43 Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.
و از فونون کوچ کرده، در اوبوت فرود آمدند.۴۳
44 Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.
و از اوبوت کوچ کرده، درعیی عباریم در حدود موآب فرود آمدند.۴۴
45 Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.
و از عییم کوچ کرده، در دیبون جاد فرود آمدند.۴۵
46 Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.
واز دیبون جاد کوچ کرده، در علمون دبلاتایم فرودآمدند.۴۶
47 Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.
و از علمون دبلاتایم کوچ کرده، درکوههای عباریم در مقابل نبو فرود آمدند.۴۷
48 Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
و ازکوههای عباریم کوچ کرده، در عربات موآب نزداردن در مقابل اریحا فرود آمدند.۴۸
49 Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.
پس نزد اردن از بیت یشیموت تا آبل شطیم در عربات موآب اردو زدند.۴۹
50 Katika tambarare za Moabu kando ya Yordani kuvukia Yeriko, Bwana akamwambia Mose,
و خداوند موسی را در عربات مواب نزداردن، در مقابل اریحا خطاب کرده، گفت:۵۰
51 “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani,
«بنی‌اسرائیل را خطاب کرده، به ایشان بگو: چون شما از اردن به زمین کنعان عبور کنید،۵۱
52 wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada.
جمیع ساکنان زمین را از پیش روی خوداخراج نمایید، و تمامی صورتهای ایشان راخراب کنید، و تمامی بتهای ریخته شده ایشان رابشکنید، و همه مکانهای بلند ایشان را منهدم سازید.۵۲
53 Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.
و زمین را به تصرف آورده، در آن ساکن شوید، زیرا که آن زمین را به شما دادم تا مالک آن باشید.۵۳
54 Mtaigawanya nchi hiyo kwa kupiga kura, kufuatana na koo zenu. Kwa kundi kubwa zaidi toa urithi mkubwa zaidi, na kwa kundi dogo zaidi urithi mdogo zaidi. Chochote kinachowaangukia kwa kura kitakuwa chao. Mtaigawanya nchi kufuatana na makabila ya babu zenu.
و زمین را به حسب قبایل خود به قرعه تقسیم کنید، برای کثیر، نصیب او را کثیر بدهید، وبرای قلیل، نصیب او را قلیل بدهید، جایی که قرعه برای هر کس برآید از آن او باشد برحسب اسباط آبای شما آن را تقسیم نمایید.۵۴
55 “‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi.
و اگرساکنان زمین را از پیش روی خود اخراج ننماییدکسانی را که از ایشان باقی می‌گذارید در چشمان شما خار خواهند بود، و در پهلوهای شما تیغ وشما را در زمینی که در آن ساکن شوید، خواهندرنجانید.۵۵
56 Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’”
و به همان طوری که قصد نمودم که با ایشان رفتار نمایم، با شما رفتار خواهم نمود.»۵۶

< Hesabu 33 >