< Hesabu 33 >

1 Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni.
He tah Moses neh Aaron kut hmuiah amamih kah caempuei neh Egypt kho lamloh a coe uh vaengkah Israel ca rhoek kah longcaeh ni.
2 Kwa agizo la Bwana, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao:
Moses loh BOEIPA olka bangla a longpueng kah a pongthohnah te a daek. He rhoek he a longpueng uh vaengkah amih kah pongthohnah ni.
3 Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku iliyofuata Pasaka. Walitembea kwa ujasiri wazi mbele ya Wamisri wote,
A hla lamhmacuek dongkah hla sae hnin hlai nga dongah Raameses lamloh cet uh. Yoom vuen ah Israel ca rhoek te coe uh tih Egypt pum kah mikhmuh ah kut a thueng uh.
4 waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao Bwana alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa Bwana alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.
Te vaengah BOEIPA loh a ngawn Egypt te a up uh. Amih kah caming boeih neh a pathen rhoek soah BOEIPA loh tholhphu a thuung.
5 Waisraeli waliondoka Ramesesi na kupiga kambi huko Sukothi.
Israel ca rhoek te Raameses lamloh cet tih Sukkoth ah rhaeh uh.
6 Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.
Sukkoth lamloh cet uh tih khosoek hmoi kah Etham ah rhaeh uh.
7 Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.
Etham lamloh a caeh uh vaengah Baalzephon rhaldan kah Pihahiroth la mael uh tih Migdol rhaldan ah rhaeh uh.
8 Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.
Pihahiroth rhaldan lamloh a caeh uh vaengah tuipuei laklung ah khosoek la kat uh. Etham khosoek ah hnin thum longcaeh te cet uh tih Marah ah rhaeh uh.
9 Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.
Marah lamloh cet uh tih Elim la pawk uh. Elim ah tuiphuet tui hlai nit neh rhophoe sawmrhih om tih pahoi rhaeh uh.
10 Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.
Elim lamloh cet uh tih carhaek tuipuei ah rhaeh uh.
11 Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.
Carhaek tuipuei lamloh cet uh tih Sin khosoek ah rhaeh uh.
12 Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.
Sin khosoek lamloh cet uh tih Dophkah ah rhaeh uh.
13 Wakaondoka Dofka, wakapiga kambi huko Alushi.
Dophkah lamloh cet uh tih Alush ah rhaeh uh.
14 Wakaondoka Alushi, wakapiga kambi Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji kwa ajili ya watu kunywa.
Alush lamloh cet uh tih Rephidim ah rhaeh uh. Tedae teah te pilnam kah a ok ham tui om pawh.
15 Wakaondoka Refidimu na kupiga kambi katika Jangwa la Sinai.
Rephidim lamloh cet uh tih Sinai khosoek ah rhaeh uh.
16 Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.
Sinai khosoek lamloh cet uh tih Kiborthhattaavah ah rhaeh uh.
17 Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.
Kiborthhattaavah lamloh cet uh tih Hazeroth ah rhaeh uh.
18 Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.
Hazeroth lamloh cet uh tih Rithmah ah rhaeh uh.
19 Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.
Rithmah lamloh cet uh tih Rimmonperez la rhaeh uh.
20 Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.
Rimmonperez lamloh cet uh tih Libnah ah rhaeh uh.
21 Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.
Libnah lamloh cet uh tih Rissah ah rhaeh uh.
22 Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.
Rissah lamloh cet uh tih Kehelathah ah rhaeh uh.
23 Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.
Kehelathah lamloh cet uh tih Shepher tlang ah rhaeh uh.
24 Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.
Shepher tlang lamloh cet uh tih Haradah ah rhaeh uh.
25 Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.
Haradah lamloh cet uh tih Makheloth ah rhaeh uh.
26 Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.
Makheloth lamloh puen uh tih Tahath ah rhaeh uh.
27 Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.
Tahath lamloh cet uh tih Terah ah rhaeh uh.
28 Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.
Terah lamloh cet uh tih Mithkah ah rhaeh uh.
29 Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.
Mithkah lamloh cet uh tih Hashmonah ah rhaeh uh.
30 Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.
Hashmonah lamloh cet uh tih Moserah ah rhaeh uh.
31 Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.
Moserah lamloh cet uh tih Benejaakan ah rhaeh uh.
32 Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.
Benejaakan lamloh cet uh tih Horhagidgad ah rhaeh uh.
33 Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.
Horhagidgad lamloh cet uh tih Jobathah ah rhaeh uh.
34 Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.
Jobathah lamloh puen uh tih Abronah ah rhaeh uh.
35 Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.
Abronah lamloh puen uh tih Eziongeber ah rhaeh uh.
36 Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.
Eziongeber lamloh cet uh tih Kadesh kah Zin khosoek ah rhaeh uh.
37 Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu.
Kadesh lamloh cet uh tih Edom khohmuen bawt kah Hor tlang ah rhaeh uh.
38 Kwa amri ya Bwana, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.
Hor tlang ah tah khosoih Aaron khaw BOEIPA kah olka bangla cet coeng tih Egypt kho lamloh Israel ca rhoek a coe uh phoeikah kum likip, hla nga, hlasae cuek vaengah pahoi duek.
39 Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.
Aaron he a kum ya pakul pathum a lo ca vaengah Hor tlang ah duek.
40 Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.
Te vaengah Kanaan khohmuen ah Israel ca rhoek a pawk te tuithim kah kho aka sa Arad manghai Kanaan loh a yaak.
41 Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.
Hor tlang lamloh puen uh tih Zalmonah ah rhaeh uh.
42 Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.
Zalmonah lamloh puen uh tih Punon ah rhaeh uh.
43 Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.
Punon lamloh puen uh tih Oboth ah rhaeh uh.
44 Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.
Oboth lamloh puen uh tih Moab khorhi kah Ijeabarim ah rhaeh uh.
45 Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.
Iyim lamloh puen uh tih Gad Dibon ah rhaeh uh.
46 Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.
Gad Dibon lamloh puen uh tih Almondiblathaim ah rhaeh uh.
47 Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.
Almondiblathaim lamloh puen uh tih Nebo rhaldan kah Abarim tlang ah rhaeh uh.
48 Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
Abarim tlang lamloh puen uh tih Jerikho Jordan kah lo Moab kolken ah rhaeh uh.
49 Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.
Jordan kah Moab kolken ah te Bethjeshimoth lamloh Abelshittim duela rhaeh uh.
50 Katika tambarare za Moabu kando ya Yordani kuvukia Yeriko, Bwana akamwambia Mose,
Jerikho Jordan kah Moab kolken ah BOEIPA loh Moses te a voek tih,
51 “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani,
“Israel ca rhoek te voek lamtah amih te thui pah. Nangmih Kanaan khohmuen la Jordan te kat uh.
52 wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada.
Te vaengah khohmuen kah khosa boeih te na mikhmuh lamloh haek uh. Amih kah ngaihlihnah cungkuem te thup uh lamtah a mueihlawn mueihlip boeih te khaw thup uh. Amih kah hmuensang boeih te khaw tulh uh.
53 Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.
Khohmuen te pang uh lamtah a khuiah khosa uh. Khohmuen te pang hamla nangmih taengah kam paek coeng.
54 Mtaigawanya nchi hiyo kwa kupiga kura, kufuatana na koo zenu. Kwa kundi kubwa zaidi toa urithi mkubwa zaidi, na kwa kundi dogo zaidi urithi mdogo zaidi. Chochote kinachowaangukia kwa kura kitakuwa chao. Mtaigawanya nchi kufuatana na makabila ya babu zenu.
Khohmuen te hmulung neh tael uh. Nangmih kah koca aka ping ham tah a rho te kum sak lamtah a sii ham tah a rho te sih pah. Amah ham hmulung dongah a naan te tah anih ham om pawn vetih na pa rhoek kah koca tarhing ah pang uh.
55 “‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi.
Khohmuen kah khosa rhoek te na mikhmuh lamloh na haek uh pawt atah amih lamkah na sueng sak uh te nangmih mik ah miktlaeh banlga, nangmih kaep ah tlaeh la om ni. A khuikah kho na sak nah khohmuen ah nangmih te n'daengdaeh uh ni.
56 Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’”
Amih taengah saii ham ka cai vanbangla nangmih taengah khaw ka saii ni,” a ti nah.

< Hesabu 33 >