< Hesabu 26 >

1 Baada ya hiyo tauni, Bwana akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni,
Après que le sang des coupables eut été répandu, le Seigneur dit à Moïse et à Eléazar, le prêtre, fils d’Aaron:
2 “Hesabu jumuiya yote ya Kiisraeli kwa jamaa zao, wale wote wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, ambao wanaweza kutumika katika jeshi la Israeli.”
Faites le dénombrement complet des enfants d’Israël depuis vingt ans et au-dessus, selon leurs maisons et leur parenté, de tous ceux qui peuvent aller aux combats.
3 Hivyo Mose na kuhani Eleazari wakazungumza na watu kwenye nchi tambarare ya Moabu, ngʼambo ya Yordani kutokea Yeriko, wakasema,
C’est pourquoi Moïse et Eléazar, le prêtre, parlèrent, dans les plaines de Moab, sur le Jourdain, contre Jéricho, à ceux qui avaient
4 “Hesabuni wanaume wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.” Hawa ndio Waisraeli waliotoka Misri:
Vingt ans et au-dessus, comme le Seigneur avait commandé, et dont voici le nombre:
5 Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa: kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki; kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;
Ruben, premier-né d’Israël; son fils Hénoch, de qui vient la famille des Hénochites; Phallu, de qui vient la famille des Phalluites;
6 kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni; kutoka kwa Karmi, ukoo wa Wakarmi.
Hesron, de qui vient la famille des Hesronites; et Charmi, de qui vient la famille des Charmites.
7 Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730.
Telles sont les familles de la race de Ruben, dont le nombre trouvé fut de quarante-trois mille et sept cent trente.
8 Mwana wa Palu alikuwa Eliabu,
Le fils de Phallu, fut Eliab;
9 nao wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani na Abiramu. Hawa wawili Dathani na Abiramu ndio walikuwa maafisa wa jumuiya ambao walimwasi Mose na Aroni, na walikuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora wakati walimwasi Bwana.
Les fils de celui-ci, Namuel, Dathan et Abiron. Ce sont Dathan et Abiron, les princes du peuple, qui s’élevèrent contre Moïse et Aaron, dans la sédition de Coré, quand ils se révoltèrent contre le Seigneur,
10 Ardhi ilifunua kinywa chake na kuwameza pamoja na Kora, ambaye wafuasi wake walikufa wakati moto ulipowateketeza wanaume 250. Nao walikuwa kama alama ya onyo.
Et que la terre, ouvrant sa bouche, dévora Coré, un grand nombre, étant morts; quand le feu brûla deux cent cinquante hommes. Alors il se fit un grand miracle,
11 Pamoja na hayo, hao ukoo wa Kora hawakufa.
Tel que, Coré périssant, ses fils ne périrent pas.
12 Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini; kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;
Les fils de Siméon selon leurs familles: Namuel; de lui vient la famille des Namuélites: Jamin; de lui vient la famille des Jaminites: Jachin; de lui vient la famille des Jachinites:
13 kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera; kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.
Zaré; de lui vient la famille des Zaréites: Saül; de lui vient la famille des Saülites.
14 Hizi ndizo koo za Simeoni; walikuwa 22,200.
Ce sont là les familles de la race de Siméon, dont le nombre total fut de vingt-deux mille deux cents.
15 Wazao wa Gadi kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Sifoni, ukoo wa Wasifoni; kutoka kwa Hagi, ukoo wa Wahagi; kutoka kwa Shuni, ukoo wa Washuni;
Les fils de Gad, selon leur parenté: Séphon; de lui vient la famille des Séphonites: Aggi; de lui vient la famille des Aggites: Suni; de lui vient la famille des Sunites:
16 kutoka kwa Ozni, ukoo wa Waozni; kutoka kwa Eri, ukoo wa Waeri;
Ozni; de lui vient la famille des Oznites: Her; de lui vient la famille des Hérites:
17 kutoka kwa Arodi, ukoo wa Waarodi; kutoka kwa Areli, ukoo wa Waareli.
Arod; de lui vient la famille des Arodites: Ariel; de lui vient la famille des Ariélites:
18 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Gadi; wale waliohesabiwa walikuwa 40,500.
Telles sont les familles de Gad, dont le nombre total fut de quarante mille cinq cents.
19 Eri na Onani walikuwa wana wa Yuda, lakini walifia huko Kanaani.
Les fils de Juda: Her et Onan, qui tous deux moururent dans la terre de Chanaan.
20 Wazao wa Yuda kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Shela, ukoo wa Washela; kutoka kwa Peresi, ukoo wa Waperesi; kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera.
Or, les fils de Juda furent, selon leur parenté: Séla, de qui vient la famille des Sélaïtes: Pharès, de qui vient la famille des Pharésites: Zaré, de qui vient la famille des Zaréites.
21 Wazao wa Peresi walikuwa: kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni; kutoka kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.
Mais les fils de Pharès: Hesron, de qui vient la famille des Hesronites; et Hamul, de qui vient la famille des Hamulites.
22 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda; wale waliohesabiwa walikuwa 76,500.
Telles sont les familles de Juda, dont le nombre total fut de soixante-seize mille cinq cents.
23 Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola; kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;
Les fils d’Issachar, selon leur parenté: Tola, de qui vient la famille des Tolaïtes: Phua, de qui vient la famille des Phuaïtes:
24 kutoka kwa Yashubu, ukoo wa Wayashubu; kutoka kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.
Jasub, de qui vient la famille des Jasubites: Semran, de qui vient la famille des Semranites.
25 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Isakari; wale waliohesabiwa walikuwa 64,300.
Telle est la parenté d’Issachar, dont le nombre total fut de soixante-quatre mille trois cents.
26 Wazao wa Zabuloni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Seredi, ukoo wa Waseredi; kutoka kwa Eloni, ukoo wa Waeloni; kutoka kwa Yaleeli, ukoo wa Wayaleeli.
Les fils de Zabulon, selon leur parenté: Sared, de qui vient la famille des Sarédites: Elon, de qui vient la famille des Elonites: Jalel, de qui vient la famille des Jalélites.
27 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Zabuloni, wale waliohesabiwa walikuwa 60,500.
Telle est la parenté de Zabulon, dont le nombre fut de soixante mille cinq cents.
28 Wazao wa Yosefu kwa koo zao kutoka kwa Manase na kwa Efraimu walikuwa:
Les fils de Joseph, selon leur parenté: Manassé et Ephraïm.
29 Wazao wa Manase: kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi); kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.
De Manassé naquit Machir, de qui vient la famille des Machirites. Machir engendra Galaad, de qui vient la famille des Galaadites.
30 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Gileadi: kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri; kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;
Galaad eut des fils: Jézer, de qui vient la famille des Jézérites: Hélec, de qui vient la famille des Hélécites:
31 kutoka kwa Asirieli, ukoo wa Waasirieli; kutoka kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu;
Asriel, de qui vient la famille des Asriélites: Séchem, de qui vient la famille des Séchémites:
32 kutoka kwa Shemida, ukoo wa Washemida; kutoka kwa Heferi, ukoo wa Waheferi.
Sémida, de qui vient la famille des Sémidaïtes; et Hépher, de qui vient la famille des Héphérites.
33 (Selofehadi mwana wa Heferi hakuzaa wana, bali alikuwa na watoto wa kike tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.)
Or Hépher fut père de Salphaad qui n’eut point de fils, mais seulement des filles, dont les noms sont: Maala, Noa, Hégla, Melcha et Thersa.
34 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Manase; wale waliohesabiwa walikuwa 52,700.
Ce sont là les familles de Manassé, et leur nombre fut de cinquante-deux mille sept cents.
35 Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao: kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela; kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri; kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;
Mais les enfants d’Ephraïm, selon leur parenté, furent ceux-ci: Suthala, de qui vient la famille des Suthalaïtes: Bécher, de qui vient la famille des Béchérites: Théhen, de qui vient la famille des Théhénites.
36 Hawa ndio walikuwa wazao wa Shuthela: kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.
Or, le fils de Suthala fut Héran, de qui vient la famille des Héranites.
37 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa 32,500. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yosefu kwa koo zao.
Telle est la parenté des fils d’Ephraïm, dont le nombre fut de trente-deux mille cinq cents.
38 Wazao wa Benyamini kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Bela, ukoo wa Wabela; kutoka kwa Ashbeli, ukoo wa Waashbeli; kutoka kwa Ahiramu, ukoo wa Waahiramu;
Ce sont là les fils de Joseph, selon leurs familles. Les fils de Benjamin, selon leur parenté: Béla, de qui vient la famille des Bélaïtes: Asbel, de qui vient la famille des Asbélites: Ahiram, de qui vient la famille des Ahiramites.
39 kutoka kwa Shufamu, ukoo wa Washufamu; kutoka kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.
Supham, de qui vient la famille des Suphamites: Hupham, de qui vient la famille des Huphamites.
40 Wazao wa Bela kutoka kwa Ardi na Naamani walikuwa: kutoka kwa Ardi, ukoo wa Waardi; kutoka kwa Naamani, ukoo wa Wanaamani.
Les fils de Béla: Héred et Noéman. De Héred vient la famille des Hérédites; de Noéman, la famille des Noémanites.
41 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Benyamini; wale waliohesabiwa walikuwa 45,600.
Ce sont là les fils de Benjamin, selon leur parenté, dont le nombre fut de quarante-cinq mille six cents.
42 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Dani kwa koo zao: kutoka kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Dani:
Les fils de Dan, selon leur parenté: Suham, de qui vient la famille des Suhamites. Telle est la parenté de Dan, selon ses familles.
43 Wote walikuwa koo za Washuhamu; wale waliohesabiwa walikuwa 64,400.
Tous furent Suhamites, dont le nombre était de soixante-quatre mille quatre cents.
44 Wazao wa Asheri kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Imna, ukoo wa Waimna; kutoka kwa Ishvi, ukoo wa Waishvi; kutoka kwa Beria, ukoo wa Waberia;
Les fils d’Aser, selon leur parenté: Jemna, de qui vient la famille des Jemnaïtes: Jessui de qui vient la famille des Jessuites: Brié, de qui vient la famille des Briéites.
45 kutoka kwa wazao wa Beria: kutoka kwa Heberi, ukoo wa Waheberi; kutoka kwa Malkieli, ukoo wa Wamalkieli.
Les fils de Brié: Héber, de qui vient la famille des Hébérites. et Melchiel, de qui vient la famille des Melchiélites.
46 (Asheri alikuwa na binti aliyeitwa Sera.)
Mais le nom de la fille d’Aser fut Sara.
47 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Asheri; wale waliohesabiwa walikuwa 53,400.
Telle est la parenté des fils d’Aser, et leur nombre fut de cinquante-trois mille quatre cents.
48 Wazao wa Naftali kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Yaseeli, ukoo wa Wayaseeli; kutoka kwa Guni, ukoo wa Waguni;
Les fils de Nephthali, selon leur parenté: Jésiel, de qui vient la famille des Jésiélites: Guni, de qui vient la famille des Gunites.
49 kutoka kwa Yeseri, ukoo wa Wayeseri; kutoka kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.
Jéser, de qui vient la famille des Jésérites: Sellem, de qui vient la famille des Sellémites.
50 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Naftali; wale waliohesabiwa walikuwa 45,400.
Telle est la parenté des fils de Nephthali, selon leurs familles, et dont le nombre fut de quarante-cinq mille quatre cents.
51 Jumla ya hesabu ya wanaume wa Israeli ilikuwa 601,730.
C’est là le nombre des enfants d’Israël qui furent recensés: six cent et un mille sept cent trente.
52 Bwana akamwambia Mose,
Le Seigneur parla ensuite à Moïse, disant:
53 “Watagawiwa nchi kama urithi kwa kulingana na hesabu ya majina.
La terre leur sera partagée selon le nombre des noms, pour être leurs possessions.
54 Kundi kubwa zaidi lipe urithi mkubwa zaidi, na kundi dogo zaidi lipewe urithi mdogo zaidi; kila kundi litapokea urithi wake kulingana na hesabu ya wale walioorodheshwa.
Au plus grand nombre tu donneras la plus grande partie, et au plus petit nombre, la moindre; à chacun sera remise sa possession, selon qu’il vient d’être recensé;
55 Hakikisha kuwa nchi inagawanywa kwa kura. Kile kitakachorithiwa na kila kikundi kitakuwa kwa kulingana na majina ya kabila la babu yao.
De manière seulement que ce soit le sort qui partage la terre aux tribus et aux familles.
56 Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”
Tout ce qui sera échu par le sort, c’est ce que recevra ou le plus grand nombre ou le plus petit nombre.
57 Hawa walikuwa Walawi ambao walihesabiwa kwa koo zao: kutoka kwa Gershoni, ukoo wa Wagershoni; kutoka kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi; kutoka kwa Merari, ukoo wa Wamerari.
Voici aussi le nombre des fils de Lévi, selon leurs familles: Gerson, de qui vient la famille des Gersonites: Caath, de qui vient la famille des Caathites: Mérari, de qui vient la famille des Mérarites.
58 Hizi pia zilikuwa koo za Walawi: ukoo wa Walibni; ukoo wa Wahebroni; ukoo wa Wamahli; ukoo wa Wamushi; ukoo wa wana wa Kora. (Kohathi alikuwa baba aliyemzaa Amramu;
Voici les familles de Lévi: la famille de Lobni, la famille d’Hébroni, la famille de Moholi, la famille de Musi, la famille de Coré.
59 jina la mke wa Amramu ni Yokebedi, naye pia alikuwa mzao wa Lawi, ambaye alizaliwa kwa Walawi nchini Misri. Alimzalia Amramu: Aroni, Mose na dada yao Miriamu.
Qui eut pour femme Jochabed, fille de Lévi, laquelle naquit en Egypte; c’est elle qui engendra à Amram, son mari, ses fils, Aaron et Moïse, et Marie leur sœur.
60 Aroni alikuwa baba yake Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.
D’Aaron naquirent: Nadab, Abiu, Eléazar, et Ithamar;
61 Lakini Nadabu na Abihu walikufa wakati walitoa sadaka mbele za Bwana kwa moto usioruhusiwa.)
Dont Nadab et Abiu moururent, lorsqu’ils eurent offert un feu étranger devant le Seigneur.
62 Wanaume wote wa Walawi wa umri wa mwezi mmoja na zaidi walikuwa 23,000. Wao hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine kwa sababu hawakupokea urithi miongoni mwao.
Ainsi tous ceux qui furent dénombrés, s’élevèrent à vingt-trois mille du sexe masculin, depuis un mois et au-dessus, parce qu’ils ne furent pas recensés parmi les enfants d’Israël, et qu’il ne leur fut pas donné de possession avec les autres.
63 Hawa ndio walioorodheshwa na Mose na kuhani Eleazari wakati waliwahesabu Waisraeli kwenye nchi tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
C’est là le nombre des enfants d’Israël, qui furent enregistrés par Moïse et Eléazar, le prêtre, dans les plaines de Moab, sur le Jourdain, contre Jéricho;
64 Hakuna hata mmoja wao aliyekuwa miongoni mwa wale waliohesabiwa na Mose na kuhani Aroni wakati waliwahesabu Waisraeli katika Jangwa la Sinai.
Parmi lesquels il ne s’en trouva aucun de ceux qui avaient été dénombrés auparavant par Moïse et Aaron dans le désert de Sinaï.
65 Kwa maana Bwana alikuwa amewaambia hao Waisraeli hakika wangekufa huko jangwani, wala hakuna mmoja wao aliyeachwa, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.
Carie Seigneur avait prédit que tous mourraient dans le désert. Ainsi, il ne resta pas un seul d’eux, si ce n’est Caleb, fils de Jéphoné, et Josué, fils de Nun.

< Hesabu 26 >