< Hesabu 18 >

1 Bwana akamwambia Aroni, “Wewe, wanao na jamaa ya baba yako mtawajibika kwa makosa dhidi ya mahali patakatifu, na wewe na wanao peke yenu ndio mtakaowajibika kwa makosa dhidi ya ukuhani.
Hoe ty nitsara’ Iehovà amy Aharone: Ihe naho o anadahi’oo miharo amo anjomban-droae’oo ro hivave o hakeo’ i efe-miavakey, le ihe rekets’ o anadahi’oo ro hivave o tahi’ i fisoroñañeio.
2 Walete Walawi wenzako kutoka kabila la baba zako ili waungane nanyi na kuwasaidia wakati wewe na wanao mnapohudumu mbele ya Hema la Ushuhuda.
Aa le endeso mb’ etoa ka o rahalahi’oo, i fifokoa’ i Leviy, i fifokoan-droae’oy, hireketse ama’o, hitoroñe azo, ihe naho o ana’oo, añatrefa’ i kibohom-pañinay.
3 Watawajibika kwenu na watafanya kazi zote za Hema, lakini kamwe wasisogelee vifaa vya patakatifu au madhabahu, la sivyo wao na ninyi mtakufa.
Hiatrak’ azo iereo vaho hañambeñe i kivoho iabiy, fe tsy harinea’ iareo o fana’ i efe-miavakeio naho i kitreliy tsy mone hivetrake, ie naho inahareo.
4 Watajiunga nanyi na watawajibika kwa utunzaji wa Hema la Kukutania, yaani kazi zote kwenye Hema, wala hakuna mtu mwingine yeyote atakayeweza kusogea karibu hapo mlipo.
Hampireketeñe ama’o iereo hamandroñe i kibohom-pamantañañey amy ze hene fitoloñañe amy kivohoy fe tsy hiharinea’ t’indaty tsotra.
5 “Mtawajibika katika utunzaji wa mahali patakatifu na madhabahu, ili kwamba ghadhabu isiwaangukie Waisraeli tena.
Le ho toloñe’ areo o raha miavakeo, hatrafe’ areo i kitreliy, tsy hifetsahan-kaviñerañe o ana’ Israeleo.
6 Mimi mwenyewe nimewachagua Walawi wenzenu kutoka miongoni mwa Waisraeli kama zawadi kwenu, waliowekwa wakfu kwa Bwana ili kufanya kazi katika Hema la Kukutania.
Le Izaho, toe Izaho ty nandrambe o nte-Levy rahalahi’ areoo boak’amo ana’ Israeleo, ie nengaeñe ho ravoravo am’ Iehovà ho anahareo, hanoe’e o fitoroñañe an-kibohom-pamantañañeo.
7 Lakini ni wewe tu na wanao mtakaoweza kutumika kama makuhani kuhusiana na kila kitu kwenye madhabahu na ndani ya pazia. Ninawapa utumishi wa ukuhani kama zawadi. Mtu mwingine yeyote atakayekaribia mahali patakatifu ni lazima auawe.”
Le ihe naho o ana’o rekets’ ama’oo ro hañambeñe o fisoroña’ areoo amy ze hene mioza amy kitreliy, le ho toroñe’ areo ze ankalo’ i lamba fañefetsey ao. Atoloko azo ho fitoroñan-karavòañe i fisoroñañey, fe havetrake ze ondaty tsotra miharine eo.
8 Kisha Bwana akamwambia Aroni, “Mimi mwenyewe nimekuweka kuwa mwangalizi wa sadaka zote zitakazotolewa kwangu; matoleo yote matakatifu Waisraeli wanayonipa ninakupa wewe na wanao kama sehemu yenu na fungu lenu la kawaida.
Hoe ty nitsara’ Iehovà amy Aharone: Izaho, toe Izaho ty nanolots’ azo o engan-kavoakoo, le navìko ho azo naho o ana’oo ho amy fañorizañey ze hene navi’ o ana’ Israeleo. Natoloko ami’ty fañorizañe naho amo o ana’oo ho fañè nainai’e.
9 Mtachukua sehemu ya yale matoleo matakatifu sana ambayo hayateketezwi kwa moto. Kutoka kwa matoleo yote wanayoniletea kama sadaka takatifu sana, ziwe za nafaka, au za dhambi, au za makosa, sehemu ile itakuwa yako na wanao.
Ho azo amo raha miava-do’e navotso­tse amy afoio; ze hene enga’ iareo: ze enga-mahakama iaby, ze soron-kakeo iaby; ze hene engan-dilatse mete ho banabanae’ iereo amako, ho miava-do’e ama’o naho amo ana’oo.
10 Mtaila kama kitu kilicho kitakatifu sana; kila mwanaume ataila. Ni lazima mtaiheshimu kama takatifu.
Ho kamae’ areo an-toetse miavake ao, ze lahilahy iaby ty hikama ama’e, fa navaheñe ho ama’o.
11 “Hiki pia ni chako: chochote kilichotengwa kutoka kwenye matoleo yote ya sadaka za kuinuliwa za Waisraeli. Ninakupa wewe haya, wana na binti zako kama sehemu yenu ya kawaida. Kila mmoja wa nyumba yako ambaye ni safi kwa taratibu za ibada anaweza kuyala.
Ho azo ty enga-kavoañe amo engae’ iareoo, naho ze enga ahelahela’ o ana’ Israeleo, le fa natoloko azo naho amo ana-dahi’oo naho amo anak’ ampela’o mindre ama’oo ho fañè nainai’e, ie mete kamae’ ze malio añ’ anjomba’o ao.
12 “Ninawapa mafuta ya zeituni yaliyo bora kuliko yote, na divai mpya iliyo bora kuliko zote na nafaka wanazompa Bwana kama malimbuko katika mavuno yao.
Fa natoloko azo ze hene soa amo menakeo naho ze fonga soa amo divai-vaoo naho amy ampembay: ty loha-voñe engae’ iereo am’ Iehovà.
13 Malimbuko yote ya nchi ambayo wanamletea Bwana yatakuwa yenu. Kila mmoja nyumbani kwako ambaye ni safi kwa taratibu za Ibada anaweza kula.
Azo ze hene lengom-boa an-tane’e añe engae’ iereo am’ Iehovào, songa mete mikama ama’e ze malio añ’anjomba’o ao.
14 “Kila kitu katika Israeli ambacho kimetolewa kwa Bwana ni chenu.
Hene azo ze atokañe e Israele ao.
15 Kila mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu na wa mnyama, ambaye ametolewa kwa Bwana ni wenu. Lakini ni lazima mtamkomboa kila mwana mzaliwa wa kwanza na kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa wanyama wasio safi.
Azo ka ze manoka-koviñe valoha’e, ze engaeñe am’ Iehovà, he ondaty ke hare; fe toe ho jebañeñe o tañoloñoloña’ ondatio, vaho havahañe ka ze valohan’ ana’ o biby tsy malioo.
16 Watakapokuwa na umri wa mwezi mmoja, ni lazima mtawakomboa kwa bei ya ukombozi iliyowekwa, kwa shekeli tano za fedha, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, yenye uzito wa gera ishirini.
Le ty vilin’ ai’e, mifototse amy valò­ham-bola’ey ty ijebañañe aze; ze anjoanjoa’ o azey, sekele lime ty vili’e an-tseke­len-toe-miavake (gerà roapolo izay).
17 “Lakini kamwe usimkomboe mzaliwa wa kwanza wa maksai, kondoo au mbuzi; hawa ni watakatifu. Nyunyizia damu yao juu ya madhabahu na uchome mafuta yao kama sadaka itolewayo kwa moto, harufu nzuri inayompendeza Bwana.
Fe tsy havaha’ areo ze valohan’ anak’ añombe naho valohan’ anak’ añondry naho ty valohan’ anak’ ose, fa miavake. Hadasi’ areo añariari’ i kitreliy ty lio vaho hisoroña’o ty safo’e ho enga olorañe, hàñin-kanintsiñe am’ Iehovà.
18 Nyama zao zitakuwa chakula chenu, kama ilivyokuwa kidari cha kuinuliwa na paja la mguu wa kulia.
Le ho azo o hena’eo, ho azo hambañe amy tratran-kelahelay naho i tso’e havanay.
19 Chochote kitakachotengwa kutoka sadaka takatifu ambazo Waisraeli wanamtolea Bwana, ninakupa wewe, wanao na binti zako kama fungu lenu la kawaida. Ni Agano la milele la chumvi mbele za Bwana kwako na watoto wako.”
Ze enga avoañe amo raha miavake engae’ o ana’ Israeleo am’ Iehovào le fa natoloko azo naho amo ana-dahi’oo naho amo anak’ ampela’o mindre ama’oo ho fañè tsy modo, ho fañinan-tsira nainai’e ama’o naho amo tarira’oo añatrefa’ Iehovà.
20 Bwana akamwambia Aroni, “Hutakuwa na urithi wowote katika nchi yao, wala hutakuwa na sehemu miongoni mwao; Mimi ni fungu lako na urithi wako miongoni mwa Waisraeli.
Le hoe t’Iehovà amy Aharone: tsy hanan-dova an-tane’ iareo irehe, naho tsy hanañ’ anjara am’ iereo ao; Izaho ro anjara’o naho lova’o amo ana’ Israeleo.
21 “Ninawapa Walawi zaka yote katika Israeli kama urithi wao kuwa kama malipo kwa kazi wanayoifanya wakati wanapohudumu katika Hema la Kukutania.
Naho o nte-Levio, toe nitolorako ze fonga fahafolo’ Israele ho fanañañe hasolo ty fitoroñañe itoroña’ iareo, ty fitoloñañe an-kibohom-pamantañañe ao.
22 Kuanzia sasa, kamwe Waisraeli wasisogelee karibu na Hema la Kukutania, la sivyo watabeba matokeo ya dhambi zao, nao watakufa.
Tsy ho harinè’ o ana’ Israeleo ka i kibohom-pamantañañey henane zao tsy mone hivave hakeo vaho hivetrake.
23 Ni Walawi watakaofanya kazi katika Hema la Kukutania na kubeba wajibu wa makosa dhidi yake. Hili ni agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo. Hawatapokea urithi wowote miongoni mwa Waisraeli.
O nte-Levio avao ty hifanehak’ amo tolon-draha’ i kibohom-pamantañañeio, le ho vavè’ iereo o hakeo’eo; ho fañè nainai’e amo hene tarira’ areo mifandimbeo, f’ie tsy hanan-dova añivo o ana’ Israeleo,
24 Badala yake, ninawapa Walawi zaka zote zinazotolewa na Waisraeli kama sadaka kwa Bwana kuwa urithi wao. Hiyo ndiyo sababu nimesema hivi kuhusu wao: ‘Hawatakuwa na urithi miongoni mwa Waisraeli.’”
amy te nitolorako ty faha­folo avì’ o ana’ Israeleo ho engan-kavoañe am’ Iehovà, ie ty lova natoloko amo nte-Levio, toe vinolako t’ie tsy hanan-dova amo ana’ Israeleo.
25 Bwana akamwambia Mose,
Le nitsara amy Mosè t’Iehovà nanao ty hoe:
26 “Sema na Walawi na uwaambie: ‘Mtakapopokea zaka kutoka kwa Waisraeli ambayo ninawapa kama urithi wenu kutoka kwao, ni lazima mtoe sehemu ya kumi ya hiyo zaka kama sadaka kwa Bwana, iwe zaka ya hiyo zaka.
Saontsio amo nte-Levio ty hoe: Naho rambese’ areo amo ana’ Israeleo i fahafolo natoloko anahareo ho lova’areoy, le añengào enga-kavoañe am’ Iehovà ty fahafolo’ i fahafoloy.
27 Sadaka yenu itahesabiwa kwenu kama nafaka kutoka sakafu ya kupuria, au divai kutoka kwenye shinikizo la kukamulia zabibu.
Le ho volili­eñe ama’ areo hambañe amy t’ie i mahakama boak’ an-toe-pamofohañey; naho te boak’ ami’ty hapea’ i fipi­ritan-divaiy i enga havi’ areoy.
28 Kwa njia hii, ninyi pia mtatoa sadaka kwa Bwana kutoka zaka zote mtakazopokea kutoka kwa Waisraeli. Kutoka kwenye zaka hizi, ni lazima mtoe sehemu ya Bwana kwa Aroni, kuhani.
Aa le havi’ areo ho am’ Iehovà ty enga-kavoañe boak’ amo fahafolo rambese’ areo amo ana’ Israeleo le i enga-kavoañe navike ho am’ Iehovày ty hatolo’ areo amy Aharone mpisoroñe.
29 Ni lazima mtoe kama sehemu ya Bwana iliyo nzuri sana tena ile sehemu iliyo takatifu sana kuliko zote ya kile kitu mlichopewa.’
Amo hene enga atolotse ama’ areoo, le havi’ areo ze havìke am’ Iehovà; ze hene soa ama’e naho ty miavake ama’e.
30 “Waambie Walawi: ‘Mtakapotoa sehemu zilizo bora sana, itahesabiwa kwenu kama mazao ya sakafu ya kupuria nafaka, au ya shinikizo la kukamulia zabibu.
Aa le ano ty hoe: Naho avi’ areo ty soa ama’e, le ho volilieñe amo nte-Levio ho mahakama nasisa an-toe-pamofohañe ey naho ty fitomboa’ i fipiritan-divaiy.
31 Ninyi na watu wa nyumbani mwenu mnaweza kula sehemu iliyobaki mahali popote, kwani ndio ujira wenu kwa ajili ya kazi yenu katika Hema la Kukutania.
Azo’ areo kamaeñe ndra aia aia izay, inahareo naho o keleia’ areoo amy te tambe’ areo amy fito­loña’ areo amy kibohom-pamantañañeiy.
32 Kwa kutoa sehemu zake zilizo bora sana, hamtakuwa na hatia katika jambo hili; ndipo hamtatia unajisi sadaka takatifu za Waisraeli, nanyi hamtakufa.’”
Aa kanao avi’ areo ty soa ama’e le tsy hivavea’ areo hakeo, vaho ko leore’ areo o enga’ miava’ o ana’ Israeleoo tsy mone hivetrake.

< Hesabu 18 >