< Hesabu 26 >

1 Baada ya hiyo tauni, Bwana akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni,
Pripetilo se je po kugi, da je Gospod spregovoril Mojzesu in Eleazarju, sinu duhovnika Arona, rekoč:
2 “Hesabu jumuiya yote ya Kiisraeli kwa jamaa zao, wale wote wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, ambao wanaweza kutumika katika jeshi la Israeli.”
»Popišite glave vse skupnosti Izraelovih otrok, od dvajsetih let starosti in naprej, po vseh njihovih očetnih hišah, vse, ki so v Izraelu zmožni, da gredo na vojno.«
3 Hivyo Mose na kuhani Eleazari wakazungumza na watu kwenye nchi tambarare ya Moabu, ngʼambo ya Yordani kutokea Yeriko, wakasema,
Mojzes in duhovnik Eleazar sta z njimi spregovorila na moábskih ravninah, pri Jordanu, blizu Jerihe, rekoč:
4 “Hesabuni wanaume wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.” Hawa ndio Waisraeli waliotoka Misri:
» Popišite glave ljudstva, od dvajsetih let starosti in naprej, « kakor je Gospod zapovedal Mojzesu in Izraelovim otrokom, ki so odšli iz egiptovske dežele.
5 Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa: kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki; kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;
Ruben, najstarejši Izraelov sin. Rubenovi otroci: Hénoh, iz katerega prihaja družina Hénohovcev, iz Palúja družina Palújevcev.
6 kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni; kutoka kwa Karmi, ukoo wa Wakarmi.
Iz Hecróna družina Hecrónovcev, iz Karmíja družina Karmíjevcev.
7 Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730.
To so družine Rubenovcev in tistih, ki so bili izmed njih prešteti, je bilo triinštirideset tisoč sedemsto trideset.
8 Mwana wa Palu alikuwa Eliabu,
Palújevi sinovi: Eliáb.
9 nao wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani na Abiramu. Hawa wawili Dathani na Abiramu ndio walikuwa maafisa wa jumuiya ambao walimwasi Mose na Aroni, na walikuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora wakati walimwasi Bwana.
Eliábovi sinovi: Nemuél, Datán in Abirám. To sta bila tista Datán in Abirám, ki sta bila slavna v skupnosti, ki sta se pričkala zoper Mojzesa in zoper Arona v Korahovi skupini, ko so se pričkali zoper Gospoda
10 Ardhi ilifunua kinywa chake na kuwameza pamoja na Kora, ambaye wafuasi wake walikufa wakati moto ulipowateketeza wanaume 250. Nao walikuwa kama alama ya onyo.
in zemlja je odprla svoja usta ter ju požrla skupaj s Korahom, ko je ta skupina umrla, ko je ogenj použil dvesto petdeset mož in postali so znamenje.
11 Pamoja na hayo, hao ukoo wa Kora hawakufa.
Vendar Korahovi otroci niso umrli.
12 Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini; kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;
Simeonovi sinovi po njihovih družinah: iz Nemuéla družina Nemuélovcev, iz Jamina družina Jamínovcev, iz Jahína družina Jahínovcev,
13 kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera; kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.
iz Zeraha družina Zerahovcev, iz Šaúla družina Šaúlovcev.
14 Hizi ndizo koo za Simeoni; walikuwa 22,200.
To so družine Simeoncev, dvaindvajset tisoč dvesto.
15 Wazao wa Gadi kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Sifoni, ukoo wa Wasifoni; kutoka kwa Hagi, ukoo wa Wahagi; kutoka kwa Shuni, ukoo wa Washuni;
Gadovi otroci po njihovih družinah: od Cefóna družina Cefónovcev, od Hagíja družina Hagíjevcev, od Šuníja družina Šuníjevcev,
16 kutoka kwa Ozni, ukoo wa Waozni; kutoka kwa Eri, ukoo wa Waeri;
od Ozníja družina Ozníjevcev, od Eríja družina Eríjevcev,
17 kutoka kwa Arodi, ukoo wa Waarodi; kutoka kwa Areli, ukoo wa Waareli.
od Aróda družina Aródovcev, od Arelíja družina Arelíjcev.
18 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Gadi; wale waliohesabiwa walikuwa 40,500.
To so družine Gadovih otrok glede na tiste, ki so bili izmed njih prešteti, štirideset tisoč petsto.
19 Eri na Onani walikuwa wana wa Yuda, lakini walifia huko Kanaani.
Judova sinova sta bila Er in Onán, in Er in Onán sta umrla v kánaanski deželi.
20 Wazao wa Yuda kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Shela, ukoo wa Washela; kutoka kwa Peresi, ukoo wa Waperesi; kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera.
Judovi sinovi po njihovih družinah so bili: od Šelája družina Šelájevcev, od Pareca družina Parecovcev, od Zeraha družina Zerahovcev.
21 Wazao wa Peresi walikuwa: kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni; kutoka kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.
Parecovi sinovi so bili: od Hecróna družina Hecrónovcev, od Hamúla družina Hamúlovcev.
22 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda; wale waliohesabiwa walikuwa 76,500.
To so Judove družine, glede na tiste, ki so bili izmed njih prešteti, šestinsedemdeset tisoč petsto.
23 Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola; kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;
Od Isahárjevih sinov po njihovih družinah: od Tolá družina Tolájevcev, od Puvá družina Puvájevcev,
24 kutoka kwa Yashubu, ukoo wa Wayashubu; kutoka kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.
od Jašúba družina Jašúbovcev, od Šimróna družina Šimrónovcev.
25 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Isakari; wale waliohesabiwa walikuwa 64,300.
To so družine Isahárja, glede na tiste, ki so bili izmed njih prešteti, šestinsedemdeset tisoč tristo.
26 Wazao wa Zabuloni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Seredi, ukoo wa Waseredi; kutoka kwa Eloni, ukoo wa Waeloni; kutoka kwa Yaleeli, ukoo wa Wayaleeli.
Od Zábulonovih sinov po njihovih družinah: od Sereda družina Seredovcev, od Elóna družina Elónovcev, od Jahleéla družina Jahleélovcev.
27 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Zabuloni, wale waliohesabiwa walikuwa 60,500.
To so družine Zábulonovcev, glede na tiste, ki so bili izmed njih prešteti, šestdeset tisoč petsto.
28 Wazao wa Yosefu kwa koo zao kutoka kwa Manase na kwa Efraimu walikuwa:
Jožefova sinova po svojih družinah sta bila Manáse in Efrájim.
29 Wazao wa Manase: kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi); kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.
Od Manásejevih sinov: od Mahírja družina Mahírjevcev in Mahír je zaplodil Gileáda. Iz Gileáda je izšla družina Gileádcev.
30 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Gileadi: kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri; kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;
To so Gileádovi sinovi: od Iezerja družina Iezerjevcev, od Heleka družina Helekovcev
31 kutoka kwa Asirieli, ukoo wa Waasirieli; kutoka kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu;
in od Asriéla družina Asriélovcev in od Sihema družina Sihemcev
32 kutoka kwa Shemida, ukoo wa Washemida; kutoka kwa Heferi, ukoo wa Waheferi.
in od Šemidája družina Šemidájevcev in od Heferja družina Heferjevcev.
33 (Selofehadi mwana wa Heferi hakuzaa wana, bali alikuwa na watoto wa kike tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.)
Celofhád, sin Heferja, pa ni imel sinov, temveč hčere in imena Celofhádovih hčera so bila Mahla, Noa, Hogla, Milka in Tirca.
34 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Manase; wale waliohesabiwa walikuwa 52,700.
To so Manásejeve družine in tistih, ki so bili izmed njih prešteti, dvainpetdeset tisoč sedemsto.
35 Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao: kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela; kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri; kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;
To so Efrájimovi sinovi po njihovih družinah: od Šutélaha družina Šutélahovcev, od Beherja družina Beherjevcev, od Tahana družina Táhanovcev.
36 Hawa ndio walikuwa wazao wa Shuthela: kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.
To so Šutélahovi sinovi: od Erána družina Eránovcev.
37 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa 32,500. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yosefu kwa koo zao.
To so družine Efrájimovih sinov glede na tiste, ki so bili izmed njih prešteti, dvaintrideset tisoč petsto. To so Jožefovi sinovi po njihovih družinah.
38 Wazao wa Benyamini kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Bela, ukoo wa Wabela; kutoka kwa Ashbeli, ukoo wa Waashbeli; kutoka kwa Ahiramu, ukoo wa Waahiramu;
Benjaminovi sinovi po njihovih družinah: od Bela družina Bélovcev, od Ašbéla družina Ašbélovcev, od Ahiráma družina Ahirámovcev,
39 kutoka kwa Shufamu, ukoo wa Washufamu; kutoka kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.
od Šufáma družina Šufámovcev, od Hufáma družina Hufámovcev.
40 Wazao wa Bela kutoka kwa Ardi na Naamani walikuwa: kutoka kwa Ardi, ukoo wa Waardi; kutoka kwa Naamani, ukoo wa Wanaamani.
Belova sinova sta bila Ard in Naamán: od Arda družina Ardovcev in od Naamána družina Naamánovcev.
41 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Benyamini; wale waliohesabiwa walikuwa 45,600.
To so Benjaminovi sinovi po svojih družinah in tistih, ki so bili izmed njih prešteti, je bilo petinštirideset tisoč šeststo.
42 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Dani kwa koo zao: kutoka kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Dani:
To so Danovi sinovi po svojih družinah: od Šuháma družina Šuhámovcev. To so Danove družine po svojih družinah.
43 Wote walikuwa koo za Washuhamu; wale waliohesabiwa walikuwa 64,400.
Vseh družin Šuhámovcev, glede na tiste, ki so bili izmed njih prešteti, je bilo štiriinšestdeset tisoč štiristo.
44 Wazao wa Asheri kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Imna, ukoo wa Waimna; kutoka kwa Ishvi, ukoo wa Waishvi; kutoka kwa Beria, ukoo wa Waberia;
Od Aserjevih otrok po svojih družinah: od Jimnája družina Jimnájevcev, od Jišvíja družina Jišvíjevcev, od Berijá družina Berijájevcev.
45 kutoka kwa wazao wa Beria: kutoka kwa Heberi, ukoo wa Waheberi; kutoka kwa Malkieli, ukoo wa Wamalkieli.
Berijájevi sinovi: od Heberja družina Heberjevcev, od Malkiéla družina Malkiélovcev.
46 (Asheri alikuwa na binti aliyeitwa Sera.)
Ime Aserjeve hčere je bilo Sara.
47 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Asheri; wale waliohesabiwa walikuwa 53,400.
To so družine Aserjevih sinov glede na tiste, ki so bili izmed njih prešteti, katerih je bilo triinpetdeset tisoč štiristo.
48 Wazao wa Naftali kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Yaseeli, ukoo wa Wayaseeli; kutoka kwa Guni, ukoo wa Waguni;
Od Neftálijevih sinov po svojih družinah: od Jahceéla družina Jahceélovcev, od Guníja družina Guníjevcev,
49 kutoka kwa Yeseri, ukoo wa Wayeseri; kutoka kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.
od Jecerja družina Jecerjevcev, od Šiléma družina Šilémovcev.
50 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Naftali; wale waliohesabiwa walikuwa 45,400.
To so Neftálijeve družine glede na svoje družine. Tistih, ki so bili izmed njih prešteti, je bilo petinštirideset tisoč štiristo.
51 Jumla ya hesabu ya wanaume wa Israeli ilikuwa 601,730.
Ti so bili prešteti izmed Izraelovih otrok, šeststo en tisoč sedemsto trideset.
52 Bwana akamwambia Mose,
Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
53 “Watagawiwa nchi kama urithi kwa kulingana na hesabu ya majina.
»Tem bo dežela razdeljena v dediščino, glede na število imen.
54 Kundi kubwa zaidi lipe urithi mkubwa zaidi, na kundi dogo zaidi lipewe urithi mdogo zaidi; kila kundi litapokea urithi wake kulingana na hesabu ya wale walioorodheshwa.
Mnogim boš dal več dediščine in maloštevilnim boš dal manj dediščine. Vsakomur bo njegova dediščina dana glede na tiste, ki jih je preštel.
55 Hakikisha kuwa nchi inagawanywa kwa kura. Kile kitakachorithiwa na kila kikundi kitakuwa kwa kulingana na majina ya kabila la babu yao.
Vendar naj bo dežela razdeljena z žrebom. Dedujejo naj glede na imena rodov svojih očetov.
56 Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”
Njihova posest bo glede na žreb razdeljena med številne in maloštevilne.«
57 Hawa walikuwa Walawi ambao walihesabiwa kwa koo zao: kutoka kwa Gershoni, ukoo wa Wagershoni; kutoka kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi; kutoka kwa Merari, ukoo wa Wamerari.
To so tisti, ki so bili prešteti izmed Lévijevcev po njihovih družinah: iz Geršóna družina Geršónovcev, iz Keháta družina Kehátovcev, iz Meraríja družina Meraríjevcev.
58 Hizi pia zilikuwa koo za Walawi: ukoo wa Walibni; ukoo wa Wahebroni; ukoo wa Wamahli; ukoo wa Wamushi; ukoo wa wana wa Kora. (Kohathi alikuwa baba aliyemzaa Amramu;
To so družine Lévijevcev: družina Libníjevcev, družina Hebróncev, družina Mahlíjevcev, družina Mušíjevcev, družina Kórahovcev. In Kehát je zaplodil Amráma.
59 jina la mke wa Amramu ni Yokebedi, naye pia alikuwa mzao wa Lawi, ambaye alizaliwa kwa Walawi nchini Misri. Alimzalia Amramu: Aroni, Mose na dada yao Miriamu.
Ime Amrámove žene je bilo Johébeda, Lévijeva hči, ki jo je njena mati rodila Leviju v Egiptu, in Amrámu je rodila Arona, Mojzesa in njuno sestro Mirjam.
60 Aroni alikuwa baba yake Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.
Aronu so bili rojeni Nadáb, Abihú, Eleazar in Itamár.
61 Lakini Nadabu na Abihu walikufa wakati walitoa sadaka mbele za Bwana kwa moto usioruhusiwa.)
Nadáb in Abihú sta umrla, ko sta pred Gospodom darovala tuj ogenj.
62 Wanaume wote wa Walawi wa umri wa mwezi mmoja na zaidi walikuwa 23,000. Wao hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine kwa sababu hawakupokea urithi miongoni mwao.
Tistih, ki so bili izmed njih prešteti, je bilo triindvajset tisoč, vseh moških starih en mesec in več, kajti niso bili prešteti izmed Izraelovih otrok, ker jim ni bila dana dediščina med Izraelovimi otroki.
63 Hawa ndio walioorodheshwa na Mose na kuhani Eleazari wakati waliwahesabu Waisraeli kwenye nchi tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
To so tisti, ki sta jih preštela Mojzes in duhovnik Eleazar, ki sta Izraelove otroke preštela na moábskih ravninah pri Jordanu, blizu Jerihe.
64 Hakuna hata mmoja wao aliyekuwa miongoni mwa wale waliohesabiwa na Mose na kuhani Aroni wakati waliwahesabu Waisraeli katika Jangwa la Sinai.
Toda med temi ni bilo moža izmed njih, ki ga Mojzes in duhovnik Aron ne bi preštela, ko so v Sinajski divjini šteli Izraelove otroke.
65 Kwa maana Bwana alikuwa amewaambia hao Waisraeli hakika wangekufa huko jangwani, wala hakuna mmoja wao aliyeachwa, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.
Kajti Gospod je o njih rekel: »Zagotovo bodo umrli v divjini.« In tam izmed njih ni ostalo nobenega moža razen Jefunéjevega sina Kaléba in Nunovega sina Józueta.

< Hesabu 26 >