< Hesabu 27 >

1 Binti za Selofehadi mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, walikuwa wa koo za Manase mwana wa Yosefu. Majina ya hao binti yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa. Walikaribia
Forsothe the douytris of Salphaat, sone of Epher, sone of Galaad, sone of Machir, sone of Manasses, that was `the sone of Joseph, neiyeden; of whiche douytris these ben the names; Maala, and Noha, and Egla, and Melcha, and Thersa.
2 ingilio la Hema la Kukutania na kusimama mbele ya Mose, kuhani Eleazari, viongozi na kusanyiko lote, wakasema,
And thei stoden bifore Moises, and Eleazar, preest, and alle the princes of the puple, at the dore of tabernacle of boond of pees; and seiden,
3 “Baba yetu alikufa jangwani. Hakuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora, ambao walifungamana pamoja dhidi ya Bwana, lakini alikufa kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe na hakuacha wana.
Oure fadir was deed in the deseert, nether he was in the rebelte, that was reisid ayens the Lord, vndur Chore, but he was deed in his synne; he hadde no male sones. Whi is `the name of hym takun awei fro his meynee, for he hath no sone? Yif ye possessioun to vs among `the kynesmen of oure fadir.
4 Kwa nini jina la baba yetu lifutike kutoka ukoo wake kwa sababu hakuwa na mwana? Tupatie milki miongoni mwa ndugu za baba yetu.”
And Moises telde `the cause of hem to the doom of the Lord;
5 Kwa hiyo Mose akalileta shauri lao mbele za Bwana,
which seide to Moyses, The douytris of Salphaath axen a iust thing; yyue thou possessioun to hem among `the kynnysmen of her fadir,
6 naye Bwana akamwambia Mose,
and be thei successouris to hym in to eritage.
7 “Wanachosema binti za Selofehadi ni sawa. Ni lazima kwa hakika uwape milki kama urithi miongoni mwa ndugu za baba yao, na kubadili urithi wa baba yao uwe wao.
Forsothe thou schalt speke these thingis to the sons of Israel,
8 “Waambie Waisraeli, ‘Ikiwa mtu atakufa naye hakuacha mwana, utampa binti yake urithi wake.
Whanne a man is deed with out sone, the eritage schal go to his douyter;
9 Ikiwa hana binti, wape ndugu zake wa kiume urithi wake.
if he hath not a douyter, he schal haue eiris his britheren;
10 Ikiwa hana ndugu wa kiume toa urithi wake kwa ndugu za baba yake.
that and if britheren ben not, ye schulen yyue the eritage to `the britheren of his fadir;
11 Ikiwa baba yake hakuwa na ndugu wa kiume, toa urithi wake kwa ndugu wa karibu katika ukoo wake, ili aumiliki. Hili litakuwa dai la sheria kwa Waisraeli, kama Bwana alivyomwamuru Mose.’”
forsothe if he hath no britheren of his fadir, the eritage schal be youun to hem that ben next to hym. And this schal be hooli, `that is, stidefast, bi euerlastynge lawe to the sones of Israel, as the Lord comaundide to Moises.
12 Kisha Bwana akamwambia Mose, “Panda juu ya mlima huu katika kilele cha Abarimu uione nchi ambayo nimewapa Waisraeli.
Also the Lord seide to Moises, Stie thou in to this hil of Aberym, and biholde thou fro thennus the lond, which Y schal yyue to the sones of Israel.
13 Baada ya kuiona, wewe pia utakusanywa pamoja na watu wako kama ndugu yako Aroni alivyokusanywa,
And whanne thou hast seyn it, also thou schalt go to thi puple, as thi brother Aaron yede;
14 kwa kuwa jumuiya ilipoasi amri yangu kwenye maji katika Jangwa la Sini, wakati jumuiya ilipogombana nami, nyote wawili mliacha kuitii amri yangu ya kuniheshimu kama mtakatifu mbele ya macho yao.” (Haya yalikuwa maji ya Meriba huko Kadeshi, katika Jangwa la Sini.)
for thou offenddidist me in the deseert of Syn, in the ayen seiyng of the multitude, nether woldist halewe me bifor it, on the watris. These ben the watris of ayen seiyng, in Cades, of the deseert of Syn.
15 Mose akamwambia Bwana,
To whom Moises answeryde,
16 “Bwana, Mungu wa roho zote za wanadamu, na amteue mtu juu ya jumuiya hii
The Lord God of spiritis of al fleisch puruey a man, that be on this multitude,
17 ili atoke na kuingia mbele yao, atakayewaongoza katika kutoka kwao na kuingia kwao, ili watu wa Bwana wasiwe kama kondoo wasio na mchungaji.”
and may go out, and entre bifor hem, and lede hem out, and lede hem yn, lest the `puple of the Lord be as scheep with out schepherde.
18 Kwa hiyo Bwana akamwambia Mose, “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mtu ambaye Roho yuko ndani yake, uweke mkono juu yake.
And the Lord seide to hym, Take thou Josue, the sone of Nun, a man in whom the spyrit of God is, and set thin hond on hym; and he schal stonde bifore Eleazar,
19 Msimamishe mbele ya kuhani Eleazari pamoja na kusanyiko lote, umpe maagizo mbele yao.
preest, and bifore al the multitude.
20 Mpe sehemu ya mamlaka yako ili jumuiya yote ya Waisraeli ipate kumtii.
And thou schalt yyue to hym comaundementis, in the siyt of alle men, and a part of thi glorie, that al the synagoge of the sones of Israel here hym.
21 Atasimama mbele ya kuhani Eleazari, ambaye atapokea maamuzi kwa ajili yake, kwa kuuliza mbele za Bwana kwa ile Urimu. Kwa amri yake, yeye na jumuiya yote ya Waisraeli watatoka, na kwa amri yake, wataingia.”
If ony thing schal be worthi to be do for this man, Eleasar, preest, schal counseil the Lord; he schal go out, and schal go yn, at the word of Eleazar; he, and alle the sones of Israel with him, and the tother multitude.
22 Mose akafanya kama Bwana alivyomwagiza. Akamtwaa Yoshua na kumsimamisha mbele ya kuhani Eleazari na kusanyiko lote.
Moises dide as the Lord comaundide, and whanne he hadde take Josue, he settide hym bifore Eleazar, preest, and bifore al the multitude of the puple;
23 Kisha akaweka mikono yake juu ya kichwa cha Yoshua na kumpa maagizo, kama vile Bwana alivyoelekeza kupitia kwa Mose.
and whanne he hadde set hondis on his heed, he reherside alle thingis whiche the Lord comaundide.

< Hesabu 27 >