< Hesabu 28 >
Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
2 “Wape Waisraeli agizo hili na uwaambie: ‘Hakikisheni kwamba mnaniletea mimi kwa wakati uliowekwa chakula kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, kama harufu nzuri ya kupendeza.’
“Isala: ili dunu ilima ilia da sema defele, ha: i manu iasu amo Na da hahawane ba: sa, amo Nama ima: ne sia: ma.
3 Waambie: ‘Hii ni sadaka ya kuteketezwa kwa moto mnayomtolea Bwana: wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasio na dosari, kama sadaka ya kawaida ya kuteketezwa kila siku.
Ha: i manu iasu agoane Hina Godema ima. Eso huluane, dilia da sibi mano gawali aduna ledo hamedei amo da ode afadafa esalu, amo gobele salima.
4 Andaa mwana-kondoo mmoja asubuhi na mwingine jioni,
Hahabe, sibi mano afae amo gobele salima. Eno da daeya gobele salima.
5 kila mmoja atolewe pamoja na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa pamoja na robo ya hini ya mafuta ya zeituni.
Amo sibi mano gobesea, gilisili widi falaua1gilogala: me amola1lida olife susuligi noga: i amo ima.
6 Hii ni sadaka ya kawaida ya kuteketezwa iliyoanzishwa katika Mlima Sinai kama harufu nzuri ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
Amo da eso huluane iasu liligi. Dafawanedafa gogo gobesima. Isala: ili dunu da musa: degabo amo iasu Sainai Goumia ha: i manu iasu agoane i. Na da amo ea gabusiga: hahawane nabi.
7 Sadaka ya kinywaji itakayotolewa pamoja na kila mwana-kondoo ni robo ya hini ya kinywaji kilichochachuka. Mimina sadaka ya kinywaji kwa Bwana mahali patakatifu.
Hahabe sibi mano gobele salasea, waini hano 1lida amo oloda amoga soga: sima. Amo da waini hano iasu.
8 Andaa yule mwana-kondoo wa pili jioni, pamoja na sadaka ya nafaka na sadaka ya kinywaji kama ulivyofanya kwa ile sadaka nyingine ya asubuhi. Hii ni sadaka iliyotolewa kwa kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
Daeya eno sibi mano amo hahabe hamoi defele hamoma. Amola waini hano defele ima. Amo amola da ha: i manu iasu. Hina Gode da amo ea gabusiga: hahawane naba.
9 “‘Siku ya Sabato, utatoa sadaka ya wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari pamoja na sadaka yake ya kinywaji na sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta.
Sa: bade eso amoga sibi mano gawali aduna ode afae lalelegei, ledo hamedei amo ima. Amoga2 gilogala: me widi falaua (olife susuligi bibiogoi) amola waini iasu gilisima.
10 Hii ni sadaka ya kuteketezwa itakayotolewa kwa ajili ya kila Sabato, pamoja na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya kinywaji.
Amo Gobei Iasu (Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu), dilia Sa: bade eso huluane hamoma. Amola amo esoha, eso huluane hamosu iasu amola ea waini hano iasu amo gilisili hamoma.
11 “‘Siku ya kwanza ya kila mwezi, mtamletea Bwana sadaka ya kuteketezwa ya fahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasiokuwa na dosari.
Eso age oubi huluane ganodini, Hina Godema Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu hamoma. Amo da bulamagau gawali waha debe aduna, sibi gawali afae amola sibi mano gawali ode afae lalelegei fesuale, huluane da ledo hamedei noga: i fawane, amo ima.
12 Pamoja na kila fahali, kutakuwa na sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa, uliochanganywa na mafuta, pamoja na kondoo dume mmoja, sadaka ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta;
Gala: ine Iasu da falaua amola olife susuligi gilisi. Bulamagau gawali afae afae amoga widi falaua3 gilogala: me gilisima. Sibi gawali amoga 2 gilogala: me falaua gilisima.
13 pamoja na kila mwana-kondoo, sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa na mafuta. Hii ni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, harufu nzuri, sadaka ya kuteketezwa iliyotolewa kwa moto kwa Bwana.
Sibi mano gawali afae afae amoga1 gilogala: me falaua gilisima. Amo Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu da ha: i manu iasu, amola amoga ea gabusiga: Hina Gode da hahawane naba.
14 Pamoja na kila fahali kutakuwa na sadaka ya kinywaji nusu ya hini ya divai; pamoja na kila kondoo dume, theluthi moja ya hini, na pamoja na kila mwana-kondoo robo hini. Hii ni sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi itakayotolewa kila mwandamo wa mwezi kwa mwaka.
Waini iasu da agoane imunu. Bulamagau gawali afae afae amoga2lida waini hano. Sibi gawali amoga1 1/2lida waini hano. Amola sibi mano afae afae amoga 1 lida waini hano ima. Malasu da agoane gala. Oubi huluane eso age amoga, Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu gobei agoane hamoma: mu.
15 Zaidi ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya kinywaji, mbuzi mmoja dume atatolewa kwa Bwana kama sadaka ya dhambi.
Amola eso huluane Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu amola waini hano iasu amoga goudi gawali afae amo Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu amo hamoma.
16 “‘Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza, itafanyika Pasaka ya Bwana.
Baligisu Lolo Nasu amo da Hina Godema nodoma: ne hamosa, amo da eso 14oubi age amoga hamoma.
17 Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huo itakuwa sikukuu; kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu.
Eso 15 amoga, Hina Godema dawa: ma: ne gilisisu hamoma. Amo gilisisu eso fesuale hamoma, amola amoga dilia agi da yisidi hame sali liligi fawane manu.
18 Katika siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, msifanye kazi za kawaida.
Eso age amoga gilisisu da, Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: gilisima. Amo esoha, hawa: hamosu mae hamoma.
19 Leteni mbele za Bwana sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo dume saba wenye umri wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu gobele salima. Amo da Hina Godema ha: i manu iasu. Amo iasu da bulamagau gawali waha debe aduna, sibi gawali afae amola ode afae lalelegei sibi mano gawali. Amo liligi da noga: idafa ledo hamedei liligi fawane.
20 Pamoja na kila fahali, andaa sadaka ya nafaka sehemu tatu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa;
Amola sia: i liligi gala: ine iasu amo falaua amola olife susuligi gilisi ima. Bulamagau gawali amoga gilogala: me udiana gilisima amola sibi gawali amoga gilogala: me aduna gilisima,
21 pia pamoja na kila mmoja wa wale wana-kondoo saba, andaa sehemu ya kumi ya efa.
amola sibi mano afae afae amoga gilogala: me afadafa gilisima.
22 Pia mtoe beberu mmoja kama sadaka ya dhambi ambaye atafanya upatanisho kwa ajili yenu.
Amola goudi gawali afae, Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu hamoma: ne, ima. Amo da Isala: ili dunu ilia ledo hamoi dodofema: ne hamosa.
23 Andaa hizi licha ya zile sadaka za kawaida za kuteketezwa za kila asubuhi.
Amo da gilisili eso huluane Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu (Gobei Iasu) amola hamoma.
24 Kwa njia hii andaa chakula cha sadaka ya kuteketezwa kila siku, kwa siku saba kama harufu nzuri impendezayo Bwana. Hii itaandaliwa licha ya ile sadaka ya kawaida ya kuteketezwa ya kila siku pamoja na sadaka yake ya kinywaji.
Amo defele, Hina Godema ha: i manu iasu ima! Amo ea gabusiga: , E da hahawane naba. Amola eso huluane Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu amola waini iasu gilisili hamoma.
25 Siku ya saba mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.
Eso fesu ganodini, Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: gilisima. Amola amo esoga hawa: hamosu mae hamoma.
26 “‘Siku ya malimbuko, mnapomletea Bwana sadaka ya nafaka mpya wakati wa Sikukuu ya Majuma, mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.
Ha: i Manu Gaheabolo Fai Lolo Nasu gilisisu amoga, eso agega, dilia da gagoma gaheabolo iasu Hina Godema iasea, Ema nodone sia: ne gadomusa: gilisima. Hawa: hamosudafa mae hamoma.
27 Mlete sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na pia wana-kondoo saba wenye umri wa mwaka mmoja, kama harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
Hina Gode amo gabusiga: hahawane nabima: ne, Ema Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu (gobei) agoane ima amo bulamagau gawali waha debe aduna, sibi gawali afae amola sibi mano gawali ode afae lalelegei fesuale gala, amo huluane da noga: i ledo hamedei fawane ima.
28 Pamoja na kila fahali itatolewa sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini;
Amola sia: i liligi Gala: ine Iasu, amo falaua amola olife susuligi gilisili ima. Bulamagau gawali amoga gilogala: me udiana gilisima amola sibi gawali amoga gilogala: me aduna gilisima,
29 na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba.
amola sibi mano afae afae amoga gilogala: me afadafa gilisima.
30 Ongeza beberu mmoja kwa kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
Amola goudi gawali afae Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu hamoma: ne, ima. Amo da Isala: ili dunu ilia ledo hamoi dodofema: ne hamosa.
31 Andaa hizi sadaka pamoja na sadaka zake za vinywaji, kuwa nyongeza ya sadaka za kawaida za kuteketezwa, pamoja na sadaka yake ya nafaka. Hakikisha kuwa wanyama hao hawana dosari.
Amo amola waini hano iasu, amola eso huluane Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu (Gobei Iasu) amola Gala: ine Iasu amo gilisili ima.