< Hesabu 21 >

1 Mfalme wa Kikanaani wa Aradi aliyeishi huko Negebu aliposikia kwamba Waisraeli walikuwa wanakuja kwa njia ya Atharimu, aliwashambulia Waisraeli na kuwateka baadhi yao.
A: ila: de moilai bai bagade (ga (south) Ga: ina: ne soge ganodini gala) amo ea hina bagade da Isala: ili dunu da A: dalime logoga manebe nababeba: le, e da ili doagala: le, mogili suguli lai.
2 Ndipo Israeli akaweka nadhiri hii kwa Bwana: “Ikiwa utawatia watu hawa mikononi mwetu, tutaiangamiza kabisa miji yao.”
Amalalu, Isala: ili dunu da Hina Godema amane dafawaneyale ilegele sia: i, “Di da amo dunu hasalima: ne, nini logo doasisia, ninia da dafawanedafa amo dunu amola ilia moilai huluane Dima momodale ligiagale ilegele, huluane gugunufinisimu.”
3 Bwana akasikiliza ombi la Waisraeli, naye akawapa ushindi juu ya Wakanaani. Wakawaangamiza kabisa na miji yao; hivyo mahali pale pakaitwa Horma.
Hina Gode da ilia sia: nababeba: le, E da ili fidi amola ilia da Ga: ina: ne dunu hasali dagoi. Amaiba: le, Isala: ili dunu da amo dunu amola ilia moilai huluane dafawane wadela: lesi. Ilia da amo soge ‘Homa’ (dawa: loma: ne da wadela: lesisu) dio asuli.
4 Waisraeli wakasafiri kutoka mlima Hori kupitia njia inayoelekea Bahari ya Shamu, kuizunguka Edomu. Lakini watu wakakosa uvumilivu njiani,
Isala: ili dunu da Idome sogega sisiga: ma: ne, Ho Goumi fisili, logo amo da Agaba Gogomai doaga: musa: asi. Be logoga ahoanoba, ilia da bu da: i dione, egasu.
5 wakamnungʼunikia Mungu na Mose, wakisema, “Kwa nini umetupandisha kutoka Misri ili tufe jangwani? Hakuna mkate! Hakuna maji! Nasi tunachukia sana chakula hiki duni!”
Ilia da Godema amola Mousesema amane egai, “Dia abuliba: le nini Idibidi sogega fisili masa: ne, amo wadela: i ha: i manu amola hano hame hafoga: i sogega nini bogoma: ne, nini oule misibala: ?”
6 Ndipo Bwana akapeleka nyoka wenye sumu katikati yao; wakawauma watu, nao Waisraeli wengi wakafa.
Amalalu, Hina Gode da wadela: i medosu sania Isala: ili dunuma asunasi. Isala: ili dunu bagohame da amoga gasomaiba: le, bogogia: i.
7 Watu wakamjia Mose na kusema, “Tumetenda dhambi wakati tuliponena dhidi ya Bwana na dhidi yako. Mwombe Bwana ili atuondolee hawa nyoka.” Hivyo Mose akawaombea hao watu.
Isala: ili dunu da Mousesema misini, amane sia: i, “Dafawane! Ninia da di amola Hina Gode alima ougili egane sia: beba: le, wadela: i bagade hamoi. Wali, Hina Gode da amo sania fadegama: ne, Ema sia: ne gadoma!” Amaiba: le, Isala: ili dunu fidima: ne, Mousese da sia: ne gadoi.
8 Bwana akamwambia Mose, “Tengeneza nyoka wa shaba na umweke juu ya mti; yeyote aliyeumwa na nyoka anaweza kumtazama na akaishi tena.”
Amalalu, Hina Gode da Mousesema e da balasega sania hamoma: ne sia: i. E da amo sania, ifa amoga gosagisima: ne sia: i. Amalalu, nowa dunu da saniaga gasomai galea, e da amo sania ifaga gosagisi ba: beba: le, e da uhi dagoi ba: mu.
9 Kwa hiyo Mose akatengeneza nyoka wa shaba na kumweka juu ya mti. Kisha wakati mtu yeyote aliumwa na nyoka, naye akamtazama yule nyoka wa shaba, aliishi.
Amaiba: le, Mousese da balasega sania hamone, ifaga gosa: gisi. Nowa da sania amoga gasomai galea, e da amo sania balasega hamoi ba: loba, uhinisi dagoi ba: i.
10 Waisraeli waliendelea na safari yao na wakapiga kambi huko Obothi.
Isala: ili dunu da bu asili, Oubode sogebi fonobahadi ouesalu,
11 Kisha wakaondoka Obothi na kupiga kambi huko Iye-Abarimu, katika jangwa linalotazamana na Moabu kuelekea mawio ya jua.
asili, ilia da wadela: i hafoga: i soge Moua: be soge ea gusu la: idi diala, A:balime sogebi amoga fi esalu.
12 Kutoka hapo waliendelea mbele wakapiga kambi kwenye Bonde la Zeredi.
Amalalu, bu asili, ilia da Silede Fago amoga fi galu.
13 Wakasafiri kutoka hapo na kupiga kambi kando ya Mto Arnoni, ambao uko katika jangwa lililoenea hadi nchi ya Waamori. Arnoni ni mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.
Amo yolesili, asili, ilia da Anone Hano ea ga (north) bega: fisisu hamoi. Amo sogebi da wadela: i hafoga: i soge A: moulaide soge ganodini diala. (Anone Hano da alalo amo da Moua: be soge amola A: moulaide soge afafasa.)
14 Ndiyo sababu Kitabu cha Vita vya Bwana kinasema: “…Mji wa Wahebu nchini Seifa na mabonde ya Arnoni,
Amaiba: le, ‘Hina Gode Ea Gegesu Buga’ amo ganodini da agoane dedei gala, “moilai Wahebe amo da Soufa soge ganodini amola fago soge ganodini amola Anone Hano,
15 na miteremko ya mabonde inayofika hadi mji wa Ari na huelekea mpakani mwa Moabu.”
amola fago ilia bega: asili A moilai amola Moua: be alalo defei gadenene diala.”
16 Kutoka hapo waliendelea mbele hadi kisima cha Beeri; kwenye kisima ambacho Bwana alimwambia Mose, “Wakusanye watu pamoja, nami nitawapa maji.”
Amo yolesili, ilia da sogebi ea dio amo Si Hano amoga asi. Amogawi, Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Dunu huluane gilisima! Amasea, Na da ilima hano imunu!”
17 Kisha Israeli akaimba wimbo huu: “Bubujika, ee kisima! Imba kuhusu maji,
Amo esoga, Isala: ili dunu da amane gesami hea: i, “Si hano! Dilia hano hamoma! Amasea, ninia da amo hano gesami hea: suga yosia: mu!
18 kuhusu kisima ambacho kilichimbwa na wakuu, ambacho watu mashuhuri walikifukua, watu mashuhuri wakiwa na fimbo za utawala na bakora.” Kisha wakatoka jangwani kwenda Matana,
Amo si hano uli dogoi da hina bagade ilia mano amola ouligisu dunu ilia dogoi. Ilia da hina bagade ea galiamo amoga, amola ilia dagulu amoga dogoi.” Isala: ili dunu da wadela: i hafoga: i soge yolesili, Ma: dana sogega asi.
19 kutoka Matana wakafika Nahalieli, kutoka Nahalieli wakafika Bamothi,
Amo yolesili, ilia da Naha: iliele sogebiga asili esalu, asili Ba: imode sogega asi.
20 na kutoka Bamothi wakafika kwenye bonde lililoko Moabu, mahali ambapo kilele cha Pisga kinatazamana na nyika.
Amalalu, ilia da Ba: imode fisili, asili, Moua: be dunu ilia sogega asi. Amo soge da Bisiga Goumi ea gouha dialu. Midadi da wadela: i hafoga: i soge ba: i.
21 Israeli akawatuma wajumbe kumwambia Sihoni mfalme wa Waamori:
Amalalu, Isala: ili dunu da A: moulaide hina bagade Saihone ema sia: ne iasu dunu asunasi.
22 “Uturuhusu tupite katika nchi yako. Hatutageuka kando kwenda katika mashamba au mashamba ya mizabibu, ama kunywa maji kutoka kisima chochote. Tutasafiri kwenye njia kuu ya mfalme hata tutakapokuwa tumekwisha kupita katika nchi yako.”
Ilia da amane sia: i, “Ninia da dia sogedili baligili masa: ne, ninima logo doasima! Ninia amola ninia ohe da logo bagade hame yolesimu. Ninia da dia ifabi amola waini sagai amoga hame heda: mu. Ninia da dia hano uli dogoi amoga, hano hame manu. Ninia da dia soge ganodini, logodili fodoma: ne fasimusa: fawane ahoanumu.”
23 Lakini Sihoni hakumruhusu Israeli apite katika nchi yake. Alilikutanisha jeshi lake lote, wakaondoka kwenda jangwani ili kupigana na Israeli. Alipofika huko Yahazi, akapigana na Israeli.
Be Saihone da Isala: ili dunu ilia logo hedofai dagoi. E da ea dadi gagui dunu gagadole, gadili asili, Ya: iha: se sogebi wadela: i hafoga: i sogega amogawi Isala: ili dunu doagala: i.
24 Hata hivyo, Israeli alimshinda kwa upanga na kuiteka ardhi yake kutoka Arnoni mpaka Yaboki, lakini ni hadi kufikia nchi ya Waamoni tu, kwa sababu mipaka yake ilikuwa imezungushwa ukuta.
Be Isala: ili dunu da amo gegesu ganodini, ilia ha lai dunu bagohame medole legei. Ilia da A: moulaide soge amo Anone Hano asili Ya: boge Hano amo soge dogoa dialu huluane fedelale, fi dialu. Ya: boge Hano da A: monaide dunu fi ilia soge alalo defei gala. Ilia da amo hame giadofai, bai A: monaide dunu da amo alalo defei gasawane gaga: su.
25 Israeli akaiteka miji yote ya Waamori na kuikalia, pamoja na Heshboni na makazi yote yanayoizunguka.
Isala: ili dunu da A: moulaide dunu ilia moilai huluane amo doagala: le, fedelai dagole, amo ganodini fi. Ilia da Hesiabone amola moilai huluane amo sisiga: le dialu, fedelai dagoi.
26 Heshboni ulikuwa mji wa Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alikuwa amepigana dhidi ya mfalme wa Moabu aliyetangulia na akawa amechukua ardhi yake yote mpaka Arnoni.
Hesiabone da A: moulaide hina bagade Saihone, amo ea bisili moilai bai bagade. Saihone da musa: Moua: be hina bagade ema gegei galu. E da ea soge huluane asili Anone hano, amo huluane fedelai dagoi.
27 Ndiyo sababu watunga mashairi husema: “Njoo Heshboni na ujengwe tena; mji wa Sihoni na ufanywe upya.
Amaiba: le, gesami hea: su dunu da amane gesami hea: sa, ‘Hesiabone moilai bai bagade, hina bagade Saihone ea moilai, amoga misa. Ninia da amo moilai bu hiougi amola bu hahamoi dagoi ba: mu, amo hanai gala.
28 “Moto uliwaka kutoka Heshboni, mwali wa moto kutoka mji wa Sihoni. Uliteketeza Ari ya Moabu, raiya wa mahali pa Arnoni palipoinuka.
Hemonega, Saihone ea dadi gagui dunu da lalu ea ahoabe defele, Hesiabone moilai bai bagadega asi. Ea dadi gagui dunu da lalu agoane, A moilai bai bagade Moua: be soge ganodini wadela: lesi, amola Anone Hano ea banuguma agolo soge da lalu nebe agoane nei dagoi.
29 Ole wako, ee Moabu! Umeharibiwa, enyi watu wa Kemoshi! Amewatoa wanawe kuwa wakimbizi, na binti zake kama mateka kwa Mfalme Sihoni wa Waamori.
Moua: be fi dunu! Dilia da se bagade naba! Dilia ogogosu ‘gode’ Gimosie amoma nodone sia: ne gadosu dunu! Dilia da wadela: lesi dagoi. Dilia ‘gode’ da dilia dunu amo mugululi asi dunu hamoma: ne, logo doasi dagoi. Amola dilia uda ilia da A: moulaide hina bagade ea udigili hawa: hamosu uda hamoi.
30 “Lakini tumewashinda; Heshboni umeharibiwa hadi Diboni. Tumebomoa hadi kufikia Nofa, ulioenea hadi Medeba.”
Be wali iligaga fi da wadela: lesi dagoi. Soge amo da Hesiaboneganini muni asili Daibone amola Noufa (Mediba gadenene), amo soge huluane ganodini fi, iligaga fi da wadela: lesi dagoi ba: sa.”
31 Kwa hiyo Israeli akaishi katika nchi ya Waamori.
Amaiba: le, Isala: ili fi dunu da A: moulaide fi dunu ilia soge ganodini fi.
32 Baada ya Mose kutuma wapelelezi kwenda mji wa Yazeri, Waisraeli waliteka viunga vya mji huo na kuwafukuza Waamori waliokuwa wanaishi huko.
Amola Mousese da Ya: isa moilai bai bagade doagala: ma: ne, logo noga: i amo hogomusa: , desega ahoasu dunu asunasi. Isala: ili dunu da Ya: isa moilai bai bagade amola e sisiga: le dialu moilai huluane amo moilai doagala: le fedelai dagoi. Ilia da A: moulaide dunu amogawi esalu amo sefasi dagoi.
33 Kisha wakageuka na kwenda katika njia inayoelekea Bashani, naye Ogu mfalme wa Bashani pamoja na jeshi lake lote wakatoka kupigana nao huko Edrei.
Amalalu, Isala: ili dunu da sinidigili, Ba: isia: ne sogega doaga: musa: logoga asi. Oge (Ba: isia: ne hina bagade) da ea dadi gagui dunu gagadole, Edeliai moilai bai bagadega Isala: ili dunu ilima doagala: musa: , mogodigili asi.
34 Bwana akamwambia Mose, “Usimwogope Ogu, kwa sababu nimeshamkabidhi mikononi mwako, pamoja na jeshi lake lote na nchi yake. Mtendee kama ulivyomtendea Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni.”
Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Ema mae beda: ma! Na da di amo Oge amola ea dunu huluane amola ea soge amo hasalima: ne, Na da amo hou dima imunu. Dia da Saihone, A:moulaide hina bagade amo da Hesiabone amoga ouligisu hou hamosu, dia da ema hamoi defele, Oge ema hamoma.”
35 Kwa hiyo wakamuua, pamoja na wanawe na jeshi lake lote, bila ya kumwacha hata mtu mmoja hai. Nao wakaimiliki nchi yake.
Amaiba: le, Isala: ili dunu da Oge amola egefelali amola ea fi dunu huluanedafa medole lelegei dagoi. Dunu afae esalebe hame ba: i. Amalalu, ilia da ea soge gesowale fi dialu.

< Hesabu 21 >