< Hesabu 10 >

1 Bwana akamwambia Mose:
Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
2 “Tengeneza tarumbeta mbili za fedha ya kufua, uzitumie kwa kuita jumuiya pamoja na wakati wa kuvunja makambi ili kuondoka.
“Silifa dabagala: le dalabede aduna hahamoma. Amoga, Isala: ili dunu gilisima: ne amola fisisu muguluma: ne eso olelema.
3 Tarumbeta zote mbili zikipigwa, jumuiya yote itakusanyika mbele yako katika ingilio la Hema la Kukutania.
Dalabede aduna dusia, ela ga: da badilia lalaba ahoasea, amo da Isala: ili dunu huluanedafa da dima, Na Abula Diasu logo holeiga gilisima: ne, dawa: digima: ne dusa.
4 Kama tarumbeta moja tu ikipigwa, viongozi, yaani wakuu wa koo za Israeli, ndio watakaokusanyika mbele yako.
Be dalabede afae fawane dusia, fi ouligisu dunu fawane da gilisima: ne galebeya dawa: ma.
5 Wakati mlio wa kujulisha hatari ukipigwa, makabila yaliyo na makambi upande wa mashariki yataondoka.
Dalabede aduna da dunumugini dusia, fi amo da fisisu eso mabe la: ididili esala da gadili masa: ne sia: ma.
6 Ukisikika mlio wa pili wa jinsi hiyo, walioko kwenye makambi ya kusini wataondoka. Mlio huo wa kujulisha hatari utakuwa ishara ya kuondoka.
Be dalabede da dunumugini aduna agoane dusia, fi amo da ga (south) la: idili esala da gadili masa: ne sia: ma. Amaiba: le, dilia da dalabede da dunumuni agoane dusu nabasea, fisisu mugulumusa: momagema: ma.
7 Ili kukusanya kusanyiko, piga tarumbeta zote, lakini siyo kwa mlio wa kujulisha hatari.
Be dilia Isala: ili dunu huluane gilisimusa: dawa: sea, sedagiliwane dalabede fulaboma: ma.
8 “Wana wa Aroni, makuhani, ndio watakaopiga hizo tarumbeta. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yenu na kwa vizazi vijavyo.
Gobele salasu dunu (Elane ea mano) da dalabede fulaboma: ne sia: ma. Eso huluane, mae fisili, amo hamoma: ne sia: i noga: le ouligima.
9 Wakati mtakapopigana vita katika nchi yenu wenyewe dhidi ya adui anayewaonea, piga tarumbeta kwa mlio wa kujulisha hatari. Ndipo utakumbukwa na Bwana Mungu wenu na kuokolewa kutoka kwa adui zenu.
Dilia soge ganodini, gegesu ba: beba: le, ha lai dunu da dilima doagala: sea, dilia gegemusa: gini, dalabede duma. Na, dilia Hina Gode, da dili fidimu amola dilia ha lai dunu dili mae hasalima: ne gaga: mu.
10 Pia nyakati za furaha yenu, yaani sikukuu zenu zilizoamriwa na sikukuu za Mwezi Mwandamo, mtapiga tarumbeta juu ya sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka zenu za amani, nazo zitakuwa ukumbusho kwa ajili yenu mbele za Mungu wenu. Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.”
Amola dilia hahawane eso amoga dilia Oubi Gaheabolo Lolo Nasu amola Hina Godema dawa: ma: ne Lolo Nasu eno amoga, dilia Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu amola Hahawane Gilisili Olofole Iasu hahamosea, dalabede fulaboma. Amasea, Na da dili fidimu. Bai Na da dilia Hina Gode.”
11 Katika siku ya ishirini ya mwezi wa pili wa mwaka wa pili, wingu liliinuka kutoka juu ya maskani ya Ushuhuda.
Eso 20 amola oubi ageyadu amola ode ageyadu ganodini, Hina Gode da mumobi ganumu Ea Abula Diasu gadodili dialu amo gaguia gadole asi.
12 Ndipo Waisraeli wakaondoka kutoka Jangwa la Sinai wakasafiri kutoka sehemu moja hadi nyingine mpaka wingu lilipotua katika Jangwa la Parani.
Isala: ili fi dunu da Sainai hafoga: i soge amo fisili asi. Mumobi ganumu da ahoanu, Ba: ila: ne hafoga: i sogega oulelu.
13 Waliondoka kwa mara ya kwanza kwa agizo la Bwana kupitia kwa Mose.
Amaiba: le, ilia da Hina Gode Ea Mousesema hamoma: ne sia: i defele, degabo agoane asi.
14 Vikosi vya kambi ya Yuda vilitangulia kwanza chini ya alama yao. Nashoni mwana wa Aminadabu alikuwa kiongozi wao.
Amola eso huluane ahoabeba: le, ilia da hou ilegei defele ahoasu. Dunu fi amo da Yuda fi ilima gilisi da eso gosagisu fa: no, fi eno fi eno ahoasu. Na: iasione (Aminida: be ea egefe) da amo gilisisu ouligisu.
15 Nethaneli mwana wa Suari alikuwa kiongozi wa kabila la Isakari,
Nida: niele (Sua ea egefe) da Isaga fi amo ouligisu.
16 naye Eliabu mwana wa Heloni alikuwa kiongozi wa kabila la Zabuloni.
Ilia: be (Hilone ea mano) da Sebiulane fi amo ouligisu.
17 Ndipo Maskani iliposhushwa, nao wana wa Gershoni na wana wa Merari ambao waliibeba wakaondoka.
Amalalu, ilia da Gode Ea Abula Diasu mugululi, Gesione amola Milalai fi dunu da amo gaguli ahoasu.
18 Vikosi vya kambi ya Reubeni vilifuata, chini ya alama yao. Elisuri mwana wa Shedeuri alikuwa kiongozi wao.
Amalalu, fi amo da Liubene fi ilima fa: no bobogesu, ilia da gilisisu eno eno agoane ahoasu. Elaise (Siediua egefe) da ili ouligisu.
19 Shelumieli mwana wa Surishadai aliongoza kikosi cha kabila la Simeoni,
Sieliumiele (Siulisia: dai egefe) da Simione fi amo ouligisu.
20 naye Eliasafu mwana wa Deueli aliongoza kikosi cha kabila la Gadi.
Ilaiasa: fe (Diuele egefe) da Ga: de fi ouligisu.
21 Kisha Wakohathi wakaondoka, wakichukua vitu vitakatifu. Maskani ilikuwa isimamishwe kabla wao hawajafika.
Amalalu, Lifai fi amo Gouha: de da sema liligi gaguli ahoasu. Ilia da asili, fisisu sogebi eno amoga doaga: loba, Gode Ea Abula Diasu bu hiougili dagoi ba: su.
22 Vikosi vya kambi ya Efraimu vilifuata, chini ya alama yao. Elishama mwana wa Amihudi alikuwa kiongozi wao.
Lifai fi da asi dagoi ba: loba, fi gilisisu amo da Ifala: ime fi da ouligisu da logoga ahoanebe ba: su. Ilia ouligisu dunu da Ilisiama (Amihade egefe) ba: i.
23 Gamalieli mwana wa Pedasuri aliongoza kikosi cha kabila la Manase,
Amo gilisisu ganodini, Gama: iliele (Bedase egefe) da Ma: na: se fi amo ouligisu.
24 naye Abidani mwana wa Gideoni alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Benyamini.
Amola Abaida: ne (Gidioni egefe) da Bediamini fi amo ouligisu.
25 Mwishowe, kama kikosi cha nyuma cha ulinzi wa vikosi vyote, vikosi vya kambi ya Dani viliondoka chini ya alama yao. Ahiezeri mwana wa Amishadai alikuwa kiongozi wao.
Fa: nodafa, fi amo da Da: ne fi gilisili fi da ilia eso gosa: gisu fa: no bobogele ahoasu. Ilia da fi huluane ilia fa: no sosodo ouligisu dunu agoane ba: i. Amo gilisisu ilia ouligisu dunu da Ahaisa (Amisia: dai egefe).
26 Pagieli mwana wa Okrani aliongoza kikosi cha kabila la Asheri,
Ba: idiele (Ogela: ne egefe) da A: sie fi amo ouligisu.
27 naye Ahira mwana wa Enani aliongoza kikosi cha kabila la Naftali.
Amola Ahaila (Ina: ne egefe) da Na: fadalai fi amo ouligisu.
28 Huu ndio ulikuwa utaratibu wa kuondoka wa vikosi vya Waisraeli walipokuwa wanaondoka.
Isala: ili dunu da ilia fisisu yolesili, logoga ahoanoba, agoane fi eno fi eno agoane mogodigili ahoasu.
29 Basi Mose akamwambia Hobabu mwana wa Reueli, Mmidiani, mkwewe Mose, “Tunaondoka kwenda mahali ambapo Bwana amesema ‘Nitawapa ninyi mahali hapo.’ Twende pamoja nasi tutakutendea mema, kwa maana Bwana ameahidi mambo mema kwa Israeli.”
Mousese da ea bae amo Houba: be (Midiane dunu Yedelou egefe) ema amane sia: i, “Ninia da soge amo Hina Gode da ninima imunusa: ilegei, amoga doaga: musa: masunu. E da Isala: ili dunu hahawane bagade gaguiwane esalumusa: ilegele sia: i. Amaiba: le, di ani masunu. Ninia da di amola gilisili hahawane bagade gaguiwane hou ba: mu.”
30 Akajibu, “Hapana, sitakwenda; nitarudi kwenye nchi yangu mwenyewe na watu wangu mwenyewe.”
Be Houba: be da bu adole i, “Hame mabu! Na da ni sogega buhagimu.”
31 Lakini Mose akasema, “Tafadhali usituache. Wewe unajua mahali ambapo yatupasa kupiga kambi jangwani, nawe unaweza kuwa macho yetu.
Be Mousese da ema ha: giwane edegei, “Dia nini mae yolesima! Di da hafoga: i soge ganodini nini hahawane fima: ne, sogebi huluane dawa: Dia ninima logo olelema: ne misa. Hina Gode da ninima hahawane bagade imunusa: sia: i.
32 Ikiwa utafuatana nasi, tutashirikiana nawe mema yoyote tutakayopewa na Bwana.”
Di amola ninia gilisili ahoasea, ninia da gilisili Gode Ea hahawane dogolegele iabe hou amo ba: mu.”
33 Hivyo waliondoka kutoka mlima wa Bwana, nao wakasafiri kwa siku tatu. Sanduku la Agano la Bwana liliwatangulia kwa zile siku tatu ili kuwatafutia mahali pa kupumzika.
Isala: ili dunu da hadigi goumi Sainai amo fisili asili, eso udiana agoane logoga asi. Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ilima fisisu sogebi hogomusa: , bisili ahoanebe ba: su.
34 Wingu la Bwana lilikuwa juu yao wakati wa mchana walipoondoka kambini.
Hou da eso huluane agoane ba: i. Ilia da fisisu fisili ahoabeba: le, Hina Gode Ea mu mobi ganumu da esoga ili gadodili lelebe ba: i.
35 Wakati wowote Sanduku lilipoondoka, Mose alisema, “Ee Bwana, inuka! Watesi wako na watawanyike; adui zako na wakimbie mbele zako.”
Eso huluane ilia da Sema Gagili amo gaguli ahoabeba: le, Mousese da amane sia: su, ‘Hina Gode! Di wa: legadoma! Dia ha lai dunu amo afagogolisima! Dima higa: i dunu hobeama: ne, sefasima!”
36 Wakati wowote Sanduku liliposimama, alisema, “Ee Bwana, rudi, kwa maelfu ya Waisraeli wasiohesabika.”
Amola Sema Gagili da oulelea, e da amane sia: su, “Hina Gode! Dia Isala: ili dunu sosogo fi osea: i, ilima buhagima!”

< Hesabu 10 >