< Hesabu 31 >
And Jehovah spoke to Moses, saying,
2 “Uwalipize kisasi Wamidiani kwa ajili ya Waisraeli. Halafu baada ya hayo, utakufa.”
Avenge the sons of Israel of the Midianites. Afterward thou shall be gathered to thy people.
3 Kwa hiyo Mose akawaambia watu, “Waandaeni baadhi ya wanaume wenu waende vitani kupigana na Wamidiani ili wawalipize kisasi cha Bwana.
And Moses spoke to the people, saying, Arm ye men from among you for the war, that they may go against Midian, to execute Jehovah's vengeance on Midian.
4 Peleka wanaume 1,000 vitani kutoka kila kabila la Israeli.”
From every tribe a thousand, throughout all the tribes of Israel, ye shall send to the war.
5 Kwa hiyo waliandaliwa wanaume 12,000 kwa vita, wanaume 1,000 kutoka kila kabila, walitolewa kutoka koo za Israeli.
So there were delivered, out of the thousands of Israel, a thousand of every tribe, twelve thousand armed for war.
6 Mose aliwatuma vitani, watu 1,000 kutoka kila kabila, pamoja na Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, ambaye alichukua vyombo vya mahali patakatifu na tarumbeta za kuashiria.
And Moses sent them, a thousand of every tribe, to the war, them and Phinehas the son of Eleazar the priest, to the war, with the vessels of the sanctuary and the trumpets for the alarm in his hand.
7 Walipigana dhidi ya Wamidiani, kama Bwana alivyomwagiza Mose, nao waliua kila mwanaume.
And they warred against Midian as Jehovah commanded Moses, and they killed every male.
8 Miongoni mwa watu waliouawa walikuwepo wafalme watano wa Midiani, nao ni Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vilevile walimuua Balaamu mwana wa Beori kwa upanga.
And they killed the kings of Midian with the rest of their slain: Evi, and Rekem, and Zur, and Hur, and Reba, the five kings of Midian. They also killed Balaam the son of Beor with the sword.
9 Waisraeli waliwateka wanawake wa Kimidiani pamoja na watoto wao na walichukua makundi ya ngʼombe, kondoo na mali zao kama nyara.
And the sons of Israel took captive the women of Midian and their little ones. And all their cattle, and all their flocks, and all their goods, they took for a prey.
10 Walichoma moto miji yote ambayo Wamidiani walikuwa wanaishi, pamoja na kambi zao zote.
And all their cities in the places in which they dwelt, and all their encampments, they burnt with fire.
11 Walichukua nyara zote na mateka, pamoja na watu na wanyama,
And they took all the spoil, and all the prey, both of man and of beast.
12 nao waliwaleta wafungwa mateka na nyara kwa Mose na kwa kuhani Eleazari, nao Waisraeli walikusanyika kwenye kambi zao katika tambarare za nchi ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
And they brought the captives, and the prey, and the spoil, to Moses, and to Eleazar the priest, and to the congregation of the sons of Israel, to the camp at the plains of Moab, which are by the Jordan at Jericho.
13 Mose, kuhani Eleazari na viongozi wote wa jumuiya wakatoka kuwalaki nje ya kambi.
And Moses, and Eleazar the priest, and all the rulers of the congregation, went forth to meet them outside the camp.
14 Mose aliwakasirikia maafisa wa jeshi, yaani hao wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, ambao walirudi kutoka vitani.
And Moses was angry with the officers of the army, the captains of thousands and the captains of hundreds, who came from the service of the war.
15 Mose akawauliza, “Je, mmewaacha wanawake wote hai?”
And Moses said to them, Have ye saved all the women alive?
16 “Wanawake hao ndio waliofuata ushauri wa Balaamu, nao ndio waliowasababisha Waisraeli wamwasi Bwana kwa kile kilichotokea kule Peori, na kwa hiyo pigo liliwapata watu wa Bwana.
Behold, these caused the sons of Israel, through the counsel of Balaam, to commit trespass against Jehovah in the matter of Peor, and so the plague was among the congregation of Jehovah.
17 Sasa waue wavulana wote. Pia muue kila mwanamke ambaye alikwisha fanya tendo la ndoa,
Now therefore kill every male among the little ones, and kill every woman that has known man by lying with him.
18 lakini mwacheni hai kwa ajili yenu kila msichana ambaye kamwe hajawahi kuzini na mwanaume.
But all the women-children, who have not known man by lying with him, keep alive for yourselves.
19 “Ninyi nyote ambao mmeua mtu yeyote au kumgusa mtu yeyote ambaye ameuawa, lazima mkae nje ya kambi kwa muda wa siku saba. Katika siku ya tatu na ya saba lazima mjitakase wenyewe pamoja na wafungwa wenu.
And encamp ye outside the camp seven days. Whoever has killed any person, and whoever has touched any slain, purify yourselves on the third day and on the seventh day, ye and your captives.
20 Takaseni kila vazi pamoja na kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi, kwa singa za mbuzi au kwa mti.”
And as to every garment, and all that is made of skin, and all work of goats' hair, and all things made of wood, ye shall purify yourselves.
21 Kisha kuhani Eleazari aliwaambia askari waliokuwa wamekwenda vitani, “Haya ndiyo matakwa ya sheria ambayo Bwana alimpa Mose:
And Eleazar the priest said to the men of war who went to the battle, This is the statute of the law which Jehovah has commanded Moses:
22 Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati, risasi,
only the gold, and the silver, the brass, the iron, the tin, and the lead-
23 na kitu kingine chochote ambacho kinaweza kuhimili moto lazima mkipitishe kwenye moto, kisha kitakuwa safi. Lakini ni lazima pia kitakaswe kwa maji ya utakaso. Kitu chochote kisichoweza kuhimili moto lazima kipitishwe kwenye yale maji ya utakaso.
everything which may go into fire-ye shall make to go through the fire, and it shall be clean. Nevertheless it shall be purified with the water for impurity. And all that may not go into fire ye shall make to go through the water.
24 Katika siku ya saba fueni nguo zenu, nanyi mtakuwa safi. Kisha mtaweza kuingia kambini.”
And ye shall wash your clothes on the seventh day, and ye shall be clean, and afterward ye shall come into the camp.
25 Bwana akamwambia Mose,
And Jehovah spoke to Moses, saying,
26 “Wewe na kuhani Eleazari pamoja na viongozi wa jamaa ya jumuiya mtahesabu watu wote na wanyama ambao walitekwa.
Take the sum of the prey that was taken, both of man and of beast, thou, and Eleazar the priest, and the heads of the fathers of the congregation,
27 Gawanyeni hizo nyara kati ya askari ambao walishiriki katika vita na kwa jumuiya.
and divide the prey into two parts: between the men skilled in war who went out to battle, and all the congregation.
28 Kutoka fungu la wale waliokwenda kupigana vitani, tenga kama ushuru kwa ajili ya Bwana kitu kimoja kati ya kila mia tano, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo au mbuzi.
And levy a tribute to Jehovah of the men of war who went out to battle: one soul of five hundred, both of the persons, and of the oxen, and of the donkeys, and of the flocks.
29 Chukua ushuru huu kutoka fungu lao, umpe kuhani Eleazari kama sehemu ya Bwana.
Take it of their half, and give it to Eleazar the priest, for Jehovah's heave offering.
30 Kutoka fungu la Waisraeli, chukua kitu kimoja kati ya kila hamsini, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo, mbuzi au wanyama wengine. Hivyo uwape Walawi, ambao wanawajibika kutunza Maskani ya Bwana.”
And of the sons of Israel's half, thou shall take one drawn out of every fifty, of the persons, of the oxen, of the donkeys, and of the flocks, even of all the cattle, and give them to the Levites, who keep the charge of the tabernacle of Jehovah.
31 Kwa hiyo Mose na kuhani Eleazari wakafanya kama Bwana alivyomwagiza Mose.
And Moses and Eleazar the priest did as Jehovah commanded Moses.
32 Nyara zilizobaki kutoka mateka ambayo askari walichukua ni kondoo 675,000,
Now the prey, over and above the booty which the men of war took, was six hundred seventy-five thousand sheep,
and seventy-two thousand oxen,
and sixty-one thousand donkeys,
35 na wanawake 32,000 ambao hawakumjua mume kwa kufanya tendo la ndoa.
and thirty-two thousand persons in all, of the women who had not known man by lying with him.
36 Nusu ya fungu la wale waliokwenda kupigana vitani lilikuwa: Kondoo 337,500
And the half, which was the portion of those who went out to war, was in number three hundred thirty-seven thousand and five hundred sheep.
37 ambayo ushuru kwa ajili ya Bwana ilikuwa kondoo 675;
And Jehovah's tribute of the sheep was six hundred and seventy-five.
38 ngʼombe 36,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa ngʼombe 72;
And the oxen were thirty-six thousand, of which Jehovah's tribute was seventy-two.
39 punda 30,500 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa punda 61;
And the donkeys were thirty thousand and five hundred, of which Jehovah's tribute was sixty-one.
40 Watu 16,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa watu 32.
And the persons were sixteen thousand, of whom Jehovah's tribute was thirty-two persons.
41 Mose alimpa kuhani Eleazari ushuru kama sehemu ya Bwana, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
And Moses gave the tribute, which was Jehovah's heave offering, to Eleazar the priest, as Jehovah commanded Moses.
42 Ile nusu iliyokuwa ya Waisraeli, ambayo Mose aliitenga kutoka kwa ile ya watu waliokwenda vitani,
And of the sons of Israel's half, which Moses divided off from the men who warred
43 nusu iliyokuwa ya jumuiya, ilikuwa kondoo 337,500,
(now the congregation's half was three hundred thirty-seven thousand and five hundred sheep,
and thirty-six thousand oxen,
and thirty thousand and five hundred donkeys,
and sixteen thousand persons),
47 Kutoka hiyo nusu iliyokuwa ya Waisraeli, Mose alichagua moja kati ya kila hamsini ya wanadamu na wanyama, kama Bwana alivyomwagiza, naye aliwapa Walawi, ambao waliwajibika kutunza Maskani ya Bwana.
even of the sons of Israel's half, Moses took one drawn out of every fifty, both of man and of beast, and gave them to the Levites, who kept the charge of the tabernacle of Jehovah, as Jehovah commanded Moses.
48 Kisha maafisa waliokuwa juu ya vikosi vya jeshi, wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, walimwendea Mose
And the officers who were over the thousands of the army, the captains of thousands, and the captains of hundreds, came near to Moses.
49 na kumwambia, “Watumishi wako wamehesabu askari walio chini ya amri yetu na hakuna hata mmoja aliyekosekana.
And they said to Moses, Thy servants have taken the sum of the men of war that are under our charge, and there lacks not one man of us.
50 Kwa hiyo tumeleta kama sadaka kwa Bwana vyombo vya dhahabu kila mmoja wetu alivyopata, yaani vikuku, bangili, pete za muhuri, vipuli na mikufu, ili kufanya upatanisho kwa ajili yetu mbele za Bwana.”
And we have brought Jehovah's oblation, what every man has gotten, of jewels of gold, ankle-chains, and bracelets, signet-rings, earrings, and armlets, to make atonement for our souls before Jehovah.
51 Mose na kuhani Eleazari wakapokea kutoka kwao dhahabu, yaani vyombo vyote vilivyonakshiwa.
And Moses and Eleazar the priest took the gold from them, even all wrought jewels.
52 Dhahabu yote kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia ambavyo Mose na kuhani Eleazari walimletea Bwana kama zawadi ilikuwa shekeli 16,750
And all the gold of the heave offering that they offered up to Jehovah, of the captains of thousands, and of the captains of hundreds, was sixteen thousand seven hundred and fifty shekels.
53 Kila askari alikuwa amejichukulia nyara zake binafsi.
(For the men of war had taken booty, every man for himself.)
54 Mose na kuhani Eleazari walipokea dhahabu kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, wakazileta katika Hema la Kukutania kama ukumbusho kwa Waisraeli mbele za Bwana.
And Moses and Eleazar the priest took the gold of the captains of thousands and of hundreds, and brought it into the tent of meeting, for a memorial for the sons of Israel before Jehovah.