< Hesabu 10 >
Fallou mais o Senhor a Moysés, dizendo:
2 “Tengeneza tarumbeta mbili za fedha ya kufua, uzitumie kwa kuita jumuiya pamoja na wakati wa kuvunja makambi ili kuondoka.
Faze-te duas trombetas de prata: d'obra batida as farás: e te serão para a convocação da congregação, e para a partida dos arraiaes.
3 Tarumbeta zote mbili zikipigwa, jumuiya yote itakusanyika mbele yako katika ingilio la Hema la Kukutania.
E, quando as tocarem ambas, então toda a congregação se congregará a ti á porta da tenda da congregação.
4 Kama tarumbeta moja tu ikipigwa, viongozi, yaani wakuu wa koo za Israeli, ndio watakaokusanyika mbele yako.
Mas, quando tocar uma só, então a ti se congregarão os principes, os Cabeças dos milhares de Israel.
5 Wakati mlio wa kujulisha hatari ukipigwa, makabila yaliyo na makambi upande wa mashariki yataondoka.
Quando, retinindo, as tocardes, então partirão os arraiaes que alojados estão da banda do oriente.
6 Ukisikika mlio wa pili wa jinsi hiyo, walioko kwenye makambi ya kusini wataondoka. Mlio huo wa kujulisha hatari utakuwa ishara ya kuondoka.
Mas, quando a segunda vez, retinindo, as tocardes, então partirão os arraiaes que se alojam da banda do sul: retinindo, as tocarão para as suas partidas.
7 Ili kukusanya kusanyiko, piga tarumbeta zote, lakini siyo kwa mlio wa kujulisha hatari.
Porém, ajuntando a congregação, as tocareis; mas sem retinir.
8 “Wana wa Aroni, makuhani, ndio watakaopiga hizo tarumbeta. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yenu na kwa vizazi vijavyo.
E os filhos d'Aarão, sacerdotes, tocarão as trombetas: e a vós serão por estatuto perpetuo nas vossas gerações.
9 Wakati mtakapopigana vita katika nchi yenu wenyewe dhidi ya adui anayewaonea, piga tarumbeta kwa mlio wa kujulisha hatari. Ndipo utakumbukwa na Bwana Mungu wenu na kuokolewa kutoka kwa adui zenu.
E, quando na vossa terra sairdes a pelejar contra o inimigo, que vos aperta, tambem tocareis as trombetas retinindo, e perante o Senhor vosso Deus haverá lembrança de vós, e sereis salvos de vossos inimigos.
10 Pia nyakati za furaha yenu, yaani sikukuu zenu zilizoamriwa na sikukuu za Mwezi Mwandamo, mtapiga tarumbeta juu ya sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka zenu za amani, nazo zitakuwa ukumbusho kwa ajili yenu mbele za Mungu wenu. Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.”
Similhantemente, no dia da vossa alegria, e nas vossas solemnidades, e nos principios dos vossos mezes, tambem tocareis as trombetas sobre os vossos holocaustos, sobre os vossos sacrificios pacificos, e vos serão por memorial perante vosso Deus: Eu sou o Senhor vosso Deus.
11 Katika siku ya ishirini ya mwezi wa pili wa mwaka wa pili, wingu liliinuka kutoka juu ya maskani ya Ushuhuda.
E aconteceu, no anno segundo, no segundo mez, aos vinte do mez, que a nuvem se alçou de sobre o tabernaculo da congregação.
12 Ndipo Waisraeli wakaondoka kutoka Jangwa la Sinai wakasafiri kutoka sehemu moja hadi nyingine mpaka wingu lilipotua katika Jangwa la Parani.
E os filhos d'Israel se partiram segundo as suas partidas do deserto de Sinai: e a nuvem parou no deserto de Paran.
13 Waliondoka kwa mara ya kwanza kwa agizo la Bwana kupitia kwa Mose.
Assim partiram pela primeira vez segundo o dito do Senhor, pela mão de Moysés.
14 Vikosi vya kambi ya Yuda vilitangulia kwanza chini ya alama yao. Nashoni mwana wa Aminadabu alikuwa kiongozi wao.
Porque primeiramente partiu a bandeira do arraial dos filhos de Judah segundo os seus exercitos: e sobre o seu exercito estava Naasson, filho d'Amminadab.
15 Nethaneli mwana wa Suari alikuwa kiongozi wa kabila la Isakari,
E sobre o exercito da tribu dos filhos d'Issacar, Nathanael, filho de Suhar.
16 naye Eliabu mwana wa Heloni alikuwa kiongozi wa kabila la Zabuloni.
E sobre o exercito da tribu dos filhos de Zebulon, Eliab, filho de Helon.
17 Ndipo Maskani iliposhushwa, nao wana wa Gershoni na wana wa Merari ambao waliibeba wakaondoka.
Então desarmaram o tabernaculo, e os filhos de Gerson e os filhos de Merari partiram, levando o tabernaculo.
18 Vikosi vya kambi ya Reubeni vilifuata, chini ya alama yao. Elisuri mwana wa Shedeuri alikuwa kiongozi wao.
Depois partiu a bandeira do arraial de Ruben segundo os seus exercitos: e sobre o seu exercito estava Elizur, filho de Sedeur.
19 Shelumieli mwana wa Surishadai aliongoza kikosi cha kabila la Simeoni,
E sobre o exercito da tribu dos filhos de Simeão, Selumiel, filho de Surisaddai.
20 naye Eliasafu mwana wa Deueli aliongoza kikosi cha kabila la Gadi.
E sobre o exercito da tribu dos filhos de Gad, Eliasaph, filho de Dehuel.
21 Kisha Wakohathi wakaondoka, wakichukua vitu vitakatifu. Maskani ilikuwa isimamishwe kabla wao hawajafika.
Então partiram os kohathitas, levando o sanctuario; e os outros levantaram o tabernaculo, entretanto que estes vinham.
22 Vikosi vya kambi ya Efraimu vilifuata, chini ya alama yao. Elishama mwana wa Amihudi alikuwa kiongozi wao.
Depois partiu a bandeira do arraial dos filhos d'Ephraim segundo os seus exercitos: e sobre o seu exercito estava Elisama, filho d'Ammihud.
23 Gamalieli mwana wa Pedasuri aliongoza kikosi cha kabila la Manase,
E sobre o exercito da tribu dos filhos de Manasseh, Gamaliel, filho de Pedazur.
24 naye Abidani mwana wa Gideoni alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Benyamini.
E sobre o exercito da tribu dos filhos de Benjamin, Abidan, filho de Gideoni.
25 Mwishowe, kama kikosi cha nyuma cha ulinzi wa vikosi vyote, vikosi vya kambi ya Dani viliondoka chini ya alama yao. Ahiezeri mwana wa Amishadai alikuwa kiongozi wao.
Então partiu a bandeira do arraial dos filhos de Dan, fechando todos os arraiaes segundo os seus exercitos: e sobre o seu exercito estava Ahiezer, filho de Ammisaddai.
26 Pagieli mwana wa Okrani aliongoza kikosi cha kabila la Asheri,
E sobre o exercito da tribu dos filhos d'Aser, Pagiel, filho de Ochran.
27 naye Ahira mwana wa Enani aliongoza kikosi cha kabila la Naftali.
E sobre o exercito da tribu dos filhos de Naphtali, Ahira, filho d'Enan.
28 Huu ndio ulikuwa utaratibu wa kuondoka wa vikosi vya Waisraeli walipokuwa wanaondoka.
Estas eram as partidas dos filhos d'Israel segundo os seus exercitos, quando partiam.
29 Basi Mose akamwambia Hobabu mwana wa Reueli, Mmidiani, mkwewe Mose, “Tunaondoka kwenda mahali ambapo Bwana amesema ‘Nitawapa ninyi mahali hapo.’ Twende pamoja nasi tutakutendea mema, kwa maana Bwana ameahidi mambo mema kwa Israeli.”
Disse então Moysés a Hobab, filho de Reguel o midianita, sogro de Moysés: Nós caminhamos para aquelle logar, de que o Senhor disse: Vol-o darei: vae comnosco, e te faremos bem; porque o Senhor fallou bem sobre Israel.
30 Akajibu, “Hapana, sitakwenda; nitarudi kwenye nchi yangu mwenyewe na watu wangu mwenyewe.”
Porém elle lhe disse: Não irei; antes irei á minha terra e á minha parentela.
31 Lakini Mose akasema, “Tafadhali usituache. Wewe unajua mahali ambapo yatupasa kupiga kambi jangwani, nawe unaweza kuwa macho yetu.
E elle disse: Ora não nos deixes: porque tu sabes que nós nos alojamos no deserto; nos servirás d'olhos.
32 Ikiwa utafuatana nasi, tutashirikiana nawe mema yoyote tutakayopewa na Bwana.”
E será que, vindo tu comnosco, e succedendo o bem, com que o Senhor nos fará bem, tambem nós te faremos bem.
33 Hivyo waliondoka kutoka mlima wa Bwana, nao wakasafiri kwa siku tatu. Sanduku la Agano la Bwana liliwatangulia kwa zile siku tatu ili kuwatafutia mahali pa kupumzika.
Assim partiram do monte do Senhor caminho de tres dias: e a arca do concerto do Senhor caminhou diante d'elles caminho de tres dias, para lhes buscar logar de descanço.
34 Wingu la Bwana lilikuwa juu yao wakati wa mchana walipoondoka kambini.
E a nuvem do Senhor ia sobre elles de dia, quando partiam do arraial.
35 Wakati wowote Sanduku lilipoondoka, Mose alisema, “Ee Bwana, inuka! Watesi wako na watawanyike; adui zako na wakimbie mbele zako.”
Era pois que, partindo a arca, Moysés dizia: Levanta-te, Senhor, e dissipados sejam os teus inimigos, e fujam diante de ti os aborrecedores.
36 Wakati wowote Sanduku liliposimama, alisema, “Ee Bwana, rudi, kwa maelfu ya Waisraeli wasiohesabika.”
E, pousando ella, dizia: Torna-te, ó Senhor, para os muitos milhares d'Israel.