< Hesabu 18 >

1 Bwana akamwambia Aroni, “Wewe, wanao na jamaa ya baba yako mtawajibika kwa makosa dhidi ya mahali patakatifu, na wewe na wanao peke yenu ndio mtakaowajibika kwa makosa dhidi ya ukuhani.
Hina Gode da Elanema amane sia: i, “Dunu da Na Abula Diasu ganodini giadofale hawa: hamosea, di amola dia mano amola Lifai dunu da se dabe nabimu. Be dilia gobele salasu hawa: hamosu ganodini giadofale hamosea, di amola dia mano fawane da se dabe iasu ba: mu.
2 Walete Walawi wenzako kutoka kabila la baba zako ili waungane nanyi na kuwasaidia wakati wewe na wanao mnapohudumu mbele ya Hema la Ushuhuda.
Dia fi dunu, Lifai dunu, amo di amola dia mano, Abula Diasu hawa: hamosu fidima: ne oule misa.
3 Watawajibika kwenu na watafanya kazi zote za Hema, lakini kamwe wasisogelee vifaa vya patakatifu au madhabahu, la sivyo wao na ninyi mtakufa.
Ilia da dia hawa: hamosu noga: le hamoma: ne sia: ma, amola Abula Diasu hawa: hamosu noga: le hamoma: ne sia: ma. Be Hadigi liligi Hadigi Malei Sesei ganodini diala amola Oloda, ilia da hame digili ba: mu. Ilia da amo liligi digili ba: sea, ili amola di, gilisili medole legei dagoi ba: mu.
4 Watajiunga nanyi na watawajibika kwa utunzaji wa Hema la Kukutania, yaani kazi zote kwenye Hema, wala hakuna mtu mwingine yeyote atakayeweza kusogea karibu hapo mlipo.
Ilia da di amola gilisili hawa: hamomu, amola Abula Diasu hawa: hamosu huluane amo noga: le hamoma: ne sia: ma. Be hame dawa: su dunu da di gilisili mae hamoma: ne sia: ma. Amo da hamedei.
5 “Mtawajibika katika utunzaji wa mahali patakatifu na madhabahu, ili kwamba ghadhabu isiwaangukie Waisraeli tena.
Di amola diagefelali fawane da Hadigi Malei Sesei amola Oloda amo hawa: hamosu hamomu. Bai Na ougi da Isala: ili dunuma bu heda: sa: besa: le, dilisu fawane hamoma.
6 Mimi mwenyewe nimewachagua Walawi wenzenu kutoka miongoni mwa Waisraeli kama zawadi kwenu, waliowekwa wakfu kwa Bwana ili kufanya kazi katika Hema la Kukutania.
Na da Isala: ili fi amo ganodini, dia fi Lifai dunu amo ilegele, dima hahawane iasu agoane, dima iaha. Ilia da Abula Diasu ganodini hawa: hamoma: ne, Nama momogili gagai dagoi.
7 Lakini ni wewe tu na wanao mtakaoweza kutumika kama makuhani kuhusiana na kila kitu kwenye madhabahu na ndani ya pazia. Ninawapa utumishi wa ukuhani kama zawadi. Mtu mwingine yeyote atakayekaribia mahali patakatifu ni lazima auawe.”
Be Na da di amola dia mano, dilisu da Oloda amola Hadigidafa Momei Sesei amoga gobele salasu hawa: hamosu hamoma: ne ilegei dagoi. Amo hawa: hamosu da dilia hawa: hamosu fawane. Bai gobele salasu hou Na da hahawane iasu fedege agoane dilima fawane i dagoi. Hame dawa: su amola hame ilegei dunu da hadigi liligi gadenene masea, amo dunu medole legema.”
8 Kisha Bwana akamwambia Aroni, “Mimi mwenyewe nimekuweka kuwa mwangalizi wa sadaka zote zitakazotolewa kwangu; matoleo yote matakatifu Waisraeli wanayonipa ninakupa wewe na wanao kama sehemu yenu na fungu lenu la kawaida.
Hina Gode da Elanema amane sia: i, “Dawa: ma! Na da ha: i manu liligi Nama i amo da gobele salimusa: hame gobele sali, amo huluane Na da dima iaha. Amo da di amola digaga fi mae fisili, eso huluane lamu.
9 Mtachukua sehemu ya yale matoleo matakatifu sana ambayo hayateketezwi kwa moto. Kutoka kwa matoleo yote wanayoniletea kama sadaka takatifu sana, ziwe za nafaka, au za dhambi, au za makosa, sehemu ile itakuwa yako na wanao.
Hadigidafa iasu amo da oloda da: iya hame gobele sali, amo liligi haguduga dedei da dia: :- Gala: ine Iasu; Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu; Dabe Imunu Iasu. Liligi huluane Nama hadigi iasu hamoma: ne i, da di amola dia gofelali, dilia:
10 Mtaila kama kitu kilicho kitakatifu sana; kila mwanaume ataila. Ni lazima mtaiheshimu kama takatifu.
Dilia amo liligi hadigi sogebi ganodini moma. Amo dunuga fawane manu. Amo liligi da hadigi gala dawa: ma.
11 “Hiki pia ni chako: chochote kilichotengwa kutoka kwenye matoleo yote ya sadaka za kuinuliwa za Waisraeli. Ninakupa wewe haya, wana na binti zako kama sehemu yenu ya kawaida. Kila mmoja wa nyumba yako ambaye ni safi kwa taratibu za ibada anaweza kuyala.
Amola eno hahawane iasu liligi amo Isala: ili dunu da Nama iaha, amo di da lamu. Na da eso huluane, mae fisili di amola dia gofelali amola didiwilali ilima iaha. Dia sosogo fi huluane ledo dodofei dagoiba: le fawane amo manu da defea.
12 “Ninawapa mafuta ya zeituni yaliyo bora kuliko yote, na divai mpya iliyo bora kuliko zote na nafaka wanazompa Bwana kama malimbuko katika mavuno yao.
Na da baligili noga: i degabo fai ha: i manu amo Isala: ili dunu da Nama ode huluane amoga iaha, amo Na da dilima iaha. Amo da olife susuligi, waini hano amola gagoma.
13 Malimbuko yote ya nchi ambayo wanamletea Bwana yatakuwa yenu. Kila mmoja nyumbani kwako ambaye ni safi kwa taratibu za Ibada anaweza kula.
Amo huluane da dia liligi ba: mu. Dia sosogo fi huluane ledo hamedei, da amo manu defea.
14 “Kila kitu katika Israeli ambacho kimetolewa kwa Bwana ni chenu.
Liligi huluane Isala: ili soge ganodini amo ilia da Nama udigili momodale ligiagale ilegei, amo da dia:
15 Kila mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu na wa mnyama, ambaye ametolewa kwa Bwana ni wenu. Lakini ni lazima mtamkomboa kila mwana mzaliwa wa kwanza na kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa wanyama wasio safi.
Magobo dunu mano o magobo ohe mano amo Isala: ili dunu da Nama iaha, amo da dia: Be dunu ilia da mano magobo bu bidi lamusa: dawa: sea, amo di bidiga lama: ne ilegema. Amola magobo ohe amo da sema ganodini ledo hamoi, amo amolawane bidiga lama: ne ilegema.
16 Watakapokuwa na umri wa mwezi mmoja, ni lazima mtawakomboa kwa bei ya ukombozi iliyowekwa, kwa shekeli tano za fedha, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, yenye uzito wa gera ishirini.
Mano lalelegele, oubi afae doaga: sea, Isala: ili ilia malasu defele, silifa fage biyale gala amoga bu bidiga lama: ne ilegema: ma!
17 “Lakini kamwe usimkomboe mzaliwa wa kwanza wa maksai, kondoo au mbuzi; hawa ni watakatifu. Nyunyizia damu yao juu ya madhabahu na uchome mafuta yao kama sadaka itolewayo kwa moto, harufu nzuri inayompendeza Bwana.
Be magobo bulamagau, sibi amola goudi amo dunu ilia da bu bidi lamu da hamedei. Ilia da dafawane Na: liligi fawane amola amo dilia gobele salima. Ilia maga: me amo oloda la: idi amoga galagama amola ilia sefe amo gobesima. Na da amo gobei gabusiga: hahawane nabimu.
18 Nyama zao zitakuwa chakula chenu, kama ilivyokuwa kidari cha kuinuliwa na paja la mguu wa kulia.
Ilia hu da dia: Amola sogogea amola baligili noga: i iasu ea lobodafadi emo amola da dia:
19 Chochote kitakachotengwa kutoka sadaka takatifu ambazo Waisraeli wanamtolea Bwana, ninakupa wewe, wanao na binti zako kama fungu lenu la kawaida. Ni Agano la milele la chumvi mbele za Bwana kwako na watoto wako.”
Na da di, dia gofelali amola didiwilali ilima baligili noga: i iasu Isala: ili dunu da Nama iaha, amo imunu. Amo da gousa: su (fimu da hamedei) Na da di amola digaga fi ilima hamoi dagoi.”
20 Bwana akamwambia Aroni, “Hutakuwa na urithi wowote katika nchi yao, wala hutakuwa na sehemu miongoni mwao; Mimi ni fungu lako na urithi wako miongoni mwa Waisraeli.
Hina Gode da Elanema amane sia: i, “Di da soge o diasu amo digaga fi ilima imunusa: hame lamu. Amola, soge afae Isala: ili soge ganodini da dima ilegei hame ba: mu. Bai Na, Hina Gode, da dia esaloma: ne liligi huluane defele esala.”
21 “Ninawapa Walawi zaka yote katika Israeli kama urithi wao kuwa kama malipo kwa kazi wanayoifanya wakati wanapohudumu katika Hema la Kukutania.
Hina Gode da amane sia: i “Na da Lifai fi dunu ilima ‘daide’ (lai liligi huluane nabuane mogili, afae) amo huluane Isala: ili dunu da Nama iaha, amo Lifai dunu ilima i dagoi. Ilia da Na Abula Diasu ouligima: ne hawa: hamobeba: le, Na da amo bidi ilima iaha.
22 Kuanzia sasa, kamwe Waisraeli wasisogelee karibu na Hema la Kukutania, la sivyo watabeba matokeo ya dhambi zao, nao watakufa.
Isala: ili dunu eno da Na Abula Diasu gadenene hamedafa misunu. Bai ilia da bogosu se dabe iasu lasa: besa: le.
23 Ni Walawi watakaofanya kazi katika Hema la Kukutania na kubeba wajibu wa makosa dhidi yake. Hili ni agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo. Hawatapokea urithi wowote miongoni mwa Waisraeli.
Waha winini, Lifai dunu ilia fawane da Na Abula Diasu ouligimu. Amola, noga: le hame ouligisia, Na da ilima fawane sia: mu. Amo da eso huluane dialumu sema amola amo sema da digaga fi ilima dialumu. Lifai dunu da soge o diasu Isala: ili soge ganodini hame gagui dialumu.
24 Badala yake, ninawapa Walawi zaka zote zinazotolewa na Waisraeli kama sadaka kwa Bwana kuwa urithi wao. Hiyo ndiyo sababu nimesema hivi kuhusu wao: ‘Hawatakuwa na urithi miongoni mwa Waisraeli.’”
Bai Na da ilima ‘daide’ amo Isala: ili dunu da Nama iaha, amo ilima i dagoi. Amaiba: le Na da ili da Isala: ili soge ganodini liligi hame gagui dialumu, ilima sia: i dagoi.
25 Bwana akamwambia Mose,
Hina Gode da Mousesema amane hamoma: ne sia: i,
26 “Sema na Walawi na uwaambie: ‘Mtakapopokea zaka kutoka kwa Waisraeli ambayo ninawapa kama urithi wenu kutoka kwao, ni lazima mtoe sehemu ya kumi ya hiyo zaka kama sadaka kwa Bwana, iwe zaka ya hiyo zaka.
“Lifai dunu ilima amane sia: ma, ‘Dilia da Isala: ili dunu ilima ‘daide’ amo Hina Gode da dili lama: ne sia: i, amo lasea, dilia amoga ‘daide’ amo bu Hina Godema ima.
27 Sadaka yenu itahesabiwa kwenu kama nafaka kutoka sakafu ya kupuria, au divai kutoka kwenye shinikizo la kukamulia zabibu.
Na da dilia iasu amo ifabi ouligisu dunu ea iasu (gagoma gaheabolo amola waini hano gaheabolo) amo defele ba: mu.
28 Kwa njia hii, ninyi pia mtatoa sadaka kwa Bwana kutoka zaka zote mtakazopokea kutoka kwa Waisraeli. Kutoka kwenye zaka hizi, ni lazima mtoe sehemu ya Bwana kwa Aroni, kuhani.
Amo iasu (Isala: ili dunu ilia ‘daide’ dilima i) da Hina Gode Ea: Amola amoga dilia ‘daide’ lale, gobele salasu dunu Elanema ima: ma.
29 Ni lazima mtoe kama sehemu ya Bwana iliyo nzuri sana tena ile sehemu iliyo takatifu sana kuliko zote ya kile kitu mlichopewa.’
Amo liligi noga: idafa fawane, amoga amo ‘daide’ lama.
30 “Waambie Walawi: ‘Mtakapotoa sehemu zilizo bora sana, itahesabiwa kwenu kama mazao ya sakafu ya kupuria nafaka, au ya shinikizo la kukamulia zabibu.
Ifabi ouligisu dunu da ‘daide’ ia dagosea, eno la: idi hi gagusa. Amo defele dilia ‘daide’ noga: idafa la: idi amo Hina Godema (amola Elanema) ia dagosea, eno la: idi dilisu lama.
31 Ninyi na watu wa nyumbani mwenu mnaweza kula sehemu iliyobaki mahali popote, kwani ndio ujira wenu kwa ajili ya kazi yenu katika Hema la Kukutania.
Dilia amola dilia sosogo fi da nasu sogebi mae dawa: le, udigili manu da defea. Bai amo da dilia hawa: hamosu Abula Diasu ganodini, amo ea bidi lasu gala.
32 Kwa kutoa sehemu zake zilizo bora sana, hamtakuwa na hatia katika jambo hili; ndipo hamtatia unajisi sadaka takatifu za Waisraeli, nanyi hamtakufa.’”
Dilia da amo huluane nasea, wadela: i hame hou hamosa. Be hidadea baligili noga: idafa ‘daide’ Hina Godema ima. Be Isala: ili dunu ilia hadigi sema iasu noga: le dawa: ma. Dilia da Hina Godema Ea baligili noga: idafa ‘daide’ hidadea mae iawane, amo liligi manu da sema bagade. Agoane hamosea, dilia da medole legei dagoi ba: mu.”

< Hesabu 18 >