< Hesabu 25 >

1 Israeli alipokuwa akikaa Shitimu, wanaume wa Israeli walianza kuzini na wanawake wa Kimoabu,
Hagi Israeli vene'nemo'za Sitimima seli nonkuma ome ki'za mani'ne'za, agafa hu'za Moapu a'nene monko'za hu'naze.
2 ambao waliwaalika kushiriki katika kutoa kafara kwa miungu yao. Watu wakala na kusujudu mbele ya miungu hii.
Na'ankure ana a'nemo'za havi anumzazmire'ma kresramna nevu'za, Israeli vene'nea ke hazage'za anampina vu'za ne'zana ome nene'za, ana havi anumzantera zmarenare'za monora hunte'naze.
3 Kwa hiyo Israeli akaungana katika kumwabudu Baali wa Peori. Hasira ya Bwana ikawaka dhidi yao.
Hagi ana nehu'za Peori agonafi Bali havi anumzante Israeli vahe'mo'za monora hunte'naze. Ana hazageno Ra Anumzamo'a tusi'a rimpahezmante'ne.
4 Bwana akamwambia Mose, “Uwachukue viongozi wote wa watu hawa, uwaue na uwaweke hadharani mchana peupe mbele za Bwana, ili hasira kali ya Bwana iweze kuondoka kwa Israeli.”
Hagi Ra Anumzamo'a Mosesena asamino, Ama anazama nehaza vahe'mokizmi kva vahera zamavarenka Ra Anumzamo'na navuga vahe'mo'za nezmagesageta amate ome zamahe nefrinke'na Israeli vahera Narimpa aheozmantaneno.
5 Kwa hiyo Mose akawaambia waamuzi wa Israeli, “Kila mmoja wenu lazima awaue wale wanaume wenu, walioshiriki katika kumwabudu Baali wa Peori.”
Hagi Mosese'a kema refako hu Israeli kva vahe'mokizmia amanage huno zamasmi'ne, Mago'magomota naga'tamifinti'ma Bali havi anumzante'ma Peori agonafima mono'ma hunte'nenaza veneneramina maka zamahe friho.
6 Ndipo mwanaume wa Kiisraeli akamleta mwanamke wa Kimidiani katika jamaa yake palepale mbele ya Mose na mkutano wote wa Israeli walipokuwa wakilia kwenye lango la Hema la Kukutania.
Hagi Mosese'ene mika Israeli vahe'mo'za seli mono nomofo avuga zavinete'za zmasunku nehu'za negazageno, mago Israeli ne'mo'a Midieni ara naga'ama maninarega avreno vuno seli noma'afi ufre'ne.
7 Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, alipoona jambo hili, akaondoka kwenye kusanyiko, akachukua mkuki mkononi mwake,
Hagi pristi ne' Aroni negeho Elieaza nemofo Finiesi'a ana vene a'enena negeno'a vahepintira atreno vuno karugru kevea azampi omenerino,
8 akamfuata yule Mwisraeli ndani ya hema. Akawachoma mkuki wote wawili kwa pamoja, ukapenya kwenye mwili wa yule Mwisraeli na mwili wa yule mwanamke. Ndipo tauni iliyokuwepo dhidi ya Waisraeli ikakoma.
ana nera amage vuno seli noma'afi ufreno ana kevereti matevuno vemofona renkro huno a'mofona rimpa retragufene. Ana higeno Israeli vahepina ana knazamo'a vagare'ne.
9 Lakini wale waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa watu 24,000.
Hianagi ana knazamo'a 24 tauseni'a Israeli vahe ko zamahe fri'ne.
10 Bwana akamwambia Mose,
Ra Anumzamo'a Mosesena anage huno asmi'ne,
11 “Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, amegeuza hasira yangu mbali na Waisraeli, kwa sababu alikuwa na wivu kama nilio nao kwa heshima yangu miongoni mwao, hata kwamba kwa wivu wangu sikuwaangamiza.
Eleasa ne'mofo Finiasi pristi nagapinti ne'mo, Nagri narimpa haviza hu'zana eri fru hu'ne. Na'ankure agrira Nagri'ma hiankna huno rimpahegeno anara hianki'na, Israeli vahera mago'ane kanivea razmante'na zamahe ofrigahue.
12 Kwa hiyo mwambie Finehasi ninafanya Agano langu la amani naye.
E'ina hu'negu antahio, Nagra agri'ene narimpa fru hu'na manisua huvempa kea hue.
13 Yeye pamoja na wazao wake watakuwa na Agano la ukuhani milele, kwa sababu alikuwa na wivu kwa ajili ya heshima ya Mungu wake, na akafanya upatanisho kwa Waisraeli.”
Hagi Finiasi enena huvempa huankino agripinti'ma forehu anante anante hu'zama esaza vahe'mo'za pristi eri'zana erigahaze. Na'ankure Israeli vahe'mokizmi kumima atrezmantesugu kumite nona huno mizase'ne.
14 Jina la Mwisraeli ambaye aliuawa pamoja na mwanamke wa Kimidiani ni Zimri mwana wa Salu, kiongozi wa jamaa ya Simeoni.
Hagi Midieni a' enema Israeli ne'ma ahefri'nea ne'mofo agi'a, Zimrikino Salu nemofo'e. Hagi Salu'a Simioni naga nofipina ugota kva nere.
15 Jina la mwanamke wa Kimidiani aliyeuawa ni Kozbi binti wa Suri, aliyekuwa mkuu wa kabila la jamaa ya Wamidiani.
Hagi ana ne'mo'ma avreno vu'nea Midieni a'mofo agi'a Kozbikino, Zuri mofare. Hagi Zuri'a Midieni vahepina ugota hu'naza nagapinti ne' mani'ne.
16 Bwana akamwambia Mose,
Anante Ra Anumzamo'a Mosesena asmino,
17 “Watendeeni Wamidiani kama adui na mwaue,
Midieni vahera ha' vahetami mani'nazanki zamahe friho.
18 kwa sababu wao waliwatendea kama adui wakati waliwadanganya katika tukio la Peori na dada yao Kozbi, binti wa kiongozi wa Kimidiani, mwanamke ambaye aliuawa wakati tauni ilikuja kama matokeo ya tukio la Peori.”
Na'ankure zamagra ha' vahetamimo'za hazaza hu'za reramatga hazageta, Peori agonarera havi anumzantera monora hunentazageno, anazanteku Finiasi'a keve'areti Midieni kva ne'mofo mofa Kozbina karugru regeno fri'ne.

< Hesabu 25 >