< Hesabu 31 >

1 Bwana akamwambia Mose,
Nagsao ni Yahweh kenni Moises ket kinunana,
2 “Uwalipize kisasi Wamidiani kwa ajili ya Waisraeli. Halafu baada ya hayo, utakufa.”
“Ibalsam dagiti tattao ti Israel a maibusor kadagiti Medianita. Kalpasan a maaramidmo dayta, matayka ket maitiponkanto kadagiti tattaom.”
3 Kwa hiyo Mose akawaambia watu, “Waandaeni baadhi ya wanaume wenu waende vitani kupigana na Wamidiani ili wawalipize kisasi cha Bwana.
Isu a nagsao ni Moises kadagiti tattao. Kinunana, “Armasanyo dagiti sumagmamano a lallakiyo para iti gubat tapno mabalinda a makiranget iti Median ket ipatungpalda ti panangibales ni Yahweh iti daytoy.
4 Peleka wanaume 1,000 vitani kutoka kila kabila la Israeli.”
Masapul a mangibaon ti tunggal tribu iti entero nga Israel iti 1000 a soldado a makigubat.”
5 Kwa hiyo waliandaliwa wanaume 12,000 kwa vita, wanaume 1,000 kutoka kila kabila, walitolewa kutoka koo za Israeli.
Isu a manipud kadagiti rinibribu a lallaki ti Israel, adda ti 1000 a soldado a makigubat manipud iti tunggal tribu, 12, 000 a lallaki amin.
6 Mose aliwatuma vitani, watu 1,000 kutoka kila kabila, pamoja na Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, ambaye alichukua vyombo vya mahali patakatifu na tarumbeta za kuashiria.
Ket imbaon ida ni Moises a mapan makigubat, 1000 iti tunggal tribu, a kaduada ni Finees nga anak a lalaki ni Eleazar a padi, ken sumagmamano nga alikamen manipud iti nasantoan a disso ken dagiti adda kenkuana a tangguyob a pagpakdaar.
7 Walipigana dhidi ya Wamidiani, kama Bwana alivyomwagiza Mose, nao waliua kila mwanaume.
Nakirangetda iti Median, kas imbilin ni Yahweh kenni Moises. Pinatayda ti tunggal lalaki.
8 Miongoni mwa watu waliouawa walikuwepo wafalme watano wa Midiani, nao ni Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vilevile walimuua Balaamu mwana wa Beori kwa upanga.
Pinatayda dagiti ari ti Median agraman dagiti dadduma pay: da Evi, Rekem, Zur, Hur, ken Reba, dagiti lima nga ari ti Median. Pinatayda met ni Balaam nga anak a lalaki ni Beor, babaen iti kampilan.
9 Waisraeli waliwateka wanawake wa Kimidiani pamoja na watoto wao na walichukua makundi ya ngʼombe, kondoo na mali zao kama nyara.
Tiniliw dagiti armada ti Israel dagiti babbai ti Median, dagiti annakda, dagiti amin nga ayupda, amin nga arbanda, ken dagiti amin a sanikuada. Innalada dagitoy a kas sanikuada.
10 Walichoma moto miji yote ambayo Wamidiani walikuwa wanaishi, pamoja na kambi zao zote.
Pinuoranda amin a siudadda a pagnanaedanda ken dagiti amin a kampoda.
11 Walichukua nyara zote na mateka, pamoja na watu na wanyama,
Innalada dagiti amin a sanikua ken dagiti balud, dagiti tattao ken ay-ayup.
12 nao waliwaleta wafungwa mateka na nyara kwa Mose na kwa kuhani Eleazari, nao Waisraeli walikusanyika kwenye kambi zao katika tambarare za nchi ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
Impanda kenni Moises, kenni Eleazar a padi, ken kadagiti sangkagimongan dagiti tattao ti Israel dagiti balud, dagiti sanikuada, ken dagiti sinamsamda a banbanag. Impanda dagitoy iti kampo nga adda kadagiti kapatadan ti Moab, iti igid ti Jordan nga asideg idiay Jerico.
13 Mose, kuhani Eleazari na viongozi wote wa jumuiya wakatoka kuwalaki nje ya kambi.
Sinabat ida ni Moises, ni Eleasar a padi ken dagiti amin a panguloen ti siudad iti ruar ti kampo.
14 Mose aliwakasirikia maafisa wa jeshi, yaani hao wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, ambao walirudi kutoka vitani.
Ngem nakaunget ni Moises kadagiti opisial ti armada, kadagiti mangidadaulo kadagiti rinibu ken kadagiti kapitan dagiti ginasut a naggapu iti paggugubatan.
15 Mose akawauliza, “Je, mmewaacha wanawake wote hai?”
Kinuna ni Moises kadakuada, “Impalubosyo kadi nga agbiag dagiti amin a babbai?
16 “Wanawake hao ndio waliofuata ushauri wa Balaamu, nao ndio waliowasababisha Waisraeli wamwasi Bwana kwa kile kilichotokea kule Peori, na kwa hiyo pigo liliwapata watu wa Bwana.
Kitaenyo, dagitoy a babbai ti makagapu a nagbasol dagiti tattao ti Israel maibusor kenni Yahweh babaen kadagiti pammagbaga ni Balaam iti kaaddada idiay Peor, idi nagwaras ti didigra kadagiti tattao ni Yahweh.
17 Sasa waue wavulana wote. Pia muue kila mwanamke ambaye alikwisha fanya tendo la ndoa,
Ita ngarud, patayenyo ti tunggal ubbing a lallaki, ken patayenyo ti tunggal babai a nakikaidda iti lalaki.
18 lakini mwacheni hai kwa ajili yenu kila msichana ambaye kamwe hajawahi kuzini na mwanaume.
Ngem alaenyo para kadakayo dagiti amin a babbalasang a saan pay pulos a nakikaidda iti lalaki.
19 “Ninyi nyote ambao mmeua mtu yeyote au kumgusa mtu yeyote ambaye ameuawa, lazima mkae nje ya kambi kwa muda wa siku saba. Katika siku ya tatu na ya saba lazima mjitakase wenyewe pamoja na wafungwa wenu.
Masapul nga agkampokayo iti ruar ti kampo ti Israel iti las-ud ti pito nga aldaw. Dakayo amin a nakapatay iti siasinoman wenno nangsagid iti aniaman a natay a tao—masapul a dalusanyo ti bagiyo iti maikatlo nga aldaw ken iti maikapito nga aldaw—dakayo ken dagiti baludyo.
20 Takaseni kila vazi pamoja na kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi, kwa singa za mbuzi au kwa mti.”
Ken dalusanyo para kadagiti bagbagiyo dagiti tunggal pagan-anay, amin a naaramid manipud iti lalat ti ayup ken buok ti kalding, ken amin a naaramid iti kayo.”
21 Kisha kuhani Eleazari aliwaambia askari waliokuwa wamekwenda vitani, “Haya ndiyo matakwa ya sheria ambayo Bwana alimpa Mose:
Kinuna ni Eleasar a padi kadagiti soldado a napan nakigubat, “Daytoy ket linteg nga inted ni Yahweh kenni Moises:
22 Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati, risasi,
Dagiti balitok, pirak, bronse, landok, lata ken buli,
23 na kitu kingine chochote ambacho kinaweza kuhimili moto lazima mkipitishe kwenye moto, kisha kitakuwa safi. Lakini ni lazima pia kitakaswe kwa maji ya utakaso. Kitu chochote kisichoweza kuhimili moto lazima kipitishwe kwenye yale maji ya utakaso.
ken amin dagiti saan a mabalin a maipuor ket masapul nga ipuoryo ket agbalin daytoy a nadalus. Masapul a dalusanyo dagitoy a banbanag babaen iti danum a pangdalus. Aniaman a saan a mabalin a maipuor, masapul a dalusanyo babaen iti dayta a danum.
24 Katika siku ya saba fueni nguo zenu, nanyi mtakuwa safi. Kisha mtaweza kuingia kambini.”
Ken masapul a labaanyo dagiti kawesyo iti maikapito nga aldaw, ket agbalinkayonto a nadalus. Kalpasanna, mabalinyon a sumrek iti kampo ti Israel.”
25 Bwana akamwambia Mose,
Ket nagsao ni Yahweh kenni Moises ket kinunana,
26 “Wewe na kuhani Eleazari pamoja na viongozi wa jamaa ya jumuiya mtahesabu watu wote na wanyama ambao walitekwa.
“Bilangenyo dagiti amin a nasamsam a banbanag, dagiti tattao ken dagiti ay-ayup. Sika Eleazar a padi, ken dagiti mangidadaulo kadagiti puli dagiti kapuonan dagiti tattao,
27 Gawanyeni hizo nyara kati ya askari ambao walishiriki katika vita na kwa jumuiya.
masapul a bingayenyo iti dua a paset dagiti nasamsam a banbanag. Bingayenyo daytoy kadagiti soldado a napan nakigubat ken kadagiti amin a tattao.
28 Kutoka fungu la wale waliokwenda kupigana vitani, tenga kama ushuru kwa ajili ya Bwana kitu kimoja kati ya kila mia tano, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo au mbuzi.
Ket agurnongkayo iti buis a maited kaniak manipud kadagiti soldado a napan nakigubat. Daytoy a buis ket masapul a maysa iti tunggal 500, kadagiti tao man, baka, asno karnero wenno kalding.
29 Chukua ushuru huu kutoka fungu lao, umpe kuhani Eleazari kama sehemu ya Bwana.
Alaenyo dagitoy a buis iti bingayda ket itedyo kenni Eleazar a padi para iti daton a maidatag kaniak.
30 Kutoka fungu la Waisraeli, chukua kitu kimoja kati ya kila hamsini, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo, mbuzi au wanyama wengine. Hivyo uwape Walawi, ambao wanawajibika kutunza Maskani ya Bwana.”
Kasta met iti kagudua a bingay dagiti Israelita, masapul a mangalakayo iti maysa iti tunggal 50—manipud kadagiti tattao, baka, asno, karnero, ken kalding. Itedyo dagitoy kadagiti Levita a mangay-aywan iti tabernakulok.”
31 Kwa hiyo Mose na kuhani Eleazari wakafanya kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Inaramid ngarud ni Moises ken ni Eleazar ti imbilin ni Yahweh kenni Moises.
32 Nyara zilizobaki kutoka mateka ambayo askari walichukua ni kondoo 675,000,
Ita, dagiti sanikua a nabati kadagiti sinamsam dagiti soldado ket 675, 000 a karnero,
33 ngʼombe 72,000,
72, 000 a baka,
34 punda 61,000,
61, 000 nga asno ken
35 na wanawake 32,000 ambao hawakumjua mume kwa kufanya tendo la ndoa.
32, 000 a babbai a saan pay a nakikaidda iti siasinoman a lalaki.
36 Nusu ya fungu la wale waliokwenda kupigana vitani lilikuwa: Kondoo 337,500
Ti kagudua a nailasin para kadagiti soldado ket agdagup iti 337, 000 a karnero.
37 ambayo ushuru kwa ajili ya Bwana ilikuwa kondoo 675;
Ti bingay ni Yahweh a kalding ket 675.
38 ngʼombe 36,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa ngʼombe 72;
Dagiti baka ket 36, 000, ket 72 ti naibuis kenni Yahweh.
39 punda 30,500 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa punda 61;
Dagiti asno ket 30, 500 ket 61 ti bingay ni Yahweh.
40 Watu 16,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa watu 32.
Dagiti tattao ket 16, 000 a babbai ken 32 ti naibuis kenni Yahweh.
41 Mose alimpa kuhani Eleazari ushuru kama sehemu ya Bwana, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Innala ni Moises ti buis nga agpaay a kas daton a maidatag kenni Yahweh. Intedna daytoy kenni Eleazar a padi, kas imbilin ni Yahweh kenni Moises.
42 Ile nusu iliyokuwa ya Waisraeli, ambayo Mose aliitenga kutoka kwa ile ya watu waliokwenda vitani,
No maipapan iti bingay dagiti tattao ti Israel nga innala ni Moises kadagiti soldado a napan nakigubat—
43 nusu iliyokuwa ya jumuiya, ilikuwa kondoo 337,500,
ti kagudua a bingay dagiti tattao ket 337, 500 a karnero,
44 ngʼombe 36,000,
36, 000 a baka,
45 punda 30,500,
30, 500 nga asno
46 na wanadamu 16,000.
ken 16, 000 a babbai.
47 Kutoka hiyo nusu iliyokuwa ya Waisraeli, Mose alichagua moja kati ya kila hamsini ya wanadamu na wanyama, kama Bwana alivyomwagiza, naye aliwapa Walawi, ambao waliwajibika kutunza Maskani ya Bwana.
Manipud iti kagudua a bingay dagiti tattao ti Israel, nangala ni Moises iti maysa iti tunggal 50, kadagiti tattao ken ay-ayup. Intedna dagitoy kadagiti Levita a mangay-aywan iti tabernakulo ni Yahweh, kas imbilin ni Yahweh kenkuana nga aramidenna.
48 Kisha maafisa waliokuwa juu ya vikosi vya jeshi, wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, walimwendea Mose
Ket dimmatag kenni Moises dagiti opisial ti armada, dagiti mangidadaulo kadagiti rinibu ken dagiti kapitan dagiti ginasut.
49 na kumwambia, “Watumishi wako wamehesabu askari walio chini ya amri yetu na hakuna hata mmoja aliyekosekana.
Kinunada kenkuana, “Binilang dagiti adipenmo dagiti soldado nga iturturayanmi, ket awan ti uray maysa a mapukpukaw.
50 Kwa hiyo tumeleta kama sadaka kwa Bwana vyombo vya dhahabu kila mmoja wetu alivyopata, yaani vikuku, bangili, pete za muhuri, vipuli na mikufu, ili kufanya upatanisho kwa ajili yetu mbele za Bwana.”
Nangiyegkami iti daton para kenni Yahweh, ti nasarakan ti tunggal lalaki ket alikamen a balitok, singsing ken purselas, pangselio a singsing, aritos, kuentas, a kas pangsubbot para kadagiti bagimi iti sangoanan ni Yahweh.”
51 Mose na kuhani Eleazari wakapokea kutoka kwao dhahabu, yaani vyombo vyote vilivyonakshiwa.
Inawat ni Moises ken ni Eleazar ti balitok manipud kadakuada ken amin dagiti nakitikitan a banbanag.
52 Dhahabu yote kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia ambavyo Mose na kuhani Eleazari walimletea Bwana kama zawadi ilikuwa shekeli 16,750
Amin a balitok kadagiti daton nga intedda kenni Yahweh—dagiti daton manipud kadagiti mangidadaulo kadagiti rinibu ken manipud kadagiti kapitan dagiti ginasut, ket agdagsen iti 16, 750 a sikel.
53 Kila askari alikuwa amejichukulia nyara zake binafsi.
Nangala ti tunggal soldado iti sanikua, tunggal lalaki para iti bukodna.
54 Mose na kuhani Eleazari walipokea dhahabu kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, wakazileta katika Hema la Kukutania kama ukumbusho kwa Waisraeli mbele za Bwana.
Innala ni Moises ken ni Eleazar a padi ti balitok kadagiti mangidadaulo kadagiti rinibu ken kadagiti kapitan dagiti ginasut. Impanda daytoy iti tabernakulo a kas palagip kadagiti Israelita para kenni Yahweh.

< Hesabu 31 >