< Hesabu 1 >

1 Bwana alisema na Mose katika Jangwa la Sinai, katika Hema la Kukutania, siku ya kwanza ya mwezi wa pili, katika mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Akamwambia,
Israeli vahe'ma Isipitima atre'za Sainai ka'ma kopima emani'nazageno, tare kafuma enevigeno 2 ikana ese kna zupa atruhu seli nompinti Ra Anumzamo'a anage huno Mosesena asami'ne,
2 “Hesabu watu wa jumuiya yote ya Waisraeli kwa kufuata koo zao na jamaa zao, ukiorodhesha kila mwanaume kwa jina lake, mmoja mmoja.
Kagrane Aroni'enena maka Israeli vahe'mokizmi zamagi'a nagate nofite kognare huta maka venenemokizmi zamagi'a krente'o.
3 Wewe na Aroni mtawahesabu kwa migawanyo yao wanaume wote katika Israeli wenye miaka ishirini na kuendelea ambao wanaweza kutumika katika jeshi.
Hagi sondia vahe'ma fore huga vahe'ma 20'a kafureti mareri nagamuteno Israeli vahepima iza'o hate vuga hu'nesiana, kagrane Aroni'enena hamprita sondia kevu'zmire zamantetere huta krente'o.
4 Mwanaume mmoja kutoka kila kabila, kila aliye kiongozi wa jamaa yake, atawasaidia.
Ana nehuta, mago mago naga nofipinti kvazmia huge'za tanaza hutere hiho.
5 Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowasaidia: “kutoka Reubeni, ni Elisuri mwana wa Shedeuri;
Tanagrima tanaza hu'za eri'zama erisaza vahe'mokizmi zamagi'a ama'ne, Rubeni nagapintira, Sedeu nemofo Elizuri'e,
6 kutoka Simeoni, ni Shelumieli mwana wa Surishadai;
Simeon nagapintira, Zurisadai nemofo Selumieli'e,
7 kutoka Yuda, ni Nashoni mwana wa Aminadabu;
Juda nagapintira, Aminadab nemofo Nasoni'e,
8 kutoka Isakari, ni Nethaneli mwana wa Suari;
Isaka nagapintira, Zuari nemofo Netaneli'e,
9 kutoka Zabuloni, ni Eliabu mwana wa Heloni;
Zebulun nagapintira, Helon nemofo Eliabu'e,
10 kutoka wana wa Yosefu: kutoka Efraimu, ni Elishama mwana wa Amihudi; kutoka Manase, ni Gamalieli mwana wa Pedasuri;
Josefe amohe'i Efraemi nagapintira, Amihud nemofo Elisama'e. Manase nagapintira Pedasuri nemofo Gamalieli'e,
11 kutoka Benyamini, ni Abidani mwana wa Gideoni;
Benjamen nagapintira, Gideoni nemofo Abidani'e.
12 kutoka Dani, ni Ahiezeri mwana wa Amishadai;
Dani nagapintira, Amisadai nemofo Ahieza'e.
13 kutoka Asheri, ni Pagieli mwana wa Okrani;
Aseli nagapintira, Okran nemofo Pagieli'e,
14 kutoka Gadi, ni Eliasafu mwana wa Deueli;
Gati nagapintira, Deuel nemofo Eleasafi'e.
15 kutoka Naftali, ni Ahira mwana wa Enani.”
Nafatali nagapintira, Enan nemofo Ahira'e.
16 Hawa walikuwa wanaume walioteuliwa kutoka jumuiya, viongozi wa makabila ya baba zao. Walikuwa wakuu wa koo za Israeli.
Amama zamagima fore hu'nemo'za, naga'zmire kva hutere hu'naza vaheki'za, Israeli vahepi vugote'za kevu'zmire kegava hutere hu'naze.
17 Mose na Aroni wakawachukua wanaume hao waliokuwa wamepewa majina yao,
Hige'ne Moseseke Aronikea Ra Anumzamo'ma zamagi ahe zanasmia kante anteke zamavare atru hu'na'e.
18 wakaita jumuiya yote pamoja katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Watu wakaonyesha nasaba zao kwa koo zao na jamaa zao, nao wanaume waliokuwa na miaka ishirini au zaidi waliorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja,
Hagi 2 ikamofona ese zage gnare kema hiaza hu'ne, maka vahera zamavare atru hu'na'e. Zamagehonte zamagehonte, nagate, famote zamagima metere hu'nere, 20'a kafureti mareri anagate'nea vahera, mago mago vahe'mofo zamagi kre'ne eri fatgo hu'na'e.
19 kama Bwana alivyomwagiza Mose. Hivyo aliwahesabu katika Jangwa la Sinai:
Hagi Ra Anumzamo Mosesema asami'nea kante anteno Sainai ka'ma mopafi hamprino zamagi'a kre'ne.
20 Kutoka wazao wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Israeli: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
Israeli agonesa mofavre Rubeni, ne' mofavre nagara agehontetima eno, nezmafante e'nea vahe zamagi'ane magoke magoke hate vuga hu'nea vahe'ma, kafu'zmimo 20reti mareri anagate'nea, vahe zamagi kre'ne.
21 Idadi kutoka kabila la Reubeni ilikuwa watu 46,500.
Rubeni nagapintima venenema hamprino kre'nea vahera 46 tausen 500'a vahere.
22 Kutoka wazao wa Simeoni: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi walihesabiwa na kuorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
Simeoni, ne'mofavre agehontetima eno, nezmafante e'nea vahe zamagi'ane magoke magoke hate vuga hu'nea vahe'ma, kafu'zmimo 20reti mareri anagate'nea, vahe zamagi kre'neana,
23 Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa watu 59,300.
maka Simeon naga'ma hampri'nazana 59 tausen 300ti'e.
24 Kutoka wazao wa Gadi: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
Gati ne'mofavrea agehontetima eno, nezmafante e'nea vahe zamagi'ane magoke magoke vahe'ma hate'ma vuga hu'nea vahe'ma, kafu'zmimo 20reti mareri anagate'nea, vahe zamagi kre'neana,
25 Idadi kutoka kabila la Gadi walikuwa watu 45,650.
maka Gati naga'ma hampri'nazana 45tausen 650ti'e.
26 Kutoka wazao wa Yuda: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
Juda ne'mofavrea agehontetima eno, nezmafante e'nea vahe zamagi'ane magoke magoke vahe'ma hate'ma vuga hu'nea vahe'ma, kafu'zmimo 20reti mareri anagate'nea, vahe zamagi kre'neana,
27 Idadi kutoka kabila la Yuda walikuwa watu 74,600.
maka Juda naga'ma hampri'nazana 74 tausen 600ti'e.
28 Kutoka wazao wa Isakari: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
Isakar ne'mofavre age'hontetima eno, nezmafante e'nea vahe zamagi'ane magoke magoke vahe'ma hate'ma vuga hu'nea vahe'ma, kafu'zmimo 20reti mareri anagate'nea, vahe zamagi kre'neana,
29 Idadi kutoka kabila la Isakari walikuwa watu 54,400.
maka Isakar naga'ma hampri'nazana 54 tausen 400ti'e.
30 Kutoka wazao wa Zabuloni: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
Zebuluni nemofavre nagama agehontetima eno, nezmafante e'nea vahe zamagi'ane magoke magoke hate vuga hu'nea vahe'ma, kafu'zmimo 20retima mareri anagate'nea, vahe zamagi kre'neana,
31 Idadi kutoka kabila la Zabuloni walikuwa watu 57,400.
maka Zebuluni naga'ma hampri'nazana 57tausen 400ti'e.
32 Kutoka wana wa Yosefu: Kutoka wazao wa Efraimu: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
Josefe ne'mofavre Efraemi naga'ma agehontetima eno, nezmafante e'nea vahe zamagi'ane magoke magoke hate vuga hu'nea vahe'ma, kafu'zmimo 20reti'ma mreri anagate'nea, vahe zamagi kre'neana,
33 Idadi kutoka kabila la Efraimu walikuwa watu 40,500.
maka Efraemi naga'ma hampri'nazana 40tausen 500ti'e.
34 Kutoka wazao wa Manase: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
Josefe ne' mofavre Manase naga'ma age'honteti'ma eno, nezmafante e'nea vahe zamagi'ane magoke magoke hate vuga hu'nea vahe'ma, kafu'zmimo 20reti mareri anagate'nea, vahe zamagi kre'neana, 32 tausen 200ti'e.
35 Idadi kutoka kabila la Manase walikuwa watu 32,200.
Maka Manase naga'ma hampri'nazana 32 tausen 200ti'e.
36 Kutoka wazao wa Benyamini: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
Benzameni naga'ma agehontetima eno, nezmafante e'nea vahe zamagi'ane magoke magoke vahe'ma hate vuga hu'nea vahe'ma, kafu'zmimo 20reti'ma mareri anagate'nea, vahe zamagi kre'neana,
37 Idadi kutoka kabila la Benyamini walikuwa watu 35,400.
maka Benjamen naga'ma hampri'nazana 35tausen 400ti'e.
38 Kutoka wazao wa Dani: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
Dani nagama agehontetima eno, nezmafante e'nea vahe zamagi'ane magoke magoke vahe'ma hate vuga hu'nea vahe'ma, kafu'zmimo 20reti'ma mareri anagate'nea, vahe zamagi kre'neana,
39 Idadi kutoka kabila la Dani walikuwa watu 62,700.
maka Dani naga'ma hampri'nazana 62tausen 700ti'e.
40 Kutoka wazao wa Asheri: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
Aseli naga'ma age'hontetima eno, nezmafante e'nea vahe zamagi'ane magoke magoke vahe'ma hate vuga hu'nea vahe'ma, kafu'zmimo 20reti'ma mareri anagate'nea, vahe zamagi kre'neana,
41 Idadi kutoka kabila la Asheri walikuwa watu 41,500.
maka Aseli naga'ma hampri'nazana 41tausen 500ti'e.
42 Kutoka wazao wa Naftali: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
Nafatali naga'ma agehontetima eno, nezmafante e'nea vahe zamagi'ane magoke magoke vahe'ma hate vuga hu'nea vahe'ma, kafu'zmimo 20reti'ma mareri anagate'nea, vahe zamagi kre'neana,
43 Idadi kutoka kabila la Naftali walikuwa watu 53,400.
maka Naftali naga'ma hampri'nazana 53 tausen 400ti'e.
44 Hawa walikuwa wanaume waliohesabiwa na Mose, Aroni na viongozi kumi na wawili wa Israeli, kila mmoja akiwakilisha jamaa yake.
Ama'i Moseseke Aronikema Israeli venenene 12fu'a naga nofimokizmi kva vahe'ene hamprike zamagi'a kre'na'e.
45 Wanaume wote Waisraeli waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi la Israeli walihesabiwa kufuatana na jamaa zao.
Hige'za maka Israeli vahe'mo'za kognare, famote kafuzmimo 20reti mareri anagatre'nea vahe'ma hate vuga hu'naza Israeli vahe zamagi kre fatgoma hu'nazana,
46 Jumla ya hesabu yao ilikuwa watu 603,550.
maka eri mago huno'ma hampriana 603 tausen 550ti'e.
47 Hata hivyo, jamaa ya kabila la Lawi hawakuhesabiwa pamoja na wengine.
Livae nagara zamagehe'inteti eno nezmafante'ma ehnati'neana zamagi'a onkre'naze.
48 Bwana alikuwa amemwambia Mose:
Na'ankure Ra Anumzamo'a Mosesena amanage huno asami'ne,
49 “Kamwe usihesabu kabila la Lawi wala kuwaweka pamoja katika hesabu ya Waisraeli wengine.
Israeli vahe'mokizmi zamagima kresampina, Livae nagara zamagi'a hamprinka anampina onkregahane.
50 Badala yake, waweke Walawi kuwa viongozi wa Maskani ya Ushuhuda, juu ya samani zake na kila kitu kilichomo ndani yake. Wao watabeba Maskani na samani zake zote; wataitunza na kupiga kambi kuizunguka.
Kagra Livae nagara zamazeri otige'za noni'afi eri'za eneri'za, maka'za agu'afi me'nea zane, eri'zama eri nenantaza zante kegava hiho. Seli mono nomofo (Tabernacle) agu'afi me'nea zana eri'za vano nehu'za, kegava hugahaze. Ana seli noni'amofo tvaonte nozmia ki'neza kva krigahaze.
51 Wakati wowote Maskani inapohamishwa, Walawi wataifungua, na wakati wowote maskani inapotakiwa kusimamishwa, Walawi watafanya kazi hiyo. Mtu yeyote mwingine ambaye atasogea karibu nayo atauawa.
Hanki kama vunakura, seli noni'a Livae naga'moza tagna vaziza repsi hu'za, umanisarera ete'za azeri otigahaze. Ana eri'zante huhampri onte'nesia vahe'ma ana tvaonte'ma esazana zamahe fri'gahaze.
52 Waisraeli watapiga mahema yao kwa makundi makundi, kila mwanaume katika kambi yake mwenyewe chini ya bendera yake.
Israeli ne'mofavre'moza kumama antesazana mago mago naga kevumo agragu agragu kumara nenteno, sondia vahe'zmine, krauefa nerfi'za manitere hugahaze.
53 Hata hivyo, Walawi watapiga mahema yao kuzunguka Maskani ya Ushuhuda ili ghadhabu isiipate jumuiya ya Waisraeli. Walawi watawajibika kwa utunzaji wa Maskani ya Ushuhuda.”
Hanki Livae naga'moza seli mono noni'amofona tavaontera kumara ante kagigahaze. Hagi Israeli vahe'mo'za efresage'na nasivazi zmante'zanku, Livae naga'moza seli mono noni'a vugote'za kegava krigahaze.
54 Waisraeli walifanya yote haya sawasawa kama Bwana alivyomwamuru Mose.
Israeli ne'mofavre'mo'za Ra Anumzamo Mosese asmia kante ante'za, maka'moza zamagra ana hu'naze.

< Hesabu 1 >