< Hesabu 32 >

1 Kabila la Wareubeni na Wagadi, waliokuwa na makundi makubwa ya ngʼombe, kondoo na mbuzi, waliona kuwa nchi ya Yazeri na nchi ya Gileadi ni nzuri kwa mifugo.
Ita, addaan dagiti kaputotan ni Ruben ken ni Gad kadagiti adu a taraken. Idi nakitada ti daga ti Jazer ken Galaad, nasayaat ti daga para kadagiti taraken.
2 Hivyo walimjia Mose, na kuhani Eleazari na viongozi wa jumuiya, na kuwaambia,
Isu nga immay dagiti kaputotan ni Gad ken ni Ruben ket nagsaoda kenni Moises, kenni Eleazar a padi, ken kadagiti mangidadaulo kadagiti tattao. Kinunada,
3 “Atarothi, Diboni, Yazeri, Nimra, Heshboni, Eleale, Sebamu, Nebo na Beoni,
“Atarot, Dibon, Jazer, Nimra, Hesbon, Eleale, Sibma, Nebo, ken Beon,
4 nchi ambayo Bwana ameishinda mbele ya wana wa Israeli, inafaa kwa mifugo, nao watumishi wako wana mifugo.
dagiti daga a rinaut ni Yahweh iti sangoanan dagiti tattao ti Israel ket napipintas a lugar para kadagiti taraken. Addaankami nga adipenmo kadagiti adu a taraken.”
5 Kama tumepata kibali mbele ya macho yako, nchi hii na ipewe watumishi wako kama milki yetu. Usitufanye tuvuke Yordani.”
Kinunada, “No nakasarakkami iti pabor iti imatangmo, maited koma daytoy a daga kadakami nga adipenmo, a kas sanikuami. Saandakami a pagballasiwen iti Jordan.”
6 Mose akawaambia Wagadi na Wareubeni, “Je, watu wa nchi yenu watakwenda vitani wakati ninyi mmeketi hapa?
Simmungbat ni Moises kadagiti kaputotan ni Gad ken ni Ruben, “Rumbeng kadi a mapan makigubat dagiti kakabsatyo bayat nga agnaedkayo ditoy?
7 Kwa nini mmewakatisha Waisraeli tamaa wasivuke katika nchi ambayo Bwana amewapa?
Apay nga upayenyo dagiti puso dagiti tattao ti Israel a mapan iti daga nga inted ni Yahweh kadakuada?
8 Hivi ndivyo baba zenu walivyofanya wakati nilipowatuma kutoka Kadesh-Barnea kuipeleleza nchi.
Agpada ti inaramid dagiti ammayo idi imbaonko ida manipud Kadish Barnea a mangsukimat iti daga.
9 Baada ya kufika kwenye Bonde la Eshkoli na kuitazama nchi, waliwakatisha tamaa Waisraeli wasiingie katika nchi ambayo Bwana alikuwa amewapa.
Simmang-atda idiay tanap ti Eskol. Nakitada ti daga ket inupayda dagiti puso dagiti tattao ti Israel tapno agkedkedda a sumrek iti daga nga ited ni Yahweh kadakuada.
10 Siku ile hasira ya Bwana iliwaka naye akaapa kiapo hiki:
Simged ti pungtot ni Yahweh iti dayta nga aldaw. Nagsapata isuna ket kinunana,
11 ‘Kwa kuwa hawakunifuata kwa moyo wote, hakuna mtu yeyote mwenye miaka ishirini au zaidi ambaye alikuja kutoka Misri atakayeona nchi niliyoahidi kwa kiapo kwa Abrahamu, Isaki na Yakobo;
'Awan duadua nga awan kadagiti tattao a simmang-at manipud Egipto, manipud iti agtawen iti 20 nga agpangato, ti makakitanto iti daga nga inkarik kada Abraham, Isaac, ken ni Jacob, gapu ta saandak a sinurot, malaksid kenni
12 hakuna hata mmoja isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni, kwa sababu walimfuata Bwana kwa moyo wote.’
Caleb nga anak ni Jefone a Kenezeo ken ni Josue nga anak ni Nun. Ni laeng Caleb ken ni Josue ti naan-anay a nangsurot kaniak.'
13 Hasira ya Bwana iliwaka dhidi ya Waisraeli na akawafanya watangetange katika jangwa kwa miaka arobaini, mpaka kizazi chote cha wale waliofanya maovu mbele yake kimeangamia.
Isu a simged ti pungtot ni Yahweh maibusor iti Israel. Pinagalla-allana ida idiay let-ang iti 40 a tawen agingga a nadadael dagiti amin a henerasion a nakaaramid iti dakes iti imatangna.
14 “Nanyi mko hapa, uzao wa wenye dhambi, mkisimamia mahali pa baba zenu na mkimfanya Bwana kuwakasirikia Waisraeli hata zaidi.
Kitaenyo, dimmakkelkayo iti lugar dagiti ammayo, a kasla kadagiti ad-adda a managbasol a tattao, a mangrubrob iti umap-apoy a pungtot ni Yahweh iti Israel.
15 Kama mkigeuka na mkiacha kumfuata, atawaacha tena watu hawa wote jangwani, na mtakuwa sababu ya maangamizi yao.”
No umadayokayo iti panangsurotyo kenkuana, panawannanto manen ti Israel idiay let-ang ket dadaelenyonto amin dagitoy a tattao.”
16 Ndipo wakamjia Mose na kumwambia, “Tungalitaka kujenga mazizi hapa kwa ajili ya mifugo yetu na miji kwa ajili ya wanawake wetu na watoto.
Isu nga immasidegda kenni Moises ket kinunada, “Palubosannakami nga agaramid kadagiti alad ditoy para kadagiti ayupmi ken siudad para kadagiti pamiliami.
17 Lakini sisi tuko tayari kuchukua silaha zetu na kutangulia mbele ya Waisraeli mpaka tutakapowaleta mahali pao. Wakati huo wanawake wetu na watoto wataishi katika miji yenye ngome, kwa ajili ya ulinzi dhidi ya wenyeji wa nchi.
Nupay kasta, nakasaganakami a makigubat a kaduami ti armada ti Israel agingga a maiturongmi ida iti lugarda. Ngem agnaed dagiti pamiliami kadagiti natalged a siudad gapu kadagiti sabali a tattao nga agnanaed pay laeng iti daytoy a daga.
18 Hatutarudi nyumbani mwetu mpaka kila Mwisraeli apokee urithi wake.
Saankami nga agsubli kadagiti pagtaenganmi agingga a saan a naawat dagiti tattao ti Israel, tunggal tao ti tawidna.
19 Hatutapokea urithi wowote pamoja nao ngʼambo ya Yordani, kwa sababu urithi wetu umekuja kwetu upande wa mashariki ya Yordani.”
Saankami a makipagtawid kadakuada iti daga nga adda iti ballasiw ti Jordan, gapu ta ti tawidmi ket adda ditoy daya a paset ti Jordan.”
20 Kisha Mose akawaambia, “Kama mtafanya jambo hili, kama mtajivika silaha mbele za Bwana kwa ajili ya vita,
Isu a simmungbat ni Moises kadakuada, “No aramidenyo ti imbagayo, no agarmaskayo a mapan makiranget iti imatang ni Yahweh,
21 na kama ninyi nyote mtakwenda mmejivika silaha ngʼambo ya Yordani mbele za Bwana mpaka awe amewafukuza adui zake mbele zake,
masapul ngarud a bumallasiw ti tunggal maysa kadagiti nakasagana a lallakiyo iti Jordan iti imatang ni Yahweh, agingga a mapagtalawna dagiti kabusorna manipud iti imatangna
22 hadi wakati nchi itakapokuwa imeshindwa mbele za Bwana, ndipo mtaweza kurudi na kuwa huru kutoka masharti yenu kwa Bwana na Israeli. Nayo nchi hii itakuwa milki yenu mbele za Bwana.
ken matagikuana ti daga. Ket kalpasanna mabalinyon ti agsubli. Saankayon a nakabasol kenni Yahweh ken iti Israel. Agbalinto a sanikuayo daytoy a daga iti imatang ni Yahweh.
23 “Lakini mkishindwa kufanya hili, mtakuwa mnatenda dhambi dhidi ya Bwana; nanyi kuweni na hakika kuwa dhambi yenu itawapata.
Ngem no saanyo nga aramiden ti imbagayo, kitaenyo, agbasolkayo kenni Yahweh. Siguradoenyo a birukennakayo ti basolyo.
24 Jengeni miji kwa ajili ya wanawake na watoto wenu, na mazizi kwa ajili ya mbuzi na kondoo zenu, lakini fanyeni yale mliyoahidi.”
Mangaramidkayo kadagiti siudad para kadagiti pamiliayo ken pagapunan para kadagiti karneroyo; ket aramidenyo ti imbagayo.”
25 Wagadi na Wareubeni wakamwambia Mose, “Sisi watumishi wako tutafanya kama bwana wetu anavyotuagiza.
Nagsao kenni Moises dagiti kaputotan ni Gad ken ni Ruben ket kinunada, “Aramiden dagiti adipenmo dagiti imbilinmo nga amomi.
26 Watoto na wake zetu, makundi ya mbuzi na kondoo, na makundi ya ngʼombe zetu, watabaki hapa katika miji ya Gileadi.
Agnaed kadagiti siudad ti Galaad dagiti ubbingmi, dagiti assawami, dagiti arbanmi, ken dagiti amin a dingwenmi.
27 Lakini watumishi wenu, kila mwanaume aliyevaa silaha za vita, watavuka ngʼambo kupigana mbele za Bwana, sawa kama bwana wetu anavyosema.”
Nupay kasta, dakami nga adipenmo ket bumallasiw a makiranget iti imatang ni Yahweh, tunggal lalaki a nakaarmas a makigubat, kas imbagam nga amomi.”
28 Kisha Mose akatoa amri kuhusu wao kwa kuhani Eleazari, na Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa jamaa za makabila ya Waisraeli.
Isu a binilin ni Moises ni Eleazar a padi, ni Josue nga anak ni Nun ken dagiti mangidadaulo kadagiti puli dagiti kapuonan kadagiti tribu dagiti tattao ti Israel maipanggep kadakuada.
29 Mose akawaambia, “Ikiwa Wagadi na Wareubeni, kila mwanaume aliyevaa silaha za vita, atavuka Yordani pamoja nanyi mbele za Bwana, basi wakati mtakapoishinda nchi iliyoko mbele yenu, wapeni nchi ya Gileadi kama milki yao.
Kinuna ni Moises kadakuada, “No makiballasiw kadakayo idiay Jordan dagiti kaputotan ni Gad ken ni Ruben, tunggal lalaki a nakasagana a makigubat iti imatang ni Yahweh, ken no natagikuayo ti daga, ket itedyo kadakuada ti daga ti Galaad a kas sanikuada.
30 Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa wamevaa silaha za vita, lazima wakubali kupokea milki yao pamoja nanyi katika nchi ya Kanaani.”
Ngem no saanda a makiballasiw kadakayo a nakaarmas a makigubat, ket makibingaydanto kadakayo kadagiti sanikua iti daga ti Canaan.”
31 Wagadi na Wareubeni wakajibu, “Watumishi wako watafanya lile Bwana alilosema.
Isu a simmungbat dagiti kaputotan ni Gad ken Ruben ket kinunada, “Kas imbaga ni Yahweh kadakami nga adipenmo, daytoy ti aramidenmi.
32 Tutavuka mbele za Bwana kuingia Kanaani tukiwa tumevaa silaha za vita, lakini mali tutakayoirithi itakuwa ngʼambo hii ya Yordani.”
Bumallasiwkami a nakaarmas a makigubat iti imatang ni Yahweh iti daga ti Canaan, ngem makipagtalinaed kadakami dagiti natagikuami a tawid iti daytoy a paset ti Jordan.”
33 Kisha Mose akawapa Wagadi, Wareubeni, na nusu ya kabila la Manase mwana wa Yosefu ufalme wa Sihoni mfalme wa Waamori, na ufalme wa Ogu mfalme wa Bashani, nchi yote pamoja na miji yake, na nchi inayowazunguka.
Isu nga inted ni Moises kadagiti kaputotan ni Gad ken Ruben, ken kasta met iti guddua a tribu ni Manases nga anak ni Jose ti pagarian ni Sihon, nga ari dagiti Amorreo, ken ni Og nga ari ti Basan. Intedna kadakuada ti daga, ken inwarasna kadakuada dagiti amin a siudad agraman dagiti beddengda, dagiti siudad iti daga a nakapalikmut kadakuada.
34 Wagadi wakajenga Diboni, Atarothi, Aroeri,
Binangon manen dagiti kaputotan ni Gad ti Dibon, Atarot, Aroer,
35 Atroth-Shofani, Yazeri, Yogbeha,
Atrot Sofan, Jazer, Jogbeha,
36 Beth-Nimra na Beth-Harani kama miji iliyozungushiwa ngome, tena wakajenga mazizi kwa ajili ya makundi yao ya mbuzi na kondoo.
Bet Nimra, ken Bet Haran a kas natalged a siudad nga addaan kadagiti pagapunan para kadagiti karnero.
37 Nao Wareubeni wakajenga upya miji ya Heshboni, Eleale na Kiriathaimu,
Binangon manen dagiti kaputotan ni Ruben ti Hesbon, Eleale, Kiriataim,
38 pia Nebo na Baal-Meoni (majina ya hiyo miji yalibadilishwa) na Sibma. Miji waliyoijenga upya waliipa majina.
Nebo, Baal Meon—nabaliwan dagiti naganda, ken Sibma. Pinanagananda iti sabali a nagan dagiti siudad a binangonda.
39 Wazao wa Makiri mwana wa Manase walikwenda Gileadi, wakaiteka nchi na kuwafukuza Waamori waliokuwa huko.
Napan dagiti kaputotan ni Makir nga anak ni Manases idiay Galaad ket sinakupda daytoy kadagiti Amorreo nga adda iti daytoy.
40 Kwa hiyo Mose akawapa Wamakiri, wazao wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa huko.
Ket inted ni Moises ti Galaad kenni Makir nga anak ni Manases, ket nagnaed dagiti tattaona sadiay.
41 Yairi, mzao wa Manase, akateka makao yao, akayaita Hawoth-Yairi.
Napan ni Jair nga anak ni Manases ket sinakupna dagiti ili iti dayta a lugar ket pinanagananna dagitoy iti Havvoth Jair.
42 Naye Noba akateka Kenathi na makao yaliyoizunguka, akayaita Noba kwa jina lake.
Napan ni Noba ket sinakupna ti Kenat ken dagiti barrio iti daytoy a lugar, ket impanaganna iti daytoy ti naganna a Noba.

< Hesabu 32 >