Aionian Verses

Wanawe wote na binti zake wakaja kumfariji, lakini hakukubali kufarijiwa. Akasema, “Hapana, nitamwombolezea mwanangu mpaka nimfikie kaburini.” Kwa hiyo baba yake akaendelea kumlilia. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Lakini Yakobo akasema, “Mwanangu hatashuka huko pamoja nanyi; ndugu yake amekufa naye ndiye peke yake aliyebaki. Ikiwa atapatwa na madhara katika safari mnayoiendea, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini kwa masikitiko.” (Sheol h7585)
(parallel missing)
Ikiwa mtaniondolea huyu tena na akapatwa na madhara, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini nikiwa mwenye huzuni.’ (Sheol h7585)
(parallel missing)
akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Lakini ikiwa Bwana ataleta jambo jipya kabisa, ardhi ikifunua kinywa chake na kuwameza wao, pamoja na kila kitu kilicho mali yao, nao washuke chini kaburini wakiwa hai, ndipo mtafahamu kuwa watu hawa wamemdharau Bwana.” (Sheol h7585)
(parallel missing)
Wakashuka chini kaburini wakiwa hai, pamoja na kila kitu walichokuwa nacho; nchi ikajifunika juu yao, nao wakaangamia wakatoweka kutoka kusanyiko. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kwa maana moto umewashwa kwa hasira yangu, ule uwakao hadi kwenye vina vya mauti. Utateketeza dunia pamoja na mazao yake, na kuwasha moto katika misingi ya milima. (Sheol h7585)
(parallel missing)
“Bwana huua na huleta uhai, hushusha chini mpaka kaburini na hufufua. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Shughulika naye kwa kadiri ya hekima yako, lakini usiache kichwa chake chenye mvi kishukie kaburi kwa amani. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Lakini sasa, usidhani kwamba hana hatia. Wewe ni mtu wa hekima, utajua la kumtendea. Zishushe mvi zake kaburini kwa damu.” (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka, vivyo hivyo yeye ashukaye kaburini harudi tena. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Ni juu mno kuliko mbingu: waweza kufanya nini? Kina chake ni kirefu kuliko kuzimu: wewe waweza kujua nini? (Sheol h7585)
(parallel missing)
“Laiti kama ungenificha kaburini, na kunisitiri hadi hasira yako ipite! Laiti ungeniwekea wakati, na kisha ukanikumbuka! (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kama nyumba pekee ninayoitarajia ni kaburi, kama nikikitandika kitanda changu gizani, (Sheol h7585)
(parallel missing)
Je, litashuka chini hadi kwenye malango ya mauti? Je, tutashuka pamoja mavumbini?” (Sheol h7585)
(parallel missing)
Huitumia miaka yao katika mafanikio nao hushuka kaburini kwa amani. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kama vile joto na hari vinyakuavyo theluji iliyoyeyuka, ndivyo kuzimu kuwanyakuavyo waliotenda dhambi. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu? (Sheol h7585)
(parallel missing)
Waovu wataishia kuzimu, naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Ee Bwana, umenitoa Kuzimu, umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Usiniache niaibike, Ee Bwana, kwa maana nimekulilia wewe, bali waovu waaibishwe na kunyamazishwa Kuzimu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini, nacho kifo kitawala. Wanyofu watawatawala asubuhi, maumbile yao yataozea kaburini, mbali na majumba yao makubwa ya fahari. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Lakini Mungu atakomboa uhai wangu na kaburi, hakika atanichukua kwake. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kifo na kiwajie adui zangu ghafula, na washuke kuzimu wangali hai, kwa maana uovu upo ndani yao. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kwa maana upendo wako ni mkuu kwangu; umeniokoa kutoka kwenye vilindi vya kaburi. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu, na maisha yangu yanakaribia kaburi. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo, au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi? (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko; nikifanya vilindi kuwa kitanda changu, wewe uko huko. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi, ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.” (Sheol h7585)
(parallel missing)
tuwameze wakiwa hai kama kaburi, wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Miguu yake hushuka kuelekea kwenye kifo; hatua zake huelekea moja kwa moja kaburini. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Nyumba yake ni njia kuu iendayo kaburini, ielekeayo chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Mauti na Uharibifu viko wazi mbele za Bwana: je, si zaidi sana mioyo ya wanadamu! (Sheol h7585)
(parallel missing)
Mapito ya uzima huelekea juu kwa ajili ya wenye hekima kumwepusha asiende chini kaburini. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Mwadhibu kwa fimbo na kuiokoa nafsi yake kutoka mautini. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kuzimu na Uharibifu havishibi kadhalika macho ya mwanadamu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Ni kaburi, tumbo lisilozaa, nchi isiyoshiba maji kamwe, na moto, usiosema kamwe, ‘Yatosha!’ (Sheol h7585)
(parallel missing)
Lolote mkono wako upatalo kufanya, fanya kwa nguvu zako zote, kwa kuwa huko kuzimu, unakokwenda, hakuna kufanya kazi wala mipango wala maarifa wala hekima. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Nitie kama muhuri moyoni mwako, kama muhuri kwenye mkono wako; kwa maana upendo una nguvu kama mauti, wivu wake ni mkatili kama kuzimu. Unachoma kama mwali wa moto, kama mwali mkubwa wa moto wa Bwana hasa. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kwa hiyo kaburi limeongeza hamu yake na kupanua mdomo wake bila kikomo, ndani mwake watashuka wakuu wao na wingi wa watu, pamoja na wagomvi wao, na wafanyao sherehe wote. (Sheol h7585)
(parallel missing)
“Mwombe Bwana Mungu wako ishara, iwe kwenye vina virefu sana, au kwenye vimo virefu sana.” (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kuzimu kote kumetaharuki kukulaki unapokuja, kunaamsha roho za waliokufa ili kukupokea, wote waliokuwa viongozi katika ulimwengu, kunawafanya wainuke kwenye viti vyao vya kifalme: wale wote waliokuwa wafalme juu ya mataifa. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Majivuno yako yote yameshushwa mpaka kuzimu, pamoja na kelele ya vinubi vyako, mafunza yametanda chini yako, na minyoo imekufunika. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Lakini umeshushwa chini hadi kuzimu, hadi kwenye vina vya shimo. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Ninyi mnajisifu, “Tumefanya agano na mauti, tumefanya mapatano na kuzimu. Wakati pigo lifurikalo litakapopita, haliwezi kutugusa sisi, kwa kuwa tumefanya uongo kuwa kimbilio letu na miungu ya uongo kuwa mahali petu pa kujificha.” (Sheol h7585)
(parallel missing)
Agano lenu na kifo litabatilishwa, patano lenu na kuzimu halitasimama. Wakati pigo lifurikalo litakapowakumba, litawaangusha chini. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Nilisema, “Katika ustawi wa maisha yangu, je, ni lazima nipite katika malango ya mauti, na kupokonywa miaka yangu iliyobaki?” (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kwa maana kaburi haliwezi kukusifu, mauti haiwezi kuimba sifa zako; wale washukao chini shimoni hawawezi kuutarajia uaminifu wako. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Ulikwenda kwa Moleki ukiwa na mafuta ya zeituni, na ukaongeza manukato yako. Ukawatuma wajumbe wako mbali sana, ukashuka kwenye kaburi lenyewe! (Sheol h7585)
(parallel missing)
“‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mwerezi uliposhushwa chini kaburini nilizifunika chemchemi zenye maji mengi kwa maombolezo: Nilivizuia vijito vyake na wingi wa maji yake nikauzuia. Kwa sababu yake niliivika Lebanoni huzuni, nayo miti yote ya shambani ikanyauka. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Niliyafanya mataifa yatetemeke kwa kishindo cha kuanguka kwake wakati nilipoushusha chini kaburini pamoja na wale washukao shimoni. Ndipo miti yote ya Edeni, miti iliyo bora kuliko yote na iliyo mizuri sana ya Lebanoni, miti yote ile iliyokunywa maji vizuri, ilifarijika hapa duniani. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Wale walioishi katika kivuli chake, wale walioungana naye miongoni mwa mataifa, nao pia walikuwa wamezikwa pamoja naye, wakiungana na wale waliouawa kwa upanga. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kutoka kuzimu viongozi hodari watanena kuhusu Misri pamoja na wale walioungana nao, ‘Wameshuka chini, nao wamelala kimya pamoja na hao wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.’ (Sheol h7585)
(parallel missing)
Je, hawakulala na mashujaa wengine wasiotahiriwa waliouawa, ambao wameshuka kaburini wakiwa na silaha zao za vita, ambao panga zao ziliwekwa chini ya vichwa vyao na uovu wao juu ya mifupa yao? Adhabu kwa ajili ya dhambi zao ilikuwa juu ya mifupa yao, ingawa vitisho vya mashujaa hawa vilikuwa vimeenea hadi kwenye nchi ya walio hai. (Sheol h7585)
(parallel missing)
“Nitawakomboa watu hawa kutoka nguvu za kaburi, nitawakomboa kutoka mautini. Yako wapi, ee mauti, mateso yako? Uko wapi, ee kuzimu, uharibifu wako? “Sitakuwa na huruma, (Sheol h7585)
(parallel missing)
Wajapojichimbia chini mpaka kwenye vina vya kuzimu, kutoka huko mkono wangu utawatoa. Wajapopanda juu hadi kwenye mbingu, kutoka huko nitawashusha. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Akasema: “Katika shida yangu nalimwita Bwana, naye akanijibu. Kutoka kina cha kaburi niliomba msaada, nawe ukasikiliza kilio changu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
hakika mvinyo humsaliti; ni mwenye kiburi na hana amani. Kwa sababu ni mlafi kama kuzimu na kama kifo kamwe hatosheki; anajikusanyia mataifa yote na kuchukua watu wote mateka. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote atakayemkasirikia ndugu yake, atapaswa hukumu. Tena, yeyote atakayemwambia ndugu yake, ‘Raka,’atapaswa kujibu kwa Baraza la Wayahudi. Lakini yeyote atakayesema ‘Wewe mpumbavu!’ atapaswa hukumu ya moto wa jehanamu. (Geenna g1067)
A ja wam mówię: Każdy, kto się na kogoś gniewa, pójdzie pod sąd! A kto nazywa go głupcem, stanie przed Wysoką Radą. A kto nazwałby go idiotą, zasługuje na ogień piekielny. (Geenna g1067)
Jicho lako la kuume likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima ukatupwa jehanamu. (Geenna g1067)
Jeśli więc twoje prawe oko skłania cię do grzechu, wyłup je i odrzuć. Lepiej bowiem, gdy zginie jakaś część twojego ciała, niż byś z całym ciałem miał być wrzucony do piekła. (Geenna g1067)
Kama mkono wako wa kuume ukikusababisha kutenda dhambi, ukate, uutupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima utupwe jehanamu. (Geenna g1067)
I jeśli twoja prawa ręka skłania cię do grzechu, odetnij ją i odrzuć. Lepiej bowiem, gdy zginie jakaś część twojego ciała, niż byś z całym ciałem miał znaleźć się w piekle. (Geenna g1067)
Msiwaogope wale wauao mwili lakini hawawezi kuua roho. Afadhali mwogopeni yeye awezaye kuiangamiza roho na mwili katika jehanamu. (Geenna g1067)
Nie bójcie się tych, którzy uśmiercają ciało, lecz nie mogą zabić duszy! Lękajcie się Boga, który i duszę, i ciało może zatracić w piekle. (Geenna g1067)
Nawe Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu. Miujiza iliyofanyika kwako ingefanyika huko Sodoma, mji huo ungalikuwepo hadi leo. (Hadēs g86)
A ty, Kafarnaum? Chcesz być wywyższone aż do nieba? Upadniesz aż do piekła! Gdyby cuda, które się tu wydarzyły, działy się w Sodomie, przetrwałaby do dziś. (Hadēs g86)
Mtu yeyote atakayesema neno dhidi ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeyote anenaye neno dhidi ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, iwe katika ulimwengu huu au katika ulimwengu ujao. (aiōn g165)
Jeśli ktoś powiedziałby coś przeciwko Mnie, Synowi Człowieczemu, może otrzymać przebaczenie. Ale jeśli ktoś powiedziałby coś przeciwko Duchowi Świętemu, nie otrzyma przebaczenia ani w tym, ani w przyszłym życiu. (aiōn g165)
Ile mbegu iliyopandwa katika miiba ni yule mtu alisikiaye neno, lakini masumbufu ya maisha haya na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno na kulifanya lisizae matunda. (aiōn g165)
Ziarnem posianym wśród chwastów jest człowiek, który słucha słowa, ale zmartwienia i pogoń za bogactwem zagłuszają je, tak że nie przynosi ono w jego życiu żadnego plonu. (aiōn g165)
Yule adui aliyepanda magugu ni ibilisi. Mavuno ni mwisho wa dunia, nao wavunaji ni malaika. (aiōn g165)
a nieprzyjacielem, który je posiał, jest sam diabeł. Żniwa to koniec świata, a żniwiarze to aniołowie. (aiōn g165)
“Kama vile magugu yangʼolewavyo na kuchomwa motoni, ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. (aiōn g165)
Koniec czasów podobny będzie do zbioru i spalenia chwastów. (aiōn g165)
Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki. (aiōn g165)
Podobnie będzie przy końcu czasów—aniołowie oddzielą ludzi złych od prawych. (aiōn g165)
Nami nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata malango ya Kuzimu hayataweza kulishinda. (Hadēs g86)
Dlatego mówię ci: Ty jesteś Piotr—skała—i na tej skale zbuduję mój Kościół. A bramy piekła nie powstrzymają go. (Hadēs g86)
Ikiwa mkono wako au mguu wako unakusababisha utende dhambi, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa huna mkono mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele. (aiōnios g166)
Jeśli więc twoja własna ręka albo noga skłania cię do grzechu, odetnij ją i wyrzuć! Lepiej kalekim wejść do nieba, niż mając obie ręce i nogi zostać wrzuconym do piekła. (aiōnios g166, questioned)
Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe, ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa katika moto wa jehanamu. (Geenna g1067)
A jeśli twoje oko skłania cię do grzechu, wyłup je i wyrzuć! Lepiej z jednym okiem wejść do nieba niż z dwojgiem zostać wrzuconym do piekła. (Geenna g1067)
Mtu mmoja akamjia Yesu na kumuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye jambo gani jema ili nipate uzima wa milele?” (aiōnios g166)
Pewnego dnia podszedł do Jezusa jakiś człowiek i zapytał: —Nauczycielu, co dobrego mam uczynić, aby otrzymać życie wieczne? (aiōnios g166)
Kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu zake wa kiume au wa kike, baba au mama, watoto au mashamba kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na ataurithi uzima wa milele. (aiōnios g166)
A każdy, kto z miłości do Mnie pozostawi dom, braci, siostry, ojca, matkę, żonę, dzieci albo posiadłości, otrzyma w zamian sto razy tyle i odziedziczy życie wieczne w przyszłym świecie. (aiōnios g166)
Akauona mtini kando ya barabara, naye akaukaribia, lakini hakupata tunda lolote ila majani. Ndipo akauambia, “Wewe usizae matunda tena kamwe!” Papo hapo ule mtini ukanyauka. (aiōn g165)
Zauważył przy drodze drzewo figowe. Podszedł więc do niego, ale nie znalazł tam nic oprócz liści. Wtedy powiedział do drzewa: —Już nigdy więcej nie przyniesiesz owocu! I drzewo od razu uschło. (aiōn g165)
“Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Ninyi mnasafiri baharini na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja mwongofu, lakini baada ya kumpata, mnamfanya mwana wa jehanamu mara mbili kuliko ninyi! (Geenna g1067)
Marny wasz los, przywódcy religijni i faryzeusze! Jesteście obłudnikami! Obchodzicie cały świat, aby nawrócić jednego człowieka. A gdy już się tak stanie, robicie z niego syna piekła, dwa razy gorszego niż wy sami. (Geenna g1067)
“Ninyi nyoka, ninyi uzao wa nyoka wenye sumu! Mtaiepukaje hukumu ya jehanamu? (Geenna g1067)
Czy tacy podli ludzie mogą uniknąć kary piekła? (Geenna g1067)
Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamjia faraghani, wakamuuliza, “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, nayo dalili ya kuja kwako na ya mwisho wa dunia ni gani?” (aiōn g165)
Później, gdy siedział na zboczu Góry Oliwnej, uczniowie podeszli do Niego i dyskretnie spytali: —Kiedy wydarzy się to, o czym mówiłeś? Po czym poznamy, że zbliża się Twoje przyjście i koniec tego świata? (aiōn g165)
“Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, ‘Ondokeni kwangu, ninyi mliolaaniwa, nendeni kwenye moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya ibilisi na malaika zake. (aiōnios g166)
Następnie jako Król zwrócę się do tych po lewej stronie: „Jesteście przeklęci przez Boga! Idźcie w ogień wieczny, przygotowany dla diabła i jego aniołów! (aiōnios g166)
“Ndipo hawa watakapoingia kwenye adhabu ya milele, lakini wale wenye haki wataingia katika uzima wa milele.” (aiōnios g166)
I pójdą oni na wieczne potępienie, prawi zaś—do życia wiecznego. (aiōnios g166)
nanyi wafundisheni kuyashika mambo yote niliyowaamuru ninyi. Hakika mimi niko pamoja nanyi siku zote, hadi mwisho wa nyakati.” (aiōn g165)
Uczcie ich przestrzegać wszystkiego, co wam poleciłem. Ja zaś będę z wami przez wszystkie dni—aż do końca czasów. (aiōn g165)
Lakini yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele.” (aiōn g165, aiōnios g166)
Jeśli jednak ktoś bluźni przeciwko Duchowi Świętemu, nigdy nie otrzyma odpuszczenia i na wieki pozostanie winien grzechu. (aiōn g165, aiōnios g166)
lakini masumbufu ya maisha haya, na udanganyifu wa mali na tamaa ya mambo mengine huja na kulisonga lile neno na kulifanya lisizae. (aiōn g165)
ale zmartwienia, pogoń za bogactwem i inne rzeczy zagłuszają je, tak że nie przynosi ono w ich życiu żadnego plonu. (aiōn g165)
Kama mkono wako ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na mkono mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili lakini ukaingia jehanamu, mahali ambako moto hauzimiki. [ (Geenna g1067)
Jeśli więc twoja własna ręka skłania cię do grzechu—odetnij ją; lepiej bowiem wejść do nieba z jedną ręką, niż mając dwie znaleźć się w ogniu piekielnym, który nigdy nie gaśnie. (Geenna g1067)
Kama mguu wako ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa kiwete, kuliko kuwa na miguu miwili lakini ukaingia jehanamu. [ (Geenna g1067)
Podobnie, jeśli twoja noga skłania cię do grzechu—odetnij ją; lepiej jest dla ciebie kalekim wejść do nieba, niż z obiema nogami zostać wrzuconym do piekła. (Geenna g1067)
Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe. Ni afadhali kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa jehanamu, (Geenna g1067)
Jeśli twoje oko skłania cię do grzechu—wyłup je; lepiej bowiem wejść do królestwa Bożego z jednym okiem, niż z dwojgiem oczu być wrzuconym do piekła, (Geenna g1067)
Yesu alipokuwa anaondoka, mtu mmoja akamkimbilia, akapiga magoti mbele yake, akamuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios g166)
W trakcie przygotowań do dalszej drogi przybiegł do Jezusa jakiś młody człowiek. Ukląkł przed Nim i zapytał: —Dobry nauczycielu, co mam czynić, aby osiągnąć życie wieczne? (aiōnios g166)
ambaye hatalipwa mara mia katika ulimwengu huu: nyumba, ndugu wa kiume na wa kike, mama na baba na watoto, mashamba pamoja na mateso, kisha uzima wa milele katika ulimwengu ujao. (aiōn g165, aiōnios g166)
otrzyma w zamian sto razy więcej domów, braci, sióstr, matek, dzieci oraz posiadłości, ale spotkają go też prześladowania! Oprócz tego, co otrzyma tu, na ziemi, czeka go życie wieczne w przyszłym świecie. (aiōn g165, aiōnios g166)
Akauambia ule mti, “Tangu leo mtu yeyote asile kamwe matunda kutoka kwako.” Wanafunzi wake walimsikia akisema hayo. (aiōn g165)
Wtedy Jezus powiedział do drzewa: —Już nigdy więcej nie przyniesiesz owocu! Uczniowie zapamiętali te słowa. (aiōn g165)
Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.” (aiōn g165)
Będzie wiecznie panował nad Izraelem, a Jego królestwo nie będzie miało końca! (aiōn g165)
Abrahamu na uzao wake milele, kama alivyowaahidi baba zetu.” (aiōn g165)
którą na zawsze przyrzekł Abrahamowi oraz jego dzieciom, naszym przodkom. (aiōn g165)
Luke 1:69 (Łukasza 1:69)
(parallel missing)
Tak, jak niegdyś obiecał przez swoich świętych proroków, posłał potężnego Zbawiciela z rodu króla Dawida, swojego sługi. (aiōn g165)
kama alivyonena kwa vinywa vya manabii wake watakatifu tangu zamani, (aiōn g165)
(parallel missing)
Wale pepo wachafu wakamsihi sana asiwaamuru kwenda katika Shimo. (Abyssos g12)
Demony błagały Jezusa, aby nie odsyłał ich do otchłani. (Abyssos g12)
Nawe, Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu.” (Hadēs g86)
A ty, Kafarnaum? Chcesz być wywyższone aż do nieba? Upadniesz aż do piekła! (Hadēs g86)
Wakati huo mtaalamu mmoja wa sheria alisimama ili kumjaribu Yesu, akamuuliza, “Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios g166)
Pewien przywódca religijny przyszedł do Jezusa i zadał Mu podchwytliwe pytanie: —Nauczycielu, co mam czynić, aby otrzymać życie wieczne? (aiōnios g166)
Lakini nitawaambia nani wa kumwogopa: Mwogopeni yule ambaye baada ya kuua mwili, ana mamlaka ya kuwatupa motoni. Naam, nawaambia, mwogopeni huyo! (Geenna g1067)
Powiem wam jednak, przed kim macie czuć trwogę: Lękajcie się Boga, który po śmierci może wtrącić człowieka do piekła! Miejcie dla Niego respekt! (Geenna g1067)
“Yule bwana akamsifu yule msimamizi dhalimu kwa jinsi alivyotumia ujanja. Kwa maana watu wa dunia hii wana ujanja zaidi wanapojishughulisha na mambo ya dunia kuliko watu wa nuru. (aiōn g165)
Właściciel dowiedział się o tym i pochwalił złego zarządcę za spryt. Jest bowiem prawdą, że ludzie tego świata wykazują tu, na ziemi, więcej sprytu niż ludzie należący do Boga. (aiōn g165)
Nawaambia, tumieni mali ya kidunia kujipatia marafiki, ili itakapokwisha, mkaribishwe katika makao ya milele. (aiōnios g166)
Dobrze więc wam radzę: Zjednujcie sobie przyjaciół nawet przy pomocy dóbr materialnych i pieniędzy, aby mogli was przyjąć w niebiańskim domu, gdy zakończycie swoją ziemską pracę. (aiōnios g166)
Kule kuzimu alipokuwa akiteseka, alitazama juu, akamwona Abrahamu kwa mbali, naye Lazaro alikuwa karibu yake. (Hadēs g86)
Znalazł się jednak w piekle, gdzie przeżywał straszliwe cierpienia. Gdy spojrzał w górę, zobaczył w oddali Łazarza w towarzystwie Abrahama. (Hadēs g86)
Mtawala mmoja akamuuliza Yesu, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios g166)
Innym razem pewien wysoko postawiony człowiek zapytał Jezusa: —Dobry Nauczycielu, co mam czynić, aby osiągnąć życie wieczne? (aiōnios g166)
ambaye hatapewa mara nyingi zaidi ya hivyo katika maisha haya, na hatimaye kupata uzima wa milele ujao.” (aiōn g165, aiōnios g166)
otrzyma w zamian o wiele więcej już teraz, a w przyszłym świecie czeka go życie wieczne. (aiōn g165, aiōnios g166)
Yesu akawajibu, “Katika maisha haya watu huoa na kuolewa. (aiōn g165)
—Ludzie żenią się i wychodzą za mąż tylko tu, na ziemi. —odpowiedział Jezus. (aiōn g165)
Lakini wale ambao wamehesabiwa kwamba wanastahili kupata nafasi katika ulimwengu ule na katika ufufuo wa wafu, hawaoi wala hawaolewi. (aiōn g165)
—Natomiast ci, którzy okażą się godnymi nieba i zmartwychwstania, nie będą zawierać małżeństw. (aiōn g165)
Ili kila mtu amwaminiye awe na uzima wa milele. (aiōnios g166)
aby każdy, kto Mi uwierzy, otrzymał życie wieczne. (aiōnios g166)
“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Tak bowiem Bóg ukochał świat, że oddał swojego jedynego Syna, aby każdy, kto Mu uwierzy, nie zginął, ale miał życie wieczne. (aiōnios g166)
Yeyote anayemwamini Mwana ana uzima wa milele, lakini yeye asiyemwamini Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu itakuwa juu yake.” (aiōnios g166)
Ten, kto wierzy Synowi Bożemu, ma życie wieczne. Ten zaś, kto Mu nie wierzy, nawet nie ujrzy tego życia—przeciwnie: zobaczy gniew Boga. (aiōnios g166)
Lakini yeyote anywaye maji nitakayompa hataona kiu kamwe. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujika uzima wa milele.” (aiōn g165, aiōnios g166)
—Ale kto napije się mojej wody, już nigdy nie będzie spragniony. Wręcz przeciwnie! Moja woda wytryśnie z niego i stanie się źródłem życia wiecznego. (aiōn g165, aiōnios g166)
Mvunaji tayari anapokea mshahara wake, naye anakusanya mazao kwa ajili ya uzima wa milele. Ili yeye apandaye na yeye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios g166)
Żniwiarz odbiera zapłatę za pracę i zbiera wieczny plon. A ten, który siał, cieszy się razem z nim. (aiōnios g166)
“Amin, amin nawaambia, yeyote anayesikia maneno yangu na kumwamini yeye aliyenituma, anao uzima wa milele, naye hatahukumiwa, bali amepita kutoka mautini, na kuingia uzimani. (aiōnios g166)
Zapewniam was: Każdy, kto Mnie słucha i wierzy Ojcu, który Mnie posłał, ma życie wieczne. Nie zostanie potępiony, bo przeszedł już ze śmierci do życia. (aiōnios g166)
Ninyi mnachunguza Maandiko mkidhani ya kuwa ndani yake mna uzima wa milele, maandiko haya ndiyo yanayonishuhudia Mimi. (aiōnios g166)
Studiujecie Pisma, bo wydaje się wam, że odnajdziecie w nich życie wieczne. A one przecież mówią o Mnie! (aiōnios g166)
Msishughulikie chakula kiharibikacho, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele, ambacho Mwana wa Adamu atawapa. Yeye ndiye ambaye Mungu Baba amemtia muhuri.” (aiōnios g166)
—Starajcie się jednak nie o ten nietrwały pokarm, ale o pokarm dający życie wieczne, który Ja, Syn Człowieczy, mogę wam zapewnić. Po to właśnie posłał Mnie Bóg Ojciec! (aiōnios g166)
Kwa maana mapenzi ya Baba yangu ni kwamba kila mmoja amtazamaye, Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele, nami nitawafufua siku ya mwisho.” (aiōnios g166)
Wolą mojego Ojca jest to, aby każdy, kto widzi Syna i wierzy Mu, miał życie wieczne i abym ożywił go w dniu ostatecznym. (aiōnios g166)
Amin, amin nawaambia, yeye anayeamini anao uzima wa milele. (aiōnios g166)
Raz jeszcze zapewniam was: Kto wierzy, ma życie wieczne! (aiōnios g166)
Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. Mtu yeyote akiula mkate huu, ataishi milele. Mkate huu ni mwili wangu, ambao nitautoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn g165)
To Ja jestem chlebem życia, przysłanym z nieba. Kto się nim posili, będzie żyć na wieki. Chlebem tym jest moje ciało, które poświęcam, aby dać światu życie. (aiōn g165)
Mtu yeyote aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios g166)
Kto spożywa moje ciało i krew, już ma życie wieczne, a Ja go ożywię w dniu ostatecznym. (aiōnios g166)
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.” (aiōn g165)
To właśnie jest chleb z nieba—nie taki, jaki jedli wasi przodkowie i poumierali. Każdy, kto spożywa ten chleb, będzie żył wiecznie. (aiōn g165)
Simoni Petro akamjibu, “Bwana, tuondoke twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele. (aiōnios g166)
—Panie, a do kogo pójdziemy?—odpowiedział Szymon Piotr. —Twoje słowa prowadzą do życia wiecznego! (aiōnios g166)
Mtumwa hakai nyumbani anakotumika siku zote, lakini mwana hukaa nyumbani daima. (aiōn g165)
—Niewolnik nie jest w domu na zawsze, ale syn—tak. (aiōn g165)
Amin, amin nawaambia, mtu yeyote akilitii neno langu hataona mauti milele.” (aiōn g165)
Zapewniam was: Kto jest posłuszny moim słowom, nigdy nie umrze! (aiōn g165)
Ndipo Wayahudi wakamwambia, “Sasa tumejua kwamba una pepo mchafu. Ikiwa Abrahamu alikufa na vivyo hivyo manabii, nawe unasema ‘Mtu akitii neno langu hatakufa milele.’ (aiōn g165)
—Teraz mamy pewność, że jesteś opanowany przez demona—odrzekli przywódcy. —Przecież nawet Abraham i najwięksi prorocy umarli, a ty twierdzisz: „Kto jest posłuszny moim słowom, nigdy nie umrze”. (aiōn g165)
Tangu zamani hatujasikia kwamba mtu amemponya yeyote aliyezaliwa kipofu. (aiōn g165)
Od wieków nie słyszano, żeby ktoś uzdrowił niewidomego od urodzenia. (aiōn g165)
nami ninawapa uzima wa milele, hawataangamia kamwe wala hakuna mtu atakayewapokonya kutoka mikono yangu. (aiōn g165, aiōnios g166)
Nigdy nie zginą, bo daję im wieczne życie. Nikt też nie jest w stanie wyrwać ich z mojej ręki. (aiōn g165, aiōnios g166)
na yeyote aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je, unasadiki haya?” (aiōn g165)
A każdy, kto żyje i wierzy Mi, nigdy nie umrze. Czy wierzysz w to? (aiōn g165)
Mtu yeyote anayependa maisha yake atayapoteza, naye ayachukiaye maisha yake katika ulimwengu huu atayaokoa hata kwa uzima wa milele. (aiōnios g166)
Kto kocha ziemskie życie, utraci je. Lecz kto nie przywiązuje wagi do życia na tym świecie, otrzyma życie wieczne. (aiōnios g166)
Ule umati wa watu ukapiga kelele ukasema, “Tumesikia kutoka Sheria kwamba ‘Kristo adumu milele,’ wewe wawezaje kusema, ‘Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa juu’? Huyu ‘Mwana wa Adamu’ ni nani?” (aiōn g165)
Wtedy ludzie z tłumu pytali Go: —Z Prawa Mojżesza wiemy, że Mesjasz będzie żyć wiecznie. Dlaczego więc mówisz, że Syn Człowieczy zostanie podniesiony w górę? Kim On właściwie jest? (aiōn g165)
Nami ninajua amri zake huongoza hadi kwenye uzima wa milele. Hivyo lolote nisemalo, ndilo lile Baba aliloniambia niseme.” (aiōnios g166)
Przykazania mojego Ojca prowadzą do wiecznego życia, dlatego przekazuję wam, to, co Mi polecił. (aiōnios g166)
Petro akamwambia, “La, wewe hutaninawisha miguu kamwe.” Yesu akamjibu, “Kama nisipokunawisha, wewe huna sehemu nami.” (aiōn g165)
—O, nie!—protestował Piotr. —Nigdy nie będziesz mi mył nóg! —Jeśli tego nie zrobię, nie będziesz do Mnie należał—odrzekł Jezus. (aiōn g165)
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele. (aiōn g165)
A Ja poproszę Ojca, aby dał wam innego Pocieszyciela—takiego, który pozostanie z wami na zawsze. (aiōn g165)
Kwa kuwa umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili awape uzima wa milele wale uliompa. (aiōnios g166)
Udzieliłeś Mi władzy nad każdym człowiekiem po to, abym dał życie wieczne wszystkim, których Mi powierzyłeś. (aiōnios g166)
Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma. (aiōnios g166)
A życie wieczne polega na poznaniu Ciebie—jedynego, prawdziwego Boga, i Jezusa Chrystusa, którego posłałeś. (aiōnios g166)
Kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu. (Hadēs g86)
Bo nie pozostawisz mojej duszy wśród umarłych i nie pozwolisz, aby ciało Twojego Świętego uległo rozkładowi. (Hadēs g86)
Daudi, akiona mambo yaliyoko mbele, akanena juu ya kufufuka kwa Kristo, kwamba hakuachwa kaburini, wala mwili wake haukuona uharibifu. (Hadēs g86)
Gdy więc zobaczył przyszłe zmartwychwstanie Mesjasza, przepowiedział, że nie pozostanie On w grobie, a Jego ciało nie ulegnie rozkładowi. (Hadēs g86)
Ilimpasa mbingu zimpokee mpaka wakati wa kufanywa upya kila kitu, kama Mungu alivyoahidi zamani kupitia kwa vinywa vya manabii wake watakatifu. (aiōn g165)
Teraz jednak musi On pozostać w niebie aż do czasu ostatecznego odnowienia wszystkich rzeczy. Bóg dawno temu zapowiedział to poprzez swoich świętych proroków. (aiōn g165)
Ndipo Paulo na Barnaba wakawajibu kwa ujasiri, wakisema, “Ilitupasa kunena nanyi neno la Mungu kwanza. Lakini kwa kuwa mmelikataa, mkajihukumu wenyewe kuwa hamstahili uzima wa milele, sasa tunawageukia watu wa Mataifa. (aiōnios g166)
Wówczas on, razem z Barnabą, powiedział wprost: —To wam, w pierwszej kolejności, należało przekazać dobrą nowinę od Boga. Skoro jednak ją odrzucacie i uważacie siebie za niegodnych życia wiecznego, zaniesiemy ją poganom. (aiōnios g166)
Watu wa Mataifa waliposikia haya wakafurahi na kulitukuza neno la Bwana; nao wote waliokuwa wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini. (aiōnios g166)
Słysząc to, poganie z radością przyjęli słowo i wszyscy, którzy byli przeznaczeni do życia wiecznego, uwierzyli w Jezusa. (aiōnios g166)
ambayo yamejulikana tangu zamani. (aiōn g165)
co zaplanował na samym początku”. (aiōn g165)
Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani, uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, imeonekana waziwazi, ikitambuliwa kutokana na yale aliyoyafanya ili wanadamu wasiwe na udhuru. (aïdios g126)
Od czasów stworzenia bowiem niewidzialne cechy Boga—Jego odwieczną moc i boskość—można dostrzec w Jego dziełach. Nikt więc nie może się wykręcać, mówiąc, że Go nie poznał. (aïdios g126)
Kwa sababu waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakaabudu na kutumikia kiumbe badala ya Muumba, ahimidiwaye milele! Amen. (aiōn g165)
Bożą prawdę zamienili bowiem na kłamstwo i zaczęli czcić stworzenie zamiast Stwórcy, który jest błogosławiony na całe wieki! Amen! (aiōn g165)
Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele. (aiōnios g166)
Tym, którzy wytrwale czynili dobro, pragnąc doświadczyć Bożej chwały, uznania i nieśmiertelności, da życie wieczne. (aiōnios g166)
ili kwamba kama vile dhambi ilivyotawala kwa njia ya mauti, vivyo hivyo neema iweze kutawala kwa njia ya kuhesabiwa haki hata kuleta uzima wa milele katika Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios g166)
Grzech zapanował nad wszystkimi ludźmi, niosąc śmierć. Natomiast Boża łaska przyniosła ludziom uniewinnienie i życie wieczne w Jezusie Chrystusie, naszym Panu. (aiōnios g166)
Lakini sasa kwa kuwa mmewekwa huru mbali na dhambi na mmekuwa watumwa wa Mungu, faida mnayopata ni utakatifu, ambao mwisho wake ni uzima wa milele. (aiōnios g166)
Jako uwolnieni spod władzy grzechu jesteście poddanymi Boga, a to doprowadzi was do świętości i wiecznego życia. (aiōnios g166)
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios g166)
Zapłatą za grzech jest śmierć, ale Bóg darował nam życie wieczne w Jezusie Chrystusie, naszym Panu! (aiōnios g166)
Wao ni wa uzao wa mababa wakuu wa kwanza, ambao kutoka kwao Kristo alikuja kwa jinsi ya mwili kama mwanadamu, yeye ambaye ni Mungu aliye juu ya vyote, mwenye kuhimidiwa milele! Amen. (aiōn g165)
Ich przodkowie kochali Boga i z tego narodu pochodzi Chrystus—Ten, który jest ponad wszystkim, Bóg uwielbiony na wieki. Amen! (aiōn g165)
“au ‘Ni nani atashuka kwenda kuzimu?’” (yaani ili kumleta Kristo kutoka kwa wafu.) (Abyssos g12)
oraz: „Nie pytaj, kto może zejść do otchłani”—aby wyprowadzić Chrystusa spośród umarłych. (Abyssos g12)
Kwa maana Mungu amewafunga wanadamu wote kwenye kuasi ili apate kuwarehemu wote. (eleēsē g1653)
Bóg pozwolił na to, żeby wszyscy się zbuntowali, aby wszystkim okazać swoją miłość. (eleēsē g1653)
Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwake na kwa ajili yake. Utukufu ni wake milele! Amen. (aiōn g165)
Wszystko przecież pochodzi od Niego, dzięki Niemu istnieje i do Niego zmierza. Jemu niech będzie wieczna chwała! Amen! (aiōn g165)
Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu. (aiōn g165)
Nie naśladujcie tego świata i zmieńcie wasz sposób myślenia, abyście wiedzieli, jaka jest wola Boga: co jest dobre, co Mu się podoba i co jest doskonałe. (aiōn g165)
Sasa atukuzwe yeye awezaye kuwafanya ninyi imara kwa Injili yangu na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kutokana na kufunuliwa siri zilizofichika tangu zamani za kale. (aiōnios g166)
Bóg może wzmocnić waszą wiarę! Taka jest treść głoszonej przeze mnie dobrej nowiny o Jezusie Chrystusie. Przez wieki była ona okryta tajemnicą, (aiōnios g166)
Lakini sasa siri hiyo imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii (aiōnios g166)
a teraz, dzięki pismom proroków, została ujawniona na rozkaz odwiecznego Boga. Bóg objawił ją po to, aby także poganie uwierzyli Jezusowi i okazali Mu posłuszeństwo. (aiōnios g166)
Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen. (aiōn g165)
Jedynemu Bogu, w którym jest pełnia mądrości, niech będzie wieczna chwała, przez Jezusa Chrystusa—naszego Pana. Amen! (aiōn g165)
Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi msomi? Yuko wapi mwanafalsafa wa nyakati hizi? Je, Mungu hakufanya hekima ya ulimwengu huu kuwa upumbavu? (aiōn g165)
Gdzie są ci wszyscy mędrcy, uczeni i wybitni znawcy spraw tego świata? Czy Bóg nie udowodnił, że cała ta wielka mądrość jest zwykłą głupotą? (aiōn g165)
Lakini miongoni mwa watu waliokomaa twanena hekima, wala si hekima ya ulimwengu huu au ya watawala wa dunia hii wanaobatilika. (aiōn g165)
A jednak to, co głosimy, ludzie dojrzali w wierze przyjmują jako mądrość, choć nie jest to mądrość tego świata ani jego przemijających przywódców. (aiōn g165)
Sisi tunanena hekima ya Mungu ambayo ni siri, tena iliyofichika, ambayo Mungu aliikusudia kabla ya ulimwengu kuwepo, kwa ajili ya utukufu wetu. (aiōn g165)
Mówimy bowiem o tajemnej mądrości samego Boga, która, ze względu na nas, była ukryta przez całe wieki. (aiōn g165)
Hakuna hata mtawala mmoja wa nyakati hizi aliyeelewa jambo hili. Kwa maana kama wangelielewa, wasingemsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn g165)
Żaden z przywódców tego świata jej nie pojął, bo gdyby było inaczej, nie ukrzyżowaliby Pana chwały. (aiōn g165)
Msijidanganye. Kama mtu yeyote miongoni mwenu akidhani kuwa ana hekima kwa viwango vya dunia hii, inampasa awe mjinga ili apate kuwa na hekima. (aiōn g165)
Przestańcie się więc łudzić. Jeśli ktoś jest dumny ze swojej mądrości, niech lepiej stanie się głupcem, aby zdobyć prawdziwą mądrość. (aiōn g165)
Kwa hiyo, kama kile ninachokula kitamfanya ndugu yangu aanguke katika dhambi, sitakula nyama kamwe, nisije nikamfanya ndugu yangu aanguke. (aiōn g165)
Jeżeli więc przez spożywanie pokarmu miałbym skrzywdzić innego wierzącego, to nigdy nie będę jadł mięsa ofiarowanego bożkom, aby w ten sposób nie doprowadzić nikogo do upadku. (aiōn g165)
Mambo haya yote yaliwapata wao ili yawe mifano kwa wengine, nayo yaliandikwa ili yatuonye sisi ambao mwisho wa nyakati umetufikia. (aiōn g165)
Wszystko, co ich spotkało, stanowi ostrzeżenie i zostało zapisane dla nas, żyjących u progu końca czasów. Jest to przestroga dla nas. (aiōn g165)
“Kuko wapi, ee mauti, kushinda kwako? Uko wapi, ee mauti, uchungu wako?” (Hadēs g86)
Gdzie jest triumf śmierci? Gdzie jest jej żądło?”. (Hadēs g86)
Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu. (aiōn g165)
Ich umysły oślepił bowiem szatan, który jest bogiem ludzi tego świata. On pragnie, aby nie dostrzegli światła dobrej nowiny i wspaniałości Chrystusa, który jest obrazem samego Boga. (aiōn g165)
Kwa maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitambo inatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele unaozidi kuwa mwingi kupita kiasi, (aiōnios g166)
Nasze kłopoty są bowiem niczym w porównaniu z wieczną chwałą, jaka nas czeka. (aiōnios g166)
kwa sababu hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana. Kwa maana yale yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele. (aiōnios g166)
To, co widzialne, przemija, a to, co niewidzialne, trwa wiecznie! Nie poświęcajcie więc uwagi tylko sprawom świata, który widzimy, ale skupiajcie się na tym, czego nie widać! (aiōnios g166)
Kwa maana twajua kama hema yetu ya dunia tunayoishi ikiharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu, nyumba iliyo ya milele kule mbinguni, isiyojengwa kwa mikono ya wanadamu. (aiōnios g166)
Wiemy przecież, że gdy runie doczesny dom, którym jest nasze ciało, otrzymamy od Boga nowe mieszkanie w niebie, które nie będzie zbudowane przez ludzi. (aiōnios g166)
Kama ilivyoandikwa: “Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele.” (aiōn g165)
Pismo mówi bowiem: „Człowiek, który kocha Boga, hojnie wspomaga biednych i zawsze czyni to, co słuszne”. (aiōn g165)
Mungu na Baba wa Bwana Yesu, yeye ambaye anahimidiwa milele, anajua ya kuwa mimi sisemi uongo. (aiōn g165)
Bóg—Ojciec Jezusa Chrystusa, naszego Pana—któremu należy się wieczna chwała, wie, że nie kłamię. (aiōn g165)
aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu. (aiōn g165)
Jezus ofiarował siebie za nasze grzechy, aby wyrwać nas z tego złego świata. A dokonał tego zgodnie z planem Boga, naszego Ojca, (aiōn g165)
Utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
któremu należy się wieczna chwała. Amen! (aiōn g165)
Apandaye kwa mwili, katika mwili wake atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele. (aiōnios g166)
Tego, kto zaspokaja swoje grzeszne pragnienia, spotka śmierć. Ten zaś, kto jest posłuszny Duchowi Świętemu, otrzyma dar życia wiecznego. (aiōnios g166)
juu sana kuliko falme zote na mamlaka, enzi na milki, na juu ya kila jina litajwalo, si katika ulimwengu huu tu, bali katika ule ujao pia. (aiōn g165)
On stoi bowiem ponad wszystkimi władcami tego świata, a także wszelkimi duchowymi mocami—zarówno obecnymi, jak i przyszłymi. (aiōn g165)
ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za yule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi sasa ndani ya wale wasiotii. (aiōn g165)
Żyliście jak cały ten świat, posłuszny swojemu duchowemu władcy, panującemu nad siłami zła, który obecnie działa przez zbuntowanych ludzi. (aiōn g165)
ili katika ule ulimwengu ujao apate kuonyesha wingi wa neema yake isiyopimika, iliyodhihirishwa kwetu kwa wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
Łaska, którą Bóg okazał nam dzięki Chrystusowi Jezusowi, będzie w nadchodzących wiekach dowodem Jego dobroci. (aiōn g165)
na kuweka wazi kwa kila mtu siri hii iliyokuwa imefichwa tangu zamani katika Mungu, aliyeumba vitu vyote. (aiōn g165)
Polecił mi również wyjaśnić ludziom ten tajemniczy plan Boga, Stwórcy wszechświata. Wcześniej plan ten był tajemnicą, (aiōn g165)
sawasawa na kusudi lake la milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn g165)
Bóg zaplanował to przed wiekami i zrealizował przez Chrystusa Jezusa, naszego Pana. (aiōn g165)
yeye atukuzwe katika kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote, milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Jemu niech będzie wieczna chwała w kościele i w Chrystusie Jezusie—przez wszystkie pokolenia. Amen! (aiōn g165)
Kwa maana kushindana kwetu si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. (aiōn g165)
Nie walczymy bowiem z ludźmi, ale z władcami świata ciemności i z niewidzialnymi siłami zła. (aiōn g165)
Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Bogu, który jest naszym Ojcem, niech będzie wieczna chwała. Amen! (aiōn g165)
Hii ni siri iliyokuwa imefichika tangu zamani na kwa vizazi vingi, lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu. (aiōn g165)
tajemnicę, która była niedostępna przez wiele stuleci i pokoleń, ale teraz została ujawniona Jego świętym. (aiōn g165)
Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa uweza wake, (aiōnios g166)
Ludzie ci zostaną skazani na wieczną zagładę—zostaną odcięci od obecności, majestatu i potęgi Pana. (aiōnios g166)
Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatupatia faraja ya milele na tumaini jema, (aiōnios g166)
Doświadczyliśmy miłości Pana, Jezusa Chrystusa, oraz łaski Boga, naszego Ojca, który zapewnił nam wieczną zachętę oraz nadzieję. (aiōnios g166)
Lakini kwa sababu hiyo nilipata rehema, ili katika mimi, niliyekuwa mwenye dhambi kuliko wote, Kristo Yesu apate kuonyesha uvumilivu wake usio na kikomo, ili niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini na wapate uzima wa milele. (aiōnios g166)
Ale Bóg okazał mi miłość, aby na mnie pierwszym pokazać ludziom, jak wielka jest cierpliwość Chrystusa. Przez mój przykład Bóg zachęcił innych, aby również uwierzyli Jezusowi i otrzymali życie wieczne. (aiōnios g166)
Basi Mfalme wa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye Mungu pekee, apewe heshima na utukufu milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Niech więc jedyny Bóg, który jest nieśmiertelnym i niewidzialnym Królem wieków, będzie otoczony wieczną chwałą. Amen! (aiōn g165)
Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya mashahidi wengi. (aiōnios g166)
Dzielnie walcz o Bożą sprawę. Mocno trzymaj się obietnicy dotyczącej wiecznego życia, do którego powołał cię Bóg i o którym tak przekonująco mówiłeś w obecności wielu świadków. (aiōnios g166)
yeye peke yake ambaye hapatikani na mauti, na anakaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, ambaye hakuna mwanadamu aliyemwona wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye milele. Amen. (aiōnios g166)
Tylko On jest nieśmiertelny sam z siebie i żyje w olśniewającej światłości—żaden człowiek nie widział Go i nie może zobaczyć. Jemu należy się cześć i wieczna władza nad wszystkim. Amen! (aiōnios g166)
Waagize wale ambao ni matajiri wa ulimwengu huu waache kujivuna, wala wasiweke tumaini lao katika mali ambayo si ya hakika, bali waweke tumaini lao katika Mungu ambaye hutupatia vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie. (aiōn g165)
Ludziom zamożnym przypominaj, aby nie byli zarozumiali. Niech nie polegają na swoim bogactwie, które jest tak bardzo niepewne, ale na Bogu, który hojnie obdarza nas wszystkim, czego potrzebujemy do życia. (aiōn g165)
ambaye alituokoa na kutuita katika mwito mtakatifu: si kwa kadiri ya matendo yetu mema bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na neema yake. Neema hii tulipewa katika Kristo Yesu tangu milele. (aiōnios g166)
To On zbawił nas i powołał do życia w świętości. Uczynił to jednak nie ze względu na nasze osiągnięcia, ale z własnej woli i dzięki łasce Chrystusa Jezusa. Zaplanował to już bowiem przed wiekami, (aiōnios g166)
Kwa hiyo ninavumilia mambo yote kwa ajili ya wateule wa Mungu, kusudi wao nao wapate wokovu ulio katika Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios g166)
Dlatego jestem gotów dalej znosić cierpienia, aby tylko wybrani przez Boga zostali zbawieni przez Chrystusa i dostąpili wiecznej chwały. (aiōnios g166)
kwa sababu Dema, kwa kuupenda ulimwengu, ameniacha na amekwenda Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia na Tito amekwenda Dalmatia. (aiōn g165)
bo jestem tu prawie sam. Demas pokochał ten świat i opuścił mnie, udając się do Tesaloniki. Krescens odszedł do Galacji, a Tytus—do Dalmacji. (aiōn g165)
Bwana ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika Ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Pan zawsze wybawia mnie z każdej opresji i w końcu doprowadzi mnie do swojego królestwa w niebie. Jemu niech będzie wieczna chwała. Amen! (aiōn g165)
imani na ujuzi ulioko katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu, asiyesema uongo, aliahidi hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, (aiōnios g166)
Wiara ta daje ludziom niepodważalną nadzieję na życie wieczne, które Bóg obiecał już przed wiekami—a On nigdy nie kłamie. (aiōnios g166)
Nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, ili tupate kuishi maisha ya kiasi, ya haki na ya utaua katika ulimwengu huu wa sasa, (aiōn g165)
On również wzywa nas, byśmy porzucili to, co Mu się nie podoba, i nie ulegali złym pragnieniom, ale zaczęli prowadzić rozsądne, prawe i pobożne życie. (aiōn g165)
ili kwamba, tukiisha kuhesabiwa haki kwa neema yake, tupate kuwa warithi tukiwa na tumaini la uzima wa milele. (aiōnios g166)
Dzięki łasce Boga, zostaliśmy uniewinnieni, abyśmy mogli otrzymać dar życia wiecznego. Ono stało się naszą nadzieją! (aiōnios g166)
Huenda sababu ya yeye kutengwa nawe kwa kitambo kidogo ni ili uwe naye daima. (aiōnios g166)
Może właśnie dlatego Onezym uciekł od ciebie na pewien czas, abyś teraz odzyskał go już na wieki. (aiōnios g166)
lakini katika siku hizi za mwisho anasema nasi kwa njia ya Mwanawe, ambaye amemweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia kwake aliuumba ulimwengu. (aiōn g165)
Teraz natomiast, w czasach ostatecznych, przemówił do nas przez swojego Syna, któremu poddał wszystko i przez którego stworzył wszechświat. (aiōn g165)
Lakini kwa habari za Mwana asema, “Kiti chako cha enzi, Ee Mungu, kitadumu milele na milele, nayo haki itakuwa fimbo ya utawala ya ufalme wako. (aiōn g165)
Natomiast do swojego Syna zwrócił się, mówiąc: „Tron Twój, Boże, trwa na wieki, a sprawiedliwość jest podstawą Twojego królestwa. (aiōn g165)
Pia mahali pengine asema, “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
W innym miejscu Pisma zwrócił się do Niego, mówiąc: „Jesteś kapłanem na wieki, na wzór Melchizedeka”. (aiōn g165)
na akiisha kukamilishwa, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wote wanaomtii. (aiōnios g166)
A gdy w pełni wykonał swoje dzieło, stał się źródłem wiecznego zbawienia dla wszystkich, którzy są Mu posłuszni. (aiōnios g166)
mafundisho kuhusu aina za ubatizo, kuwekea watu mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios g166)
o chrzcie, nakładaniu rąk, zmartwychwstaniu oraz sądzie ostatecznym? (aiōnios g166)
ambao wameonja uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati ujao, (aiōn g165)
zaczęli poznawać słowo Boże i dowiedzieli się o wspaniałym, przyszłym świecie, (aiōn g165)
mahali ambapo Yesu mtangulizi wetu aliingia kwa niaba yetu. Yeye amekuwa Kuhani Mkuu milele, kwa mfano wa Melkizedeki. (aiōn g165)
Tam właśnie wszedł Jezus, nasz reprezentant, na wieki stając się najwyższym kapłanem na wzór Melchizedeka. (aiōn g165)
Kwa maana imeshuhudiwa kwamba: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
Napisano bowiem: „Jesteś kapłanem na wieki, na wzór Melchizedeka”. (aiōn g165)
lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alimwambia: “Bwana ameapa naye hatabadilisha mawazo yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’” (aiōn g165)
Chrystus zaś otrzymał od Boga szczególną obietnicę: „Pan przysiągł i nie odwoła tej obietnicy: Jesteś kapłanem na wieki”. (aiōn g165)
Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu. (aiōn g165)
Jezus zaś żyje wiecznie i jest kapłanem, który nie potrzebuje następcy. (aiōn g165)
Kwa kuwa sheria huwaweka makuhani wakuu watu ambao ni dhaifu; lakini lile neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, lilimweka Mwana, ambaye amefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn g165)
Prawo Mojżesza ustanawiało najwyższymi kapłanami ludzi, którzy sami byli słabi. Ale Bóg, poprzez swoją obietnicę, złożoną już po ustanowieniu Prawa, ustanowił nim swojego Syna—On jest więc doskonałym i wiecznym najwyższym kapłanem. (aiōn g165)
Hakuingia kwa njia ya damu ya mbuzi na ya ndama; lakini aliingia Patakatifu pa Patakatifu mara moja tu kwa damu yake mwenyewe, akiisha kupata ukombozi wa milele. (aiōnios g166)
Co więcej, Chrystus nie wniósł do niej krwi zwierząt, ale wszedł do miejsca świętego przelewając własną krew i zapewniając nam w ten sposób wieczne zbawienie. (aiōnios g166)
Basi ni zaidi aje damu ya Kristo, ambaye kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na waa, itatusafisha dhamiri zetu kutokana na matendo yaletayo mauti, ili tupate kumtumikia Mungu aliye hai! (aiōnios g166)
O ile więc bardziej krew Chrystusa, który był bez grzechu i który przez wiecznego Ducha ofiarował samego siebie Bogu, oczyści nasze serca z czynów prowadzących do śmierci! Ona też sprawi, że będziemy żyć służąc żywemu Bogu! (aiōnios g166)
Kwa sababu hii Kristo ni mpatanishi wa agano jipya, ili kwamba wale walioitwa waweze kupokea ile ahadi ya urithi wa milele: kwa vile yeye alikufa awe ukombozi wao kutoka kwa dhambi walizozitenda chini ya agano la kwanza. (aiōnios g166)
Chrystus dlatego stał się pośrednikiem nowego przymierza, aby wszyscy, których Bóg do tego powołał, otrzymali obiecany przez Niego wieczny dar. Jezus umarł bowiem po to, aby uratować ich od kary za grzechy, które popełnili w czasie dawnego przymierza. (aiōnios g166)
Ingekuwa hivyo, ingempasa Kristo kuteswa mara nyingi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Lakini sasa ametokea mara moja tu katika mwisho wa nyakati aiondoe dhambi kwa kujitoa mwenyewe kuwa dhabihu. (aiōn g165)
i wiele razy—od początku istnienia świata—umierać. On pojawił się tylko raz, przy końcu czasów, składając w ofierze siebie samego. W ten sposób uratował nas od kary za grzechy. (aiōn g165)
Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, vitu vyote vinavyoonekana havikuumbwa kutoka kwa vitu vinavyoonekana. (aiōn g165)
Dzięki wierze wiemy, że cały wszechświat powstał na rozkaz Boga i że wszystko, co widzimy, wzięło swój początek ze świata, którego nie widać. (aiōn g165)
Yesu Kristo ni yeye yule jana, leo na hata milele. (aiōn g165)
Jezus Chrystus nigdy się nie zmienia. W przeszłości był dokładnie taki sam, jaki jest dziś i jaki będzie w przyszłości. (aiōn g165)
Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu ya Agano la milele alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji Mkuu wa kondoo, (aiōnios g166)
Niech Bóg, który obdarza ludzi pokojem, uzdalnia was do wszelkiego dobra, abyście wykonywali Jego wolę! Niech sprawi też, abyście—dzięki Jezusowi Chrystusowi—pragnęli czynić wszystko to, co Mu się podoba. On ożywił Jezusa—naszego Pana i wielkiego Pasterza—oraz przypieczętował przymierze z nami Jego krwią. Jemu niech będzie wieczna chwała. Amen! (aiōn g165, aiōnios g166)
awafanye ninyi wakamilifu mkiwa mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate kutenda mapenzi yake, naye atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
(parallel missing)
Ulimi pia ni moto, ndio ulimwengu wa uovu kati ya viungo vya mwili. Ulimi huutia mwili wote wa mtu unajisi na kuuwasha moto mfumo mzima wa maisha yake, nao wenyewe huchomwa moto wa jehanamu. (Geenna g1067)
a język jest właśnie jak płomień ognia—jest pełen zła i niszczy całe ciało. On rozpala w nas szalejący żywioł, prowadzący do zniszczenia i klęski, a źródłem tego ognia jest samo piekło. (Geenna g1067)
Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele. (aiōn g165)
Narodziliście się bowiem na nowo dzięki słowu Bożemu, które jest jak niezniszczalne ziarno na zasiew—jest żywe i trwa na wieki. (aiōn g165)
lakini neno la Bwana ladumu milele.” Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu. (aiōn g165)
ale słowo Pana trwa na wieki”. Dobra nowina, którą usłyszeliście, jest właśnie słowem Pana! (aiōn g165)
Yeyote asemaye hana budi kusema kama mtu asemaye maneno ya Mungu mwenyewe. Yeyote ahudumuye hana budi kuhudumu kwa nguvu zile anazopewa na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo. Utukufu na uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Jeśli ktoś umie przemawiać, niech przekazuje innym słowo Boże. Jeśli ktoś potrafi pomagać innym, niech czyni to z mocą Bożą. W ten sposób—dzięki Jezusowi Chrystusowi—odda cześć Bogu, do którego należy wieczna chwała i moc. Amen! (aiōn g165)
Nanyi mkiisha kuteswa kwa kitambo kidogo, Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele ndani ya Kristo, yeye mwenyewe atawarejesha na kuwatia nguvu, akiwaimarisha na kuwathibitisha. (aiōnios g166)
Po krótkiej próbie, Bóg przygotuje was do dalszej walki, umocni was, doda wam sił i postawi was na pewnym gruncie. On bowiem obdarzył was łaską i wieczną chwałą Chrystusa. (aiōnios g166)
Uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Do Niego należy również wieczna władza nad wszystkim. Amen! (aiōn g165)
na mtajaliwa kwa ukarimu mwingi kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. (aiōnios g166)
i szeroko otworzy przed wami bramy wiecznego królestwa, należącego do naszego Pana i Zbawiciela, Jezusa Chrystusa. (aiōnios g166)
Kwa maana, kama Mungu hakuwasamehe malaika walipotenda dhambi, bali aliwatupa kuzimu katika vifungo vya giza wakae humo mpaka ije hukumu; (Tartaroō g5020)
Bóg nie oszczędził bowiem nawet aniołów, którzy zgrzeszyli, ale strącił ich do ciemnej otchłani. Uwięzieni, czekają teraz na Boży sąd. (Tartaroō g5020)
Bali kueni katika neema na katika kumjua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na milele! Amen. (aiōn g165)
Coraz lepiej poznawajcie naszego Pana i Zbawiciela, Jezusa Chrystusa. Dzięki Jego łasce dojrzewajcie w wierze. Jemu należy się wieczna chwała! (aiōn g165)
Uzima huo ulidhihirishwa; nasi tumeuona na kuushuhudia, nasi twawatangazia uzima wa milele, ambao ulikuwa pamoja na Baba, nao ukadhihirishwa kwetu. (aiōnios g166)
Ten, który daje życie, objawił się, a my Go zobaczyliśmy. Dlatego teraz, jako naoczni świadkowie, mówimy wam o życiu wiecznym, które było u Boga Ojca i objawiło się nam. (aiōnios g166)
Nao ulimwengu unapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu milele. (aiōn g165)
Ten zaś przeminie, podobnie jak wszystkie ludzkie pragnienia. Ci zaś, którzy spełniają wolę Boga, będą żyć wiecznie. (aiōn g165)
Hii ndiyo ahadi yake kwetu, yaani, uzima wa milele. (aiōnios g166)
Otrzymaliśmy bowiem od Boga obietnicę życia wiecznego. (aiōnios g166)
Yeyote amchukiaye ndugu yake ni muuaji, nanyi mwajua ya kwamba muuaji hana uzima wa milele ndani yake. (aiōnios g166)
Ten zaś, kto nienawidzi innych ludzi, jest przez Boga traktowany na równi z zabójcą. A dobrze wiecie, że żaden morderca nie ma w sobie życia wiecznego. (aiōnios g166)
Huu ndio ushuhuda: kwamba Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe. (aiōnios g166)
A treść tych słów jest następująca: Bóg—poprzez swojego Syna—dał ludziom życie wieczne. (aiōnios g166)
Nawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu ili mpate kujua ya kuwa mnao uzima wa milele. (aiōnios g166)
Napisałem to do was, którzy wierzycie Synowi Bożemu, abyście wiedzieli, że macie życie wieczne. (aiōnios g166)
Nasi pia twajua ya kwamba Mwana wa Mungu amekuja, naye ametupa sisi ufahamu ili tupate kumjua yeye aliye Kweli. Nasi tumo ndani yake yeye aliye Kweli, yaani, ndani ya Yesu Kristo Mwanawe. Yeye ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Wiemy również, że Syn Boży przyszedł po to, abyśmy mogli poznać prawdziwego Boga. Teraz należymy do Niego, bo jesteśmy własnością Jego Syna, Jezusa Chrystusa. On jest jedynym, prawdziwym Bogiem, który obdarza ludzi życiem wiecznym. (aiōnios g166)
kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele: (aiōn g165)
Miłość ta wypływa z poznania Bożej prawdy, którą teraz mamy w sercach i która pozostanie tam na zawsze. (aiōn g165)
Nao malaika ambao hawakulinda nafasi zao, lakini wakayaacha makao yao, hawa amewaweka katika giza, wakiwa wamefungwa kwa minyororo ya milele kwa ajili ya hukumu Siku ile kuu. (aïdios g126)
Ukarał również aniołów, którzy nie pozostali tam, gdzie powinni, ale opuścili swoje miejsce. Uwięził ich w ciemnej otchłani, gdzie czekają na dzień Bożego sądu. (aïdios g126)
Vivyo hivyo, Sodoma na Gomora na pia ile miji iliyokuwa kandokando, ambayo kwa jinsi moja na hao, walijifurahisha kwa uasherati na kufuata tamaa za mwili zisizo za asili, waliwekwa wawe mfano kwa kuadhibiwa katika moto wa milele. (aiōnios g166)
Przypomnijcie sobie również, co się stało z Sodomą i Gomorą oraz okolicznymi miastami. Życie mieszkańców tych miast było rozwiązłe, a ich pragnienia—sprzeczne z naturą. Dlatego kara, którą ponieśli, stała się przykładem kary wiecznego ognia. (aiōnios g166)
Wao ni mawimbi makali ya bahari, yakitoa povu la aibu yao wenyewe, ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba waliowekewa milele. (aiōn g165)
Ich złe uczynki są jak spienione morskie fale, oni sami zaś—jak zabłąkane gwiazdy, których przeznaczeniem jest wieczna ciemność. (aiōn g165)
Jilindeni katika upendo wa Mungu mkitazamia kwa furaha rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ili awalete katika uzima wa milele. (aiōnios g166)
Trwajcie w Bożej miłości, czekając na dzień, w którym nasz Pan, Jezus Chrystus, okaże wam swoje współczucie i da wam wieczne życie. (aiōnios g166)
kwake yeye Mungu pekee Mwokozi wetu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na mamlaka ni vyake tangu milele, sasa na hata milele! Amen. (aiōn g165)
On jest jedynym, prawdziwym Bogiem i Jemu należy się wieczna chwała, uwielbienie, moc i władza. Oddajmy Mu więc cześć, poprzez naszego Pana, Jezusa Chrystusa. Amen! (aiōn g165)
akatufanya sisi kuwa ufalme na makuhani, tumtumikie Mungu wake ambaye ni Baba yake. Utukufu na uwezo ni vyake milele na milele! Amen. (aiōn g165)
On sprawił również, że staliśmy się członkami królewskiej rodziny i kapłanami samego Boga Ojca. Jemu należy się wieczna chwała oraz władza. Amen! (aiōn g165)
Mimi ni Yeye Aliye Hai, niliyekuwa nimekufa, na tazama, ni hai milele na milele! Nami ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn g165, Hadēs g86)
Umarłem, ale ożyłem i będę żyć wiecznie. Mam klucze do świata zmarłych. (aiōn g165, Hadēs g86)
Kila mara viumbe hao wanne wenye uhai wanapomtukuza, kumheshimu na kumshukuru yeye aketiye kwenye kile kiti cha enzi, tena aishiye milele na milele, (aiōn g165)
Podczas gdy istoty te otaczały chwałą, czcią oraz wdzięcznością Tego, który zasiada na tronie i żyje na wieki, (aiōn g165)
wale wazee ishirini na wanne huanguka mbele zake aketiye kwenye kiti cha enzi na kumwabudu yeye aliye hai milele na milele. Huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi, wakisema: (aiōn g165)
dwudziestu czterech starszych padało przed Nim na twarz i oddawało Mu pokłon. Składali oni swoje wieńce przed tronem Tego, który żyje na wieki, i mówili: (aiōn g165)
Kisha nikasikia kila kiumbe mbinguni na duniani, chini ya nchi na baharini na vyote vilivyomo ndani yake vikiimba: “Sifa na heshima na utukufu na uweza ni vyake yeye aketiye juu ya hicho kiti cha enzi na kwa Mwana-Kondoo, milele na milele!” (aiōn g165)
Usłyszałem również, jak każde stworzenie—na niebie, na ziemi, pod ziemią, na morzu oraz w jego głębinach—wołało: „Temu, który zasiada na tronie, oraz Barankowi należy się wieczne uwielbienie, cześć, chwała i moc!”. (aiōn g165)
Nikatazama, na hapo mbele yangu alikuwepo farasi mwenye rangi ya kijivujivu! Yeye aliyempanda aliitwa Mauti, naye Kuzimu alikuwa akimfuata nyuma yake kwa karibu. Wakapewa mamlaka juu ya robo ya dunia, kuua kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama wakali wa dunia. (Hadēs g86)
I zobaczyłem sinozielonego konia. Ten, który na nim siedział, miał na imię Śmierć i reprezentował krainę zmarłych. Dano mu władzę nad jedną czwartą ziemi, aby zsyłał na ludzi śmierć. Jedni mieli zginąć w walce, inni—umrzeć z głodu lub z powodu epidemiami, jeszcze inni—rozszarpani przez dzikie zwierzęta. (Hadēs g86)
wakisema: “Amen! Sifa na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele. Amen!” (aiōn g165)
„Amen! Wieczne uwielbienie, chwała i mądrość, wdzięczność i cześć, władza i moc —wszystko to należy do naszego Boga! Amen!”. (aiōn g165)
Malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake, nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka toka angani hadi ardhini. Nyota hiyo ilipewa ufunguo wa lile Shimo. (Abyssos g12)
Wtedy zatrąbił piąty anioł i zobaczyłem gwiazdę zrzuconą z nieba na ziemię. Miała on otworzyć tunel prowadzący do otchłani. (Abyssos g12)
Alipolifungua hilo Shimo, moshi ukapanda kutoka humo kama moshi wa tanuru kubwa sana. Jua na anga vikatiwa giza na ule moshi uliotoka katika hilo Shimo. (Abyssos g12)
Gdy to uczyniła, buchnął z niej dym, niczym z olbrzymiego pieca. Kłęby dymu były tak ogromne, że zasłoniły słońce i niebo. (Abyssos g12)
Walikuwa na mfalme wao, ambaye ni malaika wa lile Shimo, ambaye jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani ni Apolioni. (Abyssos g12)
Ich władcą był anioł otchłani, którego hebrajskie imię brzmi Abaddon (to znaczy: „Niszczyciel”). (Abyssos g12)
Naye akaapa kwa Yule aishiye milele na milele, aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote viijazavyo, pamoja na bahari na vyote vilivyomo ndani yake, akasema, “Hakuna kungoja tena! (aiōn g165)
i powiedział: „Nadchodzi już czas! Gdy tylko zatrąbi siódmy anioł, wypełni się tajemniczy plan Boga, ogłoszony Jego sługom, prorokom”. Mówiąc to, przysiągł na Tego, który jest wieczny i który stworzył niebo, ląd i morze wraz z zamieszkującymi je istotami. (aiōn g165)
Basi watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao, yule mnyama atokaye katika lile Shimo atapigana nao vita, atawashinda na kuwaua. (Abyssos g12)
Gdy już przekażą ludziom swoje poselstwo, z otchłani wyłoni się bestia, która wypowie im wojnę a następnie pokona ich i zabije. (Abyssos g12)
Yule malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake, pakawa na sauti kubwa mbinguni iliyosema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atatawala milele na milele.” (aiōn g165)
Wtedy zatrąbił siódmy anioł i rozległy się donośne głosy z nieba: „Teraz władzę nad światem obejmie nasz Pan i Jego Mesjasz—On będzie królować na wieki!”. (aiōn g165)
Kisha nikamwona malaika mwingine akiruka juu angani, naye alikuwa na Injili ya milele ya kuwatangazia wale waishio duniani, yaani, kwa kila taifa, kabila, lugha na jamaa. (aiōnios g166)
Następnie zobaczyłem anioła: leciał środkiem nieba i miał ogłosić mieszkańcom ziemi wieczną dobrą nowinę—miał dotrzeć z nią do każdego narodu, plemienia, języka i ludu. (aiōnios g166)
Nao moshi wa mateso yao hupanda juu milele na milele. Hakuna mapumziko, mchana wala usiku, kwa wale wamwabuduo huyo mnyama na sanamu yake, au kwa yeyote anayepokea chapa ya jina lake.” (aiōn g165)
Dym z palącego ich ognia będzie się unosił na wieki, będą oni bowiem cierpieć dzień i noc, bez chwili wytchnienia. Taka kara spotka ludzi, którzy oddali cześć bestii i jej posągowi oraz przyjęli znak jej imienia!”. (aiōn g165)
Ndipo mmoja wa wale viumbe wanne wenye uhai akawapa wale malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, yeye aishiye milele na milele. (aiōn g165)
Jedna z czterech istot wręczyła im siedem złotych pucharów, wypełnionych gniewem wiecznego Boga, (aiōn g165)
Huyo mnyama ambaye ulimwona, wakati fulani alikuwepo, lakini sasa hayupo, naye atapanda kutoka lile Shimo na kwenda kwenye maangamizo yake. Watu waishio duniani ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuumbwa kwa ulimwengu watastaajabu kumwona huyo mnyama, kwa maana alikuwepo wakati fulani, na sasa hayupo, lakini atakuwepo. (Abyssos g12)
Bestia, którą zobaczyłeś, wcześniej była, lecz teraz jej nie ma. Wyjdzie jednak z otchłani, ale spotka ją zagłada. Wtedy mieszkańcy ziemi, których imiona nie zostały przed powstaniem świata zapisane w księdze życia, zdziwią się. Zobaczą bowiem bestię, która wcześniej była, a teraz jej nie ma, ale jeszcze się pojawi. (Abyssos g12)
Wakasema tena kwa nguvu: “Haleluya! Moshi wake huyo kahaba unapanda juu milele na milele.” (aiōn g165)
Głos zabrzmiał ponownie: „Alleluja! Dym z palącego ją ognia będzie się unosił na zawsze”. (aiōn g165)
Lakini yule mnyama akakamatwa pamoja na huyo nabii wa uongo ambaye alikuwa amefanya ishara kwa niaba ya huyo mnyama, ambaye kwa ishara hizi aliwadanganya wale waliopokea chapa ya huyo mnyama na kuiabudu sanamu yake. Hawa wawili wakatupwa wakiwa hai ndani ya ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Bestia została jednak schwytana, a wraz z nią—fałszywy prorok, który w jej obecności dokonywał cudów, oszukując w ten sposób ludzi, którzy przyjęli znak bestii i oddawali cześć jej posągowi. Oboje żywcem zostali wrzuceni do ognistego jeziora płonącej siarki. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa ameshika ufunguo wa lile Shimo na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos g12)
Potem zobaczyłem anioła, zstępującego z nieba. Miał w ręku klucz do otchłani oraz ogromny łańcuch. (Abyssos g12)
Akamtupa katika lile Shimo, akamfunga humo na kulitia lakiri, ili kumzuia asiendelee kudanganya mataifa mpaka hiyo miaka 1,000 itimie. Baada ya hayo lazima afunguliwe kwa muda mfupi. (Abyssos g12)
Następnie wrzucił go do otchłani, po czym zamknął ją i zapieczętował, aby przez tysiąc lat smok nie mógł oszukiwać narodów. Po tym okresie zostanie na krótko uwolniony. (Abyssos g12)
Naye ibilisi aliyewadanganya akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti walikokuwa wametupwa yule mnyama na yule nabii wa uongo. Watateswa humo usiku na mchana, milele na milele. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
Diabeł zaś, który ich oszukał, zostanie wrzucony do ognistego jeziora płonącej siarki, w którym będzie również bestia i fałszywy prorok. Będzie to miejsce wiecznej kary, w którym będą cierpieć dniem i nocą. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake, nayo mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Kila mtu akahukumiwa kulingana na yale aliyoyatenda. (Hadēs g86)
Morze, ziemia i świat zmarłych oddały swoich umarłych i wszyscy oni zostali osądzeni zgodnie z ich czynami. (Hadēs g86)
Kisha mauti na Kuzimu zikatupwa katika ziwa la moto. Hii ndio mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
Wówczas śmierć i świat zmarłych zostały wrzucone do ognistego jeziora. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
Iwapo mtu jina lake halikuonekana katika kile kitabu cha uzima, alitupwa ndani ya lile ziwa la moto. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Trafili tam również wszyscy ci, którzy nie byli zapisani w księdze życia. Ogniste jezioro jest drugą śmiercią. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Lakini waoga, wasioamini, wachafu, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, pamoja na waongo wote, mahali pao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr g3041 g4442)
Natomiast tchórze, niewierzący, zwyrodnialcy, mordercy oraz ci, którzy prowadzą rozwiązłe życie, uprawiają czary, oddają cześć podobiznom bożków lub kłamią, trafią do ognistego jeziora płonącej siarki, które jest drugą śmiercią”. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, kwa maana Bwana Mungu atakuwa nuru yao, nao watatawala milele na milele. (aiōn g165)
W mieście tym nie będzie nocy, jego mieszkańcy nie będą więc potrzebowali lamp ani słońca. Ich jedynym światłem będzie bowiem Bóg, z którym będą wiecznie królować. (aiōn g165)
Questioned verse translations do not contain Aionian Glossary words, but may wrongly imply eternal or Hell
“‘Ni miti ipi ya Edeni inayoweza kulinganishwa nawe kwa fahari na utukufu? Hata hivyo, wewe pia, utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni mpaka kuzimu, utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga. “‘Huyu ni Farao pamoja na makundi yake yote ya wajeuri, asema Bwana Mwenyezi.’” (questioned)
“Mwanadamu, omboleza kwa ajili ya makundi ya wajeuri wa Misri na uwatupe kuzimu yeye na binti za mataifa yenye nguvu, waende huko pamoja nao washukao shimoni. (questioned)
“Elamu yuko huko, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote wameuawa, wameanguka kwa upanga. Wote waliokuwa wameeneza hofu katika nchi ya walio hai walishuka kuzimu bila kutahiriwa. Wanaichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni. (questioned)

SCO > Aionian Verses: 264, Questioned: 3
POA > Aionian Verses: 199