< Hesabu 29 >

1 “‘Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu na msifanye kazi ya kawaida. Ni siku kwa ajili yenu ya kupiga tarumbeta.
Oubi fesu amola eso age amoga dilia Hina Godema nodone sia: ne gadoma: ne gilisima. Hawa: hamosudafa mae hamoma. Amo esoha, dalabede duma.
2 Mtatayarisha sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri impendezayo Bwana ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
Hina Godema Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu (Gobei Iasu) ima, E da amo ea gabusiga: hahawane nabima: ne. Amo da bulamagau gawali waha debe afae, goudi gawali afae amola sibi mano gawali, ode afae lalelegei, fesuale gala. Huluane da noga: i, ledo hamedei ba: mu.
3 Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume, andaa unga sehemu ya kumi mbili za efa;
Amola sia: i liligi Gala: ine Iasu, amo falaua amola olife susuligi gilisi ima. Bulamagau gawali amoga gilogala: me udiana gilisima amola sibi gawali amoga gilogala: me aduna gilisima,
4 na pamoja na wana-kondoo saba kila mmoja aandaliwe na sehemu ya kumi ya efa ya unga.
amola sibi mano afae afae amoga gilogala: me afadafa gilisima.
5 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
Amola goudi gawali afae Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu hamoma: ne ima. Amo da Isala: ili dunu ilia ledo hamoi dodofema: ne hamosa.
6 Hivi ni nyongeza ya sadaka za kuteketezwa kila mwezi na kila siku pamoja na sadaka zake za nafaka na sadaka za vinywaji kama ilivyoainishwa. Ni sadaka zinazotolewa kwa Bwana kwa moto, harufu inayopendeza.
Amo da gilisili eso huluane Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu Gobei (gala: ine iasu amola waini hano iasu amoga gilisi) amola hamoma. Amo ha: i manu iasu gabusiga: da Hina Gode Ea hahawane nabima: ne hamosa.
7 “‘Kwenye siku ya kumi ya mwezi huu wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu. Mtajikana wenyewe na msifanye kazi.
Eso nabu amola oubi fesu amoga, Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: gilisima. Amo esoha, ha: i mae moma amola hawa: hamosu mae hamoma.
8 Toeni sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza Bwana.
Hina Godema Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu Gobei ima. E da amo ea gabusiga: hahawane nabima: ne. Amo da bulamagau gawali waha debe afae, sibi gawali afae amola sibi mano ode afae lalelegei fesuale gala. Huluane da noga: i, ledo hamedei ba: mu.
9 Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;
Amola hamoma: ne sia: i liligi Gala: ine Iasu amo falaua amola olife susuligi gilisi ima. Bulamagau gawali afae afae amoga gilogala: me udiana gilisima. Sibi gawali amoga gilogala: me aduna gilisima,
10 na kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba andaa sehemu ya kumi ya unga laini kwa kila mmoja.
amola sibi mano afae afae amoga gilogala: me afadafa gilisima.
11 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya dhambi kwa ajili ya upatanisho, na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya nafaka, na sadaka zake za vinywaji.
Amola goudi gawali afae eno Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu hamoma: ne ima. Amo da gilisili goudi amo da dunu ilia ledo hamoi dodofema: ne hamoma. Amola eso huluane Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu Gobei (gala: ine iasu amola waini hano iasu amoga gilisi) amo huluane iasu hamoma.
12 “‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu, na hamtafanya kazi za kawaida. Adhimisheni sikukuu kwa Bwana kwa siku saba.
Oubi fesuga, eso 15 amoga, Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: gilisima. Eso fesuale amoga, Hina Godema nodoma: ne gilisima, amola hawa: hamosu mae hamoma.
13 Toeni sadaka ya kuteketezwa mafahali wachanga kumi na watatu, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza Bwana.
Amo gilisisuga eso age amoga Hina Godema ha: i manu iasu, ea gabusiga: E da hahawane nabima: ne, gobele salima. Amo da bulamagau gawali waha debe13 agoane, sibi gawali aduna amola sibi mano gawali ode afae lalelegei 14agoane. Huluane da noga: idafa, ledo hamedei ba: mu.
14 Pamoja na hao mafahali kumi na watatu, kila mmoja aandaliwe na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume wawili, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;
Amola hamoma: ne sia: i liligi Gala: ine Iasu, amo falaua amola olife susuligi gilisi ima. Bulamagau afae afae amoga gilogala: me udiana gilisima. Sibi gawali afae afae amoga gilogala: me aduna gilisima,
15 na kwa wana-kondoo kumi na wanne, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi ya efa ya unga laini.
amola sibi mano afae afae amoga gilogala: me afadafa gilisima, amola waini hano ilegei iasu gilisima.
16 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka ya vinywaji.
Amola goudi gawali afae amo Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu hamoma: ne ima. Amo da gilisili eso huluane Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu Gobei (gala: ine iasu amola waini hano iasu amoga gilisi) amola hamoma.
17 “‘Katika siku ya pili andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
Eso ageyadu amoga bulamagau gawali waha debe fagoyale gala amola sibi gawali aduna amola sibi mano gawali ode afae lalelegei 14, huluane noga: i ledo hamedei, amo ima.
18 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
Iasu amo da eso age amoga gobele sali, amo defele amola gilisili ima.
19 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
20 “‘Katika siku ya tatu andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
Eso osoda amoga bulamagau gawali waha debe gidayale gala amola sibi gawali aduna amola sibi mano gawali ode afae lalelegei 14, huluane noga: i, ledo hamedei, amo ima.
21 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
Iasu amo da eso age amoga gobele sali, amo defele amola gilisili ima.
22 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
23 “‘Katika siku ya nne andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
Eso biyadu amoga, bulamagau gawali waha debe nabuane gala, amola sibi gawali aduna, amola sibi mano gawali ode afae lalelegei 14, huluane noga: i, ledo hamedei, amo ima.
24 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
Iasu amo da eso age amoga gobele sali, amo defele amola gilisili ima.
25 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
26 “‘Katika siku ya tano andaeni mafahali tisa, kondoo dume wawili na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
Eso bi amoga, bulamagau gawali waha debe sesegeyale gala, sibi gawali aduna amola sibi mano gawali ode afae lalelegei geyale gala, huluane noga: i, ledo hamedei, amo ima.
27 Pamoja na mafahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za kinywaji kulingana na idadi iliyoainishwa.
Iasu huluane amo da eso age amoga gobele sali, amo defele amola gilisili ima.
28 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.
29 “‘Katika siku ya sita andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
Eso gafe amoga, bulamagau gawali waha debe godoane gala, sibi gawali aduna amola sibi mano gawali14 amo da ode afae lalelegei, huluane noga: i, ledo hamedei, amo ima.
30 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
Iasu huluane amo da eso age amoga gobele sali, amo defele gilisili ima.
31 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
32 “‘Katika siku ya saba andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
Eso fesu amoga, bulamagau gawali waha debe fesuale gala, sibi gawali aduna amola sibi mano gawali14 amo da ode afae lalelegei, huluane noga: i ledo hamedei, amo ima.
33 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
Iasu huluane amo da eso age amoga gobele sali, amo defele gilisili ima.
34 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
35 “‘Katika siku ya nane mtakuwa na kusanyiko, na msifanye kazi ya kawaida.
Eso godo amoga, Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: gilisili, hawa: hamosu mae hamoma.
36 Toeni sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri inayompendeza Bwana, sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo dume saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
Hina Godema Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu, ha: i manu iasu, E da amo ea gabusiga: hahawane nabima: ne, amo Ema ima. Amo da bulamagau gawali waha debe afae, sibi gawali afae amola sibi mano gawali ode afae lalelegei fesuale gala, huluane da noga: i, ledo hamedei, amo ima.
37 Pamoja na fahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka, na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
Iasu huluane amo da eso age amoga gobele sali, amo defele gilisili ima.
38 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.
39 “‘Zaidi ya kile unachoweka nadhiri na sadaka zenu za hiari, andaeni hizi kwa ajili ya Bwana kwenye sikukuu zenu zilizoamriwa: sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za nafaka, sadaka za vinywaji, pamoja na sadaka zenu za amani.’”
Amo huluane da malasu dilia da Gobei Iasu (Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu) amola Hina Godema Gala: ine Iasu, Waini Hano Iasu amola Hahawane Gilisili Olofole Iasu dilia da Lolo Nasu Gilisisu ilegei amoga hamoma: ne i. Amo iasu liligi dilia hahawane udigili Iasu amo dilia ilegele sia: i, o udigili imunusa: dawa: sa, amoma gilisima.
40 Mose akawaambia Waisraeli yale yote Bwana alimwagiza.
Amaiba: le, Mousese da Hina Gode ema hamoma: ne sia: i liligi huluane, amo Isala: ili dunu ilima alofele adole i.

< Hesabu 29 >