< Hesabu 33 >
1 Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni.
Tala bisika oyo bana ya Isalaele batongaki milako na bango tango bazalaki na mobembo wuta na mokili ya Ejipito. Bazalaki kotambola na molongo ya bitumba na bokambami ya Moyize mpe Aron.
2 Kwa agizo la Bwana, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao:
Moyize akomaki na mokanda bisika nyonso oyo bazalaki koleka na etinda ya Yawe. Tala bakombo ya moko na moko ya bisika yango:
3 Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku iliyofuata Pasaka. Walitembea kwa ujasiri wazi mbele ya Wamisri wote,
Bana ya Isalaele balongwaki na Ramisesi na mokolo ya zomi na mitano, na sanza ya liboso; ezalaki mokolo oyo elandaki mokolo ya Pasika. Babimaki na matata te na miso ya bato nyonso ya Ejipito,
4 waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao Bwana alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa Bwana alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.
wana bato ya Ejipito bazalaki kokunda bibembe ya bana mibali na bango ya liboso oyo Yawe abetaki mpo na kopesa etumbu na banzambe na bango.
5 Waisraeli waliondoka Ramesesi na kupiga kambi huko Sukothi.
Tango balongwaki na Ramisesi, bana ya Isalaele bakendeki kotonga molako na bango na Sukoti.
6 Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.
Kolongwa na Sukoti, bakendeki kotonga molako na bango na Etami, pene ya mondelo ya esobe.
7 Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.
Tango balongwaki na Etami, bazongaki na ngambo ya Pi-Ayiroti oyo etalana na Bala-Tsefoni, mpe batongaki molako na bango liboso ya Migidoli.
8 Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.
Kolongwa na Pi-Ayiroti, bakatisaki ebale monene mpe bakomaki na esobe; batambolaki mikolo misato na esobe ya Etami mpe batongaki molako na bango, na Mara.
9 Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.
Kolongwa na Mara, bakomaki na Elimi epai wapi bakutaki bitima zomi na mibale mpe banzete ya mbila tuku sambo; batongaki molako na bango kuna.
10 Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.
Kolongwa na Elimi, bakendeki kotonga molako na bango pene ya ebale monene ya barozo.
11 Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.
Kolongwa na ebale monene ya barozo, bakendeki kotonga molako na bango na esobe ya Tsini.
12 Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.
Kolongwa na esobe ya Tsini, bakendeki kotonga molako na bango na Dofika.
13 Wakaondoka Dofka, wakapiga kambi huko Alushi.
Kolongwa na Dofika, bakendeki kotonga molako na bango na Alushi.
14 Wakaondoka Alushi, wakapiga kambi Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji kwa ajili ya watu kunywa.
Kolongwa na Alushi, bakendeki kotonga molako na bango na Refidimi epai wapi bato bazangaki mayi ya komela.
15 Wakaondoka Refidimu na kupiga kambi katika Jangwa la Sinai.
Kolongwa na Refidimi, bakendeki kotonga molako na bango na esobe ya Sinai.
16 Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.
Kolongwa na esobe ya Sinai, bakendeki kotonga molako na bango na Kibiroti-Atava.
17 Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.
Kolongwa na Kibiroti-Atava, bakendeki kotonga molako na bango na Atseroti.
18 Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.
Kolongwa na Atseroti, bakendeki kotonga molako na bango na Ritima.
19 Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.
Kolongwa na Ritima, bakendeki kotonga molako na bango na Rimoni-Peretsi.
20 Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.
Kolongwa na Rimoni-Peretsi, bakendeki kotonga molako na bango na Libina.
21 Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.
Kolongwa na Libina, bakendeki kotonga molako na bango na Risa.
22 Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.
Kolongwa na Risa, bakendeki kotonga molako na bango na ngomba Keyelata.
23 Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.
Kolongwa na ngomba Keyelata, bakendeki kotonga molako na bango na ngomba Seferi.
24 Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.
Kolongwa na ngomba Seferi, bakendeki kotonga molako na bango na Arada.
25 Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.
Kolongwa na Arada, bakendeki kotonga molako na bango na Makeyeloti.
26 Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.
Kolongwa na Makeyeloti, bakendeki kotonga molako na bango na Taati.
27 Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.
Kolongwa na Taati, bakendeki kotonga molako na bango na Tera.
28 Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.
Kolongwa na Tera, bakendaki kotonga molako na bango na Mitika.
29 Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.
Kolongwa na Mitika, bakendaki kotonga molako na bango na Ashimona.
30 Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.
Kolongwa na Ashimona, bakendeki kotonga molako na bango na Moseroti.
31 Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.
Kolongwa na Moseroti, bakendeki kotonga molako na bango na Bene-Yaakani.
32 Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.
Kolongwa na Bene-Yaakani, bakendeki kotonga molako na bango na Ori-Gidigadi.
33 Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.
Kolongwa na Ori-Gidigadi, bakendeki kotonga molako na bango na Yotibata.
34 Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.
Kolongwa na Yotibata, bakendeki kotonga molako na bango na Abrona.
35 Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.
Kolongwa na Abrona, bakendeki kotonga molako na bango na Etsioni-Geberi.
36 Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.
Kolongwa na Etsioni-Geberi, bakendeki kotonga molako na bango na Kadeshi, na esobe ya Tsini.
37 Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu.
Kolongwa na Kadeshi, bakendeki kotonga molako na bango na ngomba Ori, na mondelo ya Edomi.
38 Kwa amri ya Bwana, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.
Ezali kuna na ngomba Ori nde, kolanda etinda ya Yawe, Nganga-Nzambe Aron amataki mpe akufaki na mokolo ya liboso ya sanza ya mitano, sima na mibu tuku minei wuta bana ya Isalaele babimaki na Ejipito.
39 Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.
Aron azalaki na mibu ya mbotama nkama moko na tuku mibale na misato tango akufaki likolo ya ngomba Ori.
40 Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.
Boye, mokonzi ya Aradi, moto ya mboka Kanana, oyo azalaki kovanda na Negevi ya mboka Kanana, ayokaki sango ya koya ya bana ya Isalaele.
41 Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.
Tango balongwaki na ngomba Ori, bakendeki kotonga molako na bango na Tsalimona.
42 Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.
Kolongwa na Tsalimona, bakendeki kotonga molako na bango na Punoni.
43 Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.
Kolongwa na Punoni, bakendeki kotonga molako na bango na Oboti.
44 Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.
Kolongwa na Oboti, bakendeki kotonga molako na bango na Iye-Abarimi, na mondelo ya Moabi.
45 Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.
Kolongwa na Iye-Abarimi, bakendeki kotonga molako na bango na Diboni-Gadi.
46 Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.
Kolongwa na Diboni-Gadi, bakendeki kotonga molako na bango na Alimoni-Dibilatayimi.
47 Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.
Kolongwa na Alimoni-Dibilatayimi, bakendeki kotonga molako na bango na bangomba Abarimi, pembeni ya Nebo.
48 Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
Kolongwa na bangomba Abarimi, bakendeki kotonga molako na bango na bitando ya Moabi, pembeni ya Yordani oyo etalana na Jeriko.
49 Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.
Batongaki molako na bango pembeni ya Yordani, kolongwa na Beti-Yeshimoti kino na Abele-Shitimi, na etando ya Moabi.
50 Katika tambarare za Moabu kando ya Yordani kuvukia Yeriko, Bwana akamwambia Mose,
Na bitando ya Moabi, pembeni ya Yordani oyo etalana na Jeriko, Yawe alobaki na Moyize:
51 “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani,
« Loba na bana ya Isalaele, mpe yebisa bango: ‹ Tango bokokatisa ebale Yordani mpo na kokota na mokili ya Kanana,
52 wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada.
bokobengana bato nyonso oyo bavandaka na mboka yango, bokosilisa kobuka banzambe nyonso ya bikeko oyo basala na mabanga, na bibende banyangwisa na moto mpe bokobebisa bisambelo na bango nyonso ya likolo ya bangomba.
53 Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.
Bokobotola mokili yango mpe bokokoma kovanda kuna, pamba te napesi bino mokili yango mpo ete bobotola yango.
54 Mtaigawanya nchi hiyo kwa kupiga kura, kufuatana na koo zenu. Kwa kundi kubwa zaidi toa urithi mkubwa zaidi, na kwa kundi dogo zaidi urithi mdogo zaidi. Chochote kinachowaangukia kwa kura kitakuwa chao. Mtaigawanya nchi kufuatana na makabila ya babu zenu.
Bokokabola na kobeta zeke mabele ya mokili oyo ezali libula na bino: libota oyo eleki monene ekozwa mpe eteni ya mabele oyo eleki monene; libota ya moke, ekozwa mpe eteni ya mabele ya moke. Libota moko na moko ekozwa eteni na yango ya mabele na esika oyo zeke ekokweya. Bokokabola yango kolanda masanga ya bituka na bino.
55 “‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi.
Kasi soki bobengani te bavandi ya mokili yango, ba-oyo bakotikala bakokoma lokola banzube na miso na bino mpe lokola basende na mipanzi na bino. Bakomonisa bino pasi na mokili oyo bokovanda.
56 Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’”
Boye, nakosala bino ndenge nakanaki kosala bango. › »