< Hesabu 14 >

1 Usiku ule watu wote wa jumuiya walipaza sauti zao na kulia kwa sauti kuu.
and to lift: loud all [the] congregation and to give: cry out [obj] voice: sound their and to weep [the] people in/on/with night [the] he/she/it
2 Waisraeli wote wakanungʼunika dhidi ya Mose na Aroni, nalo kusanyiko lote wakawaambia, “Laiti tungekuwa tumefia humo nchi ya Misri! Au humu kwenye hili jangwa!
and to grumble upon Moses and upon Aaron all son: descendant/people Israel and to say to(wards) them all [the] congregation if to die in/on/with land: country/planet Egypt or in/on/with wilderness [the] this if to die
3 Kwa nini Bwana anatuleta katika nchi hii ili tufe kwa upanga? Wake zetu na watoto wetu watachukuliwa kama nyara. Je, isingekuwa bora kwetu kurudi Misri?”
and to/for what? LORD to come (in): bring [obj] us to(wards) [the] land: country/planet [the] this to/for to fall: kill in/on/with sword woman: wife our and child our to be to/for plunder not pleasant to/for us to return: return Egypt [to]
4 Wakasemezana wao kwa wao, “Inatupasa kumchagua kiongozi na kurudi Misri.”
and to say man: anyone to(wards) brother: compatriot his to give: put head: leader and to return: return Egypt [to]
5 Ndipo Mose na Aroni wakaanguka kifudifudi mbele ya kusanyiko lote la Kiisraeli lililokusanyika hapo.
and to fall: fall Moses and Aaron upon face their to/for face: before all assembly congregation son: descendant/people Israel
6 Yoshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune, waliokuwa miongoni mwa watu wale waliokwenda kuipeleleza nchi, wakararua nguo zao,
and Joshua son: child Nun and Caleb son: child Jephunneh from [the] to spy [obj] [the] land: country/planet to tear garment their
7 wakasema na kusanyiko lote la Kiisraeli, wakawaambia, “Nchi tuliyopita katikati yake na kuipeleleza ni nzuri sana sana.
and to say to(wards) all congregation son: descendant/people Israel to/for to say [the] land: country/planet which to pass in/on/with her to/for to spy [obj] her pleasant [the] land: country/planet much much
8 Ikiwa Bwana anapendezwa nasi, atatuongoza kuingia katika nchi ile, nchi itiririkayo maziwa na asali, naye atatupa nchi hiyo.
if to delight in in/on/with us LORD and to come (in): bring [obj] us to(wards) [the] land: country/planet [the] this and to give: give her to/for us land: country/planet which he/she/it to flow: flowing milk and honey
9 Ila tu msimwasi Bwana. Wala msiwaogope watu wa nchi hiyo, kwa sababu tutawameza. Ulinzi wao umeondoka, lakini Bwana yupo pamoja nasi. Msiwaogope.”
surely in/on/with LORD not to rebel and you(m. p.) not to fear [obj] people [the] land: country/planet for food: bread our they(masc.) to turn aside: remove shadow their from upon them and LORD with us not to fear them
10 Lakini kusanyiko lote likazungumza juu ya kuwapiga kwa mawe. Ndipo utukufu wa Bwana ukaonekana katika Hema la Kukutania kwa Waisraeli wote.
and to say all [the] congregation to/for to stone [obj] them in/on/with stone and glory LORD to see: see in/on/with tent meeting to(wards) all son: descendant/people Israel
11 Bwana akamwambia Mose, “Watu hawa watanidharau mpaka lini? Wataendelea kukataa kuniamini mimi mpaka lini, ingawa nimetenda ishara za miujiza miongoni mwao?
and to say LORD to(wards) Moses till where? to spurn me [the] people [the] this and till where? not be faithful in/on/with me in/on/with all [the] sign: miraculous which to make: do in/on/with entrails: among his
12 Nitawapiga kwa tauni na kuwaangamiza, lakini nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa lenye nguvu kuliko wao.”
to smite him in/on/with pestilence and to possess: take him and to make [obj] you to/for nation great: large and mighty from him
13 Mose akamwambia Bwana, “Ndipo Wamisri watasikia juu ya jambo hili! Kwa uweza wako uliwapandisha watu hawa kutoka miongoni mwao.
and to say Moses to(wards) LORD and to hear: hear Egyptian for to ascend: establish in/on/with strength your [obj] [the] people [the] this from entrails: among his
14 Nao watawaambia wenyeji wa nchi hii jambo hili. Wao tayari wameshasikia kwamba wewe, Ee Bwana, upo pamoja na watu hawa, na kuwa wewe, Ee Bwana, umeonekana uso kwa uso, nalo wingu lako hukaa juu yao. Tena wewe unawatangulia kwa nguzo ya wingu mchana na kwa nguzo ya moto usiku.
and to say to(wards) to dwell [the] land: country/planet [the] this to hear: hear for you(m. s.) LORD in/on/with entrails: among [the] people [the] this which eye in/on/with eye to see: see you(m. s.) LORD and cloud your to stand: stand upon them and in/on/with pillar cloud you(m. s.) to go: went to/for face: before their by day and in/on/with pillar fire night
15 Ikiwa utawaua watu hawa wote mara moja, mataifa ambayo yamesikia taarifa hii kukuhusu wewe watasema,
and to die [obj] [the] people [the] this like/as man one and to say [the] nation which to hear: hear [obj] report your to/for to say
16 ‘Bwana alishindwa kuwaingiza watu hawa katika nchi aliyowaahidi kwa kiapo; hivyo akawaua jangwani.’
from lest be able LORD to/for to come (in): bring [obj] [the] people [the] this to(wards) [the] land: country/planet which to swear to/for them and to slaughter them in/on/with wilderness
17 “Basi sasa nguvu za Bwana na zionekane, sawasawa na vile ulivyosema:
and now to magnify please strength Lord like/as as which to speak: promise to/for to say
18 ‘Bwana si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa upendo na mwenye kusamehe dhambi na uasi. Lakini haachi kumwadhibu mwenye hatia, huadhibu watoto kwa ajili ya dhambi ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne.’
LORD slow face: anger and many kindness to lift: forgive iniquity: crime and transgression and to clear not to clear to reckon: visit iniquity: crime father upon son: child upon third and upon fourth
19 Kwa kadiri ya upendo wako mkuu, usamehe dhambi ya watu hawa, kama vile ulivyowasamehe tangu wakati walitoka Misri mpaka sasa.”
to forgive please to/for iniquity: crime [the] people [the] this like/as greatness kindness your and like/as as which to lift: forgive to/for people [the] this from Egypt and till here/thus
20 Bwana akajibu, “Nimewasamehe kama ulivyoomba.
and to say LORD to forgive like/as word your
21 Hata hivyo, kwa hakika kama niishivyo, na kwa hakika kama utukufu wa Bwana uijazavyo dunia yote,
and but alive I and to fill glory LORD [obj] all [the] land: country/planet
22 hakuna hata mmoja wa watu hawa ambao waliuona utukufu wangu na ishara za miujiza niliyotenda huko Misri na huko jangwani, lakini ambaye hakunitii na akanijaribu mara hizi kumi,
for all [the] human [the] to see: see [obj] glory my and [obj] sign: miraculous my which to make: do in/on/with Egypt and in/on/with wilderness and to test [obj] me this ten beat and not to hear: obey in/on/with voice my
23 hakuna hata mmoja wao atakayeona nchi niliyowaahidi baba zao kwa kiapo. Hakuna hata mmoja ambaye amenidharau atakayeiona.
if: surely yes to see: see [obj] [the] land: country/planet which to swear to/for father their and all to spurn me not to see: see her
24 Lakini kwa sababu mtumishi wangu Kalebu ana roho ya tofauti na ananifuata kwa moyo wote, nitamwingiza katika nchi aliyoiendea, nao wazao wake watairithi.
and servant/slave my Caleb consequence to be spirit another with him and to fill after me and to come (in): bring him to(wards) [the] land: country/planet which to come (in): come there [to] and seed: children his to possess: take her
25 Kwa kuwa Waamaleki na Wakanaani wanaishi katika mabonde, kesho geukeni mwelekee jangwani kwa kufuata njia iendayo Bahari ya Shamu.”
and [the] Amalekite and [the] Canaanite to dwell in/on/with valley tomorrow to turn and to set out to/for you [the] wilderness way: road sea Red (Sea)
26 Bwana akamwambia Mose na Aroni:
and to speak: speak LORD to(wards) Moses and to(wards) Aaron to/for to say
27 “Jumuiya hii ovu itanungʼunika dhidi yangu hadi lini? Nimesikia malalamiko ya hawa Waisraeli wanaonungʼunika.
till how to/for congregation [the] bad: evil [the] this which they(masc.) to grumble upon me [obj] murmuring son: descendant/people Israel which they(masc.) to grumble upon me to hear: hear
28 Hivyo waambie, ‘Hakika kama niishivyo, asema Bwana, nitawafanyia vitu vilevile nilivyosikia mkisema:
to say to(wards) them alive I utterance LORD if: surely yes not like/as as which to speak: speak in/on/with ear: hearing my so to make: do to/for you
29 Kila mmoja wenu mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi ambaye alihesabiwa na amenungʼunika dhidi yangu, miili yenu itaanguka katika jangwa hili.
in/on/with wilderness [the] this to fall: kill corpse your and all to reckon: list your to/for all number your from son: aged twenty year and above [to] which to grumble upon me
30 Hakuna hata mmoja wenu atakayeingia katika nchi niliyoapa kwa mkono ulioinuliwa kuwa makao yenu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.
if: surely no you(m. p.) to come (in): come to(wards) [the] land: country/planet which to lift: vow [obj] hand: vow my to/for to dwell [obj] you in/on/with her that if: except if: except Caleb son: child Jephunneh and Joshua son: child Nun
31 Lakini watoto wenu ambao mlisema watachukuliwa kama mateka, nitawaingiza humo ili waifurahie nchi ambayo ninyi mmeikataa.
and child your which to say to/for plunder to be and to come (in): bring [obj] them and to know [obj] [the] land: country/planet which to reject in/on/with her
32 Lakini ninyi, miili yenu itaanguka katika jangwa hili.
and corpse your you(m. p.) to fall: kill in/on/with wilderness [the] this
33 Watoto wenu watakuwa wachungaji wa mifugo hapa kwa miaka arobaini, wakiteseka kwa ajili ya kukosa uaminifu kwenu, hadi mwili wa mtu wenu wa mwisho ulale katika jangwa hili.
and son: child your to be to pasture in/on/with wilderness forty year and to lift: bear [obj] fornication your till to finish corpse your in/on/with wilderness
34 Kwa miaka arobaini, mwaka mmoja kwa kila siku katika zile siku arobaini mlizoipeleleza nchi, mtateseka kwa ajili ya dhambi zenu, na kujua jinsi ilivyo vibaya kunifanya mimi kuwa adui yenu.’
in/on/with number [the] day which to spy [obj] [the] land: country/planet forty day day to/for year day to/for year to lift: guilt [obj] iniquity: crime your forty year and to know [obj] opposition my
35 Mimi Bwana nimesema, na hakika nitafanya mambo haya kwa jumuiya hii yote ovu, ambayo imefungamana pamoja dhidi yangu. Watakutana na mwisho wao katika jangwa hili; hapa ndipo watafia.”
I LORD to speak: speak if: surely yes not this to make: do to/for all [the] congregation [the] bad: evil [the] this [the] to appoint upon me in/on/with wilderness [the] this to finish and there to die
36 Hivyo watu wale ambao Mose alikuwa amewatuma kuipeleleza nchi, waliorudi na kuifanya jumuiya nzima kunungʼunika dhidi ya Mose kwa kueneza taarifa mbaya kuhusu hiyo nchi:
and [the] human which to send: depart Moses to/for to spy [obj] [the] land: country/planet and to return: return (and to grumble *Q(K)*) upon him [obj] all [the] congregation to/for to come out: speak slander upon [the] land: country/planet
37 watu hawa waliohusika kueneza taarifa mbaya kuhusu hiyo nchi walipigwa na kuanguka kwa tauni mbele za Bwana.
and to die [the] human to come out: speak slander [the] land: country/planet bad: harmful in/on/with plague to/for face: before LORD
38 Miongoni mwa watu waliokwenda kuipeleleza hiyo nchi, ni Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune peke yao waliosalia.
and Joshua son: child Nun and Caleb son: child Jephunneh to live from [the] human [the] they(masc.) [the] to go: went to/for to spy [obj] [the] land: country/planet
39 Mose alipotoa taarifa hii kwa Waisraeli wote, waliomboleza kwa uchungu.
and to speak: speak Moses [obj] [the] word [the] these to(wards) all son: descendant/people Israel and to mourn [the] people much
40 Mapema asubuhi siku iliyofuata walipanda juu kuelekea kwenye nchi ya vilima virefu, wakasema, “Tumetenda dhambi. Tutakwea mpaka mahali Bwana alipotuahidi.”
and to rise in/on/with morning and to ascend: rise to(wards) head: top [the] mountain: hill country to/for to say look! we and to ascend: rise to(wards) [the] place which to say LORD for to sin
41 Lakini Mose akasema, “Kwa nini hamtii amri ya Bwana? Jambo hili halitafanikiwa!
and to say Moses to/for what? this you(m. p.) to pass: trespass [obj] lip: word LORD and he/she/it not to prosper
42 Msipande juu, kwa kuwa Bwana hayupo pamoja nanyi. Mtashindwa na adui zenu,
not to ascend: rise for nothing LORD in/on/with entrails: among your and not to strike to/for face: before enemy your
43 kwa kuwa Waamaleki na Wakanaani watapambana nanyi huko. Kwa sababu mmemwacha Bwana, hatakuwa pamoja nanyi, ninyi mtaanguka kwa upanga.”
for [the] Amalekite and [the] Canaanite there to/for face: before your and to fall: kill in/on/with sword for as that: since as as to return: turn back from after LORD and not to be LORD with you
44 Hata hivyo, kwa kiburi chao walipanda juu kuelekea nchi ya vilima virefu, ijapokuwa Mose hakutoka kambini wala Sanduku la Agano la Bwana.
and to presume to/for to ascend: rise to(wards) head: top [the] mountain: hill country and ark covenant LORD and Moses not to remove from entrails: among [the] camp
45 Ndipo Waamaleki na Wakanaani walioishi katika hiyo nchi ya vilima wakateremka na kuwashambulia, wakawapiga njia yote hadi Horma.
and to go down [the] Amalekite and [the] Canaanite [the] to dwell in/on/with mountain: hill country [the] he/she/it and to smite them and to crush them till [the] Hormah

< Hesabu 14 >