< Hesabu 29 >

1 “‘Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu na msifanye kazi ya kawaida. Ni siku kwa ajili yenu ya kupiga tarumbeta.
Pierwszego [dnia] siódmego miesiąca będziecie mieli święte zgromadzenie; nie będziecie wykonywać żadnej ciężkiej pracy. Będzie to dla was dzień wesołego trąbienia.
2 Mtatayarisha sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri impendezayo Bwana ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
I złożycie jako całopalenie, na miłą woń dla PANA, jednego młodego cielca, jednego barana oraz siedem rocznych baranków bez skazy;
3 Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume, andaa unga sehemu ya kumi mbili za efa;
A ich ofiarą pokarmową z mąki pszennej zmieszanej z oliwą [będzie]: trzy dziesiąte [efy] na cielca, dwie dziesiąte części na barana;
4 na pamoja na wana-kondoo saba kila mmoja aandaliwe na sehemu ya kumi ya efa ya unga.
I jedna dziesiąta na każdego baranka z [tych] siedmiu baranków;
5 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
Oraz jednego kozła z kóz jako ofiarę za grzech, by dokonać za was przebłagania;
6 Hivi ni nyongeza ya sadaka za kuteketezwa kila mwezi na kila siku pamoja na sadaka zake za nafaka na sadaka za vinywaji kama ilivyoainishwa. Ni sadaka zinazotolewa kwa Bwana kwa moto, harufu inayopendeza.
Oprócz comiesięcznego całopalenia i jego ofiary pokarmowej, [oprócz] nieustannego całopalenia i jego ofiary pokarmowej oraz ich ofiar z płynów, zgodnie z ich przepisem, na miłą woń; [będzie to] ofiara spalana dla PANA.
7 “‘Kwenye siku ya kumi ya mwezi huu wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu. Mtajikana wenyewe na msifanye kazi.
Dziesiątego dnia tego siódmego miesiąca będziecie mieć święte zgromadzenie i będziecie trapić swoje dusze. Nie będziecie wykonywać żadnej ciężkiej pracy.
8 Toeni sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza Bwana.
I złożycie PANU całopalenie, na miłą woń, jednego młodego cielca, jednego barana i siedem rocznych baranków. Mają być bez skazy.
9 Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;
A ich ofiarą pokarmową z mąki pszennej zmieszanej z oliwą [będzie]: trzy dziesiąte [efy] na cielca, dwie dziesiąte na barana;
10 na kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba andaa sehemu ya kumi ya unga laini kwa kila mmoja.
I jedna dziesiąta na każdego baranka z tych siedmiu baranków;
11 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya dhambi kwa ajili ya upatanisho, na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya nafaka, na sadaka zake za vinywaji.
Oraz jednego kozła z kóz na ofiarę za grzech oprócz ofiary za grzech na przebłaganie i oprócz nieustannego całopalenia i jego ofiary pokarmowej oraz ich ofiar z płynów.
12 “‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu, na hamtafanya kazi za kawaida. Adhimisheni sikukuu kwa Bwana kwa siku saba.
A piętnastego dnia [tego] siódmego miesiąca będziecie mieć święte zgromadzenie. Nie będziecie wykonywać żadnej ciężkiej pracy, lecz będziecie obchodzić święto dla PANA przez siedem dni.
13 Toeni sadaka ya kuteketezwa mafahali wachanga kumi na watatu, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza Bwana.
I złożycie całopalenie jako ofiarę spalaną, na miłą woń dla PANA, trzynaście młodych cielców, dwa barany i czternaście rocznych baranków. Mają być bez skazy.
14 Pamoja na hao mafahali kumi na watatu, kila mmoja aandaliwe na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume wawili, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;
A ich ofiarą pokarmową z mąki pszennej zmieszanej z oliwą [będzie]: trzy dziesiąte efy na każdego cielca z tych trzynastu cielców i dwie dziesiąte na każdego barana z tych dwóch baranów;
15 na kwa wana-kondoo kumi na wanne, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi ya efa ya unga laini.
I jedna dziesiąta na każdego baranka z tych czternastu baranków;
16 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka ya vinywaji.
Oraz jednego kozła z kóz [na ofiarę] za grzech oprócz nieustannego całopalenia, jego ofiary pokarmowej i jego ofiary z płynów.
17 “‘Katika siku ya pili andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
A drugiego dnia [złożycie] dwanaście młodych cielców, dwa barany, czternaście rocznych baranków bez skazy;
18 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
I ich ofiarę pokarmową, i ich ofiary z płynów do każdego cielca, do każdego barana i do każdego baranka, według ich liczby i według ich przepisów;
19 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
Oraz jednego kozła z kóz na ofiarę za grzech, oprócz nieustannego całopalenia, jego ofiary pokarmowej i ich ofiar z płynów.
20 “‘Katika siku ya tatu andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
A trzeciego dnia [złożycie] jedenaście cielców, dwa barany, czternaście rocznych baranków bez skazy;
21 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
I ich ofiarę pokarmową, i ich ofiary z płynów do każdego cielca, do każdego barana i do każdego baranka, według ich liczby i według [ich] przepisów;
22 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
Oraz jednego kozła [na ofiarę] za grzech oprócz nieustannego całopalenia, jego ofiary pokarmowej i jego ofiary z płynów.
23 “‘Katika siku ya nne andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
A czwartego dnia [złożycie] dziesięć cielców, dwa barany, czternaście rocznych baranków bez skazy;
24 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
Ich ofiarę pokarmową i ich ofiary z płynów do każdego cielca, do każdego barana i do każdego baranka, według ich liczby i według [ich] przepisów;
25 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
Oraz jednego kozła z kóz [na ofiarę] za grzech oprócz nieustannego całopalenia, jego ofiary pokarmowej i jego ofiary z płynów.
26 “‘Katika siku ya tano andaeni mafahali tisa, kondoo dume wawili na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
A piątego dnia złożycie dziewięć cielców, dwa barany, czternaście rocznych baranków bez skazy;
27 Pamoja na mafahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za kinywaji kulingana na idadi iliyoainishwa.
I ich ofiarę pokarmową, i ich ofiary z płynów do każdego cielca, do każdego barana i do każdego baranka, według ich liczby i według [ich] przepisów;
28 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.
Oraz jednego kozła na ofiarę za grzech oprócz nieustannego całopalenia, jego ofiary pokarmowej i jego ofiary z płynów.
29 “‘Katika siku ya sita andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
A szóstego dnia [złożycie] osiem cielców, dwa barany, czternaście rocznych baranków bez skazy;
30 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
I ich ofiarę pokarmową, i ich ofiary z płynów do każdego cielca, do każdego barana i do każdego baranka, według ich liczby i według [ich] przepisów;
31 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
Oraz jednego kozła na ofiarę za grzech oprócz nieustannego całopalenia, jego ofiary pokarmowej i jego ofiar z płynów.
32 “‘Katika siku ya saba andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
A siódmego dnia [złożycie] siedem cielców, dwa barany, czternaście rocznych baranków bez skazy;
33 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
I ich ofiarę pokarmową, i ich ofiary z płynów do każdego cielca, do każdego barana i do każdego baranka, według ich liczby i według [ich] przepisów;
34 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
Oraz jednego kozła na ofiarę za grzech oprócz nieustannego całopalenia, jego ofiary pokarmowej i jego ofiary z płynów.
35 “‘Katika siku ya nane mtakuwa na kusanyiko, na msifanye kazi ya kawaida.
A ósmego dnia będziecie mieli uroczyste święto. Nie będziecie wykonywać żadnej ciężkiej pracy.
36 Toeni sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri inayompendeza Bwana, sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo dume saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
Złożycie całopalenie jako ofiarę spalaną, na miłą woń dla PANA, jednego cielca, jednego barana, siedem rocznych baranków bez skazy;
37 Pamoja na fahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka, na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
Ich ofiarę pokarmową i ich ofiary z płynów do cielca, do barana i do każdego baranka, według ich liczby i według [ich] przepisów;
38 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.
Oraz jednego kozła na ofiarę za grzech oprócz nieustannego całopalenia, jego ofiary pokarmowej i jego ofiary z płynów.
39 “‘Zaidi ya kile unachoweka nadhiri na sadaka zenu za hiari, andaeni hizi kwa ajili ya Bwana kwenye sikukuu zenu zilizoamriwa: sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za nafaka, sadaka za vinywaji, pamoja na sadaka zenu za amani.’”
To [wszystko] będziecie składać PANU podczas waszych uroczystych świąt oprócz waszych ślubów i dobrowolnych ofiar na wasze całopalenia, na wasze ofiary pokarmowe, na wasze ofiary z płynów i na wasze ofiary pojednawcze.
40 Mose akawaambia Waisraeli yale yote Bwana alimwagiza.
I Mojżesz powiedział synom Izraela wszystko, co PAN mu rozkazał.

< Hesabu 29 >