< Hesabu 33 >

1 Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni.
Zao o fangem-pañaveloa’ o ana’ Israeleo te niavotse an-tane Mitsraime añe am-pivovoran-dahindefoñe ambane’ ty fehe’ i Mosè naho i Aharoneo.
2 Kwa agizo la Bwana, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao:
Sinoki’ i Mosè o fiorotan-dia’ iareo ki-fange-fange’e ami’ ty lili’ Iehovào; le zao o fange’eo ty amo toe-piengà’eo.
3 Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku iliyofuata Pasaka. Walitembea kwa ujasiri wazi mbele ya Wamisri wote,
Nenga’ iareo ty Ramesèse ami’ ty volam-baloha’e, ami’ty andro faha folo-lime’ ambi’ i volam-baloha’ey; ami’ty andro nanonjohy i Fihelañ’ Ambone’ o ana’ Israeleoy ty niavota’ iareo an-kavokavoke am-pahaisaha’ o nte-Mitsraime iabio,
4 waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao Bwana alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa Bwana alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.
naho nandeveñe o tañoloñoloña’e iabio o nte-Mitsraimeo, o nipaohe’ Iehovà añivo’ iereoo, vaho nametsaha’ Iehovà zaka o ndrahare’ iareoo.
5 Waisraeli waliondoka Ramesesi na kupiga kambi huko Sukothi.
Aa le nienga i Ramesese o ana’ Israeleo naho nitobe e Sokòte;
6 Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.
nienga i Sokòte vaho nitobe Etàme añ’olo’ i fatrambeiy.
7 Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.
Nionjoñe boak’ Etàme le niolake mb’e Pihakiròte atiñana’ i Baale-Tsefòne mb’eo vaho nitobe marine i Migdòle.
8 Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.
Ie nenga i Pihakirote, le nisoroke i riakey naho nañavelo telo andro am-patrambey Etame vaho nitobe e Marà.
9 Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.
Nenga’ iareo ty Marà le nipotìtse e Elime ao; aman-drano manganahana folo roe-ambi’ ty Elime naho satrañe fitompolo vaho nitobeañe.
10 Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.
Ie nienga i Elime le nitobe añ’ olo’ i Ria-Binday,
11 Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.
nienga i Ria-Binday le nitobe ampatrambei’ i Sine,
12 Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.
niavotse i fatrambei’ i Siney le nitobe e Dofkà,
13 Wakaondoka Dofka, wakapiga kambi huko Alushi.
nienga i Dofkà le nitobe e Alòse,
14 Wakaondoka Alushi, wakapiga kambi Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji kwa ajili ya watu kunywa.
nienga i Alòse vaho nitobe e Refidìme, f’ie tsy aman-drano ho kamae’ ondatio.
15 Wakaondoka Refidimu na kupiga kambi katika Jangwa la Sinai.
Ie nienga i Refidime le nitobe am-patrambei’ i Sinay,
16 Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.
ni­enga i Fatrambey Sinay vaho nitobe e Kibròtatahavà.
17 Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.
Ie nienga i Kib­ròtatahavà le nitobe e Katseròte,
18 Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.
nienga i Katseròte le nitobe e Ritmà,
19 Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.
nienga i Ritmà le nitobe e Rimòne Pèretse,
20 Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.
nienga i Rimòne Pèretse le nitobe e Libnà,
21 Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.
nienga i Libnà le nitobe e Risà,
22 Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.
nienga i Risà le nitobe e Kehelàta,
23 Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.
nienga i Kehelàta le nitobe e Vohi-Sèfere,
24 Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.
nienga i Vohi-Sè­fere le nitobe e Karadà,
25 Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.
nienga i Karadà le nitobe e Makelòte,
26 Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.
nienga i Makelòte le nitobe e Tàkate,
27 Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.
nienga i Tàkate le nitobe e Tèrake.
28 Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.
nienga i Tèrake le nitobe e Mitkà,
29 Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.
nienga i Mitkà le nitobe e Khasmonà,
30 Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.
nienga i Khasmonà le nitobe e Moserà,
31 Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.
nienga i Moserà le nitobe e Benè’ià’akàne,
32 Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.
nienga i Benè’ià’akàne le nitobe e Kore Hagid’gàde,
33 Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.
nienga i Kore Ha­gidgàde le nitobe e Iotbàta,
34 Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.
nienga i Iotbàta le nitobe e Ebranà
35 Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.
nienga i Ebranà le nitobe e Etsiòne Gèbere,
36 Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.
nienga i Etsiòne Gèbere vaho nitobe am-patrambei’ i Tsine, atao ty hoe Kadàse.
37 Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu.
Ie nienga i Kadàse le nitobe e Vohi-Hore añ’olon-tane’ i Edome.
38 Kwa amri ya Bwana, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.
Niañambone’ i Vohi-Hore mb’eo t’i Aharone mpisoroñe ami’ty lili’ Iehovà vaho nihomake eo ami’ty taoñe fah’efa-polo’ niavota’ o ana’ Israeleo an-tane Mitsraime ami’ty andro valoha’ i volam-pahalimey.
39 Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.
Ni-zato-tsi-roapolo taoñe telo’ amby t’i Aharone te nivilasy ambone’ i Vohi-Hore eo.
40 Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.
Jinanji’ ty mpanjaka’ i Arade nte-Kanàne mpimoneñe atimo an-tane Kanàne ao te nomb’ ama’e mb’eo o ana’ Israeleo.
41 Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.
Aa le niavotse nitobe e Tsalmonà añe iereo.
42 Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.
Ie nienga i Tsalmonà le nitobe e Ponòne.
43 Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.
Ie nienga i Ponòne le nitobe e Obòte.
44 Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.
Ie nienga i Obòte le nitobe e Ièha Aba­rìme añ’efe-tane’ i Moabe.
45 Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.
Nenga’ iareo t’Iìme vaho nitobe e Dibone-Gade.
46 Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.
Ie nienga i Dibone-Gade le nitobe e Almone-Diblataième.
47 Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.
Ie nienga i Almone-Diblataième le nitobe amo vohi’ i Abarìmeo aolo’ i Nebò.
48 Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
Ie nienga i am-bohi’ Abarìmeo le nitobe a montombei’ i Moabe añ’olo’ Iardeney tandrife Ierikò.
49 Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.
Nitobe marine Iardeney iereo, mifototse e Bete’ ha’ Iesimòte pak’añ’Ala-Roi’ i Abele a montombei’ i Moabe añe.
50 Katika tambarare za Moabu kando ya Yordani kuvukia Yeriko, Bwana akamwambia Mose,
Aa le nitsara amy Mosè t’Iehovà a montombei’ i Moabe añ’ olo’ Iardeney tandrife’ Ierikò eo, nanao ty hoe:
51 “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani,
Taroño amo ana’ Israeleo ty hoe: Ie mitsake Iardeney mb’an-tane Kanàne mb’eo,
52 wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada.
le fonga hanoe’ areo soike ze mpimoneñe amy tane aolo’ areoy, arotsaho o vato-sinoki’e iabio, ampiantò o sare tineno’ iareo iabio le demoho o tamboho’ iareo iabio;
53 Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.
ho tavane’ areo i taney vaho himoneñe ao, amy te natoloko anahareo i taney ho fanañañe.
54 Mtaigawanya nchi hiyo kwa kupiga kura, kufuatana na koo zenu. Kwa kundi kubwa zaidi toa urithi mkubwa zaidi, na kwa kundi dogo zaidi urithi mdogo zaidi. Chochote kinachowaangukia kwa kura kitakuwa chao. Mtaigawanya nchi kufuatana na makabila ya babu zenu.
Le ho zarae’ areo an-tsapake i taney ho lova’ o hasa­vereña’ areoo; ty maro ho tolora’ areo lova bey, le ty tsy ampe ho tolora’ areo lova kede; ze nitsatoha’ i tsapakey ty ho fanaña’ indatiy ho lova’e; ty amo fifokoañeo ty anjarañe aze.
55 “‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi.
Fa naho tsy hatao soike aolo’ areo mb’eo o mpimoneñe an-taneo le ho fatik’ am-pihaino’ areo, naho fitsipok’ an-deme’ areo o nisisa’ areo ama’eo, vaho hitsibore anahareo an-tane himoneña’ areo ao.
56 Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’”
Le hanoeko ama’ areo i sinafiriko hanoeñe am’ iareoy.

< Hesabu 33 >