< Hesabu 25 >
1 Israeli alipokuwa akikaa Shitimu, wanaume wa Israeli walianza kuzini na wanawake wa Kimoabu,
Izrael je prebival v Šitímu in ljudstvo se je začelo vlačugati z moábskimi hčerami.
2 ambao waliwaalika kushiriki katika kutoa kafara kwa miungu yao. Watu wakala na kusujudu mbele ya miungu hii.
Ljudstvo so poklicali k žrtvovanjem njihovih bogov, in ljudstvo je jedlo in se priklonilo njihovim bogovom.
3 Kwa hiyo Israeli akaungana katika kumwabudu Baali wa Peori. Hasira ya Bwana ikawaka dhidi yao.
Izrael se je pridružil Báal Peórju in Gospodova jeza je bila vžgana zoper Izrael.
4 Bwana akamwambia Mose, “Uwachukue viongozi wote wa watu hawa, uwaue na uwaweke hadharani mchana peupe mbele za Bwana, ili hasira kali ya Bwana iweze kuondoka kwa Israeli.”
Gospod je rekel Mojzesu: »Vzemi vse poglavarje ljudstva in jih obesi pred Gospodom, nasproti soncu, da se bo kruta Gospodova jeza lahko odvrnila od Izraela.«
5 Kwa hiyo Mose akawaambia waamuzi wa Israeli, “Kila mmoja wenu lazima awaue wale wanaume wenu, walioshiriki katika kumwabudu Baali wa Peori.”
Mojzes je rekel Izraelovim sodnikom: »Vsak naj ubije svoje može, ki so bili pridruženi Báal Peórju.«
6 Ndipo mwanaume wa Kiisraeli akamleta mwanamke wa Kimidiani katika jamaa yake palepale mbele ya Mose na mkutano wote wa Israeli walipokuwa wakilia kwenye lango la Hema la Kukutania.
Glej, eden izmed Izraelovih otrok je prišel in k svojim bratom privedel midjánsko žensko pred očmi Mojzesa in pred očmi vse skupnosti Izraelovih otrok, ki so jokali pred vrati šotorskega svetišča skupnosti.
7 Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, alipoona jambo hili, akaondoka kwenye kusanyiko, akachukua mkuki mkononi mwake,
Ko je Pinhás, sin Eleazarja, sin duhovnika Arona, to videl, je vstal izmed skupnosti in v svojo roko vzel kopje
8 akamfuata yule Mwisraeli ndani ya hema. Akawachoma mkuki wote wawili kwa pamoja, ukapenya kwenye mwili wa yule Mwisraeli na mwili wa yule mwanamke. Ndipo tauni iliyokuwepo dhidi ya Waisraeli ikakoma.
in odšel za Izraelovim možem v šotor in oba izmed njiju prebodel, Izraelovega moškega in žensko je prebodel skozi njen trebuh. Tako je bila kuga ustavljena pred Izraelovimi otroki.
9 Lakini wale waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa watu 24,000.
Teh, ki so v kugi umrli, je bilo štiriindvajset tisoč.
10 Bwana akamwambia Mose,
Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
11 “Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, amegeuza hasira yangu mbali na Waisraeli, kwa sababu alikuwa na wivu kama nilio nao kwa heshima yangu miongoni mwao, hata kwamba kwa wivu wangu sikuwaangamiza.
»Pinhás, sin Eleazarja, sin duhovnika Arona, je moj bes odvrnil proč od Izraelovih otrok, medtem ko je bil med njimi goreč zaradi mene, da ne bi jaz v svoji ljubosumnosti použil Izraelovih otrok.
12 Kwa hiyo mwambie Finehasi ninafanya Agano langu la amani naye.
Zato reci: ›Glej, dam mu svojo zavezo miru
13 Yeye pamoja na wazao wake watakuwa na Agano la ukuhani milele, kwa sababu alikuwa na wivu kwa ajili ya heshima ya Mungu wake, na akafanya upatanisho kwa Waisraeli.”
in imel jo bo in njegovo seme za njim, celó zavezo večnega duhovništva, ker je bil goreč za svojega Boga in opravil spravo za Izraelove otroke.‹«
14 Jina la Mwisraeli ambaye aliuawa pamoja na mwanamke wa Kimidiani ni Zimri mwana wa Salu, kiongozi wa jamaa ya Simeoni.
Torej ime Izraelca, ki je bil umorjen, torej tistega, ki je bil umorjen z Midjánko, je bilo Salújev sin Zimrí, princ glavne hiše med Simeonovci.
15 Jina la mwanamke wa Kimidiani aliyeuawa ni Kozbi binti wa Suri, aliyekuwa mkuu wa kabila la jamaa ya Wamidiani.
Ime midjánske ženske, ki je bila umorjena, je bilo Kozbí, hči Cura. On je bil poglavar nad ljudstvom in vodja hiše v Midjánu.
16 Bwana akamwambia Mose,
Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
17 “Watendeeni Wamidiani kama adui na mwaue,
»Jezite Midjánce in jih udarite,
18 kwa sababu wao waliwatendea kama adui wakati waliwadanganya katika tukio la Peori na dada yao Kozbi, binti wa kiongozi wa Kimidiani, mwanamke ambaye aliuawa wakati tauni ilikuja kama matokeo ya tukio la Peori.”
kajti jezili so vas s svojimi zvijačami, s katerimi so vas preslepili v zadevi Peórja in v zadevi Kozbí, hčere midjánskega princa, njihove sestre, ki je bila umorjena na dan nadloge zaradi Peórja.«