< Hesabu 32 >
1 Kabila la Wareubeni na Wagadi, waliokuwa na makundi makubwa ya ngʼombe, kondoo na mbuzi, waliona kuwa nchi ya Yazeri na nchi ya Gileadi ni nzuri kwa mifugo.
Liubene fi amola Ga: de fi ilia ohe fofoi da bagohamedafa. Ilia da Ya: isa amola Gilia: de soge da ohe fofomu noga: idafa ba: beba: le,
2 Hivyo walimjia Mose, na kuhani Eleazari na viongozi wa jumuiya, na kuwaambia,
ilia da Mousese, Elia: isa amola Isala: ili ouligisu dunu ilima asili, amane sia: i,
3 “Atarothi, Diboni, Yazeri, Nimra, Heshboni, Eleale, Sebamu, Nebo na Beoni,
“Hina Gode da fidibiba: le, Isala: ili dunu da amo soge (moilai A: dalode, Daibone, Ya: isa, Nimila, Hesiabone, Ilia: ile, Sibima, Nibou amola Bione) amo huluane fedelai dagoi. Amola ninia ba: loba amo soge da ohe fofomu noga: idafa ba: sa.
4 nchi ambayo Bwana ameishinda mbele ya wana wa Israeli, inafaa kwa mifugo, nao watumishi wako wana mifugo.
5 Kama tumepata kibali mbele ya macho yako, nchi hii na ipewe watumishi wako kama milki yetu. Usitufanye tuvuke Yordani.”
Amaiba: le, ninia dilima edegesa. Ninia gaguli fima: ne, amo soge ninima ima. Nini da Yodane Hano degele, na: iyadodili amo lale fima: ne mae sia: ma.”
6 Mose akawaambia Wagadi na Wareubeni, “Je, watu wa nchi yenu watakwenda vitani wakati ninyi mmeketi hapa?
Mousese da bu adole i, “Dilia fidafa Isala: ili dunu da gegena ahoasea, dilia da guiguda: esalumu da defeala: ?
7 Kwa nini mmewakatisha Waisraeli tamaa wasivuke katika nchi ambayo Bwana amewapa?
Isala: ili dunu da Yodane Hano degele, soge amo Hina Gode da ilima ilegele i, amo ganodini fimu. Dilia da abuliba: le ili dogoa da: i dioma: ne sia: sala: ?
8 Hivi ndivyo baba zenu walivyofanya wakati nilipowatuma kutoka Kadesh-Barnea kuipeleleza nchi.
Dilia musa: ada ilia agoane hamoi. Na da Ga: idesie Bania amogawi ili Ga: ina: ne soge hogoma: ne, asunasi.
9 Baada ya kufika kwenye Bonde la Eshkoli na kuitazama nchi, waliwakatisha tamaa Waisraeli wasiingie katika nchi ambayo Bwana alikuwa amewapa.
Ilia da asili, soge hogolalu, Esiegole Fago amoga doaga: i. Be ilia da buhagili, Isala: ili dunu da soge amo Hina Gode da ilima i, amo ganodini mae masa: ne, ilia dogo ganodini da: i dioma: ne egane sia: i.
10 Siku ile hasira ya Bwana iliwaka naye akaapa kiapo hiki:
Amo esoga, Hina Gode da ougi ba: i. E da amane ilegele sia: i,
11 ‘Kwa kuwa hawakunifuata kwa moyo wote, hakuna mtu yeyote mwenye miaka ishirini au zaidi ambaye alikuja kutoka Misri atakayeona nchi niliyoahidi kwa kiapo kwa Abrahamu, Isaki na Yakobo;
‘Na da dafawane ilegele sia: sa. Dunu huluane amo da Idibidi sogega misi amola lalelegesu ode 20 fisiagai amola amo ode idi baligili esala, ilia da soge amo Na da A: ibalaha: me, Aisage amola Ya: igobe ilima ima: ne ilegele sia: i, ilia da amo ganodini hamedafa masunu. Bai ilia da Nama hagai galu.’
12 hakuna hata mmoja isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni, kwa sababu walimfuata Bwana kwa moyo wote.’
Amo da Isala: ili asigilai dunu huluanedafa. Be Ga: ilebe (Yifane, Ginesaide dunu amo egefe) amola Yosiua (Nane egefe) ela fawane da ganodini masunu. Bai ela fawane da Hina Godema hame hagai galu.
13 Hasira ya Bwana iliwaka dhidi ya Waisraeli na akawafanya watangetange katika jangwa kwa miaka arobaini, mpaka kizazi chote cha wale waliofanya maovu mbele yake kimeangamia.
Hina Gode da Isala: ili dunu ilima ougi galu. Ea hamobeba: le, ilia da wadela: i hafoga: i soge amo ganodini ode 40 agoane udigili lalu. Amalalu, dunu huluanedafa da Ema ougima: ne hamoiba: le, ili da bogogia: i dagoi ba: i.
14 “Nanyi mko hapa, uzao wa wenye dhambi, mkisimamia mahali pa baba zenu na mkimfanya Bwana kuwakasirikia Waisraeli hata zaidi.
Amola wali dilia da ilia sogebi lai dagoi. Dilia da wadela: i fi gaheabolo amola dilia hame nabasu hou hamomuba: le, Hina Gode da bu Isala: ili fi ilima mihanane ougimu.
15 Kama mkigeuka na mkiacha kumfuata, atawaacha tena watu hawa wote jangwani, na mtakuwa sababu ya maangamizi yao.”
Dilia Liubene amola Ga: de fi dunu da wali Ema fa: no bobogemu higasea, E da bu Isala: ili dunu huluane wadela: i hafoga: i soge ganodini udigili laloma: ne yolesimu. Amola ilia da gugunufinisi dagoi ba: mu. Bai dilia hamobeba: le.”
16 Ndipo wakamjia Mose na kumwambia, “Tungalitaka kujenga mazizi hapa kwa ajili ya mifugo yetu na miji kwa ajili ya wanawake wetu na watoto.
Liubene amola Ga: de dunu da Mousesema misini, amane sia: i, “Ninia bisili ninia sibi gaga: ma: ne, gelega gagoma: ne amola ninia sosogo fi esaloma: ne osobo dogomusa: , logo doasima.
17 Lakini sisi tuko tayari kuchukua silaha zetu na kutangulia mbele ya Waisraeli mpaka tutakapowaleta mahali pao. Wakati huo wanawake wetu na watoto wataishi katika miji yenye ngome, kwa ajili ya ulinzi dhidi ya wenyeji wa nchi.
Amasea, ninia da ninia Isala: ili fi eno ilima gilisili gegemusa: masunu. Ninia da ilia doagala: su amo bisili masunu amola mae fisili, ilia da ilia sogedafa amo lale fi dagosea fawane buhagimu. Be ninia da amo gegemusa: ahoasea, ninia uda amola mano da goeguda: gagili sali moilai amo ganodini esalumu. Ilia amogawi fi dunu amoga hahawane gaga: i dagoi ba: mu.
18 Hatutarudi nyumbani mwetu mpaka kila Mwisraeli apokee urithi wake.
Ninia da ninia diasudafa amoguda: hedolo hame buhagimu. Be Isala: ili dunu oda ilia huluane da ilima ilegei soge amo lai dagobeba: le fawane buhagimu.
19 Hatutapokea urithi wowote pamoja nao ngʼambo ya Yordani, kwa sababu urithi wetu umekuja kwetu upande wa mashariki ya Yordani.”
Ilia da Yodane Hano na: iyadodili soge lasea, ninia da hame lamu. Bai ninia da Yodane Hano eso midadi heda: su gusudili lai dagoi.”
20 Kisha Mose akawaambia, “Kama mtafanya jambo hili, kama mtajivika silaha mbele za Bwana kwa ajili ya vita,
Mousese da bu adole i, “Dilia adomusa: fawane hanai galea, guiguda: Hina Gode ba: ma: ne, dilia gegena masusa: momagema!
21 na kama ninyi nyote mtakwenda mmejivika silaha ngʼambo ya Yordani mbele za Bwana mpaka awe amewafukuza adui zake mbele zake,
Dilia gegesu dunu huluane da Yodane Hano degemu. Amasea, Hina Gode da ili ouligimu. Ilia da ilia ha lai amo doagala: le, amola Hina Gode da ili hasalili,
22 hadi wakati nchi itakapokuwa imeshindwa mbele za Bwana, ndipo mtaweza kurudi na kuwa huru kutoka masharti yenu kwa Bwana na Israeli. Nayo nchi hii itakuwa milki yenu mbele za Bwana.
ilia soge huluane lale gagamu. Amalalu, dilia buhagimu da defea. Bai dilia da dia Hina Godema amola dilia Isala: ili fi hamoma: ne ilegei amo hamoi dagoi ba: mu. Amasea, Hina Gode da amo soge Yodane Hano eso midadi heda: su gusudili gala, da dilia sogedafa sia: mu.
23 “Lakini mkishindwa kufanya hili, mtakuwa mnatenda dhambi dhidi ya Bwana; nanyi kuweni na hakika kuwa dhambi yenu itawapata.
Be na da dilima sisasu olelesa. Dilia da dilia hamomusa: sia: i ilegei amo giadofale hamosea, dilia Hina Godema wadela: le hamoi dagoi ba: mu. Sia: noga: le dawa: ma! Dilia wadela: i hou hamosea, Hina Godema wamolegemu da hamedei ba: mu.
24 Jengeni miji kwa ajili ya wanawake na watoto wenu, na mazizi kwa ajili ya mbuzi na kondoo zenu, lakini fanyeni yale mliyoahidi.”
Amaiba: le, dilia moilai dogoma amola sibi gagoi hamoma. Be dilia hamomusa: ilegele sia: i, amo noga: le hamoma.”
25 Wagadi na Wareubeni wakamwambia Mose, “Sisi watumishi wako tutafanya kama bwana wetu anavyotuagiza.
Ga: de amola Liubene fi dunu da Mousesema amane sia: i, “Hina! Ninia da dia hamoma: ne sia: i defele hamomu.
26 Watoto na wake zetu, makundi ya mbuzi na kondoo, na makundi ya ngʼombe zetu, watabaki hapa katika miji ya Gileadi.
Ninia uda, mano, bulamagau amola sibi da Gilia: de soge moilai goeguda: esaloma: mu.
27 Lakini watumishi wenu, kila mwanaume aliyevaa silaha za vita, watavuka ngʼambo kupigana mbele za Bwana, sawa kama bwana wetu anavyosema.”
Be ninia huluane da Hina Godema fa: no bobogele gegemusa: momageiwane esala. Ninia da dia sia: i defele, Yodane Hano degele, gegena masunu.”
28 Kisha Mose akatoa amri kuhusu wao kwa kuhani Eleazari, na Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa jamaa za makabila ya Waisraeli.
Amaiba: le, Mousese da Elia: isa, Yosiua amola eno Isala: ili ouligisu dunu ilima amane hamoma: ne sia: i,
29 Mose akawaambia, “Ikiwa Wagadi na Wareubeni, kila mwanaume aliyevaa silaha za vita, atavuka Yordani pamoja nanyi mbele za Bwana, basi wakati mtakapoishinda nchi iliyoko mbele yenu, wapeni nchi ya Gileadi kama milki yao.
“Ga: de amola Liubene fi dunu da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: sea, amola gegemusa: Yodane Hano degesea, amola ilia da dili fidisia, amola Ga: ina: ne soge fi hasalasea, Gilia: de soge amo ilia gagulaligima: ne ilima ima.
30 Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa wamevaa silaha za vita, lazima wakubali kupokea milki yao pamoja nanyi katika nchi ya Kanaani.”
Be ilia da dili gilisili gegemusa: Yodane Hano hame degesea, defea, ilia da dili defele Ga: ina: ne soge ganodini ilima ilegei soge mogi amo lamu.”
31 Wagadi na Wareubeni wakajibu, “Watumishi wako watafanya lile Bwana alilosema.
Ga: de amola Liubene fi dunu da bu adole i, “Hina! Ninia da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i amo defele hamomu.
32 Tutavuka mbele za Bwana kuingia Kanaani tukiwa tumevaa silaha za vita, lakini mali tutakayoirithi itakuwa ngʼambo hii ya Yordani.”
Ninia da guiguda: Yodane Hano eso midadi heda: su gusudili soge amo gagulaligima: ne, Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i amo fa: no bobogele, Yodane Hano degele, Ga: ina: ne soge fi dunuma gegemusa: masunu.”
33 Kisha Mose akawapa Wagadi, Wareubeni, na nusu ya kabila la Manase mwana wa Yosefu ufalme wa Sihoni mfalme wa Waamori, na ufalme wa Ogu mfalme wa Bashani, nchi yote pamoja na miji yake, na nchi inayowazunguka.
Amaiba: le, Mousese da Ga: de amola Liubene fi amola Ma: na: se fi dogoa mogi la: idili, ilima A: moulaide hina bagade Saihone amola Ba: isia: ne hina bagade Oge amo ela soge huluane ilima ilegele i. E da amo soge ea moilai huluane amola soge amoga sisiga: le diala, amo huluane ilima i.
34 Wagadi wakajenga Diboni, Atarothi, Aroeri,
Ga: de fi dunu da musa: gagili sali moilai mugului (amo Daibone, A:dalode, Aloua, A:dalodi Sioufa: ne, Ya: isa, Yogebiha, Bede Nimila, amola Bede Ha: ila: ne) amo huluane bu hiougi.
35 Atroth-Shofani, Yazeri, Yogbeha,
36 Beth-Nimra na Beth-Harani kama miji iliyozungushiwa ngome, tena wakajenga mazizi kwa ajili ya makundi yao ya mbuzi na kondoo.
37 Nao Wareubeni wakajenga upya miji ya Heshboni, Eleale na Kiriathaimu,
Liubene fi dunu da moilai amo Hesiabone, Ilia: ile, Giliada: ime, Nibou, Ba: ile Mione amola Sibima bu gagui. Ilia da moilai huluane amo ilia bu gagui amoma dio gaheabolo asuli.
38 pia Nebo na Baal-Meoni (majina ya hiyo miji yalibadilishwa) na Sibma. Miji waliyoijenga upya waliipa majina.
39 Wazao wa Makiri mwana wa Manase walikwenda Gileadi, wakaiteka nchi na kuwafukuza Waamori waliokuwa huko.
Ma: ige (Ma: na: se egefe) amo ea fi da Gilia: de soge doagala: le, golili sa: ili, gesowale lai. Ilia da A: moulaide dunu amogawi esalu amo gadili sefasi.
40 Kwa hiyo Mose akawapa Wamakiri, wazao wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa huko.
Amaiba: le, Mousese da Gilia: de soge amo Ma: ige fi ilima i. Amola ilia da amogawi esalu.
41 Yairi, mzao wa Manase, akateka makao yao, akayaita Hawoth-Yairi.
Ya: ie (Ma: na: se fi dunu) da moilai mogili doagala: le lai. E da amo moilai amoma ‘Ya: ie ea Moilai’ dio asuli.
42 Naye Noba akateka Kenathi na makao yaliyoizunguka, akayaita Noba kwa jina lake.
Nouba da Gina: de moilai bai bagade amola moilai huluane amoga sisiga: le dialu, amo doagala: le gesowale lai. E da Gina: de moilai amoma hina: dio Nouba amo asuli.