< Hesabu 17 >
Yahvé parla à Moïse, et dit:
2 “Sema na Waisraeli, na ujipatie fimbo kumi na mbili kutoka kwao, moja kutoka kwa kila mmoja wa viongozi wa kabila za baba zao. Andika jina la kila mtu kwenye fimbo yake.
« Parle aux enfants d'Israël, et prends chez eux des verges, une pour chaque maison paternelle, de tous leurs princes selon leurs maisons paternelles, soit douze verges. Tu écriras le nom de chaque homme sur sa verge.
3 Kwenye fimbo ya Lawi andika jina la Aroni, kwa maana ni lazima iwepo fimbo moja kwa kila kiongozi kwa ajili ya kila kabila la baba zao.
Tu écriras le nom d'Aaron sur la verge de Lévi. Il y aura une verge pour chaque chef des maisons de leurs pères.
4 Ziweke hizo fimbo ndani ya Hema la Kukutania mbele ya Sanduku la Ushuhuda, mahali nikutanapo nawe.
Tu les déposeras dans la tente d'assignation, devant l'alliance, là où je me rencontre avec toi.
5 Fimbo ya mtu nitakayemchagua itachipuka, nami mwenyewe nitayakomesha haya manungʼuniko ya mara kwa mara ya Waisraeli dhidi yako.”
Il arrivera que la verge de l'homme que je choisirai bourgeonnera. Je ferai cesser de ma part les murmures des enfants d'Israël, qu'ils murmurent contre toi. »
6 Hivyo Mose akasema na Waisraeli, nao viongozi wao wakampa fimbo kumi na mbili, fimbo moja kwa ajili ya kila kabila la baba zao, nayo fimbo ya Aroni ikiwa miongoni mwa hizo.
Moïse parla aux enfants d'Israël; et tous leurs princes lui donnèrent des verges, pour chaque prince, selon les maisons de leurs pères, soit un total de douze verges. La baguette d'Aaron était parmi leurs baguettes.
7 Mose akaziweka hizo fimbo mbele za Bwana ndani ya Hema la Ushuhuda.
Moïse déposa les verges devant Yahvé, dans la tente du Témoignage.
8 Siku iliyofuata Mose aliingia kwenye Hema la Ushuhuda akaona ile fimbo ya Aroni ambayo iliwakilisha jamaa ya Lawi haikuwa tu imechipuka, bali pia ilikuwa imetoa machipukizi, kuchanua maua na kuzaa malozi.
Le lendemain, Moïse entra dans la tente du témoignage; et voici, la verge d'Aaron pour la maison de Lévi avait poussé, bourgeonné, produit des fleurs et porté des amandes mûres.
9 Ndipo Mose akaleta zile fimbo zote kwa Waisraeli wote kutoka mbele za Bwana. Wakaziangalia, na kila mtu akaichukua fimbo yake mwenyewe.
Moïse fit sortir toutes les verges de devant Yahvé pour tous les enfants d'Israël. Ils regardèrent, et chacun prit sa verge.
10 Bwana akamwambia Mose, “Rudisha fimbo ya Aroni mbele ya Sanduku la Ushuhuda, ili ihifadhiwe kama alama kwa waasi. Hili litakomesha manungʼuniko yao dhidi yangu, ili kwamba wasife.”
Yahvé dit à Moïse: « Remets la verge d'Aaron devant l'alliance, pour qu'elle serve de gage aux enfants rebelles, afin que tu mettes fin à leurs plaintes contre moi et qu'ils ne meurent pas. »
11 Mose akafanya kama Bwana alivyomwamuru.
Moïse fit ainsi. Il fit ce que Yahvé lui avait ordonné.
12 Waisraeli wakamwambia Mose, “Tutakufa! Tumepotea, sote tumepotea!
Les enfants d'Israël dirent à Moïse: « Voici, nous périssons! Nous sommes perdus! Nous sommes tous perdus!
13 Yeyote akaribiaye Maskani ya Bwana atakufa. Je, sisi sote tutakufa?”
Tousceux qui s'approchent du tabernacle de Yahvé meurent! Allons-nous tous périr? »