< Hesabu 26 >

1 Baada ya hiyo tauni, Bwana akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni,
Dimteng ti tiempo a kalpasan ti didigra ket kinasarita ni Yahweh da Moises ken Eleazar nga anak ni Aaron a padi. Kinunana,
2 “Hesabu jumuiya yote ya Kiisraeli kwa jamaa zao, wale wote wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, ambao wanaweza kutumika katika jeshi la Israeli.”
“Bilangenyo dagiti amin a tattao ti Israel, manipud iti agtawen ti duapulo ken agpangato, babaen kadagiti pamilia dagiti kapuonanda, amin a makabael a makigubat para iti Israel.”
3 Hivyo Mose na kuhani Eleazari wakazungumza na watu kwenye nchi tambarare ya Moabu, ngʼambo ya Yordani kutokea Yeriko, wakasema,
Nagsao ngarud kadakuada da Moises ken Eleazar a padi idiay patad ti Moab iti igid ti Jordan idiay Jerico ket kinunada,
4 “Hesabuni wanaume wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.” Hawa ndio Waisraeli waliotoka Misri:
“Bilangenyo dagiti tattao, manipud iti agtawen ti duapulo ken agpangato, kas imbilin ni Yahweh kenni Moises ken kadagiti tattao ti Israel a rimmuar manipud iti daga ti Egipto.”
5 Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa: kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki; kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;
Ni Ruben ti inauna nga anak ni Israel. Manipud kenni Hanoc, a lalaki nga anakna ket nagtaud ti puli a Hanokita. Manipud kenni Pallu, nagtaud ti puli a Pallaluita.
6 kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni; kutoka kwa Karmi, ukoo wa Wakarmi.
Manipud kenni Hezron, nagtaud ti puli a Hezronita. Manipud kenni Carmi, nagtaud ti puli a Carminita.
7 Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Ruben, agarup a 43, 730 a lallaki.
8 Mwana wa Palu alikuwa Eliabu,
Ni Elliab ti anak a lalaki ni Pallu.
9 nao wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani na Abiramu. Hawa wawili Dathani na Abiramu ndio walikuwa maafisa wa jumuiya ambao walimwasi Mose na Aroni, na walikuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora wakati walimwasi Bwana.
Ni Nemuel, Datan ken Abriam ket annak a lalaki ni Elliab. Ni Datan kenni Abriam ket dagitoy ti simmurot kenni Kora idi kinaritda da Moises ken Aaron ken nagrebeldeda kenni Yahweh.
10 Ardhi ilifunua kinywa chake na kuwameza pamoja na Kora, ambaye wafuasi wake walikufa wakati moto ulipowateketeza wanaume 250. Nao walikuwa kama alama ya onyo.
Nagnganga ti daga ket inalun-onna ida a karaman ni Kora idi natay dagiti amin pasurotna. Iti dayta a tiempo, inkisap ti apuy ti 250 a lallaki, a nagbalin a pagilasinan iti maysa a ballaag.
11 Pamoja na hayo, hao ukoo wa Kora hawakufa.
Ngem saan a natay dagiti kaputotan ni Kora.
12 Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini; kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;
Dagitoy ti puli dagiti kaputotan ni Simeon: Babaen kenni Nemuel, ti puli a Nemuelita. Babaen kenni Jamin, ti puli a Jaminita. babaen kenni Jakin, ti puli a Jakinita.
13 kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera; kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.
Babaen kenni Zera, ti puli a Zeranita. Babaen kenni Saul, ti puli a Saulita.
14 Hizi ndizo koo za Simeoni; walikuwa 22,200.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Simeon, nga agarup a 22, 200 a lallaki.
15 Wazao wa Gadi kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Sifoni, ukoo wa Wasifoni; kutoka kwa Hagi, ukoo wa Wahagi; kutoka kwa Shuni, ukoo wa Washuni;
Dagitoy ti puli dagiti kaputotan ni Gad: Babaen kenni Zefon, ti puli dagiti Zefonita, babaen kenni Aggi, ti puli nga Aggita, babaen kenni Suni, ti puli a sunita,
16 kutoka kwa Ozni, ukoo wa Waozni; kutoka kwa Eri, ukoo wa Waeri;
babaen kenni Ozni, ti puli nga Oznita, babaen kenni Eri, ti puli nga Erita,
17 kutoka kwa Arodi, ukoo wa Waarodi; kutoka kwa Areli, ukoo wa Waareli.
babaen kenni Arod, ti puli nga Arodita, babaen kenni Areli, ti puli nga Arelita.
18 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Gadi; wale waliohesabiwa walikuwa 40,500.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Gad, nga agarup a 40, 500 a lallaki ti bilangda.
19 Eri na Onani walikuwa wana wa Yuda, lakini walifia huko Kanaani.
Dagiti annak a lalaki ni Juda ket da Er ken Onan ngem natay dagitoy a lallaki idiay daga ti Canaan.
20 Wazao wa Yuda kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Shela, ukoo wa Washela; kutoka kwa Peresi, ukoo wa Waperesi; kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera.
Dagiti puli iti dadduma a kaputotan ni Juda ket dagitoy: babaen kenni Sela, ti puli a Selanita, babaen kenni Perez, ti puli a Perezita, ken babaen kenni Zera, ti puli a Zereita.
21 Wazao wa Peresi walikuwa: kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni; kutoka kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.
Dagiti kaputotan ni Perez ket dagitoy: Babaen kenni Hezron, ti puli a Hezronita, babaen kenni Hamul, ti puli a Hamulita.
22 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda; wale waliohesabiwa walikuwa 76,500.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Juda, nga agarup a 76, 500 a lallaki ti bilangda.
23 Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola; kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Issacar ket dagitoy: Babaen kenni Tola, ti puli a Tolaita, babaen kenni Puva, ti puli a Puanita,
24 kutoka kwa Yashubu, ukoo wa Wayashubu; kutoka kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.
babaen kenni Jasub, ti puli a Jasubita, babaen kenni Simron, ti puli a Simronita.
25 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Isakari; wale waliohesabiwa walikuwa 64,300.
Dagitoy dagiti puli ni Issacar, nga agarup a 64, 300 a lallaki ti bilangda.
26 Wazao wa Zabuloni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Seredi, ukoo wa Waseredi; kutoka kwa Eloni, ukoo wa Waeloni; kutoka kwa Yaleeli, ukoo wa Wayaleeli.
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Zebulun ket dagitoy: Babaen kenni Sered, ti puli a Seredita, babaen kenni Elon, ti puli nga Elonita, babaen kenni Jaleel, ti puli a Jaleelita.
27 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Zabuloni, wale waliohesabiwa walikuwa 60,500.
Dagitoy dagiti puli a Zebulonita, nga agarup a 60, 500 a lallaki ti bilangda.
28 Wazao wa Yosefu kwa koo zao kutoka kwa Manase na kwa Efraimu walikuwa:
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Jose ket da Manases ken Efraim.
29 Wazao wa Manase: kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi); kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.
Dagiti kaputotan ni Manases ket dagitoy: babaen kenni Makir, ti puli a Makirita (Makir ket ama ni Galaad), babaen kenni Galaad, ti puli a Galaadita.
30 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Gileadi: kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri; kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;
Dagiti kaputotan ni Galaad ket dagitoy: Babaen kenni Lezer, ti puli a Lezerita, babaen kenni Helek, ti puli a Helekita,
31 kutoka kwa Asirieli, ukoo wa Waasirieli; kutoka kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu;
babaen kenni Asriel, ti puli nga Asrielita,
32 kutoka kwa Shemida, ukoo wa Washemida; kutoka kwa Heferi, ukoo wa Waheferi.
babaen kenni Sekem, ti puli a Sekemita, babaen kenni Hefer, ti puli a Heferita.
33 (Selofehadi mwana wa Heferi hakuzaa wana, bali alikuwa na watoto wa kike tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.)
Ni Zelofehad nga anak a lalaki ni Hefer ket awan lalaki nga anakna, ngem babbai laeng. Dagiti nagan dagiti annakna a babbai ket da Maala, Noa, Hogla Milca ken Tirza.
34 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Manase; wale waliohesabiwa walikuwa 52,700.
Dagitoy dagiti puli ni Manases, nga agarup a 52, 700 lallaki ti bilangda.
35 Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao: kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela; kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri; kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Efraim ket dagitoy: Babaen kenni Sutela, ti puli a Sutelaita, babaen kenni Beker, ti puli a Bekerita, babaen kenni Tahan, ti puli a Tahanita.
36 Hawa ndio walikuwa wazao wa Shuthela: kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.
Dagiti kaputotan ni Sutela ket babaen kenni Eran, ti puli a Eranita.
37 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa 32,500. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yosefu kwa koo zao.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Efraim, nga agarup a 32, 500 a lallaki ti bilangda. Dagitoy dagiti kaputotan ni Jose, nabilang iti tunggal pulida.
38 Wazao wa Benyamini kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Bela, ukoo wa Wabela; kutoka kwa Ashbeli, ukoo wa Waashbeli; kutoka kwa Ahiramu, ukoo wa Waahiramu;
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Benhamin ket dagitoy: Babaen kenni Bela, ti puli a Belaita, babaen kenni Asbel, ti puli nga Asbelita, babaen kenni Ahiram, ti puli nga Ahiramita.
39 kutoka kwa Shufamu, ukoo wa Washufamu; kutoka kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.
babaen kenni Sufufam, ti puli a Sufufamita, babaen kenni Hufam, ti puli a Hufamita.
40 Wazao wa Bela kutoka kwa Ardi na Naamani walikuwa: kutoka kwa Ardi, ukoo wa Waardi; kutoka kwa Naamani, ukoo wa Wanaamani.
Dagiti annak a lalaki ni Bela ket da Ard ken Naaman. Manipud kenni Ard, ti puli nga Ardita, ken manipud kenni Naaman, ti puli a Naamanita.
41 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Benyamini; wale waliohesabiwa walikuwa 45,600.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Benhamin. Agarupda a 45, 600 a lallaki ti bilangda.
42 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Dani kwa koo zao: kutoka kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Dani:
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Dan ket babaen kenni Suham, ti puli a Suhamita. Dagitoy dagiti puli kadagiti kaputotan ni Dan.
43 Wote walikuwa koo za Washuhamu; wale waliohesabiwa walikuwa 64,400.
Amin dagiti puli dagiti Suhamita ket agarup a 64, 400 a lallaki ti bilangda.
44 Wazao wa Asheri kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Imna, ukoo wa Waimna; kutoka kwa Ishvi, ukoo wa Waishvi; kutoka kwa Beria, ukoo wa Waberia;
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Asher ket dagitoy: Babaen kenni Imna, ti puli nga Iminita, babaen kenni Isvi, ti puli nga Isvita, babaen kenni Beria ti puli a Beriarita.
45 kutoka kwa wazao wa Beria: kutoka kwa Heberi, ukoo wa Waheberi; kutoka kwa Malkieli, ukoo wa Wamalkieli.
Dagiti kaputotan ni Beria ket dagitoy: Babaen kenni Heber, ti puli a Heberita, babaen kenni Malkiel, ti puli a Malkielita.
46 (Asheri alikuwa na binti aliyeitwa Sera.)
Ti nagan ti anak a babai ni Aser ket ni Sera.
47 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Asheri; wale waliohesabiwa walikuwa 53,400.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Aser, nga agarup a 53, 400 a lallaki ti bilangda.
48 Wazao wa Naftali kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Yaseeli, ukoo wa Wayaseeli; kutoka kwa Guni, ukoo wa Waguni;
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Naftali ket dagitoy: Babaen kenni Jazeel, ti puli a Jazeelita, babaen kenni Guni, ti puli a Gunita,
49 kutoka kwa Yeseri, ukoo wa Wayeseri; kutoka kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.
babaen kenni Jezer, ti puli a Jezerita, babaen kenni Sillem, ti puli a Sillemita.
50 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Naftali; wale waliohesabiwa walikuwa 45,400.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Naftali, nga agarup a 45, 400 a lallaki ti bilangda.
51 Jumla ya hesabu ya wanaume wa Israeli ilikuwa 601,730.
Daytoy ti naan-anay a bilang dagiti lallaki kadagiti tattao ti Israel: 601, 730.
52 Bwana akamwambia Mose,
Nagsao ni Yahweh kenni Moises ket kinunana,
53 “Watagawiwa nchi kama urithi kwa kulingana na hesabu ya majina.
“Masapul a mabingay ti daga kadagitoy a lallaki a kas tawidda segun iti bilang dagiti naganda.
54 Kundi kubwa zaidi lipe urithi mkubwa zaidi, na kundi dogo zaidi lipewe urithi mdogo zaidi; kila kundi litapokea urithi wake kulingana na hesabu ya wale walioorodheshwa.
Kadagiti dakdakkel a puli ket masapul nga ikkam ti ad-adu a tawid, ken kadagiti basbassit a puli ket masapul nga ikkam ida ti basbassit a tawid. Iti tunggal pamilia ket masapul nga ikkam ida iti tawid segun kadagiti nabilang a lallaki.
55 Hakikisha kuwa nchi inagawanywa kwa kura. Kile kitakachorithiwa na kila kikundi kitakuwa kwa kulingana na majina ya kabila la babu yao.
Nupay kasta, masapul a mabingay ti daga babaen iti panagbunot. Masapul a tawidenda ti daga a kas mabingayto kadagiti tribu dagiti kapuonanda.
56 Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”
Masapul a mabingay ti tawidda kadagiti dakdakkel ken basbasit a puli, maibunong kadakuada babaen iti binnunot.”
57 Hawa walikuwa Walawi ambao walihesabiwa kwa koo zao: kutoka kwa Gershoni, ukoo wa Wagershoni; kutoka kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi; kutoka kwa Merari, ukoo wa Wamerari.
Dagiti puli dagiti Levita, a nabilang babaen kadagiti puli ket dagitoy, babaen kenni Gerson, ti puli a Gersonita, babaen kenni Coat, ti puli a Coatita, babaen kenni Merari, ti puli a Merarita.
58 Hizi pia zilikuwa koo za Walawi: ukoo wa Walibni; ukoo wa Wahebroni; ukoo wa Wamahli; ukoo wa Wamushi; ukoo wa wana wa Kora. (Kohathi alikuwa baba aliyemzaa Amramu;
Dagiti puli ni Levi ket dagitoy: ti puli a Libnita, ti puli a Hebronita, ti puli a Mahalita, ti puli a Musihita, ken ti puli a Korita. Ni Coat ti kapuonan ni Amram.
59 jina la mke wa Amramu ni Yokebedi, naye pia alikuwa mzao wa Lawi, ambaye alizaliwa kwa Walawi nchini Misri. Alimzalia Amramu: Aroni, Mose na dada yao Miriamu.
Jocabed ti nagan ti asawa ni Amram, maysa daytoy a kaputotan ni Levi, a naiyanak kadagiti Levita idiay Egipto. Impaayanna ni Amram iti annakda, a da Aaron, Moises ken ni Miriam a kabsatda a babai.
60 Aroni alikuwa baba yake Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.
Kenni Aaron ket naiyanak da Nadab ken Abiu, Eleazar ken Itamar.
61 Lakini Nadabu na Abihu walikufa wakati walitoa sadaka mbele za Bwana kwa moto usioruhusiwa.)
Natay ni Nadab ken Abiu idi nangidatonda iti sangoanan ni Yahweh iti saan a maikari nga apuy.
62 Wanaume wote wa Walawi wa umri wa mwezi mmoja na zaidi walikuwa 23,000. Wao hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine kwa sababu hawakupokea urithi miongoni mwao.
Dagiti lallaki a nabilang kadakuada ket agarup a 23, 000, adda makabulan ken agpangato ti tawenna amin dagitoy a lallaki. Ngem saanda a naibilang kadagiti kaputotan ni Israel gapu ta awan tawid a naited kadakuada kadagiti amin a tattao ti Israel.
63 Hawa ndio walioorodheshwa na Mose na kuhani Eleazari wakati waliwahesabu Waisraeli kwenye nchi tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
Dagitoy dagiti nabilang babaen kada Moises ken Eleazar a padi. Binilangda dagiti tattao ti Israel idiay patad ti Moab iti igid ti Jordan idiay Jerico.
64 Hakuna hata mmoja wao aliyekuwa miongoni mwa wale waliohesabiwa na Mose na kuhani Aroni wakati waliwahesabu Waisraeli katika Jangwa la Sinai.
Ngem kadagitoy ket awan iti tao a nabilang da Moises ken Aaron a padi idi binilangda dagiti kaputotan ni Israel idiay let-ang ti Sinai.
65 Kwa maana Bwana alikuwa amewaambia hao Waisraeli hakika wangekufa huko jangwani, wala hakuna mmoja wao aliyeachwa, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.
Ta imbaga ni Yahweh a nasken a matay amin dagitoy a tattao idiay let-ang. Awan natda a tao kadakuada malaksid kenni Caleb nga anak ni Jefone ken ni Josue nga anak ni Nun.

< Hesabu 26 >