< Hesabu 24 >

1 Basi Balaamu alipoona imempendeza Bwana kubariki Israeli, hakuendelea tena kutafuta uchawi kama nyakati nyingine, bali aligeuza uso wake kuelekea nyikani.
Be wali, Ba: ila: me da Hina Gode da Ea Isala: ili dunu ilima hahawane dogolegele aligima: ne ilegemu fawane hanai, amo e dawa: i galu. Amaiba: le, ea musa: hou defele hame hamoi. E da dawa: digima: ne olelesu liligi amo hogomusa: hame asi. E da hafoga: i soge ba: musa: sinidigili,
2 Balaamu alipotazama nje na kuona Israeli amepiga kambi kabila kwa kabila, Roho wa Mungu akawa juu yake,
Isala: ili dunu ilia fisisu ba: i. E da ilia sosogo fi afae afae dafulili esalebe ba: i. Gode Ea A: silibu Hadigidafa da ema aligila sa: ili,
3 naye akatoa ujumbe wake: “Ujumbe wa Balaamu mwana wa Beori, ujumbe wake yeye ambaye jicho lake linaona vizuri;
e da amo ba: la: lusu sia: i, “Ba: ila: me, Bio ea mano, da moloiwane ba: sa. Ea sia: da agoane gala.
4 ujumbe wake yeye ambaye husikia maneno ya Mungu, ambaye huona maono kutoka kwa Mwenyezi, ambaye huanguka kifudifudi, na ambaye macho yake yamefunguka:
Nowa da Gode Ea sia: dalebe nababela: ? Na da si godonasini agoane sosodosa. Na da esala ba: lala, Gode Bagadedafa da nama olelesa.
5 “Tazama jinsi yalivyo mazuri mahema yako, ee Yakobo, maskani yako, ee Israeli!
Isala: ili ilia abula diasu da isisima: goi ba: sa.
6 “Kama mabonde, yanaenea, kama bustani kando ya mto, kama miti ya udi iliyopandwa na Bwana, kama mierezi kando ya maji.
Ilia da gumudi yobo dadalei sedade defele. O ifabi hano bega: bugi agoane ba: sa. Ilia da gabusiga: ifa Hina Gode Ea bugi defele, o dolo ifa, hano bega: lelebe agoane ba: sa.
7 Maji yatatiririka kutoka ndoo zake; mbegu yake itakuwa na maji tele. “Mfalme wake atakuwa mkuu kuliko Mfalme Agagi; ufalme wake utatukuka.
Ilia da gibu dabe bagade ba: mu. Ilia da hawa: amo nasegagi hano bagade soge ganodini bugimu. Ilia hina bagade da A: iga: ge ea hou bagadewane baligimu. Ea ouligisu hou da soge bagohame amoga heda: mu.
8 “Mungu alimleta kutoka Misri; yeye ana nguvu kama nyati. Anayararua mataifa yaliyo adui zake, na kuvunja mifupa yao vipande vipande; huwachoma kwa mishale yake.
Gode da ili Idibidi sogega fisili masa: ne, oule misi. E da sigua bulamagau defele, ili fidima: ne gegenana. Ilia da ilia ha lai dunu amo na dagosa. Ilia da ilia gasa goudasa amola ilia dadi wadela: lesisa.
9 Hujikunyata na kuvizia kama simba, kama simba jike; nani anayethubutu kumwamsha? “Abarikiwe kila akubarikiye, na alaaniwe kila akulaaniye!”
Isala: ili fi da gasa bagade laione wa: me agoane. E da golai dialea, dunu eno da beda: iba: le, hamedafa didilisisa. Nowa da Isala: ili hahawane dogolegelewane aligima: ne ilegesea, da Gode Ea hahawane dogolegesu ba: mu. Amola nowa da Isala: ili ilima gagabusu aligima: ne ilegesea, da amo gagabusu sinidigili hihima aligima: ne ilegei dagoi ba: mu.”
10 Ndipo hasira ya Balaki ikawaka dhidi ya Balaamu. Akapiga mikono yake pamoja, akamwambia Balaamu, “Nilikuita uje kuwalaani adui zangu, lakini umewabariki mara hizi tatu.
Ba: ila: ge da ougili ea lobo usuna gaguli, Ba: ila: mema amane sia: i, “Na da di na ha lai dunu amo gagabusu aligima: ne ilegema sia: i. Be udiana agoane di da amo mae hamone, ilima Gode Ea hahawane dogolegesu hou aligima: ne sia: i dagoi.
11 Sasa ondoka upesi uende nyumbani! Mimi nilisema nitakuzawadia vizuri sana, lakini Bwana amekuzuia usizawadiwe.”
Dia diasuga masa! Na da dima bidi bagade imunu sia: i. Be Hina Gode da dia amo bidi lama: ne logo hedofai dagoi.”
12 Balaamu akamwambia Balaki, “Je, hukumbuki jinsi nilivyowaambia wajumbe uliowatuma kwangu? Niliwaambia hivi,
Ba: ila: me da bu adole i, “Na da sia: ne iasu dunu di nama asunasi ilima olelei, amane,
13 ‘Hata ikiwa Balaki angenipa jumba lake la kifalme likiwa limejazwa fedha na dhahabu, nisingeweza kufanya kitu chochote kwa matakwa yangu, kikiwa kizuri au kibaya, kwenda kinyume na agizo la Bwana, nami imenipasa kusema tu kile Bwana atakachosema’?
‘Ba: ila: ge da silifa amola gouli ea hina bagade diasu ganodini gala amo huluanedafa nama ia: noba, na da ni hanaiga Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i fonobahadi nama sia: i amo giadofamu da hamedela: loba. Na da Hina Gode Ea nama sia: i liligi fawane bu sia: mu.”
14 Sasa ninarudi kwa watu wangu. Lakini njoo, nikuonye kuhusu kile watu hawa watakachowatenda watu wako siku zijazo.”
Ba: ila: me da Ba: ila: gema amane sia: i, “Na da wali na fidafa amoga buhagimu. Be hidadea, na da dima sisasu sia: mu. Amalu da fa: no Isala: ili dunu ilia hou dia fi dunuma hamomu, amo na da dima sia: mu.”
15 Kisha Balaamu akatoa ujumbe wake: “Ujumbe wa Balaamu mwana wa Beori, ujumbe wake yeye ambaye jicho lake linaona vizuri;
Amalalu, e da amo ba: la: lusu amane sia: i, “Ba: ila: me, Bio ea mano, da moloiwane ba: sa. Ea sia: da agoane gala.
16 ujumbe wake yeye ambaye husikia maneno ya Mungu, ambaye ana maarifa kutoka kwa Aliye Juu Sana, huona maono kutoka Mwenyezi, ambaye huanguka kifudifudi na ambaye macho yake yamefunguka:
Na da Gode Ea sia: dalebe naba. Na da si godonasini agoane sosodosa. Na da esalebe ba: lala, Gode Bagadedafa da nama olelesa.
17 “Namwona yeye, lakini si sasa; namtazama yeye, lakini si karibu. Nyota itatoka kwa Yakobo, fimbo ya ufalme itainuka kutoka kwa Israeli. Atawaponda Wamoabu vipaji vya nyuso na mafuvu yote ya wana wa Shethi.
Na da hobea misunu hou ba: la: lala. Na da Isala: ili fi ba: sa. Hina Bagade dunu, hadigi bagade gasumuni agoai, amo fi ganodini heda: lebe ba: mu. E da ofa: su gasumuni defele Isala: ili sogega misunu. E da Moua: be ouligisu dunu famu amola Sede soge dunu amo banenesimu.
18 Edomu itamilikiwa, Seiri, adui wake, itamilikiwa, lakini Israeli atakuwa na nguvu.
E da ea ha lai dunu Idome sogega esala amo hasalili, ilia soge huluane suguli lamu. Amola Isala: ili dunu da hasaliliwane masunu.
19 Mtawala atakuja kutoka kwa Yakobo na kuangamiza walionusurika katika mji.”
Isala: ili fi dunu da ilia ha lai amo osa: le heda: le, dunu hame bogoi esalebe, amo huluane fane legemu.”
20 Kisha Balaamu akawaona watu wa Amaleki, na kutoa ujumbe wake: “Amaleki ilikuwa ya kwanza miongoni mwa mataifa, lakini mwisho wake itaangamizwa milele.”
Amalalu, Ba: ila: ge da ea esala ba: su amo ganodini A: malege fi ba: lalu, amane ba: la: lusu sia: i, “A: malege ea gasa bagade hou da eno fi huluane baligi dagoi. Be fa: no e da gugunufinisi dagoi ba: mu.”
21 Kisha akawaona Wakeni, akatoa ujumbe wake: “Makao yenu ni salama, kiota chenu kiko kwenye mwamba.
Amalalu, Ba: ila: ge da ea esalebe ba: su amo ganodini, Ginaide dunu fi ba: i. E da amo ba: la: lusu sia: i, “Dia esalebe sogebi da gaga: i dagoi. Sio ea bibi da gafulu bagade amoga bibiba: le, eno liligiga wadela: lesimu hamedei.
22 Hata hivyo ninyi Wakeni mtaangamizwa Ashuru atakapowachukua mateka.”
Be dilia Ginaide dunu da gugunufinisi dagoi ba: mu. Bai Asilia dunu da dili doagala: le, suguli lamu.”
23 Ndipo akatoa ujumbe wake: “Lo, ni nani atakayeweza kuishi wakati Mungu atakapofanya hili?
Ba: ila: me da eno ba: la: lusu amane sia: i, “Dunu da gadili (north) amogawi gilisilalebe da nowa dunula: ?
24 Meli zitakuja kutoka pwani za Kitimu, zitaitiisha Ashuru na Eberi, lakini nao pia wataangamizwa.”
Doagala: su golili dasu dunu da Saibalase sogega, dusagai ganodini manebe ba: mu. Ilia da Asilia amola Ibe amo hasalimu. Be Saibalase dunu amola da fa: no gugunufinisi dagoi ba: mu.”
25 Kisha Balaamu akainuka na kurudi nyumbani kwake, naye Balaki akashika njia yake.
Amalalu, Ba: ila: me da momagele, hi diasuga buhagi. Amola Ba: ila: ge da hi logoga asi.

< Hesabu 24 >