< Hesabu 28 >
Ja Herra puhui Moosekselle sanoen:
2 “Wape Waisraeli agizo hili na uwaambie: ‘Hakikisheni kwamba mnaniletea mimi kwa wakati uliowekwa chakula kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, kama harufu nzuri ya kupendeza.’
"Käske israelilaisia ja sano heille: Pitäkää vaari siitä, että tuotte minulle minun uhrilahjani, ruokani, suloisesti tuoksuvat uhrini, määräaikanaan.
3 Waambie: ‘Hii ni sadaka ya kuteketezwa kwa moto mnayomtolea Bwana: wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasio na dosari, kama sadaka ya kawaida ya kuteketezwa kila siku.
Ja sano heille: Tämä on se uhri, joka teidän on tuotava joka päivä Herralle: kaksi vuoden vanhaa virheetöntä karitsaa jokapäiväiseksi polttouhriksi.
4 Andaa mwana-kondoo mmoja asubuhi na mwingine jioni,
Uhraa toinen karitsa aamulla, ja toinen karitsa uhraa iltahämärässä
5 kila mmoja atolewe pamoja na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa pamoja na robo ya hini ya mafuta ya zeituni.
ja ruokauhriksi kymmenesosa eefa-mittaa lestyjä jauhoja, sekoitettuna neljännekseen hiin-mittaa survomalla saatua öljyä.
6 Hii ni sadaka ya kawaida ya kuteketezwa iliyoanzishwa katika Mlima Sinai kama harufu nzuri ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
Tämä on jokapäiväinen polttouhri, joka toimitettiin Siinain vuorella suloisesti tuoksuvaksi uhriksi Herralle.
7 Sadaka ya kinywaji itakayotolewa pamoja na kila mwana-kondoo ni robo ya hini ya kinywaji kilichochachuka. Mimina sadaka ya kinywaji kwa Bwana mahali patakatifu.
Ja siihen kuulukoon juomauhrina neljännes hiin-mittaa viiniä kumpaakin karitsaa kohti. Pyhäkössä vuodata Herralle höysteviiniuhri.
8 Andaa yule mwana-kondoo wa pili jioni, pamoja na sadaka ya nafaka na sadaka ya kinywaji kama ulivyofanya kwa ile sadaka nyingine ya asubuhi. Hii ni sadaka iliyotolewa kwa kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
Ja toinen karitsa uhraa iltahämärässä ja toimita siihen kuuluva ruoka-ja juomauhri samalla tavoin kuin aamullakin, suloisesti tuoksuvaksi uhriksi Herralle.
9 “‘Siku ya Sabato, utatoa sadaka ya wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari pamoja na sadaka yake ya kinywaji na sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta.
Mutta sapatinpäivänä uhraa kaksi vuoden vanhaa virheetöntä karitsaa ynnä kaksi kymmenennestä lestyjä jauhoja, öljyyn sekoitettuna, ruokauhriksi, sekä siihen kuuluva juomauhri.
10 Hii ni sadaka ya kuteketezwa itakayotolewa kwa ajili ya kila Sabato, pamoja na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya kinywaji.
Tämä on sapatin polttouhri, joka uhrattakoon kunakin sapattina jokapäiväisen polttouhrin ja siihen kuuluvan juomauhrin ohella.
11 “‘Siku ya kwanza ya kila mwezi, mtamletea Bwana sadaka ya kuteketezwa ya fahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasiokuwa na dosari.
Ja kuukausienne ensimmäisenä päivänä tuokaa polttouhriksi Herralle kaksi mullikkaa, oinas ja seitsemän virheetöntä vuoden vanhaa karitsaa
12 Pamoja na kila fahali, kutakuwa na sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa, uliochanganywa na mafuta, pamoja na kondoo dume mmoja, sadaka ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta;
sekä kolme kymmenennestä lestyjä jauhoja, öljyyn sekoitettuna, ruokauhriksi kutakin mullikkaa kohti ynnä kaksi kymmenennestä lestyjä jauhoja, öljyyn sekoitettuna, ruokauhriksi oinasta kohti,
13 pamoja na kila mwana-kondoo, sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa na mafuta. Hii ni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, harufu nzuri, sadaka ya kuteketezwa iliyotolewa kwa moto kwa Bwana.
sekä yksi kymmenennes lestyjä jauhoja, öljyyn sekoitettuna, ruokauhriksi kutakin karitsaa kohti. Tämä on polttouhri, suloisesti tuoksuva uhri Herralle.
14 Pamoja na kila fahali kutakuwa na sadaka ya kinywaji nusu ya hini ya divai; pamoja na kila kondoo dume, theluthi moja ya hini, na pamoja na kila mwana-kondoo robo hini. Hii ni sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi itakayotolewa kila mwandamo wa mwezi kwa mwaka.
Ja niihin kuulukoon juomauhrina puoli hiin-mittaa viiniä kutakin mullikkaa kohti ja kolmannes hiin-mittaa oinasta kohti ja neljännes hiin-mittaa karitsaa kohti. Tämä on uudenkuun polttouhri, joka uhrattakoon kunakin uutenakuuna, vuoden kaikkina kuukausina.
15 Zaidi ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya kinywaji, mbuzi mmoja dume atatolewa kwa Bwana kama sadaka ya dhambi.
Ja sitäpaitsi uhratkaa yksi kauris syntiuhriksi Herralle. Se uhrattakoon jokapäiväisen polttouhrin ynnä siihen kuuluvan juomauhrin ohella.
16 “‘Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza, itafanyika Pasaka ya Bwana.
Ja ensimmäisessä kuussa, kuukauden neljäntenätoista päivänä, on pääsiäinen Herran kunniaksi.
17 Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huo itakuwa sikukuu; kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu.
Ja saman kuukauden viidentenätoista päivänä on juhla; seitsemän päivää syötäköön happamatonta leipää.
18 Katika siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, msifanye kazi za kawaida.
Ensimmäisenä päivänä on pyhä kokous; älkää silloin yhtäkään arkiaskaretta toimittako.
19 Leteni mbele za Bwana sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo dume saba wenye umri wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
Ja tuokaa polttouhriksi Herralle kaksi mullikkaa, oinas ja seitsemän vuodenvanhaa karitsaa; ne olkoot virheettömät.
20 Pamoja na kila fahali, andaa sadaka ya nafaka sehemu tatu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa;
Ja niihin kuuluvana ruokauhrina uhratkaa lestyjä jauhoja, öljyyn sekoitettuna, kolme kymmenennestä mullikkaa kohti ja kaksi kymmenennestä oinasta kohti.
21 pia pamoja na kila mmoja wa wale wana-kondoo saba, andaa sehemu ya kumi ya efa.
Kutakin kohti niistä seitsemästä karitsasta uhratkaa kymmenennes.
22 Pia mtoe beberu mmoja kama sadaka ya dhambi ambaye atafanya upatanisho kwa ajili yenu.
Ja vielä uhratkaa kauris syntiuhriksi, joka tuottaa teille sovituksen.
23 Andaa hizi licha ya zile sadaka za kawaida za kuteketezwa za kila asubuhi.
Paitsi aamupolttouhria, joka on jokapäiväinen polttouhri, uhratkaa nämä.
24 Kwa njia hii andaa chakula cha sadaka ya kuteketezwa kila siku, kwa siku saba kama harufu nzuri impendezayo Bwana. Hii itaandaliwa licha ya ile sadaka ya kawaida ya kuteketezwa ya kila siku pamoja na sadaka yake ya kinywaji.
Samoin uhratkaa Herralle joka päivä seitsemän päivän aikana leipää suloisesti tuoksuvaksi uhriksi; uhratkaa tämä jokapäiväisen polttouhrin ynnä siihen kuuluvan juomauhrin ohella.
25 Siku ya saba mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.
Ja seitsemäntenä päivänä olkoon teillä pyhä kokous; älkää silloin yhtäkään arkiaskaretta toimittako.
26 “‘Siku ya malimbuko, mnapomletea Bwana sadaka ya nafaka mpya wakati wa Sikukuu ya Majuma, mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.
Mutta uutisen päivänä, kun tuotte uuden ruokauhrin Herralle viikkojuhlananne, olkoon teillä pyhä kokous; älkää silloin yhtäkään arkiaskaretta toimittako.
27 Mlete sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na pia wana-kondoo saba wenye umri wa mwaka mmoja, kama harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
Ja tuokaa suloisesti tuoksuvaksi polttouhriksi Herralle kaksi mullikkaa, oinas ja seitsemän vuodenvanhaa karitsaa
28 Pamoja na kila fahali itatolewa sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini;
ja niihin kuuluvana ruokauhrina lestyjä jauhoja, öljyyn sekoitettuna, kolme kymmenennestä kutakin mullikkaa kohti, kaksi kymmenennestä oinasta kohti
29 na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba.
ja yksi kymmenennes kutakin kohti niistä seitsemästä karitsasta;
30 Ongeza beberu mmoja kwa kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
ja yksi kauris sovittamiseksenne.
31 Andaa hizi sadaka pamoja na sadaka zake za vinywaji, kuwa nyongeza ya sadaka za kawaida za kuteketezwa, pamoja na sadaka yake ya nafaka. Hakikisha kuwa wanyama hao hawana dosari.
Paitsi jokapäiväistä polttouhria ja siihen kuuluvaa ruokauhria uhratkaa nämä ynnä niihin kuuluvat juomauhrit; eläimet olkoot virheettömät."