< Hesabu 26 >
1 Baada ya hiyo tauni, Bwana akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni,
Et après ce fléau l'Éternel parla à Moïse et à Eléazar, fils du Prêtre Aaron, en ces termes:
2 “Hesabu jumuiya yote ya Kiisraeli kwa jamaa zao, wale wote wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, ambao wanaweza kutumika katika jeshi la Israeli.”
Faites le relevé de la totalité de l'Assemblée des enfants d'Israël, des hommes âgés de vingt ans et plus, selon leurs maisons patriarcales, de tous ceux qui font le service militaire en Israël.
3 Hivyo Mose na kuhani Eleazari wakazungumza na watu kwenye nchi tambarare ya Moabu, ngʼambo ya Yordani kutokea Yeriko, wakasema,
Et Moïse et le Prêtre Eléazar leur parlèrent dans les plaines de Moab sur le Jourdain près de Jéricho, et dirent:
4 “Hesabuni wanaume wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.” Hawa ndio Waisraeli waliotoka Misri:
De vingt ans et au-dessus, comme l'Éternel l'a prescrit à Moïse, et aux enfants d'Israël sortis du pays d'Egypte:
5 Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa: kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki; kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;
Ruben, premier-né d'Israël, fils de Ruben: Hanoch, famille des Hanochites; de Pallu, la famille des Palluites;
6 kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni; kutoka kwa Karmi, ukoo wa Wakarmi.
de Hestron, la famille des Hestronites; de Carmi, la famille des Carmites.
7 Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730.
Telles sont les familles, des Rubénites, dont quarante-trois mille sept cent trente furent enregistrés.
8 Mwana wa Palu alikuwa Eliabu,
Et le fils de Pallu était Eliab;
9 nao wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani na Abiramu. Hawa wawili Dathani na Abiramu ndio walikuwa maafisa wa jumuiya ambao walimwasi Mose na Aroni, na walikuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora wakati walimwasi Bwana.
et les fils d'Eliab, Nemuel et Dathan et Abiram. C'est ce Dathan et cet Abiram, députés de l'Assemblée, qui, dans l'attroupement de Coré, se soulevèrent contre Moïse et Aaron, lors de leur soulèvement contre l'Éternel,
10 Ardhi ilifunua kinywa chake na kuwameza pamoja na Kora, ambaye wafuasi wake walikufa wakati moto ulipowateketeza wanaume 250. Nao walikuwa kama alama ya onyo.
quand la terre s'entr'ouvrant les engloutit eux et Coré, en même temps que périssait cette troupe, le feu ayant consumé les deux cent cinquante hommes dont il fut fait un exemple.
11 Pamoja na hayo, hao ukoo wa Kora hawakufa.
Cependant les fils de Coré ne périrent pas.
12 Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini; kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;
Fils de Siméon, selon leurs familles: de Nemuel, la famille des Nemuélites; de Jamin, la famille des Jaminites; de Jachin, la famille des Jachinites;
13 kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera; kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.
de Zérah, la famille des Zérahites; de Saul, la famille des Saulites.
14 Hizi ndizo koo za Simeoni; walikuwa 22,200.
Telles sont les familles des Siméonites: vingt-deux mille deux cents.
15 Wazao wa Gadi kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Sifoni, ukoo wa Wasifoni; kutoka kwa Hagi, ukoo wa Wahagi; kutoka kwa Shuni, ukoo wa Washuni;
Fils de Gad selon leurs familles: de Tsephon, la famille des Tsephonites; de Haggi, la famille des Haggites: de Suni, la famille des Sunites;
16 kutoka kwa Ozni, ukoo wa Waozni; kutoka kwa Eri, ukoo wa Waeri;
de Ozéni, la famille des Ozénites; de Eri la famille des Erites;
17 kutoka kwa Arodi, ukoo wa Waarodi; kutoka kwa Areli, ukoo wa Waareli.
de Arod, la famille des Arodites; de Areli, la famille des Arelites.
18 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Gadi; wale waliohesabiwa walikuwa 40,500.
Telles sont les familles des fils de Gad dont quarante mille cinq cents furent enregistrés.
19 Eri na Onani walikuwa wana wa Yuda, lakini walifia huko Kanaani.
Fils de Juda: Er et Onan; mais Er et Onan étaient morts dans le pays de Canaan.
20 Wazao wa Yuda kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Shela, ukoo wa Washela; kutoka kwa Peresi, ukoo wa Waperesi; kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera.
Et les fils de Juda étaient d'après leurs familles: de Séla, la famille des Sélanites; de Pérets, la famille des Péretsites; de Zerah, la famille des Zerahites.
21 Wazao wa Peresi walikuwa: kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni; kutoka kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.
Et les fils de Pérets furent: de Hetsron, la famille des Hetsronites; de Hamul, la famille des Hamulites.
22 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda; wale waliohesabiwa walikuwa 76,500.
Telles sont les familles de Juda: soixante-seize mille cinq cents furent enregistrés.
23 Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola; kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;
Fils d'Issaschar, selon leurs familles: de Thola, la famille des Tholaïtes; de Puva, la famille des Punites;
24 kutoka kwa Yashubu, ukoo wa Wayashubu; kutoka kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.
de Jasub, la famille des Jasubites; de Simron, la famille des Simronites.
25 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Isakari; wale waliohesabiwa walikuwa 64,300.
telles sont les familles d'Issaschar: soixante-quatre mille trois cents furent enregistrés.
26 Wazao wa Zabuloni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Seredi, ukoo wa Waseredi; kutoka kwa Eloni, ukoo wa Waeloni; kutoka kwa Yaleeli, ukoo wa Wayaleeli.
Fils de Zabulon, selon leurs familles: de Sered, la famille des Sardites; de Elon, la famille des Elonites; de Jahléel, la famille des Jahléélites.
27 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Zabuloni, wale waliohesabiwa walikuwa 60,500.
Telles sont les familles des Zabulonites dont soixante mille cinq cents furent enregistrés.
28 Wazao wa Yosefu kwa koo zao kutoka kwa Manase na kwa Efraimu walikuwa:
Fils de Joseph selon leurs familles: Manassé et Ephraïm.
29 Wazao wa Manase: kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi); kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.
Fils de Manassé: de Machir, la famille des Machirites (et Machir engendra Galaad); de Galaad, la famille des Galaadites.
30 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Gileadi: kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri; kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;
Voici les fils de Galaad: Hiézer, la famille des Hiézérites; de Hélek, la famille des Hélékites;
31 kutoka kwa Asirieli, ukoo wa Waasirieli; kutoka kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu;
et Asriel, la famille des Asriélites; et Sichem, la famille des Sichémites;
32 kutoka kwa Shemida, ukoo wa Washemida; kutoka kwa Heferi, ukoo wa Waheferi.
et Semidah, la famille des Semidahites; et Hépher, la famille des Héphrites.
33 (Selofehadi mwana wa Heferi hakuzaa wana, bali alikuwa na watoto wa kike tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.)
Et Tselophehad était fils de Hépher, il n'avait point de fils, seulement des filles; et les noms des filles de Tselophehad étaient: Mahela et Noa, Hogla, Milca et Thirtsa.
34 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Manase; wale waliohesabiwa walikuwa 52,700.
Telles sont les familles de Manassé: cinquante-deux mille sept cents furent enregistrés.
35 Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao: kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela; kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri; kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;
Suivent les fils d'Epbraïm, selon leurs familles: de Suthélah, la famille des Suthélahites; de Becher, la famille des Bachrites; de Thahan, la famille des Thahanites.
36 Hawa ndio walikuwa wazao wa Shuthela: kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.
Et voici les fils de Suthélah: de Eran, la famille des Eranites.
37 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa 32,500. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yosefu kwa koo zao.
Telles sont les familles des fils d'Éphraïm dont trente-deux mille cinq cents furent enregistrés. Tels sont les fils de Joseph selon leurs familles.
38 Wazao wa Benyamini kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Bela, ukoo wa Wabela; kutoka kwa Ashbeli, ukoo wa Waashbeli; kutoka kwa Ahiramu, ukoo wa Waahiramu;
Fils de Benjamin, selon leurs familles: de Béla, la famille des Balites; de Asbel, la famille des Asbélites; de Ahiram, la famille des Ahiramites;
39 kutoka kwa Shufamu, ukoo wa Washufamu; kutoka kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.
de Sephupham, la famille des Suphamites; de Hupham, la famille des Huphamites.
40 Wazao wa Bela kutoka kwa Ardi na Naamani walikuwa: kutoka kwa Ardi, ukoo wa Waardi; kutoka kwa Naamani, ukoo wa Wanaamani.
Et les fils de Béla furent: Ard et Naëman, la famille des Ardites; de Naëman, la famille des Naëmanites.
41 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Benyamini; wale waliohesabiwa walikuwa 45,600.
Tels sont les fils de Benjamin selon leurs familles: quarante-cinq mille six cents furent enregistrés.
42 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Dani kwa koo zao: kutoka kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Dani:
Voici les fils de Dan, selon leurs familles: de Suham, la famille des Suhamites; telles sont les familles de Dan selon leurs familles.
43 Wote walikuwa koo za Washuhamu; wale waliohesabiwa walikuwa 64,400.
Toutes les familles des Suhamites fournirent soixante-quatre mille quatre cents hommes enregistrés.
44 Wazao wa Asheri kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Imna, ukoo wa Waimna; kutoka kwa Ishvi, ukoo wa Waishvi; kutoka kwa Beria, ukoo wa Waberia;
Fils d'Asser, selon leurs familles: de Jimna, la famille des Jimnaïtes; de Jisvi, la famille des Jïsvites; de Béria, la famille des Bériites.
45 kutoka kwa wazao wa Beria: kutoka kwa Heberi, ukoo wa Waheberi; kutoka kwa Malkieli, ukoo wa Wamalkieli.
Des fils de Béria: de Héber, la famille des Hébrites; de Malchiel, la famille dés Malchiélites.
46 (Asheri alikuwa na binti aliyeitwa Sera.)
Et le nom de la fille d'Asser était Sarah.
47 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Asheri; wale waliohesabiwa walikuwa 53,400.
Telles sont les familles des fils d'Asser dont cinquante-trois mille quatre cents furent enregistrés.
48 Wazao wa Naftali kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Yaseeli, ukoo wa Wayaseeli; kutoka kwa Guni, ukoo wa Waguni;
Fils de Nephthali, selon leurs familles: de Jahtsehl, la famille des Jahtsehlites; de Guni, la famille des Gunites;
49 kutoka kwa Yeseri, ukoo wa Wayeseri; kutoka kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.
de Jetser, la famille des Jetsérites; de Sillem, la famille des Sillémites.
50 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Naftali; wale waliohesabiwa walikuwa 45,400.
Telles sont les familles de Nephthali selon leurs familles: quarante-cinq mille quatre cents hommes furent enregistrés.
51 Jumla ya hesabu ya wanaume wa Israeli ilikuwa 601,730.
Tels sont les hommes des enfants d'Israël enregistrés au nombre de six cent un mille sept cent trente.
52 Bwana akamwambia Mose,
Et l'Éternel parla à Moïse en ces termes:
53 “Watagawiwa nchi kama urithi kwa kulingana na hesabu ya majina.
C'est entre eux que sera partagé le pays en autant de propriétés qu'il y a de noms:
54 Kundi kubwa zaidi lipe urithi mkubwa zaidi, na kundi dogo zaidi lipewe urithi mdogo zaidi; kila kundi litapokea urithi wake kulingana na hesabu ya wale walioorodheshwa.
aux plus nombreux tu adjugeras un lot plus grand et un plus petit aux moins nombreux; il sera donné à chacun un héritage proportionné au nombre de ses hommes enregistrés.
55 Hakikisha kuwa nchi inagawanywa kwa kura. Kile kitakachorithiwa na kila kikundi kitakuwa kwa kulingana na majina ya kabila la babu yao.
Cependant le partage du pays se fera au sort; les propriétés seront affectées aux noms de leurs tribus patriarcales;
56 Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”
c'est par le sort qu'à chacun sera adjugé son lot, plus ou moins considérable.
57 Hawa walikuwa Walawi ambao walihesabiwa kwa koo zao: kutoka kwa Gershoni, ukoo wa Wagershoni; kutoka kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi; kutoka kwa Merari, ukoo wa Wamerari.
Et voici les Lévites enregistrés selon leurs familles: de Gerson, la famille des Gersonites; de Kahath, la famille des Kahathites;
58 Hizi pia zilikuwa koo za Walawi: ukoo wa Walibni; ukoo wa Wahebroni; ukoo wa Wamahli; ukoo wa Wamushi; ukoo wa wana wa Kora. (Kohathi alikuwa baba aliyemzaa Amramu;
de Merari, la famille des Merarites. Voici les familles de Lévi: la famille des Libnites, la famille des Hébronites, la famille des Mahelites, la famille des Musites, la famille des Corahites. Et Kahath engendra Amram.
59 jina la mke wa Amramu ni Yokebedi, naye pia alikuwa mzao wa Lawi, ambaye alizaliwa kwa Walawi nchini Misri. Alimzalia Amramu: Aroni, Mose na dada yao Miriamu.
Et le nom de la femme d'Amram était Jochébed, fille de Lévi, laquelle naquit à Lévi en Egypte; et elle enfanta à Amram Aaron et Moïse et Marie, leur sœur.
60 Aroni alikuwa baba yake Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.
Et à Aaron naquirent Nadab et Abihu, Eléazar et Ithamar.
61 Lakini Nadabu na Abihu walikufa wakati walitoa sadaka mbele za Bwana kwa moto usioruhusiwa.)
Et Nadab et Abihu moururent lorsqu'ils présentèrent devant l'Éternel un feu étranger.
62 Wanaume wote wa Walawi wa umri wa mwezi mmoja na zaidi walikuwa 23,000. Wao hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine kwa sababu hawakupokea urithi miongoni mwao.
Et leurs hommes enregistrés étaient au nombre de vingt-trois mille, tous mâles, d'un mois et au-dessus; car ils ne furent pas compris dans le recensement des enfants d'Israël, parce qu'il ne leur fut adjugé aucune propriété parmi les enfants d'Israël.
63 Hawa ndio walioorodheshwa na Mose na kuhani Eleazari wakati waliwahesabu Waisraeli kwenye nchi tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
Tels sont les hommes recensés par Moïse et le Prêtre Eléazar qui recensèrent les enfants d'Israël dans les plaines de Moab sur le Jourdain de Jéricho.
64 Hakuna hata mmoja wao aliyekuwa miongoni mwa wale waliohesabiwa na Mose na kuhani Aroni wakati waliwahesabu Waisraeli katika Jangwa la Sinai.
Et parmi eux il ne se trouvait plus aucun des hommes recensés par Moïse et le Prêtre Aaron, lors du recensement fait des enfants d'Israël dans le désert de Sinaï.
65 Kwa maana Bwana alikuwa amewaambia hao Waisraeli hakika wangekufa huko jangwani, wala hakuna mmoja wao aliyeachwa, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.
Car l'Éternel avait, dit d'eux: Ils mourront, mourront dans le désert, et il n'en survivra pas un, sinon Caleb, fils de Jephunné, et Josué, fils de Nun.