< Hesabu 28 >
Ra Anumzamo'a Mosesena amanage huno asmi'ne,
2 “Wape Waisraeli agizo hili na uwaambie: ‘Hakikisheni kwamba mnaniletea mimi kwa wakati uliowekwa chakula kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, kama harufu nzuri ya kupendeza.’
Israeli vahera zmasamige'za kegava hu'ne'za ne'zama ofama hunaku'ma hanu'za huhamprinte'noa knarera eri'za tevefina kresageno, knare mana vinke'na mna'a antahi'neno.
3 Waambie: ‘Hii ni sadaka ya kuteketezwa kwa moto mnayomtolea Bwana: wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasio na dosari, kama sadaka ya kawaida ya kuteketezwa kila siku.
Hagi kagra anage hunka zamasamio, ama anahukna huta Ra Anumzamofontera ofama hanaza zana erita egahaze. Tare ve sipisipima mago kafu huno afuhe afahe osu'nesia avreta tevefina magoke magoke knarera eme kresramana vuvava hugahaze.
4 Andaa mwana-kondoo mmoja asubuhi na mwingine jioni,
Hagi mago ve sipisipia nantera ofa nehuta, magora kinaga ofa hugahaze.
5 kila mmoja atolewe pamoja na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa pamoja na robo ya hini ya mafuta ya zeituni.
Hagi ana nehuta mago kilo kane osi hu'nesia flaua'ene mago lita olivi masavene erihavia huta witi ofa hugahaze.
6 Hii ni sadaka ya kawaida ya kuteketezwa iliyoanzishwa katika Mlima Sinai kama harufu nzuri ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
Hagi ama ana ofama hanazana ko'ma Sainai agonafima Ra Anumzamo'ma mnama nentahino musema hanigu eri agafa huta hu'naza ofagita, maka knafina huvava hugahaze.
7 Sadaka ya kinywaji itakayotolewa pamoja na kila mwana-kondoo ni robo ya hini ya kinywaji kilichochachuka. Mimina sadaka ya kinywaji kwa Bwana mahali patakatifu.
Hagi ana kresramnama vanafina, waini tina ofa hugahaze. Hagi anama ofa hunaku'ma hanaza waini tina ruotage'ma hu'nefinka Ra Anumzamofontega waini ofe huta ome tagitreho.
8 Andaa yule mwana-kondoo wa pili jioni, pamoja na sadaka ya nafaka na sadaka ya kinywaji kama ulivyofanya kwa ile sadaka nyingine ya asubuhi. Hii ni sadaka iliyotolewa kwa kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
Hagi witine waini tima'a ofama nanterama hu'nazankna huta kinagama ofa hanaza sipsipia tevefi kre fanene hu ofa hinkeno, Anumzamo'a mna'a nentahino musena hino.
9 “‘Siku ya Sabato, utatoa sadaka ya wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari pamoja na sadaka yake ya kinywaji na sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta.
Hagi mani fruhu kna Sabati knarera mago kafu huno afuhe afahe osu'nesia tare ve sipisipia nevarenka, mago kilo flaua olivi masavene eri havia hu'nesiane, eri havia hunka waini ofanena hugahane.
10 Hii ni sadaka ya kuteketezwa itakayotolewa kwa ajili ya kila Sabato, pamoja na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya kinywaji.
Hagi e'i mika mani fru Sabati knare'ma tevefima kre fanenema hu ofagita, maka zupa waini ti ofane, tevefima kre fanene hu ofama mika zupama nehazaza hugahaze.
11 “‘Siku ya kwanza ya kila mwezi, mtamletea Bwana sadaka ya kuteketezwa ya fahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasiokuwa na dosari.
Hagi mago'mago ikamofo ese kna zupa tare ve bulimakaogi, mago ve sipisipigi, mago kafu hu'no afuhe afehe osu'nenia 7ni'a sipisipi anenta ana maka Ra Anumzamofonte'ma tevefima kre fanene hu ofama hu'za avre'za egahaze.
12 Pamoja na kila fahali, kutakuwa na sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa, uliochanganywa na mafuta, pamoja na kondoo dume mmoja, sadaka ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta;
Hagi ana witi ofama hanazana mago mago bulimakaoma ofama hanarera, 3'a kilo hu'nesia flauama masavenema eri havia hu'nesiane, mago mago ve sipisipi ofama hanarera 2kilo hu'nesia flaua masavene eri havia hu'nesiane, erinteta ofa hugahaze.
13 pamoja na kila mwana-kondoo, sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa na mafuta. Hii ni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, harufu nzuri, sadaka ya kuteketezwa iliyotolewa kwa moto kwa Bwana.
Hagi mago kilo hu'nesia flaua masavene erihavia huta mago mago agaho sipisipine tevefima kre fanenehu ofa hinkeno, Ra Anumzamo'a mna'a nentahino musena hugahie.
14 Pamoja na kila fahali kutakuwa na sadaka ya kinywaji nusu ya hini ya divai; pamoja na kila kondoo dume, theluthi moja ya hini, na pamoja na kila mwana-kondoo robo hini. Hii ni sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi itakayotolewa kila mwandamo wa mwezi kwa mwaka.
Hagi ofama hunaku'ma hanafima waini ofama hanuta, mago'mago bulimakaoma ofama hanarera, 1 lita waini ofa nehuta, mago mago sipisipima ofama hanarera, 1 litagi hafu'a waini tine erita ofa hugahaze. Ama ana ofa mago mago ikamofona ese knazupa eme huterema hanaza ofe.
15 Zaidi ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya kinywaji, mbuzi mmoja dume atatolewa kwa Bwana kama sadaka ya dhambi.
Hagi mago ikamofona ese kna zupa, mago ve meme kumi ofa Ra Anumzamofontera hiho. Hagi mika zupama nehaza ofagino waini tine magopi erinteta ofa hugahaze.
16 “‘Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza, itafanyika Pasaka ya Bwana.
Hagi ese ikamofona 14ni zupa Ra Anumzamo'ma ozamahe zamagatere'nea zanku'ma ne'zama retro hu'za nene'za antahimi kne.
17 Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huo itakuwa sikukuu; kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu.
Hagi ana ikamofo 15zupa ne'zana kreza nene'za musena nehu'za, zisti onte bretia 7ni'a knamofo agu'afi negahaze.
18 Katika siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, msifanye kazi za kawaida.
Hagi ana ikamofo ese knazupa, mika vahera zamazeri atru nehinke'za monora nehu'za, zamagra ana kna zupa eri'zana e'origahaze.
19 Leteni mbele za Bwana sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo dume saba wenye umri wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
Hagi Ra Anumzamofonte'ma tevefima kre fanenehu ofa erita esazana, tare bulimakaogi, mago ve sipisipigi, 7ni'a sipisipi anentatami mago kafu huno afuhe afahe osu'nesia zamavare'za egahaze.
20 Pamoja na kila fahali, andaa sadaka ya nafaka sehemu tatu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa;
Hagi mago'mago bulimakaonena 3kilo hu'nenia flaua masavene eri havia huta ofa nehuta, tare kilo hu'nesia flaua masavene eri havia huta ve sipisipinena ofa hugahaze.
21 pia pamoja na kila mmoja wa wale wana-kondoo saba, andaa sehemu ya kumi ya efa.
Hagi 7ni'a sipisipi anentatamima mago magoma ofama huterema hanarera, masavenema erihavia hu'nenia flaua mago kilo ofa hutere hugahaze
22 Pia mtoe beberu mmoja kama sadaka ya dhambi ambaye atafanya upatanisho kwa ajili yenu.
Anahukna huta mago ve meme kumimofo nona huno apasente ofa Ra Anumzamofontera hugahaze.
23 Andaa hizi licha ya zile sadaka za kawaida za kuteketezwa za kila asubuhi.
Hagi ama ana ofa maka nanterama hutere'ma nehaza ofane, ana ofa hugahaze.
24 Kwa njia hii andaa chakula cha sadaka ya kuteketezwa kila siku, kwa siku saba kama harufu nzuri impendezayo Bwana. Hii itaandaliwa licha ya ile sadaka ya kawaida ya kuteketezwa ya kila siku pamoja na sadaka yake ya kinywaji.
Ama ana kanteke avaririta 7ni'a zagegnamofo agu'afina tevefima kre fanene hu ofane, waini ofanena hanageno Ra Anumzamo'a knare mana nentahino musena hugahie.
25 Siku ya saba mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.
Hagi 7ni knarera mani fru huta mono nehuta, ranra eri'zana e'origahaze.
26 “‘Siku ya malimbuko, mnapomletea Bwana sadaka ya nafaka mpya wakati wa Sikukuu ya Majuma, mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.
Anahukna huta hozafinti ese ne'zama hamareno muse hu knamofona ese knazupa, Ra Anumzamofontera ese witi ragama nenama haniana erita ne-eta, mago'a knafima e'neri'za eri'zana ama ana knarera e'origahaze.
27 Mlete sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na pia wana-kondoo saba wenye umri wa mwaka mmoja, kama harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
Hianagi tevefi kre fanenehu ofama hanageno Ra Anumzamo'ma knare mana nentahino musema nehia ofa, tare agaho bulimakaonki, mago sipisipigi, 7ni'a sipisipi anentatami mago kafu hunenia avreta tevefi kre fanenehu ofa ne-eta,
28 Pamoja na kila fahali itatolewa sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini;
ana ofanema witi ofa hanazana, knare huno'ma kane osi'ma hu'nenia flaua masavene eri havia hu'nesiana, 3'a kilo hu'nenia flaua'ene mago mago bulimakonena tevefina kresramna nevunka, ve sipisipinena 2kilo hu'nesia flaua'ene kresramana vugahane.
29 na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba.
Hagi 7ni'a sipisipi anentatamima mago mago'ma ofama hutere'ma hanarera, masavenema erihavia hu'nenia flaua mago kilo hu'nesia ofa hutere hugahaze
30 Ongeza beberu mmoja kwa kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
Ana nehunka mago ve meme afuteti kagra'a kumimofo nona huno apasente ofa hugahane.
31 Andaa hizi sadaka pamoja na sadaka zake za vinywaji, kuwa nyongeza ya sadaka za kawaida za kuteketezwa, pamoja na sadaka yake ya nafaka. Hakikisha kuwa wanyama hao hawana dosari.
Hagi waini ofane eri mago hunka ana ofa retroma hanazana, witi ofane tevefi kre fanene hu ofa megahie. Hagi mika ofama hanaza zagaramimofona afuhe afahera osu'nesia su'zanu ofa hugahane.