< Hesabu 12 >

1 Miriamu na Aroni walianza kuzungumza dhidi ya Mose kwa sababu ya mke wake Mkushi, kwa kuwa alikuwa ameoa Mkushi.
And Marie spak and Aaron ayens Moises, for his wijf a womman of Ethiope,
2 Waliuliza, “Je, Bwana amesema kupitia Mose peke yake? Je, hajasema kutupitia sisi pia?” Naye Bwana akasikia hili.
and seiden, Whethir God spak oneli by Moises? whethir he spak not also to vs in lijk maner? And whanne the Lord hadde herd this, he was wrooth greetli;
3 (Basi Mose alikuwa mtu mnyenyekevu sana, mnyenyekevu kuliko mtu mwingine yeyote katika uso wa dunia.)
for Moises was the myldest man, ouer alle men that dwelliden in erthe.
4 Ghafula Bwana akawaambia Mose, Aroni na Miriamu, “Njooni katika Hema la Kukutania, ninyi nyote watatu.” Kwa hiyo wote watatu wakaenda.
And anoon the Lord spak to Moises and to Aaron and to Marye, Go out ye thre aloone to the tabernacle of boond of pees. And whanne thei weren gon yn,
5 Kisha Bwana akashuka katika nguzo ya wingu, akasimama kwenye ingilio la Hema, akawaita Aroni na Miriamu. Wakati wote wawili waliposogea mbele,
the Lord cam doun in a piler of cloude, and he stood in the entryng of the tabernacle, and clepide Aaron and Marie.
6 Bwana akasema, “Sikilizeni maneno yangu: “Akiwapo nabii wa Bwana miongoni mwenu, nitajifunua kwake kwa maono, nitanena naye katika ndoto.
And whanne thei hadden go, he seide to hem, Here ye my wordis; if ony among you is a profete of the Lord, Y schal appere to hym in reuelacioun, ethir Y schal speke to hym bi `a dreem.
7 Lakini sivyo kwa mtumishi wangu Mose; yeye ni mwaminifu katika nyumba yangu yote.
And he seide, And my seruaunt Moises is not siche, which is moost feithful in al myn hows;
8 Kwake nitanena naye uso kwa uso, waziwazi wala si kwa mafumbo; yeye ataona umbo la Bwana. Kwa nini basi ninyi hamkuogopa kuzungumza kinyume cha mtumishi wangu Mose?”
for Y speke to hym mouth to mouth, and he seeth God opynli, and not bi derke spechis and figuris. Why therfor dredden ye not to bacbite `ether depraue my seruaunt Moises?
9 Hasira ya Bwana ikawaka dhidi yao, akawaacha.
And the Lord was wrooth ayens hem, and he wente a wei.
10 Wakati hilo wingu liliinuka kutoka juu ya Hema, Miriamu akawa tayari ana ukoma, mweupe kama theluji. Aroni akamgeukia, akaona ana ukoma.
And the cloude yede awei, that was on the tabernacle and lo! Marie apperide whijt with lepre as snow. And whanne Aaron biheelde hir, and siy hir bispreynd with lepre,
11 Kisha Aroni akamwambia Mose, “Tafadhali, bwana wangu, usituhesabie dhambi hii ambayo tumeifanya kwa upumbavu.
he seide to Moises, My lord, Y beseche, putte thou not this synne on vs,
12 Usimwache awe kama mtoto mchanga aliyezaliwa akiwa mfu, ambaye nusu ya mwili wake imeharibika hapo atokapo katika tumbo la mama yake.”
which we diden folili, that this womman be not maad as deed, and as a deed borun thing which is cast out of the `wombe of his modir; lo! now the half of hir fleisch is deuourid with lepre.
13 Hivyo Mose akamlilia Bwana akisema, “Ee Mungu, nakuomba umponye!”
And Moises criede to the Lord, and seide, Lord, Y biseche, heele thou hir.
14 Bwana akamjibu Mose, “Je, kama baba yake angemtemea usoni, asingeona aibu kwa siku saba? Mfungie nje ya kambi kwa siku saba; baada ya hapo anaweza kurudishwa kambini.”
To whom the Lord answerid, If hir fadir hadde spet in to hir face, where sche ouyte not to be fillid with schame, nameli in seuene daies? Therfor be sche departid out of the tentis bi seuen daies, and aftirward sche schal be clepid ayen.
15 Kwa hiyo Miriamu akafungiwa nje ya kambi kwa siku saba, nao watu hawakuendelea na safari mpaka aliporudishwa kambini.
And so Marie was excludid out of the tentis bi seuene daies; and the puple was not mouyd fro that place, til Marie was clepid ayen.
16 Baada ya hayo, watu waliondoka Haserothi, wakapiga kambi katika Jangwa la Parani.
And the puple yede forth fro Asseroth, whanne the tentis weren set in the deseert of Pharan.

< Hesabu 12 >