< Nehemia 1 >

1 Maneno ya Nehemia mwana wa Hakalia: Katika mwezi wa Kisleu katika mwaka wa ishirini, wakati nilikuwa ngomeni katika jumba la kifalme la Shushani,
The wordis of Neemye, the sone of Helchie. And it was doon in the monethe Casleu, in the twentithe yeer, and Y was in the castel Susis;
2 Hanani, mmoja wa ndugu zangu, alikuja kutoka Yuda akiwa na watu wengine, nami nikawauliza kuhusu mabaki ya Wayahudi wale walionusurika kwenda uhamishoni na pia kuhusu Yerusalemu.
and Ananye, oon of my britheren, cam to me, he and men of Juda; and Y axide hem of the Jewis, that weren left, and weren alyue of the caitifte, and of Jerusalem.
3 Wakaniambia, “Wale walionusurika kwenda uhamishoni, wale ambao wamerudi kwenye lile jimbo, wako katika taabu kubwa na aibu. Ukuta wa Yerusalemu umebomoka, na malango yake yamechomwa moto.”
And thei seiden to me, Thei that `dwelliden, and ben left of the caitifte there in the prouynce, ben in greet turment, and in schenship; and the wal of Jerusalem is destried, and the yatis therof ben brent with fier.
4 Niliposikia mambo haya, niliketi, nikalia. Kwa siku kadhaa niliomboleza na kufunga na kuomba mbele za Mungu wa mbinguni.
And whanne Y hadde herd siche wordis, Y sat and wepte, and morenede many daies, and Y fastide, and preiede bifor the face of God of heuene;
5 Kisha nikasema: “Ee Bwana, Mungu wa mbinguni, mkuu na mwenye kuogofya, ambaye hulishika agano lake la upendo na wale wampendao na kutii amri zake,
and Y seide, Y biseche, Lord God of heuene, strong, greet, and ferdful, which kepist couenaunt and merci with hem, that louen thee, and kepen thin heestis;
6 tega masikio yako, na ufungue macho yako, ili usikie maombi ya mtumishi wako anayoomba mbele yako usiku na mchana kwa ajili ya watumishi wako, watu wa Israeli. Ninaungama dhambi zetu sisi Waisraeli, pamoja na zangu na za nyumba ya baba yangu, tulizotenda dhidi yako.
thin eere be maad herknynge, and thin iyen openyd, that thou here the preier of thi seruaunt, bi which Y preie bifor thee `to dai, bi nyyt and dai, for the sones of Israel, thi seruauntis, and `Y knouleche for the synnes of the sones of Israel, bi which thei han synned to thee; bothe Y and the hows of my fadir han synned; we weren disseyued bi vanyte,
7 Tumetenda uovu sana mbele zako. Hatukutii amri, maagizo na sheria ulizompa Mose mtumishi wako.
and we `kepten not `thi comaundement, and cerymonyes, and domes, which thou comaundidist to Moises, thi seruaunt.
8 “Kumbuka agizo ulilompa Mose mtumishi wako, ukisema, ‘Kama mkikosa uaminifu, nitawatawanya miongoni mwa mataifa,
Haue mynde of the word, which thou comaundidist to thi seruaunt Moises, and seidist, Whanne ye han trespassid, Y schal scatere you in to puplis;
9 lakini mkinirudia na kutii amri zangu, ndipo hata kama watu wenu walio uhamishoni wako mbali sana katika miisho ya dunia, nitawakusanya kutoka huko na kuwaleta mahali ambapo nimepachagua kuwa makao kwa ajili ya Jina langu.’
and if ye turnen ayen to me, that ye kepe myn heestis, and do tho, yhe, thouy ye ben led awei to the fertheste thingis of heuene, fro thennus Y schal gadere you togidere, and Y schal brynge you in to the place, which Y chees, that my name schulde dwelle there.
10 “Hawa ni watumishi wako na watu wako, uliowakomboa kwa nguvu zako kuu na mkono wako wenye nguvu.
And we ben thi seruauntis, and thi puple, whiche thou `ayen bouytist in thi greet strengthe, and in thi strong hond.
11 Ee Bwana, tega sikio lako na usikie maombi ya huyu mtumishi wako, na maombi ya watumishi wako wanaofurahia kuliheshimu Jina lako. Nipe leo, mimi mtumishi wako, mafanikio kwa kunipa kibali mbele ya mtu huyu.” Kwa maana nilikuwa mnyweshaji wa mfalme.
Lord, Y biseche, `thin eere be ententif to the preier of thi seruaunt, and to the preier of thi seruauntis, that wolen drede thi name; and dresse thi seruaunt to dai, and yiue thou merci to him bifor this man. For Y was the boteler of the kyng.

< Nehemia 1 >