< Hesabu 31 >
Le Seigneur parla encore à Moïse, disant:
2 “Uwalipize kisasi Wamidiani kwa ajili ya Waisraeli. Halafu baada ya hayo, utakufa.”
Venge d’abord les enfants d’Israël des Madianites, et après cela tu seras réuni à ton peuple.
3 Kwa hiyo Mose akawaambia watu, “Waandaeni baadhi ya wanaume wenu waende vitani kupigana na Wamidiani ili wawalipize kisasi cha Bwana.
Et aussitôt Moïse: Armez, dit-il, pour le combat, des hommes d’entre vous, qui puissent exercer la vengeance du Seigneur sur les Madianites.
4 Peleka wanaume 1,000 vitani kutoka kila kabila la Israeli.”
Que mille hommes de chaque tribu soient choisis du milieu d’Israël pour être envoyés à la guerre!
5 Kwa hiyo waliandaliwa wanaume 12,000 kwa vita, wanaume 1,000 kutoka kila kabila, walitolewa kutoka koo za Israeli.
Et ils donnèrent mille hommes de chaque tribu, c’est-à-dire, douze mille tout prêts pour le combat,
6 Mose aliwatuma vitani, watu 1,000 kutoka kila kabila, pamoja na Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, ambaye alichukua vyombo vya mahali patakatifu na tarumbeta za kuashiria.
Que Moïse envoya avec Phinéès, fils d’Eléazar, le prêtre; il lui remit aussi les vases saints et les trompettes pour en sonner.
7 Walipigana dhidi ya Wamidiani, kama Bwana alivyomwagiza Mose, nao waliua kila mwanaume.
Lors donc qu’ils eurent combattu contre les Madianites, et remporté la victoire, ils tuèrent tous les mâles,
8 Miongoni mwa watu waliouawa walikuwepo wafalme watano wa Midiani, nao ni Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vilevile walimuua Balaamu mwana wa Beori kwa upanga.
Et leurs rois, Evi, Recem, Sur, Hur et Rébé, cinq princes de la nation; ils tuèrent aussi par le glaive Balaam, fils de Béor.
9 Waisraeli waliwateka wanawake wa Kimidiani pamoja na watoto wao na walichukua makundi ya ngʼombe, kondoo na mali zao kama nyara.
Et ils prirent leurs femmes, leurs petits enfants, tous leurs troupeaux, tous leurs meubles; ils pillèrent tout ce qu’ils pouvaient avoir.
10 Walichoma moto miji yote ambayo Wamidiani walikuwa wanaishi, pamoja na kambi zao zote.
La flamme consuma tant les villes que les bourgades et les châteaux.
11 Walichukua nyara zote na mateka, pamoja na watu na wanyama,
Et ils enlevèrent le butin et tout ce qu’ils avaient pris, tant des hommes que des bêtes,
12 nao waliwaleta wafungwa mateka na nyara kwa Mose na kwa kuhani Eleazari, nao Waisraeli walikusanyika kwenye kambi zao katika tambarare za nchi ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
Et ils les amenèrent devant Moïse et Eléazar, le prêtre, et toute la multitude des enfants d’Israël: mais tout ce qui pouvait être à leur usage, ils le portèrent au camp dans les plaines de Moab, près du Jourdain, contre Jéricho.
13 Mose, kuhani Eleazari na viongozi wote wa jumuiya wakatoka kuwalaki nje ya kambi.
Or Moïse, Eléazar, le prêtre, et tous les princes de la synagogue, sortirent à leur rencontre hors du camp.
14 Mose aliwakasirikia maafisa wa jeshi, yaani hao wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, ambao walirudi kutoka vitani.
Et Moïse irrité contre les chefs de l’armée, les tribuns et les centurions, qui venaient de la guerre,
15 Mose akawauliza, “Je, mmewaacha wanawake wote hai?”
Dit: Pourquoi avez-vous réservé les femmes?
16 “Wanawake hao ndio waliofuata ushauri wa Balaamu, nao ndio waliowasababisha Waisraeli wamwasi Bwana kwa kile kilichotokea kule Peori, na kwa hiyo pigo liliwapata watu wa Bwana.
Ne sont-ce pas elles qui ont trompé les enfants d’Israël à la suggestion de Balaam, et vous ont fait prévariquer contre le Seigneur par le péché de Phogor, pour lequel aussi le peuple fut frappé?
17 Sasa waue wavulana wote. Pia muue kila mwanamke ambaye alikwisha fanya tendo la ndoa,
Ainsi, tuez-les tous, tout ce qui est du sexe masculin même parmi les enfants; et égorgez les femmes qui ont connu des hommes;
18 lakini mwacheni hai kwa ajili yenu kila msichana ambaye kamwe hajawahi kuzini na mwanaume.
Mais les jeunes filles et toutes les femmes vierges, réservez-les pour vous;
19 “Ninyi nyote ambao mmeua mtu yeyote au kumgusa mtu yeyote ambaye ameuawa, lazima mkae nje ya kambi kwa muda wa siku saba. Katika siku ya tatu na ya saba lazima mjitakase wenyewe pamoja na wafungwa wenu.
Et demeurez hors du camp pendant sept jours. Celui qui aura tué un homme, ou qui en aura touché un tué, sera purifié au troisième jour et au septième.
20 Takaseni kila vazi pamoja na kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi, kwa singa za mbuzi au kwa mti.”
Et dans tout le butin, qu’il y ait, soit un vêtement, soit un vase, et quelque chose de destiné aux usages, en peaux de chèvres, en poils et en bois, il sera purifié.
21 Kisha kuhani Eleazari aliwaambia askari waliokuwa wamekwenda vitani, “Haya ndiyo matakwa ya sheria ambayo Bwana alimpa Mose:
De son côté, Eléazar, le prêtre, parla ainsi aux hommes de l’armée qui avaient combattu: Voici le précepte de la loi qu’a commandé le Seigneur à Moïse:
22 Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati, risasi,
L’or, l’argent, l’airain, le fer, le plomb et l’étain,
23 na kitu kingine chochote ambacho kinaweza kuhimili moto lazima mkipitishe kwenye moto, kisha kitakuwa safi. Lakini ni lazima pia kitakaswe kwa maji ya utakaso. Kitu chochote kisichoweza kuhimili moto lazima kipitishwe kwenye yale maji ya utakaso.
Et tout ce qui peut passer par les flammes, sera purifié par le feu. Mais tout ce qui ne peut supporter le feu, sera sanctiflé par l’eau d’expiation;
24 Katika siku ya saba fueni nguo zenu, nanyi mtakuwa safi. Kisha mtaweza kuingia kambini.”
Et vous laverez vos vêtements au septième jour, et, purifiés, vous entrerez ensuite dans le camp.
25 Bwana akamwambia Mose,
Le Seigneur dit aussi à Moïse:
26 “Wewe na kuhani Eleazari pamoja na viongozi wa jamaa ya jumuiya mtahesabu watu wote na wanyama ambao walitekwa.
Faites le dénombrement de tout ce qui a été pris, depuis l’homme jusqu’à la bête, toi, Eléazar, le prêtre, et les princes du peuple,
27 Gawanyeni hizo nyara kati ya askari ambao walishiriki katika vita na kwa jumuiya.
Et tu partageras également le butin entre ceux qui ont combattu et qui sont sortis pour aller à la guerre, et tout le reste de la multitude;
28 Kutoka fungu la wale waliokwenda kupigana vitani, tenga kama ushuru kwa ajili ya Bwana kitu kimoja kati ya kila mia tano, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo au mbuzi.
Et tu sépareras la part du Seigneur de la part de ceux qui ont été à la guerre: une âme sur cinq cents, tant d’entre les hommes que d’entre les bœufs, les ânes et les brebis;
29 Chukua ushuru huu kutoka fungu lao, umpe kuhani Eleazari kama sehemu ya Bwana.
Et tu la donneras à Eléazar, le prêtre, parce que ce sont les prémices du Seigneur.
30 Kutoka fungu la Waisraeli, chukua kitu kimoja kati ya kila hamsini, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo, mbuzi au wanyama wengine. Hivyo uwape Walawi, ambao wanawajibika kutunza Maskani ya Bwana.”
Tu prendras aussi de la moitié attribuée aux enfants d’Israël, la cinquantième partie des hommes, des bœufs, des ânes, des brebis, de tous les animaux, et tu la donneras aux Lévites, qui veillent à la garde du tabernacle du Seigneur.
31 Kwa hiyo Mose na kuhani Eleazari wakafanya kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Et Moïse et Eléazar firent comme avait ordonné le Seigneur.
32 Nyara zilizobaki kutoka mateka ambayo askari walichukua ni kondoo 675,000,
Or, le butin que l’armée avait pris fut de six cent soixante-quinze mille brebis,
De soixante-douze mille bœufs,
De soixante et un mille ânes,
35 na wanawake 32,000 ambao hawakumjua mume kwa kufanya tendo la ndoa.
De trente-deux mille personnes du sexe féminin, qui n’avaient pas connu d’hommes.
36 Nusu ya fungu la wale waliokwenda kupigana vitani lilikuwa: Kondoo 337,500
Et la moitié fut donnée à ceux qui avaient été au combat: trois cent trente-sept mille cinq cents brebis,
37 ambayo ushuru kwa ajili ya Bwana ilikuwa kondoo 675;
Desquelles furent supputées pour la part du Seigneur six cent soixante-quinze brebis;
38 ngʼombe 36,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa ngʼombe 72;
Et des trente-six mille bœufs, soixante-douze bœufs;
39 punda 30,500 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa punda 61;
Des trente mille cinq cents ânes, soixante et un ânes;
40 Watu 16,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa watu 32.
Des seize mille personnes, trente-deux personnes passèrent à la part du Seigneur.
41 Mose alimpa kuhani Eleazari ushuru kama sehemu ya Bwana, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Et Moïse remit le nombre des prémices du Seigneur à Eléazar, le prêtre, comme il lui avait été ordonné,
42 Ile nusu iliyokuwa ya Waisraeli, ambayo Mose aliitenga kutoka kwa ile ya watu waliokwenda vitani,
Pris sur la moitié des enfants d’Israël, qu’il avait séparée pour ceux qui avaient été aux combats.
43 nusu iliyokuwa ya jumuiya, ilikuwa kondoo 337,500,
Mais quant à la moitié qui était échue au reste de la multitude, c’est-à-dire de trois cent trente-sept mille cinq cents brebis,
De trente-six mille bœufs,
De trente mille cinq cents ânes,
Et de seize mille personnes,
47 Kutoka hiyo nusu iliyokuwa ya Waisraeli, Mose alichagua moja kati ya kila hamsini ya wanadamu na wanyama, kama Bwana alivyomwagiza, naye aliwapa Walawi, ambao waliwajibika kutunza Maskani ya Bwana.
Moïse prit la cinquantième partie, et la donna aux Lévites, qui veillaient dans le tabernacle du Seigneur, comme l’avait ordonné le Seigneur.
48 Kisha maafisa waliokuwa juu ya vikosi vya jeshi, wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, walimwendea Mose
Et lorsque les chefs de l’armée, les tribuns et les centurions se furent approchés de Moïse, ils dirent:
49 na kumwambia, “Watumishi wako wamehesabu askari walio chini ya amri yetu na hakuna hata mmoja aliyekosekana.
Nous, tes serviteurs, nous avons recensé le nombre des combattants, que nous avons eus sous notre main, et il n’en a pas manqué même un seul.
50 Kwa hiyo tumeleta kama sadaka kwa Bwana vyombo vya dhahabu kila mmoja wetu alivyopata, yaani vikuku, bangili, pete za muhuri, vipuli na mikufu, ili kufanya upatanisho kwa ajili yetu mbele za Bwana.”
Pour ce motif, nous offrons chacun en don au Seigneur ce que nous avons pu trouver dans le butin d’or: périscélides, bracelets, anneaux, ornements de la main droite, et petits colliers, afin que tu pries pour nous le Seigneur.
51 Mose na kuhani Eleazari wakapokea kutoka kwao dhahabu, yaani vyombo vyote vilivyonakshiwa.
Et Moïse et Eléazar, le prêtre, reçurent tout l’or en diverses espèces,
52 Dhahabu yote kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia ambavyo Mose na kuhani Eleazari walimletea Bwana kama zawadi ilikuwa shekeli 16,750
Du poids de seize mille sept cent cinquante sicles, des tribuns et des centurions.
53 Kila askari alikuwa amejichukulia nyara zake binafsi.
Car ce que chacun avait pris dans le butin était à lui.
54 Mose na kuhani Eleazari walipokea dhahabu kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, wakazileta katika Hema la Kukutania kama ukumbusho kwa Waisraeli mbele za Bwana.
Et après avoir reçu cet or, ils le portèrent dans le tabernacle de témoignage, comme un monument des enfants d’Israël devant le Seigneur.