< Hesabu 17 >

1 Bwana akamwambia Mose,
Então fallou o Senhor a Moysés, dizendo:
2 “Sema na Waisraeli, na ujipatie fimbo kumi na mbili kutoka kwao, moja kutoka kwa kila mmoja wa viongozi wa kabila za baba zao. Andika jina la kila mtu kwenye fimbo yake.
Falla aos filhos d'Israel, e toma d'elles uma vara por cada casa paterna de todos os seus principes, segundo as casas de seus paes doze varas; e escreverás o nome de cada um sobre a sua vara.
3 Kwenye fimbo ya Lawi andika jina la Aroni, kwa maana ni lazima iwepo fimbo moja kwa kila kiongozi kwa ajili ya kila kabila la baba zao.
Porém o nome de Aarão escreverás sobre a vara de Levi; porque cada cabeça da casa de seus paes terá uma vara
4 Ziweke hizo fimbo ndani ya Hema la Kukutania mbele ya Sanduku la Ushuhuda, mahali nikutanapo nawe.
E as porás na tenda da congregação, perante o testemunho, onde eu virei a vós.
5 Fimbo ya mtu nitakayemchagua itachipuka, nami mwenyewe nitayakomesha haya manungʼuniko ya mara kwa mara ya Waisraeli dhidi yako.”
E será que a vara do homem que eu tiver escolhido florescerá; assim farei cessar as murmurações dos filhos d'Israel contra mim, com que murmuram contra vós
6 Hivyo Mose akasema na Waisraeli, nao viongozi wao wakampa fimbo kumi na mbili, fimbo moja kwa ajili ya kila kabila la baba zao, nayo fimbo ya Aroni ikiwa miongoni mwa hizo.
Fallou pois Moysés aos filhos d'Israel: e todos os seus maioraes deram-lhe cada um uma vara, por cada maioral uma vara, segundo as casas de seus paes; doze varas; e a vara d'Aarão estava entre as suas varas.
7 Mose akaziweka hizo fimbo mbele za Bwana ndani ya Hema la Ushuhuda.
E Moysés poz estas varas perante o Senhor na tenda do testemunho.
8 Siku iliyofuata Mose aliingia kwenye Hema la Ushuhuda akaona ile fimbo ya Aroni ambayo iliwakilisha jamaa ya Lawi haikuwa tu imechipuka, bali pia ilikuwa imetoa machipukizi, kuchanua maua na kuzaa malozi.
Succedeu pois que no dia seguinte Moysés entrou na tenda do testemunho, e eis-que a vara d'Aarão, pela casa de Levi, florescia; porque produzira flores, e brotara renovos e dera amendoas.
9 Ndipo Mose akaleta zile fimbo zote kwa Waisraeli wote kutoka mbele za Bwana. Wakaziangalia, na kila mtu akaichukua fimbo yake mwenyewe.
Então Moysés tirou todas as varas de diante do Senhor a todos os filhos d'Israel; e elles o viram, e tomaram cada um a sua vara.
10 Bwana akamwambia Mose, “Rudisha fimbo ya Aroni mbele ya Sanduku la Ushuhuda, ili ihifadhiwe kama alama kwa waasi. Hili litakomesha manungʼuniko yao dhidi yangu, ili kwamba wasife.”
Então o Senhor disse a Moysés: Torna a pôr a vara d'Aarão perante o testemunho, para que se guarde por signal para os filhos rebeldes: assim farás acabar as suas murmurações contra mim, e não morrerão.
11 Mose akafanya kama Bwana alivyomwamuru.
E Moysés fez assim; como lhe ordenára o Senhor, assim fez.
12 Waisraeli wakamwambia Mose, “Tutakufa! Tumepotea, sote tumepotea!
Então fallaram os filhos de Israel a Moysés, dizendo: Eis-aqui, nós expiramos, perecemos, nós perecemos todos.
13 Yeyote akaribiaye Maskani ya Bwana atakufa. Je, sisi sote tutakufa?”
Todo aquelle que se approximar do tabernaculo do Senhor, morrerá: seremos pois todos consumidos?

< Hesabu 17 >