< Hesabu 29 >

1 “‘Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu na msifanye kazi ya kawaida. Ni siku kwa ajili yenu ya kupiga tarumbeta.
«عید شیپورها، روز اول ماه هفتم هر سال برگزار شود. در آن روز باید همهٔ شما برای عبادت جمع شوید و هیچ کار دیگری انجام ندهید.
2 Mtatayarisha sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri impendezayo Bwana ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
در آن روز یک گوسالۀ نر، یک قوچ و هفت برهٔ نر یک ساله که همگی سالم و بی‌عیب باشند به عنوان قربانی سوختنی تقدیم کنید. این قربانی، هدیه‌ای خوشبو برای خداوند خواهد بود.
3 Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume, andaa unga sehemu ya kumi mbili za efa;
با گاو سه کیلو آرد مخلوط با روغن به عنوان هدیه آردی، با قوچ دو کیلو، و با هر بره یک کیلو هدیه شود.
4 na pamoja na wana-kondoo saba kila mmoja aandaliwe na sehemu ya kumi ya efa ya unga.
5 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
یک بز نر هم برای کفارهٔ گناهانتان قربانی کنید.
6 Hivi ni nyongeza ya sadaka za kuteketezwa kila mwezi na kila siku pamoja na sadaka zake za nafaka na sadaka za vinywaji kama ilivyoainishwa. Ni sadaka zinazotolewa kwa Bwana kwa moto, harufu inayopendeza.
اینها غیر از قربانی سوختنی ماهانه با هدیهٔ آردی آن و نیز غیر از قربانی سوختنی روزانه با هدیهٔ آردی و نوشیدنی آن است که طبق مقررات مربوط تقدیم می‌گردند. این قربانیها، هدایای خوشبو و مخصوص برای خداوند خواهند بود.
7 “‘Kwenye siku ya kumi ya mwezi huu wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu. Mtajikana wenyewe na msifanye kazi.
«در روز دهم ماه هفتم، دوباره برای عبادت جمع شوید. در آن روز، روزه بگیرید و هیچ کار دیگری انجام ندهید.
8 Toeni sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza Bwana.
یک گوسالۀ نر، یک قوچ و هفت برهٔ نر یک ساله که همگی سالم و بی‌عیب باشند به عنوان قربانی سوختنی تقدیم کنید. این قربانی، مورد پسند خداوند واقع خواهد شد.
9 Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;
با گاو سه کیلو آرد مخلوط با روغن به عنوان هدیه آردی، با قوچ دو کیلو، و با هر بره یک کیلو تقدیم شود.
10 na kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba andaa sehemu ya kumi ya unga laini kwa kila mmoja.
11 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya dhambi kwa ajili ya upatanisho, na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya nafaka, na sadaka zake za vinywaji.
علاوه بر قربانی روز کفاره، و نیز قربانی سوختنی روزانه که با هدایای آردی و نوشیدنی آن تقدیم می‌شوند، یک بز نر هم برای کفارهٔ گناه قربانی کنید.
12 “‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu, na hamtafanya kazi za kawaida. Adhimisheni sikukuu kwa Bwana kwa siku saba.
«در روز پانزدهم ماه هفتم، دوباره برای عبادت جمع شوید و در آن روز هیچ کار دیگری انجام ندهید. این آغاز یک عید هفت روزه در حضور خداوند است.
13 Toeni sadaka ya kuteketezwa mafahali wachanga kumi na watatu, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza Bwana.
در روز اول عید، سیزده گوسالۀ نر، دو قوچ و چهارده برهٔ نر یک ساله که همگی سالم و بی‌عیب باشند به عنوان قربانی سوختنی تقدیم کنید. این قربانی که بر آتش تقدیم می‌شود، مورد پسند خداوند واقع خواهد شد.
14 Pamoja na hao mafahali kumi na watatu, kila mmoja aandaliwe na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume wawili, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;
با هر گاو سه کیلو آرد مخلوط با روغن به عنوان هدیهٔ آردی، با هر قوچ دو کیلو
15 na kwa wana-kondoo kumi na wanne, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi ya efa ya unga laini.
و با هر بره یک کیلو تقدیم می‌شود.
16 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka ya vinywaji.
علاوه بر قربانی سوختنی روزانه و هدایای آردی و نوشیدنی آن، یک بز نر هم برای کفارهٔ گناه، قربانی شود.
17 “‘Katika siku ya pili andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
«در روز دوم عید، دوازده گوسالۀ نر، دو قوچ و چهارده برهٔ نر یک ساله که همه سالم و بی‌عیب باشند قربانی کنید.
18 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
همراه آنها قربانی و هدایای مربوطه نیز مانند روز اول تقدیم نمایید.
19 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
20 “‘Katika siku ya tatu andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
«در روز سوم عید، یازده گوسالۀ نر، دو قوچ و چهارده برهٔ نر یک ساله که همه سالم و بی‌عیب باشند قربانی کنید.
21 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
همراه آنها قربانی و هدایای مربوطه نیز مانند روز اول تقدیم نمایید.
22 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
23 “‘Katika siku ya nne andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
«در روز چهارم عید، ده گوسالۀ نر، دو قوچ و چهارده برهٔ نر یک ساله که همه سالم و بی‌عیب باشند قربانی کنید.
24 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
همراه آنها قربانی و هدایای مربوطه نیز مانند روز اول تقدیم نمایید.
25 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
26 “‘Katika siku ya tano andaeni mafahali tisa, kondoo dume wawili na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
«در روز پنجم عید، نه گوسالۀ نر، دو قوچ و چهارده برهٔ نر یک ساله که همه سالم و بی‌عیب باشند قربانی کنید.
27 Pamoja na mafahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za kinywaji kulingana na idadi iliyoainishwa.
همراه آنها قربانی و هدایای مربوطه نیز مانند روز اول تقدیم نمایید.
28 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.
29 “‘Katika siku ya sita andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
«در روز ششم عید، هشت گوسالۀ نر، دو قوچ و چهارده برهٔ نر یک ساله که همه سالم و بی‌عیب باشند قربانی کنید.
30 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
همراه آنها قربانی و هدایای مربوطه نیز مانند روز اول تقدیم نمایید.
31 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
32 “‘Katika siku ya saba andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
«در روز هفتم عید، هفت گوسالۀ نر، دو قوچ و چهارده برهٔ نر یک ساله که همه سالم و بی‌عیب باشند قربانی کنید.
33 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
همراه آنها قربانی و هدایای مربوطه نیز مانند روز اول تقدیم نمایید.
34 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
35 “‘Katika siku ya nane mtakuwa na kusanyiko, na msifanye kazi ya kawaida.
«در روز هشتم، قوم اسرائیل را برای عبادت جمع کنید و در آن روز هیچ کار دیگری انجام ندهید.
36 Toeni sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri inayompendeza Bwana, sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo dume saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
یک گوسالۀ نر، یک قوچ و هفت برهٔ نر یک ساله که همگی سالم و بی‌عیب باشند به عنوان قربانی سوختنی تقدیم کنید. این قربانی که بر آتش تقدیم می‌شود، مورد پسند خداوند واقع خواهد شد.
37 Pamoja na fahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka, na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
همراه آنها قربانی و هدایای مربوطه نیز مانند روز اول تقدیم نمایید.
38 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.
39 “‘Zaidi ya kile unachoweka nadhiri na sadaka zenu za hiari, andaeni hizi kwa ajili ya Bwana kwenye sikukuu zenu zilizoamriwa: sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za nafaka, sadaka za vinywaji, pamoja na sadaka zenu za amani.’”
«این بود قوانین مربوط به قربانی سوختنی، هدیهٔ آردی، هدیه نوشیدنی و قربانی سلامتی که شما باید در روزهای مخصوص به خداوند تقدیم نمایید. این قربانیها غیر از قربانیهای نذری و قربانیهای داوطلبانه است.»
40 Mose akawaambia Waisraeli yale yote Bwana alimwagiza.
موسی تمام این دستورهای خداوند را به قوم اسرائیل ابلاغ نمود.

< Hesabu 29 >