Aionian Verses
Wanawe wote na binti zake wakaja kumfariji, lakini hakukubali kufarijiwa. Akasema, “Hapana, nitamwombolezea mwanangu mpaka nimfikie kaburini.” Kwa hiyo baba yake akaendelea kumlilia. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini Yakobo akasema, “Mwanangu hatashuka huko pamoja nanyi; ndugu yake amekufa naye ndiye peke yake aliyebaki. Ikiwa atapatwa na madhara katika safari mnayoiendea, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini kwa masikitiko.” (Sheol )
(parallel missing)
Ikiwa mtaniondolea huyu tena na akapatwa na madhara, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini nikiwa mwenye huzuni.’ (Sheol )
(parallel missing)
akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini ikiwa Bwana ataleta jambo jipya kabisa, ardhi ikifunua kinywa chake na kuwameza wao, pamoja na kila kitu kilicho mali yao, nao washuke chini kaburini wakiwa hai, ndipo mtafahamu kuwa watu hawa wamemdharau Bwana.” (Sheol )
(parallel missing)
Wakashuka chini kaburini wakiwa hai, pamoja na kila kitu walichokuwa nacho; nchi ikajifunika juu yao, nao wakaangamia wakatoweka kutoka kusanyiko. (Sheol )
(parallel missing)
Kwa maana moto umewashwa kwa hasira yangu, ule uwakao hadi kwenye vina vya mauti. Utateketeza dunia pamoja na mazao yake, na kuwasha moto katika misingi ya milima. (Sheol )
(parallel missing)
“Bwana huua na huleta uhai, hushusha chini mpaka kaburini na hufufua. (Sheol )
(parallel missing)
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol )
(parallel missing)
Shughulika naye kwa kadiri ya hekima yako, lakini usiache kichwa chake chenye mvi kishukie kaburi kwa amani. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini sasa, usidhani kwamba hana hatia. Wewe ni mtu wa hekima, utajua la kumtendea. Zishushe mvi zake kaburini kwa damu.” (Sheol )
(parallel missing)
Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka, vivyo hivyo yeye ashukaye kaburini harudi tena. (Sheol )
(parallel missing)
Ni juu mno kuliko mbingu: waweza kufanya nini? Kina chake ni kirefu kuliko kuzimu: wewe waweza kujua nini? (Sheol )
(parallel missing)
“Laiti kama ungenificha kaburini, na kunisitiri hadi hasira yako ipite! Laiti ungeniwekea wakati, na kisha ukanikumbuka! (Sheol )
(parallel missing)
Kama nyumba pekee ninayoitarajia ni kaburi, kama nikikitandika kitanda changu gizani, (Sheol )
(parallel missing)
Je, litashuka chini hadi kwenye malango ya mauti? Je, tutashuka pamoja mavumbini?” (Sheol )
(parallel missing)
Huitumia miaka yao katika mafanikio nao hushuka kaburini kwa amani. (Sheol )
(parallel missing)
Kama vile joto na hari vinyakuavyo theluji iliyoyeyuka, ndivyo kuzimu kuwanyakuavyo waliotenda dhambi. (Sheol )
(parallel missing)
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol )
(parallel missing)
Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu? (Sheol )
(parallel missing)
Waovu wataishia kuzimu, naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu. (Sheol )
(parallel missing)
kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. (Sheol )
(parallel missing)
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol )
(parallel missing)
Ee Bwana, umenitoa Kuzimu, umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti. (Sheol )
(parallel missing)
Usiniache niaibike, Ee Bwana, kwa maana nimekulilia wewe, bali waovu waaibishwe na kunyamazishwa Kuzimu. (Sheol )
(parallel missing)
Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini, nacho kifo kitawala. Wanyofu watawatawala asubuhi, maumbile yao yataozea kaburini, mbali na majumba yao makubwa ya fahari. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini Mungu atakomboa uhai wangu na kaburi, hakika atanichukua kwake. (Sheol )
(parallel missing)
Kifo na kiwajie adui zangu ghafula, na washuke kuzimu wangali hai, kwa maana uovu upo ndani yao. (Sheol )
(parallel missing)
Kwa maana upendo wako ni mkuu kwangu; umeniokoa kutoka kwenye vilindi vya kaburi. (Sheol )
(parallel missing)
Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu, na maisha yangu yanakaribia kaburi. (Sheol )
(parallel missing)
Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo, au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi? (Sheol )
(parallel missing)
Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol )
(parallel missing)
Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko; nikifanya vilindi kuwa kitanda changu, wewe uko huko. (Sheol )
(parallel missing)
Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi, ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.” (Sheol )
(parallel missing)
tuwameze wakiwa hai kama kaburi, wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni. (Sheol )
(parallel missing)
Miguu yake hushuka kuelekea kwenye kifo; hatua zake huelekea moja kwa moja kaburini. (Sheol )
(parallel missing)
Nyumba yake ni njia kuu iendayo kaburini, ielekeayo chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol )
(parallel missing)
Mauti na Uharibifu viko wazi mbele za Bwana: je, si zaidi sana mioyo ya wanadamu! (Sheol )
(parallel missing)
Mapito ya uzima huelekea juu kwa ajili ya wenye hekima kumwepusha asiende chini kaburini. (Sheol )
(parallel missing)
Mwadhibu kwa fimbo na kuiokoa nafsi yake kutoka mautini. (Sheol )
(parallel missing)
Kuzimu na Uharibifu havishibi kadhalika macho ya mwanadamu. (Sheol )
(parallel missing)
Ni kaburi, tumbo lisilozaa, nchi isiyoshiba maji kamwe, na moto, usiosema kamwe, ‘Yatosha!’ (Sheol )
(parallel missing)
Lolote mkono wako upatalo kufanya, fanya kwa nguvu zako zote, kwa kuwa huko kuzimu, unakokwenda, hakuna kufanya kazi wala mipango wala maarifa wala hekima. (Sheol )
(parallel missing)
Nitie kama muhuri moyoni mwako, kama muhuri kwenye mkono wako; kwa maana upendo una nguvu kama mauti, wivu wake ni mkatili kama kuzimu. Unachoma kama mwali wa moto, kama mwali mkubwa wa moto wa Bwana hasa. (Sheol )
(parallel missing)
Kwa hiyo kaburi limeongeza hamu yake na kupanua mdomo wake bila kikomo, ndani mwake watashuka wakuu wao na wingi wa watu, pamoja na wagomvi wao, na wafanyao sherehe wote. (Sheol )
(parallel missing)
“Mwombe Bwana Mungu wako ishara, iwe kwenye vina virefu sana, au kwenye vimo virefu sana.” (Sheol )
(parallel missing)
Kuzimu kote kumetaharuki kukulaki unapokuja, kunaamsha roho za waliokufa ili kukupokea, wote waliokuwa viongozi katika ulimwengu, kunawafanya wainuke kwenye viti vyao vya kifalme: wale wote waliokuwa wafalme juu ya mataifa. (Sheol )
(parallel missing)
Majivuno yako yote yameshushwa mpaka kuzimu, pamoja na kelele ya vinubi vyako, mafunza yametanda chini yako, na minyoo imekufunika. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini umeshushwa chini hadi kuzimu, hadi kwenye vina vya shimo. (Sheol )
(parallel missing)
Ninyi mnajisifu, “Tumefanya agano na mauti, tumefanya mapatano na kuzimu. Wakati pigo lifurikalo litakapopita, haliwezi kutugusa sisi, kwa kuwa tumefanya uongo kuwa kimbilio letu na miungu ya uongo kuwa mahali petu pa kujificha.” (Sheol )
(parallel missing)
Agano lenu na kifo litabatilishwa, patano lenu na kuzimu halitasimama. Wakati pigo lifurikalo litakapowakumba, litawaangusha chini. (Sheol )
(parallel missing)
Nilisema, “Katika ustawi wa maisha yangu, je, ni lazima nipite katika malango ya mauti, na kupokonywa miaka yangu iliyobaki?” (Sheol )
(parallel missing)
Kwa maana kaburi haliwezi kukusifu, mauti haiwezi kuimba sifa zako; wale washukao chini shimoni hawawezi kuutarajia uaminifu wako. (Sheol )
(parallel missing)
Ulikwenda kwa Moleki ukiwa na mafuta ya zeituni, na ukaongeza manukato yako. Ukawatuma wajumbe wako mbali sana, ukashuka kwenye kaburi lenyewe! (Sheol )
(parallel missing)
“‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mwerezi uliposhushwa chini kaburini nilizifunika chemchemi zenye maji mengi kwa maombolezo: Nilivizuia vijito vyake na wingi wa maji yake nikauzuia. Kwa sababu yake niliivika Lebanoni huzuni, nayo miti yote ya shambani ikanyauka. (Sheol )
(parallel missing)
Niliyafanya mataifa yatetemeke kwa kishindo cha kuanguka kwake wakati nilipoushusha chini kaburini pamoja na wale washukao shimoni. Ndipo miti yote ya Edeni, miti iliyo bora kuliko yote na iliyo mizuri sana ya Lebanoni, miti yote ile iliyokunywa maji vizuri, ilifarijika hapa duniani. (Sheol )
(parallel missing)
Wale walioishi katika kivuli chake, wale walioungana naye miongoni mwa mataifa, nao pia walikuwa wamezikwa pamoja naye, wakiungana na wale waliouawa kwa upanga. (Sheol )
(parallel missing)
Kutoka kuzimu viongozi hodari watanena kuhusu Misri pamoja na wale walioungana nao, ‘Wameshuka chini, nao wamelala kimya pamoja na hao wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.’ (Sheol )
(parallel missing)
Je, hawakulala na mashujaa wengine wasiotahiriwa waliouawa, ambao wameshuka kaburini wakiwa na silaha zao za vita, ambao panga zao ziliwekwa chini ya vichwa vyao na uovu wao juu ya mifupa yao? Adhabu kwa ajili ya dhambi zao ilikuwa juu ya mifupa yao, ingawa vitisho vya mashujaa hawa vilikuwa vimeenea hadi kwenye nchi ya walio hai. (Sheol )
(parallel missing)
“Nitawakomboa watu hawa kutoka nguvu za kaburi, nitawakomboa kutoka mautini. Yako wapi, ee mauti, mateso yako? Uko wapi, ee kuzimu, uharibifu wako? “Sitakuwa na huruma, (Sheol )
(parallel missing)
Wajapojichimbia chini mpaka kwenye vina vya kuzimu, kutoka huko mkono wangu utawatoa. Wajapopanda juu hadi kwenye mbingu, kutoka huko nitawashusha. (Sheol )
(parallel missing)
Akasema: “Katika shida yangu nalimwita Bwana, naye akanijibu. Kutoka kina cha kaburi niliomba msaada, nawe ukasikiliza kilio changu. (Sheol )
(parallel missing)
hakika mvinyo humsaliti; ni mwenye kiburi na hana amani. Kwa sababu ni mlafi kama kuzimu na kama kifo kamwe hatosheki; anajikusanyia mataifa yote na kuchukua watu wote mateka. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote atakayemkasirikia ndugu yake, atapaswa hukumu. Tena, yeyote atakayemwambia ndugu yake, ‘Raka,’atapaswa kujibu kwa Baraza la Wayahudi. Lakini yeyote atakayesema ‘Wewe mpumbavu!’ atapaswa hukumu ya moto wa jehanamu. (Geenna )
Nambu nene nikuvajovela, mundu yeyoha mweakumyomela mlongo waki, yati ihamuliwa. Mundu yeyoha mweakumvevesa mlongo waki yati vakumtakila kulibanji la mihalu. Mweakumkemela mlongo waki, ‘Myimu! Yati iyingila kumotu wa magono goha wangajimika.’” (Geenna )
Jicho lako la kuume likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima ukatupwa jehanamu. (Geenna )
Hinu, lihu laku la upandi wa kulyelela likakubudisa, ulitupula ukalitaga kutali. Mbanga neju, veve kuyaganisa pandu pamonga pa higa yaku, kuliku higa yaku yoha kutagika pamotu wa magono goha wangajimika. (Geenna )
Kama mkono wako wa kuume ukikusababisha kutenda dhambi, ukate, uutupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima utupwe jehanamu. (Geenna )
Ngati chiwoko chaku cha kulyela chikubudisa chidumulai ukatagayi kutali. Mbanga veve kuyaganisa pandu pamonga pa higa yaku kuliku higa yaku yoha yihambi kumotu wa magono goha wangajimika.” (Geenna )
Msiwaogope wale wauao mwili lakini hawawezi kuua roho. Afadhali mwogopeni yeye awezaye kuiangamiza roho na mwili katika jehanamu. (Geenna )
Mkoto kuvayogopa vala vevikoma higa, nambu nakuhotola kukoma mpungu. Mbanga neju kumuyogopa yula mweihotola kukoma higa pamonga na mpungu mumotu wa magono goha wangajimika. (Geenna )
Nawe Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu. Miujiza iliyofanyika kwako ingefanyika huko Sodoma, mji huo ungalikuwepo hadi leo. (Hadēs )
Na nyenye mwavandu va Kapelanaumu, wu, yati mukujikwiha mbaka kunani kwa Chapanga? Yati wiheleswa mbaka kuligodi litali langali mwishu! Ndava kuvya gachinamtiti gegahengiki kwa veve, yagahengiki ku Sodoma kula, muji wenuwo ngawasigalili mbaka lelu. (Hadēs )
Mtu yeyote atakayesema neno dhidi ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeyote anenaye neno dhidi ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, iwe katika ulimwengu huu au katika ulimwengu ujao. (aiōn )
Kangi, mundu yeyoha mweijova lilovi la kumbela Mwana wa Mundu yati ilekekeswa, nambu mundu yeyoha mweijova lilovi la kumbela Mpungu Msopi, ilekekeswa lepi pamulima uwu hati pamulima weubwela.” (aiōn )
Ile mbegu iliyopandwa katika miiba ni yule mtu alisikiaye neno, lakini masumbufu ya maisha haya na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno na kulifanya lisizae matunda. (aiōn )
Mewawa na mbeyu yeyagwili pagati ya mikongo ya minga, ndi luhumu lwa mundu mweiyuwana lilovi lenilo, nambu mambu ga pamulima apa na mnogo wa kugana vindu vyamahele vikulitindila lilovi lenilo na ipambika lepi matunda ndi kuhenga gala gakumganisa Chapanga. (aiōn )
Yule adui aliyepanda magugu ni ibilisi. Mavuno ni mwisho wa dunia, nao wavunaji ni malaika. (aiōn )
Mundu likoko yula mweamijili masindi ndi Setani. Mabenu ndi mwishu wa mulima uwu, vabenaji ndi Vamitumu va kunani kwa Chapanga. (aiōn )
“Kama vile magugu yangʼolewavyo na kuchomwa motoni, ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. (aiōn )
Ngati chavitupula masindi na kugayocha motu, ndi yati cheyivya pamwishu wa mulima uwu. (aiōn )
Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki. (aiōn )
Chenichi ndi cheyivya pamwishu wa mulima uwu, Vamitumu va kunani kwa Chapanga yati vihumila na kupangula vandu vabwina na vandu vahakau, (aiōn )
Nami nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata malango ya Kuzimu hayataweza kulishinda. (Hadēs )
Nene nikuvajovela, veve ndi Petili, na panani ya litalau lenili yati nijenga msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu. Hati makakala ga lifwa gihotola lepi. (Hadēs )
Ikiwa mkono wako au mguu wako unakusababisha utende dhambi, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa huna mkono mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele. (aiōnios )
“Ngati chiwoko chaku amala chigendelu chaku chikubudisa, chidumulai na kutaga kutali, Mbanga veve kuyingila kuwumi changali chiwoko chimonga amala chigendelu chimonga kuliku veve kuyingila kumotu wa magono goha wangajimika kuni uvi na mawoko gavili amala magendelu gavili. (aiōnios )
Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe, ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa katika moto wa jehanamu. (Geenna )
Lihu laku lakakubudisa, ulitupula na ulitaga kutali. Mbanga veve kuyingila muwumi wa magono goha gangali mwishu kuni uvi na lihu limonga kuliku kuvya na mihu gavili na kutagwa kumotu wa magono goha wangali mwishu wangajimika kuni uvi na mihu gaku gavili.” (Geenna )
Mtu mmoja akamjia Yesu na kumuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye jambo gani jema ili nipate uzima wa milele?” (aiōnios )
Mundu mmonga amhambili Yesu akamkota, “Muwula, nikita chindu kiki chabwina nivyaa na wumi wa magono goha?” (aiōnios )
Kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu zake wa kiume au wa kike, baba au mama, watoto au mashamba kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na ataurithi uzima wa milele. (aiōnios )
Mundu yeyoha mwaalekili nyumba amala mlongo waki amala mlumbu amala dadi amala nyina waki amala vana vaki amala migunda yaki ndava ya nene. Yati ipokela mala miya na kuhala wumi wa magono goha wangali mwishu. (aiōnios )
Akauona mtini kando ya barabara, naye akaukaribia, lakini hakupata tunda lolote ila majani. Ndipo akauambia, “Wewe usizae matunda tena kamwe!” Papo hapo ule mtini ukanyauka. (aiōn )
Auwene mkongo wa mtini mumuhana ya njila, ndi auhambalili, nambu akolili lepi chindu mumkongo wula nga mahamba gene, ndi aupeli likoto akaujovela gakotoka kupambika matunda kutumbula lelu hati magono goha! Bahapo mkongo wula wanyalili. (aiōn )
“Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Ninyi mnasafiri baharini na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja mwongofu, lakini baada ya kumpata, mnamfanya mwana wa jehanamu mara mbili kuliko ninyi! (Geenna )
Mwalachikolela nyenye vawula va malagizu ga Bambu geampeli Musa na Vafalisayu, mukujikita vabwina! Muvi mulugendu munyanja na mundumba, muni mwilonda mundu mmonga alanda njila yinu ya kumuyupa Chapanga. Pemukumpata mukumkita iganikiwa neju kuhamba mumotu wa magono goha wangajimika kuliku mwavene. (Geenna )
“Ninyi nyoka, ninyi uzao wa nyoka wenye sumu! Mtaiepukaje hukumu ya jehanamu? (Geenna )
Nyenye mayoka chiveleku cha mayoka! Yani mweakuvajovela muhotola kutila ligono la uhamula wa Chapanga? (Geenna )
Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamjia faraghani, wakamuuliza, “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, nayo dalili ya kuja kwako na ya mwisho wa dunia ni gani?” (aiōn )
Yesu peatamili panani ya chitumbi cha mizeituni, vawuliwa vamhambili pachiepela, vakamkota, “Utijovela mambu ago yati gihumila ndali?” Ulangisu woki weulangisa kubwela kwaki na pamwishu wa mulima? (aiōn )
“Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, ‘Ondokeni kwangu, ninyi mliolaaniwa, nendeni kwenye moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya ibilisi na malaika zake. (aiōnios )
“Kangi yati akuvajovela vala va upandi wa kumangeya, ‘Muwuka, palongolo yangu nyenye mwempewili likoto mhamba kumotu wangajimika wa magono goha gangali mwishu weutendelekiwi kwa Setani na vamitumu vaki. (aiōnios )
“Ndipo hawa watakapoingia kwenye adhabu ya milele, lakini wale wenye haki wataingia katika uzima wa milele.” (aiōnios )
Hinu, venava yati vihamba kumbunu wa magono goha, nambu vala vandu vabwina palongolo ya Chapanga yati vihamba kuwumi wa magono goha gangali mwishu.” (aiōnios )
nanyi wafundisheni kuyashika mambo yote niliyowaamuru ninyi. Hakika mimi niko pamoja nanyi siku zote, hadi mwisho wa nyakati.” (aiōn )
Muvawula kukamula malovi gangu goha ngati chenivalagizi nyenye, nene nivii pamonga na nyenye magono goha, hati pamwishu wa lusenje.” (aiōn )
Lakini yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele.” (aiōn , aiōnios )
Nambu mweakumliga Mpungu Msopi, katu Chapanga akumlekekesa lepi, ndi ivya mbudingana wa magono goha gangali mwishu.” (aiōn , aiōnios )
lakini masumbufu ya maisha haya, na udanganyifu wa mali na tamaa ya mambo mengine huja na kulisonga lile neno na kulifanya lisizae. (aiōn )
ndava ya mang'ahiso ga mulima uwu, mnogo wa kuvya na vindu vyamahele mnogo wa higa ukuvayingila na kulihinya lilovi lenilo, na vene viyidikila lepi chila chelijova lilovi. (aiōn )
Kama mkono wako ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na mkono mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili lakini ukaingia jehanamu, mahali ambako moto hauzimiki. [ (Geenna )
Na chiwoko chaku ngati chikubudisa sadika yaku, chidumula! Mbanga kuyingila muwumi changali chiwoko chimonga, kuliku kuvya na mawoko gavili, na kuyingila, kumotu wangajimika magono goha. (Geenna )
Kama mguu wako ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa kiwete, kuliko kuwa na miguu miwili lakini ukaingia jehanamu. [ (Geenna )
Na chigendelu chaku ngati chikakubudisai, chidumula! Mbanga kuyingila muwumi changali chigendelu chimonga kuliku kuvya na magendelu goha gavili na kutagiwa kumotu wangajimika magono goha. (Geenna )
Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe. Ni afadhali kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa jehanamu, (Geenna )
Na lihu lako likayagisa sadika yaku litupulai! Ulitaga, mbanga kuyingila Muunkosi wa Chapanga na lihu limonga kuliku kuvya na mihu gavili na kutagiwa kumotu wangajimika wa magono goha. (Geenna )
Yesu alipokuwa anaondoka, mtu mmoja akamkimbilia, akapiga magoti mbele yake, akamuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios )
Yesu paatumbwili lugendu, mundu mmonga ambwelili, akamfugamila na kumkota, “Muwula mbwina, nikita wuli muni nipokela wumi wa magono goha wangali mwishu?” (aiōnios )
ambaye hatalipwa mara mia katika ulimwengu huu: nyumba, ndugu wa kiume na wa kike, mama na baba na watoto, mashamba pamoja na mateso, kisha uzima wa milele katika ulimwengu ujao. (aiōn , aiōnios )
yati ipokela mala miya ng'onyo mulukumbi lwa hinu. Yati ipokela nyumba na valongo na vahaja na valumbu na mau, pamonga na mang'ahiso. Na palukumbi lwelubwela yati ipokela wumi wa magono goha wangali mwishu. (aiōn , aiōnios )
Akauambia ule mti, “Tangu leo mtu yeyote asile kamwe matunda kutoka kwako.” Wanafunzi wake walimsikia akisema hayo. (aiōn )
Penapo akaujovela mkongo wula, “Kutumbula lelu na magono goha mundu yeyoha akotoka kulya matunda gaku!” Na vawuliwa vaki vagayuwini malovi genago. (aiōn )
Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.” (aiōn )
Ndi yati ivya Nkosi wa lukolo lwa Yakobo magono goha, na unkosi waki wangali na mwishu!” (aiōn )
Abrahamu na uzao wake milele, kama alivyowaahidi baba zetu.” (aiōn )
Ngati chaajovili kuvya na lipyana kwa Ibulahimu na chivelekelu chaki, magono goha.” (aiōn )
kama alivyonena kwa vinywa vya manabii wake watakatifu tangu zamani, (aiōn )
Ndi atijovili kadeni munjila ya vamlota vaki va msopi, (aiōn )
Wale pepo wachafu wakamsihi sana asiwaamuru kwenda katika Shimo. (Abyssos )
Mizuka yila yikamjovela Yesu pepayi chonde akotoka kuyipeleka kuligodi langali mwishu. (Abyssos )
Nawe, Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu.” (Hadēs )
Na veve Kapelanaumu, yati ukujikwiha mbaka kunani kwa Chapanga? Lepi yati vakuhulusa mbaka kuligodi litali langali mwishu!” (Hadēs )
Wakati huo mtaalamu mmoja wa sheria alisimama ili kumjaribu Yesu, akamuuliza, “Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios )
Mundu mmonga mwamanyili bwina malagizu, ayimili akamkota Yesu cha kugana kumlinga. “Muwula, nikita wuli, muni nipokela wumi wa magono goha?” (aiōnios )
Lakini nitawaambia nani wa kumwogopa: Mwogopeni yule ambaye baada ya kuua mwili, ana mamlaka ya kuwatupa motoni. Naam, nawaambia, mwogopeni huyo! (Geenna )
Yati nivalangisa wa kuyogopewa, mumuyogopa Chapanga, akamala kukukoma, ihotola kumutaga mundu kumotu wa magono goha wangajimika. Nikuvajovela, mumuyogopa mwenuyo!” (Geenna )
“Yule bwana akamsifu yule msimamizi dhalimu kwa jinsi alivyotumia ujanja. Kwa maana watu wa dunia hii wana ujanja zaidi wanapojishughulisha na mambo ya dunia kuliko watu wa nuru. (aiōn )
“Bambu yula akamulumba myimila lihengu mwachenjili yula, muni ahengili kwa luhala. Ndava vandu va mulima uwu vana luhala neju pevihenga vindu na vandu ngati avo, kuliku vandu vevavi munkosi wa Chapanga.” (aiōn )
Nawaambia, tumieni mali ya kidunia kujipatia marafiki, ili itakapokwisha, mkaribishwe katika makao ya milele. (aiōnios )
Yesu akayendelela kujova, “Nikuvajovela nyenye, mjipatila vankozi kuhuma mumashonga na vindu vya pamulima uwu, muni pevimalika, vavakemela mumatamilu gavi ga magono goha. (aiōnios )
Kule kuzimu alipokuwa akiteseka, alitazama juu, akamwona Abrahamu kwa mbali, naye Lazaro alikuwa karibu yake. (Hadēs )
Mkolo vindu vya mahele yula, paavi mukung'ahika neju kuligodi litali langali mwishu, akamlola Ibulahimu cha kutali na Lazalu papipi yaki. (Hadēs )
Mtawala mmoja akamuuliza Yesu, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios )
Mkolo vindu vyamahele mmonga Myawudi, amkotili Yesu, “Muwula mbwina, nikita wuli muni nipokela wumi wa magono goha?” (aiōnios )
ambaye hatapewa mara nyingi zaidi ya hivyo katika maisha haya, na hatimaye kupata uzima wa milele ujao.” (aiōn , aiōnios )
Yati ipokela gamahele neju mulukumbi ulu lwa hinu, na wumi wa magono goha palusenje lwelubwela.” (aiōn , aiōnios )
Yesu akawajibu, “Katika maisha haya watu huoa na kuolewa. (aiōn )
Yesu akayangula, “Vandu va lusenje lwa hinu vigega na kugegewa, (aiōn )
Lakini wale ambao wamehesabiwa kwamba wanastahili kupata nafasi katika ulimwengu ule na katika ufufuo wa wafu, hawaoi wala hawaolewi. (aiōn )
Nambu vala vevahaguliwi na veviganikiwa kupewa wumi wa mulima wula, na kuyukiswa kula kuhuma kwa vevafwili, vigega lepi amala kugegewa. (aiōn )
Ili kila mtu amwaminiye awe na uzima wa milele. (aiōnios )
muni kila mundu mweakumsadika yati ivya na wumi wa magono goha gangali mwishu. (aiōnios )
“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. (aiōnios )
Muni Chapanga avaganili neju vandu va mulima hati amuwusili Mwana waki ngamwene yuyo, muni yoyoha mwaisadika akotoka kuyaga ndi avyayi na wumi wa magono goha. (aiōnios )
Yeyote anayemwamini Mwana ana uzima wa milele, lakini yeye asiyemwamini Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu itakuwa juu yake.” (aiōnios )
Mweakumsadika Mwana avi na wumi wa magono goha gangali mwishu, nambu angamsadika Mwana avi lepi na wumi, nambu ligoga la Chapanga likumtamila. (aiōnios )
Lakini yeyote anywaye maji nitakayompa hataona kiu kamwe. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujika uzima wa milele.” (aiōn , aiōnios )
Nambu yoyoha mweinywa manji gala genikumpela nene, katu ivya lepi na njota magono goha. Manji genikumpela givya mugati yaki ngati chinyepa cha manji ga wumi na kumpela wumi wa magono goha gangali mwishu.” (aiōn , aiōnios )
Mvunaji tayari anapokea mshahara wake, naye anakusanya mazao kwa ajili ya uzima wa milele. Ili yeye apandaye na yeye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios )
Yula mweibena ipokela luhuna lweluganikiwa kupewa kwa lihengu laki, na kuyola mabenu ndava ya wumi wa magono goha wangali mwishu, muni mweimija na mbenaji vihekelela pamonga. (aiōnios )
“Amin, amin nawaambia, yeyote anayesikia maneno yangu na kumwamini yeye aliyenituma, anao uzima wa milele, naye hatahukumiwa, bali amepita kutoka mautini, na kuingia uzimani. (aiōnios )
Chakaka nikuvajovela, mweakugayuwana malovi gangu na kumsadika yula mweanitumili yati ivya na wumi wa magono goha. Katu ihamuliwa lepi, ndi amali kukupuka mulifwa na kuyingila muwumi. (aiōnios )
Ninyi mnachunguza Maandiko mkidhani ya kuwa ndani yake mna uzima wa milele, maandiko haya ndiyo yanayonishuhudia Mimi. (aiōnios )
Nyenye mukugalola neju Mayandiku Gamsopi mwihololela kuvya mugati yaki mwipata wumi wa magono goha wangali mwishu, na kumbi mayandiku gagago gijova ndava yangu. (aiōnios )
Msishughulikie chakula kiharibikacho, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele, ambacho Mwana wa Adamu atawapa. Yeye ndiye ambaye Mungu Baba amemtia muhuri.” (aiōnios )
Mkoto kuchihengela lihengu chukulya chechilula, nambu mchihengela chakulya changalula ndava ya wumi wa magono goha wangali mwishu. Mwana wa Mundu mwahaguliwi na kuyidakiliwa na Dadi yati akuvapela chakulya chenicho.” (aiōnios )
Kwa maana mapenzi ya Baba yangu ni kwamba kila mmoja amtazamaye, Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele, nami nitawafufua siku ya mwisho.” (aiōnios )
Muni cheigana Dadi wangu ndi chenichi, yoyoha mweakumlola Mwana na kumsadika avyayi na wumi wa magono goha, na nene yati nikumuyukisa ligono la mwishu.” (aiōnios )
Amin, amin nawaambia, yeye anayeamini anao uzima wa milele. (aiōnios )
Chakaka, nikuvajovela mweisadika avi na wumi wa magono goha wangali mwishu. (aiōnios )
Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. Mtu yeyote akiula mkate huu, ataishi milele. Mkate huu ni mwili wangu, ambao nitautoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn )
Nene ndi chakulya cha wumi chechihelili kuhuma kunani kwa Chapanga. Mundu yeyoha akalyayi libumunda lenili ilama magono goha gangali mwishu. Na libumunda lenikumpela ndi higa yangu yenikuyiwusa ndava ya wumi wa vandu va mulima.” (aiōn )
Mtu yeyote aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios )
Mweilya higa yangu na kunywa ngasi yangu avinawu wumi wa magono goha wangali mwishu, na nene yati nikumuyukisa ligono la mwishu. (aiōnios )
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.” (aiōn )
Hinu, lenili ndi libumunda leliulwiki kuhuma kunani kwa Chapanga, lepi ngati mana yevalili vagogo vitu, vafwili. Mweilya chakulya chenichi yati ivya na wumi wa magono goha wangali mwishu.” (aiōn )
Simoni Petro akamjibu, “Bwana, tuondoke twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele. (aiōnios )
Simoni Petili akamyangula, “Bambu, tihamba kwa yani? Veve ndi uvinagu malovi gegileta wumi wa magono goha wangali mwishu. (aiōnios )
Mtumwa hakai nyumbani anakotumika siku zote, lakini mwana hukaa nyumbani daima. (aiōn )
Mvanda itama lepi panyumba magono goha. Nambu mwana itama magono goha. (aiōn )
Amin, amin nawaambia, mtu yeyote akilitii neno langu hataona mauti milele.” (aiōn )
Chakaka nikujovela, mundu akauyidakila ujumbi wangu yati ifwa lepi nambu ivya mumi magono goha gangali mwishu.” (aiōn )
Ndipo Wayahudi wakamwambia, “Sasa tumejua kwamba una pepo mchafu. Ikiwa Abrahamu alikufa na vivyo hivyo manabii, nawe unasema ‘Mtu akitii neno langu hatakufa milele.’ (aiōn )
Vayawudi vakajova, “Hinu timanyili kuvya chakaka veve uvi na mzuka! Ibulahimu afwili mewawa vamlota va Chapanga vafwili hinu veve ujova ‘Mweakuukamulila ujumbi waku katu ifwa lepi, nambu ivya mumi magono goha!’ (aiōn )
Tangu zamani hatujasikia kwamba mtu amemponya yeyote aliyezaliwa kipofu. (aiōn )
Kutumbula mulima pewawumbiwi yiyuwaniki lepi kuvya mundu agadindwili mihu ga mundu mweavelekiwi ngalola. (aiōn )
nami ninawapa uzima wa milele, hawataangamia kamwe wala hakuna mtu atakayewapokonya kutoka mikono yangu. (aiōn , aiōnios )
Nene nikugapela wumi wa magono goha wangali mwishu, katu vifwa lepi, na kawaka mundu mweihotola kuvanyaga kuhuma kwangu. (aiōn , aiōnios )
na yeyote aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je, unasadiki haya?” (aiōn )
mewawa mundu yoyoha mweitama na kunisadika, katu ifwa lepi. Wu, wisadika genago?” (aiōn )
Mtu yeyote anayependa maisha yake atayapoteza, naye ayachukiaye maisha yake katika ulimwengu huu atayaokoa hata kwa uzima wa milele. (aiōnios )
Mundu yoyoha mweakuugana wumi waki yati akuuyagisa, nambu mundu yoyoha mweakuuyomela wumi waki pamulima apa, akuuvika wumi wa magono goha gangali mwishu. (aiōnios )
Ule umati wa watu ukapiga kelele ukasema, “Tumesikia kutoka Sheria kwamba ‘Kristo adumu milele,’ wewe wawezaje kusema, ‘Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa juu’? Huyu ‘Mwana wa Adamu’ ni nani?” (aiōn )
Hinu, msambi wa vandu wula ukamyangula “Tete tijoviwi na malagizu gitu kuvya Kilisitu yati ilama magono goha. Hinu uhotola wuli, kujova yikumgana Mwana wa Mundu kuyinuliwa? Mwana wa mundu mwenuyo ndi yani?” (aiōn )
Nami ninajua amri zake huongoza hadi kwenye uzima wa milele. Hivyo lolote nisemalo, ndilo lile Baba aliloniambia niseme.” (aiōnios )
Nene nimanyili kuvya mihilu yaki yileta wumi wa magono goha gangali mwishu. Hinu nene nijova gala ndu geanilagizi Dadi kujova.” (aiōnios )
Petro akamwambia, “La, wewe hutaninawisha miguu kamwe.” Yesu akamjibu, “Kama nisipokunawisha, wewe huna sehemu nami.” (aiōn )
Petili akamjovela, “Veve ukunisanja lepi magendelu katu!” Yesu akamyangula, “Changali kukusanja magendelu gaku wivya lepi muwuliwa wangu kavili.” (aiōn )
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele. (aiōn )
Nene yati nikumuyupa Dadi mwene yati akuvapela Mtangatila yungi, mweitama na nyenye magono goha gangali mwishu. (aiōn )
Kwa kuwa umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili awape uzima wa milele wale uliompa. (aiōnios )
Ndava muni wampeli Mwana waku uhotola kwa vandu voha muni vandu venavo veumpeli avapelayi wumi wa magono goha gangali mwishu. (aiōnios )
Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma. (aiōnios )
Wumi wa magono goha gangali mwishu ndi uwu, vandu vakumanya veve, mweuvi wamwene Chapanga wa chakaka, na kummanya Yesu Kilisitu mweumtumili. (aiōnios )
Kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu. (Hadēs )
Ndava nakuuleka mpungu wangu kulitinda, wala kumlekekesa Msopi waku awola. (Hadēs )
Daudi, akiona mambo yaliyoko mbele, akanena juu ya kufufuka kwa Kristo, kwamba hakuachwa kaburini, wala mwili wake haukuona uharibifu. (Hadēs )
Daudi agaweni kwakona mambu aga gegihengeka na Chapanga, hinu akajova ndava ya kuyuka kwa Kilisitu, lukumbi peajovili, ‘Nakulekewa mu litinda la mbugu, higa yaki yawoli lepi.’ (Hadēs )
Ilimpasa mbingu zimpokee mpaka wakati wa kufanywa upya kila kitu, kama Mungu alivyoahidi zamani kupitia kwa vinywa vya manabii wake watakatifu. (aiōn )
Yikumgana mwene kusigalila kunani kwa Chapanga mbaka palubwela lukumbi vindu vyoha kukitwa vya mupya, ngati Chapanga cheajovili munjila ya vamlota vaki vamsopi vevatamili kadeni. (aiōn )
Ndipo Paulo na Barnaba wakawajibu kwa ujasiri, wakisema, “Ilitupasa kunena nanyi neno la Mungu kwanza. Lakini kwa kuwa mmelikataa, mkajihukumu wenyewe kuwa hamstahili uzima wa milele, sasa tunawageukia watu wa Mataifa. (aiōnios )
Pauli na Banaba vakalongela kwa ukekesi neju, “Yaganikiwi Lilovi la Chapanga litumbula kuvahikila hoti nyenye, nambu ndava mulibelili na kuvya nakuhotola kupokela wumi wa magono goha, hinu tikuvaleka na kuvahambila vandu vangali Vayawudi. (aiōnios )
Watu wa Mataifa waliposikia haya wakafurahi na kulitukuza neno la Bwana; nao wote waliokuwa wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini. (aiōnios )
Vandu vangali Vayawudi pevayuwini lijambu lila vakavya na luheku, vakaulumbalila ujumbi wa Bambu na vevahaguliwi vala kupewa na wumi wa magono goha wangali mwishu, vakavya vamsadika. (aiōnios )
ambayo yamejulikana tangu zamani. (aiōn )
Ndi cheajovili Bambu, mweagamanyisi mambu aga kuhuma kadeni.’” (aiōn )
Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani, uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, imeonekana waziwazi, ikitambuliwa kutokana na yale aliyoyafanya ili wanadamu wasiwe na udhuru. (aïdios )
Kutumbula Chapanga peawumbili mulima, makakala gaki ga magono goha gangali mwishu na uchapanga waki, chewimanyikana hotohoto hati ngati uloleka lepi kwa mihu. Nambu vandu vihotola kuulola kwa vindu vyeawumbili Chapanga. Hinu vandu vavi lepi na chindu chakujikengelela! (aïdios )
Kwa sababu waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakaabudu na kutumikia kiumbe badala ya Muumba, ahimidiwaye milele! Amen. (aiōn )
Vakuung'anamusa uchakaka wa Chapanga kuvya udese, vakuvigundamila na kuvihengela vindu vyeviwumbiwi pahala pa Chapanga, vakumlumba lepi muwumba mwene mweiganikiwa kulumbiwa magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn )
Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele. (aiōnios )
Vandu vala veviyendelela kukita gabwina, kuni vigana utopesa ukulu na wumi wangahalabika, vandu ava Chapanga yati akuvapela wumi wa magono goha gangali mwishu. (aiōnios )
ili kwamba kama vile dhambi ilivyotawala kwa njia ya mauti, vivyo hivyo neema iweze kutawala kwa njia ya kuhesabiwa haki hata kuleta uzima wa milele katika Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios )
Hinu, ngati kubuda chekwatalalili na kuleta lifwa, mewawa ubwina wa Chapanga yati ulongosi munjila ya kuvakita vandu vavyai vabwina palongolo yaki na kuvalongosa vapatayi wumi wa magono goha gangali mwishu mu njila ya Yesu Kilisitu BAMBU witu. (aiōnios )
Lakini sasa kwa kuwa mmewekwa huru mbali na dhambi na mmekuwa watumwa wa Mungu, faida mnayopata ni utakatifu, ambao mwisho wake ni uzima wa milele. (aiōnios )
Nambu hinu mmalili kugombolewa kuhuma ku uvanda wa kumbudila Chapanga na muvi vavanda va Chapanga. Chiyonjokesu chemuvi nachu hinu Umsopi ndi wewileta wumi wa magono goha wangali mwishu. (aiōnios )
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios )
Ndava muni luhuna lwa kumbudila Chapanga ndi lifwa, nambu njombi ya Chapanga ndi wumi wa magono goha gangali mwishu mukuwungana na Kilisitu Yesu, BAMBU witu. (aiōnios )
Wao ni wa uzao wa mababa wakuu wa kwanza, ambao kutoka kwao Kristo alikuja kwa jinsi ya mwili kama mwanadamu, yeye ambaye ni Mungu aliye juu ya vyote, mwenye kuhimidiwa milele! Amen. (aiōn )
Vene ndi vajukulu va vagogo va Vaebulania, namwene Kilisitu, mu umundu waki, ahumili mu lukolo lwavi. Chapanga mweitalalila goha alumbaliwayi magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn )
“au ‘Ni nani atashuka kwenda kuzimu?’” (yaani ili kumleta Kristo kutoka kwa wafu.) (Abyssos )
Amala ukoto kujikota, “Yani mwaihelela mbaka kuligodi langali mwishu? Muni amuyukisa Kilisitu kuhuma kwe vafwili.” (Abyssos )
Kwa maana Mungu amewafunga wanadamu wote kwenye kuasi ili apate kuwarehemu wote. (eleēsē )
Muni Chapanga avakitili vandu voha kuvya vakungiwa vangamyidakila muni avahengela lipyana vandu voha. (eleēsē )
Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwake na kwa ajili yake. Utukufu ni wake milele! Amen. (aiōn )
Ndava muni vindu vyoha vihuma kwaki, vyoha vivii kwa makakala gaki, na vivii ndava yaki. Chapanga alumbiwayi magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn )
Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu. (aiōn )
Mkoto kulanda mambu ga mulima uwu, nambu Chapanga ang'anamusayi mitima yinu kwa kung'anamusa maholo ginu. Penapo ndi yati mwimanya maganu ga Chapanga gala gabwina gegamganisa mwene na cheigana nyenye muvyai. (aiōn )
Sasa atukuzwe yeye awezaye kuwafanya ninyi imara kwa Injili yangu na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kutokana na kufunuliwa siri zilizofichika tangu zamani za kale. (aiōnios )
Hinu timulumba Chapanga! Mwene ihotola kuvakangamalisa na kulandana na Lilovi la Bwina yenikokwisi ya Yesu Kilisitu na ugubukulo wa uchakaka wewafiyiki miyaka yamahele yeyipitili. (aiōnios )
Lakini sasa siri hiyo imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii (aiōnios )
Nambu hinu, uchakaka wenuwo ugubukuliwi kwa njila ya mayandiku ga Vamlota va Chapanga, na kwa malagizu ga Chapanga wa magono goha geakitili gamanyikana kwa vandu va makabila goha, muni vasadikayi na kuyidakila. (aiōnios )
Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen. (aiōn )
Hinu kwa Chapanga ndu, ngamwene mweavi na luhala loha, uvya ukulu munjila ya Yesu Kilisitu magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn )
Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi msomi? Yuko wapi mwanafalsafa wa nyakati hizi? Je, Mungu hakufanya hekima ya ulimwengu huu kuwa upumbavu? (aiōn )
Avi koki mweavi na luhala? Avi koki mweasomili? Avi koki mweamanyili kudandaula mambu ga mulima? Wu, Chapanga ahengili lepi luhala lwa mulima uwu kuvya ndi uyimu? (aiōn )
Lakini miongoni mwa watu waliokomaa twanena hekima, wala si hekima ya ulimwengu huu au ya watawala wa dunia hii wanaobatilika. (aiōn )
Pamonga nene nikuvakokosela mambu ga luhala kwa vala vevakangili mtima, nambu mambu genago lepi vachilongosi va mulima uwu, veviyagisa makakala gavi. (aiōn )
Sisi tunanena hekima ya Mungu ambayo ni siri, tena iliyofichika, ambayo Mungu aliikusudia kabla ya ulimwengu kuwepo, kwa ajili ya utukufu wetu. (aiōn )
Tikokosa mfiyu wa luhala lwa chapanga, ndi weufiyiki kwa vandu, ndi Chapanga amali kupanga kwakona kuwumbwa mulima ndava ya ukulu witu. (aiōn )
Hakuna hata mtawala mmoja wa nyakati hizi aliyeelewa jambo hili. Kwa maana kama wangelielewa, wasingemsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn )
Kawaka hati chilongosi mmonga wa lusenje lwitu mweamanyili lijambu ili. Ndava muni ngati kuvya vamanyili, ngavamvambii lepi pamsalaba BAMBU mkulu. (aiōn )
Msijidanganye. Kama mtu yeyote miongoni mwenu akidhani kuwa ana hekima kwa viwango vya dunia hii, inampasa awe mjinga ili apate kuwa na hekima. (aiōn )
Mundu yoyoha akotoka kujikonga, pagati yinu kujilola kuvya avi na luhala wa pamulima, mbanga avyai myimu muni apatayi luhala lwa chakaka. (aiōn )
Kwa hiyo, kama kile ninachokula kitamfanya ndugu yangu aanguke katika dhambi, sitakula nyama kamwe, nisije nikamfanya ndugu yangu aanguke. (aiōn )
Hinu, ngati chakulya chikumgwisa mlongo vangu, katu nilya lepi nyama, nikotoka kumgwisa mlongo vangu mukumbudila Chapanga. (aiōn )
Mambo haya yote yaliwapata wao ili yawe mifano kwa wengine, nayo yaliandikwa ili yatuonye sisi ambao mwisho wa nyakati umetufikia. (aiōn )
Hinu, mambu genago gavakolili vene gavyai luhumu kwa vangi, na gayandikiwi muni kutihakalila tete vetitama lukumbi ulu lwa mwishu. (aiōn )
“Kuko wapi, ee mauti, kushinda kwako? Uko wapi, ee mauti, uchungu wako?” (Hadēs )
“Lifwa, kuhotola kwaku kuvili koki? Lifwa makakala gaku ga kuleta mvinisu uvi koki?” (Hadēs )
Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu. (aiōn )
Venavo vasadiki lepi muni yula Setani mweavi chapanga wa mulima uwu asopili chitita muluhala lwavi vakotoka kulola hotohoto lumuli lwa Lilovi la Bwina ga ukulu wa Kilisitu, mweavi ngati Chapanga cheavili. (aiōn )
Kwa maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitambo inatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele unaozidi kuwa mwingi kupita kiasi, (aiōnios )
Mang'ahiso gegakutikolela ndi gadebe, kavili galukumbi ndu, nambu yati gakutipela ukulu mvaha neju wa magono goha kuliku mang'ahiso aga. (aiōnios )
kwa sababu hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana. Kwa maana yale yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele. (aiōnios )
Hinu tilola lepi vindu vyevilolekana, nambu tilola vindu vyangalolekana vya lukumbi ndu, nambu vila vyangalolekana ndi vya magono goha. (aiōnios )
Kwa maana twajua kama hema yetu ya dunia tunayoishi ikiharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu, nyumba iliyo ya milele kule mbinguni, isiyojengwa kwa mikono ya wanadamu. (aiōnios )
Muni timanyili kuvya lindanda lenili letitama hinu pamulima apa ndi higa yitu palitupuliwa, Chapanga yati akutipela pandu pangi kunani kwa Chapanga, nyumba ya magono goha yangajengwa kwa mawoko ga vandu. (aiōnios )
Kama ilivyoandikwa: “Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele.” (aiōn )
Ngati chegijova Mayandiku Gamsopi, “Mwene iwusa kwa ubwina, akuvapela vangangu. Ubwina waki uvya magono goha.” (aiōn )
Mungu na Baba wa Bwana Yesu, yeye ambaye anahimidiwa milele, anajua ya kuwa mimi sisemi uongo. (aiōn )
Chapanga Dadi wa BAMBU Yesu, liina laki lilumbiwa magono goha. Mwene amanyili kuvya nijova lepi udese. (aiōn )
aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu. (aiōn )
Kilisitu ajiwusili mwene avya luteta ndava ya kumbudila kwitu Chapanga ndava ya maganu ga Chapanga Dadi witu muni atisangulayi kuhuma pamulima uwu uhakau wa hinu. (aiōn )
Utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
Chapanga alumbiwa magono na magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn )
Apandaye kwa mwili, katika mwili wake atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele. (aiōnios )
Ndava muni mundu yeyoha mweimija mu mnogo uhakau weavelikwi nawu yati ibena mwenumo uhakau, nambu akamija kwa kulongoswa na Mpungu yati ibena wumi wa magono goha wangali mwishu kuhuma kwa Mpungu Msopi. (aiōnios )
juu sana kuliko falme zote na mamlaka, enzi na milki, na juu ya kila jina litajwalo, si katika ulimwengu huu tu, bali katika ule ujao pia. (aiōn )
Hinu, kwenuko, Kilisitu ndi chilongosi mkulu wa vachilongosi voha va kunani kwa Chapanga, na uhotola woha na makakala na vankosi voha na vachilongosi. Kila liina leliluwuliwa pamulima uwu, nambu mewa pamulima weubwela. (aiōn )
ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za yule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi sasa ndani ya wale wasiotii. (aiōn )
Lukumbi lula mweatamili kulandana na mtindu uhakau wa mulima wenuwo. Mwavi mwiyidakila chilongosi wa mizuka weuvi na makakala ga kunani, mzuka weukuvalongosa hinu vandu vangamyidakila Chapanga. (aiōn )
ili katika ule ulimwengu ujao apate kuonyesha wingi wa neema yake isiyopimika, iliyodhihirishwa kwetu kwa wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn )
Akitili chenichi muni alangisa kwa lusenje lwoha ubwina wa Chapanga uvaha na wakukangasa mu njila ya lipyana laki mukuwungana kwitu na Kilisitu Yesu. (aiōn )
na kuweka wazi kwa kila mtu siri hii iliyokuwa imefichwa tangu zamani katika Mungu, aliyeumba vitu vyote. (aiōn )
Nahaguliwi muni nivajovela vandu voha valola mpangu wa mfiyu wa Chapanga chewihenga lihengu. Chapanga mweawumbili vindu vyoha afiyili mfiyu waki kutumbula kadeni. (aiōn )
sawasawa na kusudi lake la milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn )
Chapanga ahengili lijambu lenili kulandana na mpangu waki wa magono goha gangali mwishu leahegili, mu njila ya Kilisitu Yesu Bambu witu. (aiōn )
yeye atukuzwe katika kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote, milele na milele. Amen. (aiōn )
Kwaki Chapanga kuvya ukulu kwa njila ya msambi wa vandu vevakumsadika na mu njila ya Kilisitu Yesu mwene, lusenje lwoha magono na magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn )
Kwa maana kushindana kwetu si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. (aiōn )
Muni ngondo yitu lepi pagati ya vandu, nambu ngondo ndava msambi wa manjolinjoli uhakau wa mulima wa chimpungu, titovana na vachilongosi na vakulu na vevana makakala vevitalalila mulima uwu wa chitita. (aiōn )
Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen. (aiōn )
Ukulu uvya kwa Chapanga mweavi Dadi witu magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn )
Hii ni siri iliyokuwa imefichika tangu zamani na kwa vizazi vingi, lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu. (aiōn )
malovi ago gafiyiki kwa vandu voha kutumbula kadeni, chiveleku hati chiveleku nambu hinu gagubukuliwi kwa vandu vaki. (aiōn )
Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa uweza wake, (aiōnios )
Mtovilu yati uvya kung'aiswa magono goha gangali mwishu na kuvikwa kutali na BAMBU na ukulu waki uvaha, (aiōnios )
Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatupatia faraja ya milele na tumaini jema, (aiōnios )
Tikumuyupa BAMBU witu Yesu Kilisitu mwene na Chapanga Dadi witu ndi mweatigani kwa ubwina waki na kutikangamalisa mitima kwa kutipela uteke wa magono goha na huvalila ya bwina, (aiōnios )
Lakini kwa sababu hiyo nilipata rehema, ili katika mimi, niliyekuwa mwenye dhambi kuliko wote, Kristo Yesu apate kuonyesha uvumilivu wake usio na kikomo, ili niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini na wapate uzima wa milele. (aiōnios )
nambu Chapanga anihengili lipyana. Muni nene mwenavili nikumbudila Chapanga kuliku voha, Kilisitu Yesu alangisa ukangamala waki wangali mwishu muni kandahi nivya luhumu kwa vala vevakumsadika na kupokela wumi wa magono goha wangali mwishu. (aiōnios )
Basi Mfalme wa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye Mungu pekee, apewe heshima na utukufu milele na milele. Amen. (aiōn )
Kwaki mwene mweavi Nkosi wa magono goha, mwangafwa, mwangaloleka na mweavili Chapanga mwene, kwaki kuvya kutopeswa na ukulu magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn )
Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya mashahidi wengi. (aiōnios )
Tova ngondo yila yabwina ya sadika, muni upata njombi ya wumi wa magono goha, muni genago ndi gawakemeliwi na Chapanga, pewajovili wamwene ukumyidikila Kilisitu palongolo ya vandu vamahele. (aiōnios )
yeye peke yake ambaye hapatikani na mauti, na anakaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, ambaye hakuna mwanadamu aliyemwona wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye milele. Amen. (aiōnios )
Mwene ndu ihotola kutama magono goha gangali mwishu na ihotola kutama mu lumuli lwangahegelewa na mundu. Kawaka mundu mweamuwene amala mweihotola kumlola. Kwaki kuvya kutopeswa na uhotola wa magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōnios )
Waagize wale ambao ni matajiri wa ulimwengu huu waache kujivuna, wala wasiweke tumaini lao katika mali ambayo si ya hakika, bali waweke tumaini lao katika Mungu ambaye hutupatia vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie. (aiōn )
Valagiza vandu vevavili na vindu vyamahele magono aga, vakotoka kumeka, vakotoka kuhuvalila vindu vyangahuvalila, ndi vamuhuvalila Chapanga, mweakutipela vindu vyoha tivisangalukila ngati mashonga. (aiōn )
ambaye alituokoa na kutuita katika mwito mtakatifu: si kwa kadiri ya matendo yetu mema bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na neema yake. Neema hii tulipewa katika Kristo Yesu tangu milele. (aiōnios )
Mwene atisangwili na kutikemela tivya tavandu vaki mwene, lepi ndava ya matendu gitu, ndi muni ndava ya mota yaki. Tapewili ngati cheigana mwene na kwa ubwina waki wa Yesu Kilisitu kwakona lukumbi, (aiōnios )
Kwa hiyo ninavumilia mambo yote kwa ajili ya wateule wa Mungu, kusudi wao nao wapate wokovu ulio katika Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios )
Hinu ndi nisindimala mukila chindu ndava ya vandu vevahaguliwi na Chapanga, muni na vene vapata ugombozi kwa njila ya Yesu Kilisitu, na vevileta ukulu wa magono goha gangali mwishu. (aiōnios )
kwa sababu Dema, kwa kuupenda ulimwengu, ameniacha na amekwenda Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia na Tito amekwenda Dalmatia. (aiōn )
Dema aganili mambu ga pamulima apa anilekili na kuhamba Tesalonike. Kilesike ahambili Galatia na Tito ahambili Dalimatia. (aiōn )
Bwana ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika Ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
Bambu yati akunisangula mu mambu goha gahakau, na kunitola mbaka muunkosi waki wa kunani. Kwaki uvya ukulu magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn )
imani na ujuzi ulioko katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu, asiyesema uongo, aliahidi hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, (aiōnios )
Sadika yeniyi na umanya uwu vikutipela huvalila ya wumi wa magono goha gangali mwishu. Chapanga alagazili kutipela wumi hati kwakona mulima kuwumbwa. (aiōnios )
Nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, ili tupate kuishi maisha ya kiasi, ya haki na ya utaua katika ulimwengu huu wa sasa, (aiōn )
Ubwina wenuwo wa Chapanga ukutiwula kuleka mambu gangamganisa Chapanga na mnogo woha uhakau wa pamulima, tivya na uhotola wa kuyitohola mitima, na kutama bwina palongolo ya Chapanga pamulima uwu weukumbudila Chapanga, (aiōn )
ili kwamba, tukiisha kuhesabiwa haki kwa neema yake, tupate kuwa warithi tukiwa na tumaini la uzima wa milele. (aiōnios )
muni kwa ubwina waki utiyidakiwa palongolo ya Chapanga kuvya tavabwina na kuupokela wumi wa magono goha gangali mwishu wehuvalila. (aiōnios )
Huenda sababu ya yeye kutengwa nawe kwa kitambo kidogo ni ili uwe naye daima. (aiōnios )
Pangi Onesimo awukili kwaku lukumbi lutali, muni uhotola kavili kuvya na veve magono goha. (aiōnios )
lakini katika siku hizi za mwisho anasema nasi kwa njia ya Mwanawe, ambaye amemweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia kwake aliuumba ulimwengu. (aiōn )
Nambu magono aga ga mwishu, ajovili na tete munjila ya Mwana waki. Chapanga ndi mweapelili vindu vyoha kuvya vyaki, mewa ndi yuyoyo mweawumbili mulima woha. (aiōn )
Lakini kwa habari za Mwana asema, “Kiti chako cha enzi, Ee Mungu, kitadumu milele na milele, nayo haki itakuwa fimbo ya utawala ya ufalme wako. (aiōn )
Nambu kumvala Mwana, Chapanga ajovili, “Unkosi waku veve mewawa ndi mweuvili Chapanga yati wilongosa magono na magono goha gangali mwishu! Veve wilongosa vandu vaku kwa njila ya kumganisa Chapanga. (aiōn )
Pia mahali pengine asema, “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn )
Mewawa ajovili, pandu pangi mu Mayandiku Gamsopi, “Veve ndi Mteta wa magono goha gangali mwishu, ngati cheuvili uteta wa Melikisedeki.” (aiōn )
na akiisha kukamilishwa, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wote wanaomtii. (aiōnios )
Peamali kuvya mkamilifu mukila njila, avi utumbula wa usangula wa magono goha gangali mwishu kwa vandu voha vevakumyidakila, (aiōnios )
mafundisho kuhusu aina za ubatizo, kuwekea watu mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios )
mawuliwu kuuvala ubatizu na mawuliwu ga kuvikiwa mawoko na mawuliwu ga kuyuka na kuhamuliwa magono goha gangali mwishu. (aiōnios )
ambao wameonja uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati ujao, (aiōn )
na kumyanga ubwina wa lilovi la Chapanga, na makakala ga mulima weubwela, (aiōn )
mahali ambapo Yesu mtangulizi wetu aliingia kwa niaba yetu. Yeye amekuwa Kuhani Mkuu milele, kwa mfano wa Melkizedeki. (aiōn )
Yesu mwene alongolili kuyingila mwenumo ndava yitu, na avi Mteta Mkulu magono goha gangali mwishu, kwa kulanda uteta wa Melikisedeki. (aiōn )
Kwa maana imeshuhudiwa kwamba: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn )
Muni Mayandiku Gamsopi gijova, “Veve ndi Mteta wa Chapanga wa magono goha gangali mwishu ngati cheuvili uteta wa Melikisedeki.” (aiōn )
lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alimwambia: “Bwana ameapa naye hatabadilisha mawazo yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’” (aiōn )
Nambu Yesu ahengiwi kuvya Mteta kwa chilapu lukumbi Chapanga peamjovili, “Bambu alapili, kangi ing'anamuka lepi maholo gaki, ‘Veve ndi mteta wa Chapanga magono goha gangali mwishu.’” (aiōn )
Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu. (aiōn )
Nambu Yesu itama magono goha gangali mwishu, na uteta waki wihotoleka lepi kupewa mundu yungi. (aiōn )
Kwa kuwa sheria huwaweka makuhani wakuu watu ambao ni dhaifu; lakini lile neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, lilimweka Mwana, ambaye amefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn )
Malagizu ga Musa gakuvahagula vandu vangolongondi kuvya vamteta vakulu va Chapanga, nambu malagizu ga Chapanga gahengili kwa chilapu chechibwela palongolo ya malagizu, gamhagwili Mwana mweakitiwi mkamilifu magono goha gangali mwishu. (aiōn )
Hakuingia kwa njia ya damu ya mbuzi na ya ndama; lakini aliingia Patakatifu pa Patakatifu mara moja tu kwa damu yake mwenyewe, akiisha kupata ukombozi wa milele. (aiōnios )
Mwene ayingili pandu Pamsopi Neju mala yimonga ndu, mwene agegili, lepi ngasi ya mene amala ya ng'ombi ndava ya kuwusa luteta, nambu kwa ngasi yaki mwene, akatipela usangula wa magono goha gangali mwishu. (aiōnios )
Basi ni zaidi aje damu ya Kristo, ambaye kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na waa, itatusafisha dhamiri zetu kutokana na matendo yaletayo mauti, ili tupate kumtumikia Mungu aliye hai! (aiōnios )
Yikavya naha, wu, ngasi ya Kilisitu yivya lepi na uhotola neju wa kutinyambisa? Kwa makakala ga Mpungu wa magono goha gangali mwishu. Kilisitu ajiwusili mwene kuvya luteta lwanga libala lwelunyambisa mitima yitu, ndava ya matendu gangafwayi, muni tihotola kumhengela Chapanga mweavi mumi. (aiōnios )
Kwa sababu hii Kristo ni mpatanishi wa agano jipya, ili kwamba wale walioitwa waweze kupokea ile ahadi ya urithi wa milele: kwa vile yeye alikufa awe ukombozi wao kutoka kwa dhambi walizozitenda chini ya agano la kwanza. (aiōnios )
Ndava yeniyo Kilisitu ndi mtepulanisi mwealetili lilaganu la mupya muni vala vevakemeliwi na Chapanga vihotola kupokela lilaganu la magono goha gangali mwishu levahaidiwi. Lenili lihotoleka ndava mu njila ya kufwa kwaki avagombwili vandu kuhuma muuhakau wavi wevahengili mu lukumbi lwa lilaganu la kadeni. (aiōnios )
Ingekuwa hivyo, ingempasa Kristo kuteswa mara nyingi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Lakini sasa ametokea mara moja tu katika mwisho wa nyakati aiondoe dhambi kwa kujitoa mwenyewe kuwa dhabihu. (aiōn )
Muni kuvya gavyai genago, Kilisitu ngaang'aiswi pamahele kutumbula kuwumbwa kwa mulima. Nambu hinu, lusenje peluhegelela mwishu waki, mwene ahumalili mala yimonga ndu, alekekesa kumbudila Chapanga kwa luteta lwaki mwene. (aiōn )
Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, vitu vyote vinavyoonekana havikuumbwa kutoka kwa vitu vinavyoonekana. (aiōn )
Kwa sadika tete timanya kuvya mulima wawumbiwi kwa lilovi la Chapanga, hati vindu vyeviwonekana vyawumbiwi kuhuma vindu vyangalolekana. (aiōn )
Yesu Kristo ni yeye yule jana, leo na hata milele. (aiōn )
Yesu Kilisitu ndi yulayula golo, lelu na magono goha gangali mwishu. (aiōn )
Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu ya Agano la milele alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji Mkuu wa kondoo, (aiōnios )
Chapanga wa uteke mweamyukisi Bambu witu Yesu, Mdimaji Mkulu wa mambelele kwa ngasi yeyilangisa lilaganu la chakaka magono goha gangali mwishu, (aiōnios )
awafanye ninyi wakamilifu mkiwa mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate kutenda mapenzi yake, naye atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
avakita nyenye kuvya mukangala mukila chindu chabwina chemwikita, muhotola kukita maganu gaki munjila ya Kilisitu ahenga gala gegakumganisa mwene mugati yinu. Ukulu uvya kwa Yesu Kilisitu magono na magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn )
Ulimi pia ni moto, ndio ulimwengu wa uovu kati ya viungo vya mwili. Ulimi huutia mwili wote wa mtu unajisi na kuuwasha moto mfumo mzima wa maisha yake, nao wenyewe huchomwa moto wa jehanamu. (Geenna )
Mewawa lulimi ngati motu umemili uhakau, wenu ndi pandu padebe muhiga nambu wileta uhakau muhiga yoha. Ulimi usopa motu wumi witu woha kuhuma kuvelekewa mbaka kufwa. Kwa motu wewihuma kuligodi litali langali mwishu. (Geenna )
Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele. (aiōn )
Ndava muni nyenye mpewili wumi wa mupya, lepi ngati vana vevahumili kwa mundu mweifwa nambu Dadi mweitama magono goha gangali mwishu, kwa njila ya ujumbi wa Chapanga weuvi mumi na weusindimala. (aiōn )
lakini neno la Bwana ladumu milele.” Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu. (aiōn )
Nambu lilovi la BAMBU lisigalila magono goha gangali mwishu.” Lilovi lenilo ndi Lilovi la Bwina lemwakokosiwi. (aiōn )
Yeyote asemaye hana budi kusema kama mtu asemaye maneno ya Mungu mwenyewe. Yeyote ahudumuye hana budi kuhudumu kwa nguvu zile anazopewa na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo. Utukufu na uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
Mundu yoyoha akajova chindu, malovi gaki gavyai ngati malovi ga Chapanga. Mundu yoyoha mweihengela, akitayi kwa makakala geapewili na Chapanga, muni Chapanga alumbiwayi kwa njila ya Yesu Kilisitu. Ukulu na uhotola uvi na mwene magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn )
Nanyi mkiisha kuteswa kwa kitambo kidogo, Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele ndani ya Kristo, yeye mwenyewe atawarejesha na kuwatia nguvu, akiwaimarisha na kuwathibitisha. (aiōnios )
Nambu mwakamala kung'ahika lukumbi luhupi, Chapanga mweavili na ubwina mugoha, mweavakemeli muyingila mu ukulu waki wa magono goha gangali mwishu mukuwungana na Kilisitu. Mwene yati akuvakangamalisa, na akuvapela makakala na kuvakita mkangamala kuyima mumkingisa weusindimili. (aiōnios )
Uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
Kwaki kuvya uhotola magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn )
na mtajaliwa kwa ukarimu mwingi kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. (aiōnios )
Kwa kukita genago yati myidikiliwa njwe kuyingila muunkosi wa magono goha gangali mwishu wa BAMBU na Msangula witu Yesu Kilisitu. (aiōnios )
Kwa maana, kama Mungu hakuwasamehe malaika walipotenda dhambi, bali aliwatupa kuzimu katika vifungo vya giza wakae humo mpaka ije hukumu; (Tartaroō )
Yikavya Chapanga avahengili lepi lipyana vamitumi va kunani kwa Chapanga vevambudili, nambu avatagili pandu pepavi na mang'ahiso kuni vakungiwi minyololo kuchitita ng'ong'olo, vilindila ligono la kuhamuliwa. (Tartaroō )
Bali kueni katika neema na katika kumjua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na milele! Amen. (aiōn )
Nambu muyendelela kukula mukummanya BAMBU witu na Msangula Yesu Kilisitu. Ukulu uvya kwaki, hinu na hati magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn )
Uzima huo ulidhihirishwa; nasi tumeuona na kuushuhudia, nasi twawatangazia uzima wa milele, ambao ulikuwa pamoja na Baba, nao ukadhihirishwa kwetu. (aiōnios )
Na yula mweileta wumi peabwelili, tamuwene tavete na hinu tijova malovi gaki na tikuvakokosela na kuvajovela ndava ya wumi wa magono goha gangali mwishu, mwene avili kwa Dadi na hinu atihumili tete. (aiōnios )
Nao ulimwengu unapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu milele. (aiōn )
Mulima pamonga na vindu vyaki vyoha vyevakuvigana vandu vihamba nambu mundu mweikita geigana Chapanga, yati itama magono goha gangali mwishu. (aiōn )
Hii ndiyo ahadi yake kwetu, yaani, uzima wa milele. (aiōnios )
Chila cheajovili Kilisitu kuvya yati akutipela ndi wumi wa magono goha gangali mwishu. (aiōnios )
Yeyote amchukiaye ndugu yake ni muuaji, nanyi mwajua ya kwamba muuaji hana uzima wa milele ndani yake. (aiōnios )
Kila mweakumuvenga mlongo waki ndi mkomaji, na nyenye mumanyi kuvya mundu mkomaji avi lepi na wumi wa magono goha gangali mwishu. (aiōnios )
Huu ndio ushuhuda: kwamba Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe. (aiōnios )
Na uchakaka wene ndi uwu: Chapanga atipelili wumi wa magono goha gangali mwishu, na wumi wenuwo upatikana kwa Mwana waki. (aiōnios )
Nawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu ili mpate kujua ya kuwa mnao uzima wa milele. (aiōnios )
Nivayandikili nambu mumanyayi kuvya muvinau wumi wa magono goha gangali mwishu, nyenye mwamukumsadiki Mwana wa Chapanga. (aiōnios )
Nasi pia twajua ya kwamba Mwana wa Mungu amekuja, naye ametupa sisi ufahamu ili tupate kumjua yeye aliye Kweli. Nasi tumo ndani yake yeye aliye Kweli, yaani, ndani ya Yesu Kristo Mwanawe. Yeye ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios )
Tete timanyili kuvya Mwana wa Chapanga amali kubwela, na mwene ndi atikitili timmanya Chapanga wa chakaka. Na tete titama mukuwungana na Chapanga wa chakaka kwa njila ya kuwungana na Mwana waki Yesu Kilisitu. Mwenuyu ndi Chapanga wa chakaka, na ndi wumi wa magono goha gangali mwishu. (aiōnios )
kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele: (aiōn )
tivaganili ndava muni uchakaka uwu utama mugati yitu na yati uvya na tete hati magono goha gangali mwishu. (aiōn )
Nao malaika ambao hawakulinda nafasi zao, lakini wakayaacha makao yao, hawa amewaweka katika giza, wakiwa wamefungwa kwa minyororo ya milele kwa ajili ya hukumu Siku ile kuu. (aïdios )
Na, vamitumu va kunani kwa Chapanga vevangakola uhotola wavi vakaleka pandu pavi pevavikiwi na Chapanga, Chapanga avakungili kwa minyololo magono goha gangali mwishu na pachitita ng'ong'olo vilindila ligono lila likulu la uhamula. (aïdios )
Vivyo hivyo, Sodoma na Gomora na pia ile miji iliyokuwa kandokando, ambayo kwa jinsi moja na hao, walijifurahisha kwa uasherati na kufuata tamaa za mwili zisizo za asili, waliwekwa wawe mfano kwa kuadhibiwa katika moto wa milele. (aiōnios )
Kangi mkumbuka Sodoma na Gomola, na milima ya papipi yaki, vakolonjinji vaki vakitili chenicho ngati chevakitili vamitumu vala, vakitili ukemi na kulanda mambu ga muhiga yavi gegibeswa ndi vapewili uhamula wa kutagwa mumotu wangajimika wa magono goha gangali mwishu, muni yivya liwuliwu kwa vandu voha. (aiōnios )
Wao ni mawimbi makali ya bahari, yakitoa povu la aibu yao wenyewe, ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba waliowekewa milele. (aiōn )
Vandu avo vavi ngati mtimbuganu wa nyanja na mambu gavi gahakau gilolekana ngati lihuluhulu. Vavi ngati ndondo zeziyugayuga zezivikiwi na Chapanga pandu pa chitita ng'ong'olo cha magono goha gangali mwishu. (aiōn )
Jilindeni katika upendo wa Mungu mkitazamia kwa furaha rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ili awalete katika uzima wa milele. (aiōnios )
Na kutama muuganu wa Chapanga, mumlindila Bambu witu Yesu Kilisitu avapela wumi wa magono goha gangali mwishu mulipyana laki. (aiōnios )
kwake yeye Mungu pekee Mwokozi wetu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na mamlaka ni vyake tangu milele, sasa na hata milele! Amen. (aiōn )
mwene mweavi Chapanga, msangula witu kwa njila ya Yesu Kilisitu Bambu witu. Uvya ukulu na unkosi makakala na uhotola kuhumila kutumbula kwakona kuwumbwa mulima hati hinu na magono goha gegibwela gangali mwishu! Ena. (aiōn )
akatufanya sisi kuwa ufalme na makuhani, tumtumikie Mungu wake ambaye ni Baba yake. Utukufu na uwezo ni vyake milele na milele! Amen. (aiōn )
Atihengili tete tavankosi na vamteta va Chapanga muni tihengela Chapanga, muni vavalongosa vandu va milima yoha, Dadi waki. Kwaki Yesu Kilisitu uvya ukulu na makakala, magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn )
Mimi ni Yeye Aliye Hai, niliyekuwa nimekufa, na tazama, ni hai milele na milele! Nami ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn , Hadēs )
Nene ndi mwenivi mumi! Nafwili, nambu, lola hinu ndi namumi magono goha gangali mwishu. Nivii na uhotola wa lifwa na mulima wa vandu vevafwili. (aiōn , Hadēs )
Kila mara viumbe hao wanne wenye uhai wanapomtukuza, kumheshimu na kumshukuru yeye aketiye kwenye kile kiti cha enzi, tena aishiye milele na milele, (aiōn )
Vyeviwumbiki venivyo mcheche peviyimba lunyimbu lwa ulumba na ukulu na utopesa na kumsengusa mwenuyo mweatamili panani ya chigoda cha unkosi, mweitama magono na magono goha gangali mwishu. (aiōn )
wale wazee ishirini na wanne huanguka mbele zake aketiye kwenye kiti cha enzi na kumwabudu yeye aliye hai milele na milele. Huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi, wakisema: (aiōn )
Pevihenga genago, vala vagogo ishilini na mcheche vakujigwisi palongolo ya magendelu na kwa yula mweitama panani ya chigoda cha unkosi na kugundamila yula mweitama magono na magono goha gangali mwishu. Na kuzivika njingwa zavi palongolo ya chigoda cha unkosi na kujova: (aiōn )
Kisha nikasikia kila kiumbe mbinguni na duniani, chini ya nchi na baharini na vyote vilivyomo ndani yake vikiimba: “Sifa na heshima na utukufu na uweza ni vyake yeye aketiye juu ya hicho kiti cha enzi na kwa Mwana-Kondoo, milele na milele!” (aiōn )
Nikayuwana viumbi vyoha kunani kwa Chapanga na pamulima na pahi ya mulima na nyanja, viumbi vyoha pamulima vikajova: “Kwa mwene mweitama pachigoda cha unkosi na kwa Mwanalimbelele, ivya ulumba na utopela na ukulu na unkosi na makakala magono goha gangali mwishu.” (aiōn )
Nikatazama, na hapo mbele yangu alikuwepo farasi mwenye rangi ya kijivujivu! Yeye aliyempanda aliitwa Mauti, naye Kuzimu alikuwa akimfuata nyuma yake kwa karibu. Wakapewa mamlaka juu ya robo ya dunia, kuua kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama wakali wa dunia. (Hadēs )
Kangi nikalola, na kumbi avili falasi mmonga apo langi yaki ya lyenge. Na liina la mweatamili panani ya falasi avili Lifwa, na mulima wa vandu vevafwili amlandili mumbele. Avo vevapewili uhotola wa lobo yimonga ya mulima, vavakoma vandu kwa upanga, njala, tauni na kwa hinyama hikali ya pamulima. (Hadēs )
wakisema: “Amen! Sifa na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele. Amen!” (aiōn )
vijova, “Ena! Ulumba na ukulu na luhala na sengusa na utopesa na uhotola na makakala vivya kwa Chapanga witu, magono na magono gangali mwishu! Ena!” (aiōn )
Malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake, nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka toka angani hadi ardhini. Nyota hiyo ilipewa ufunguo wa lile Shimo. (Abyssos )
Kangi mtumu wa kunani kwa Chapanga wa mhanu akapyula lipenenga laki. Nene nayiwene ndondo yeyigwili panani ya mulima kuhuma kunani. Yene yapewili fungulu za kudindulila Ligodi langali mwishu. (Abyssos )
Alipolifungua hilo Shimo, moshi ukapanda kutoka humo kama moshi wa tanuru kubwa sana. Jua na anga vikatiwa giza na ule moshi uliotoka katika hilo Shimo. (Abyssos )
Hinu, ndondo yeniyo yadindwili Ligodi langali mwishu, likahuma lyohi lawonikini ngati lyohi lelihuma kulitanulu livaha. Lilanga na kunani ndi vyagubikwi na lyohi wenuwo kuhuma wa ku Ligodi litali langali mwishu. (Abyssos )
Walikuwa na mfalme wao, ambaye ni malaika wa lile Shimo, ambaye jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani ni Apolioni. (Abyssos )
Kangi vavi na nkosi mweakuvalongosa, mwene ndi mtumu wa kunani kwa Chapanga mweapewili uhotola wa Ligodi langali mwishu, liina laki kwa Chiebulania ndi Abadoni, na kwa Chigiliki ndi Apolioni, mana yaki ndi “Mkomaji.” (Abyssos )
Naye akaapa kwa Yule aishiye milele na milele, aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote viijazavyo, pamoja na bahari na vyote vilivyomo ndani yake, akasema, “Hakuna kungoja tena! (aiōn )
akalapa kwa liina la Chapanga mweitama magono goha gangali mwishu, Chapanga mweawumbili kunani na vindu vyoha vyevivii na mweawumbili nyanja vyoha vyevivii na mweawumbili pamulima na vyoha vyevivii. Akajova, “Lukumbi lwa kulindila neju lumaliki! (aiōn )
Basi watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao, yule mnyama atokaye katika lile Shimo atapigana nao vita, atawashinda na kuwaua. (Abyssos )
Nambu pevimala kukokosa ujumbi wa Chapanga, hinyama hikali yeyihuma ku Ligodi langali mwishu yati itovana nawu ngondo na kuvakoma. (Abyssos )
Yule malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake, pakawa na sauti kubwa mbinguni iliyosema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atatawala milele na milele.” (aiōn )
Kangi, mtumu wa kunani kwa Chapanga wa saba akapyula lipenenga laki. Na lwami zamahele zivaha kunani kwa Chapanga zayuwaniki zikajova, “Hinu unkosi wa mulima ndi uhengiwi kuvya wa Bambu na Chapanga na Kilisitu mweamhagwili kuvya Msangula. Mwene yati ilongosa magono goha gangali mwishu!” (aiōn )
Kisha nikamwona malaika mwingine akiruka juu angani, naye alikuwa na Injili ya milele ya kuwatangazia wale waishio duniani, yaani, kwa kila taifa, kabila, lugha na jamaa. (aiōnios )
Kangi, namuwene mtumu wa kunani kwa Chapanga yungi imbululuka kunani kuni avi na Lilovi la Bwina la Chapanga la magono goha gangali mwishu, akokosa kwa vandu vevitama panani ya ndima na pamilima yoha na vandu va luga zoha na makabila goha na langi zoha. (aiōnios )
Nao moshi wa mateso yao hupanda juu milele na milele. Hakuna mapumziko, mchana wala usiku, kwa wale wamwabuduo huyo mnyama na sanamu yake, au kwa yeyote anayepokea chapa ya jina lake.” (aiōn )
Lyohi lya motu weukuvang'aha hukwela kunani magono goha gangali mwishu. Vandu avo vevakuchigundamila chinyama chikali na chimong'omong'o chaki na kusopiwa ulangisu liina laki, yati vipumulila lepi kilu na muhi.” (aiōn )
Ndipo mmoja wa wale viumbe wanne wenye uhai akawapa wale malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, yeye aishiye milele na milele. (aiōn )
Kangi, mmonga wa viumbi vala mcheche akavapela vala vamitumu saba va kunani kwa Chapanga minkeve saba ya zahabu yeyamemili ligoga la Chapanga, mweavi mumi magono goha gangali mwishu. (aiōn )
Huyo mnyama ambaye ulimwona, wakati fulani alikuwepo, lakini sasa hayupo, naye atapanda kutoka lile Shimo na kwenda kwenye maangamizo yake. Watu waishio duniani ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuumbwa kwa ulimwengu watastaajabu kumwona huyo mnyama, kwa maana alikuwepo wakati fulani, na sasa hayupo, lakini atakuwepo. (Abyssos )
Chinyama chikali cheuchiwene chavi wumi wa kadeni nambu hinu chifwili. Nambu gapipi yati chikwela kuhuma muligodi langali mwishu nambu yati chikomewa. Vevitama pamulima yati vikangasa, ena vandu voha vangayandikwa mahina gavi kutumbula muchitabu cha wumi wa mulima, yati vikangasa kuchilola chinyama penapo kadeni chavi mumi, kavili chafwili na hinu chihumila kangi! (Abyssos )
Wakasema tena kwa nguvu: “Haleluya! Moshi wake huyo kahaba unapanda juu milele na milele.” (aiōn )
Vakajova kavili, “Chapanga alumbiwa! Lyohi la motu weutinyisa muji wenuwo likwela mbaka kunani magono goha gangali mwishu!” (aiōn )
Lakini yule mnyama akakamatwa pamoja na huyo nabii wa uongo ambaye alikuwa amefanya ishara kwa niaba ya huyo mnyama, ambaye kwa ishara hizi aliwadanganya wale waliopokea chapa ya huyo mnyama na kuiabudu sanamu yake. Hawa wawili wakatupwa wakiwa hai ndani ya ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr )
Nambu chinyama chila chakamuliwi kwa makakala pamonga na yula mlota wa Chapanga wa udese mweikita ganchinamtiti palongolo yaki. Kwa gachinamtiti yeniyo avayagisi vala vevavi na ulangisu wa chinyama chila na vevagundamili chimong'omong'o chila. Chinyama chenicho pamonga na mlota wa udese vakatagwa kuni vavili mumi munyanja ya motu weumemili maganga ga baluti gegiyaka motu. (Limnē Pyr )
Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa ameshika ufunguo wa lile Shimo na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos )
Kangi naweni mtumu wa kunani kwa Chapanga, ihelela kuhuma kunani kwa Chapanga kuni akamwili muchiwoko chaki fungulu za ligodi langali mwishu na mnyololo uvaha. (Abyssos )
Akamtupa katika lile Shimo, akamfunga humo na kulitia lakiri, ili kumzuia asiendelee kudanganya mataifa mpaka hiyo miaka 1,000 itimie. Baada ya hayo lazima afunguliwe kwa muda mfupi. (Abyssos )
Mtumu wa kunani kwa Chapanga akalitaga liyoka lila kuligodi langali mwishu, akadinda mlyangu wa kuyingila kwenuko na kuvika chidindilu cha mnemu muni likoto kuvayagisa kavili vandu va milima yingi mbaka miyaka elufu yimonga payitimila. Nambu payimalika yiganikiwa lidinduliwayi kavili, nambu mulukumbi luhupi ndu. (Abyssos )
Naye ibilisi aliyewadanganya akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti walikokuwa wametupwa yule mnyama na yule nabii wa uongo. Watateswa humo usiku na mchana, milele na milele. (aiōn , Limnē Pyr )
Na Mhakau mweavayagisi vandu, akatagwa mugati ya nyanja yeyimemili maganga ga baluti gegiyaka motu, na mugati chavi chinyama chikali chila na yula mlota wa udese, na vene voha yati ving'aiswa muhi na kilu na magono goha gangali mwishu. (aiōn , Limnē Pyr )
Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake, nayo mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Kila mtu akahukumiwa kulingana na yale aliyoyatenda. (Hadēs )
Nyanja yavahumisi vandu vevafwili vevavi mugati yaki. Lifwa na mulima wa vandu vevafwili zavahumisi vandu vevafwili vevavi mugati yaki. Vahukumiwi kila mmonga ndava ya matendu gaki. (Hadēs )
Kisha mauti na Kuzimu zikatupwa katika ziwa la moto. Hii ndio mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto. (Hadēs , Limnē Pyr )
Kangi lifwa na ligodi litali langali mwishu vikatagwa mugati ya nyanja ya motu. Nyanja yeniyi ya motu ndi lifwa la pili. (Hadēs , Limnē Pyr )
Iwapo mtu jina lake halikuonekana katika kile kitabu cha uzima, alitupwa ndani ya lile ziwa la moto. (Limnē Pyr )
Ngati mundu yeyoha mweangayandikwa liina laki muchitabu cha wumi, yati itagiwi munyanja ya motu. (Limnē Pyr )
Lakini waoga, wasioamini, wachafu, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, pamoja na waongo wote, mahali pao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr )
Nambu vandu veviyogopa na vangasadika na vahakau na vakomaji na vakemi na vahavi na veviyupa chimong'omong'o, pamonga na vadese voha pandu pavi ndi panyanja yila yeyiyaka motu na maganga ga baluti gegiyaka motu, lenilo ndi lifwa la pili.” (Limnē Pyr )
Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, kwa maana Bwana Mungu atakuwa nuru yao, nao watatawala milele na milele. (aiōn )
Kilu yati yivya lepi kavili, mewa yati vigana lepi lumuli lwa hahi amala lilanga, muni Bambu Chapanga yati akuvalangasa, vene vilongosa ngati nkosi magono goha gangali mwishu. (aiōn )
“‘Ni miti ipi ya Edeni inayoweza kulinganishwa nawe kwa fahari na utukufu? Hata hivyo, wewe pia, utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni mpaka kuzimu, utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga. “‘Huyu ni Farao pamoja na makundi yake yote ya wajeuri, asema Bwana Mwenyezi.’” ()
“Mwanadamu, omboleza kwa ajili ya makundi ya wajeuri wa Misri na uwatupe kuzimu yeye na binti za mataifa yenye nguvu, waende huko pamoja nao washukao shimoni. ()
“Elamu yuko huko, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote wameuawa, wameanguka kwa upanga. Wote waliokuwa wameeneza hofu katika nchi ya walio hai walishuka kuzimu bila kutahiriwa. Wanaichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni. ()