< Nehemia 8 >
1 watu wote wakakusanyika kama mtu mmoja kwenye uwanja mbele ya Lango la Maji. Wakamwambia Ezra mwandishi alete Kitabu cha Sheria ya Mose, ambacho Bwana aliamuru kwa ajili ya Israeli.
Pilnam pum te tui vongka hmai kah toltung ah hlang pakhat bangla tingtun uh. Te vaengah cadaek Ezra te, “Moses kah olkhueng cabu te hang khuen, te nen ni BOEIPA loh Israel a uen,” a ti uh.
2 Basi katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba, kuhani Ezra akaleta Sheria mbele ya kusanyiko, ambamo walikuwamo wanaume, wanawake na watu wote walioweza kufahamu.
A hla rhih kah lamhmacuek hnin vaengah tah khosoih Ezra loh olkhueng te hlangping mikhmuh ah tongpa lamloh huta ham khaw, yaak ham aka yakming boeih taengah a phoe puei.
3 Akaisoma kwa sauti kubwa tangu mapambazuko mpaka adhuhuri, akiwa ameuelekea uwanja uliokuwa mbele ya Lango la Maji mbele ya wanaume, wanawake na wengine ambao waliweza kufahamu. Watu wote wakasikiliza kwa makini kile Kitabu cha Sheria.
Te lamkah te tui vongka hmai kah toltung imdan ah khopo lamloh khothun khovang hil a tae. tongpa neh huta neh aka yakming rhoek kah hmai neh olkhueng cabu dongla hna aka kaeng pilnam cungkuem ham a tae pah.
4 Mwandishi Ezra alikuwa amesimama juu ya jukwaa la miti lililojengwa kwa kusudi hilo. Karibu naye upande wa kuume alisimama Matithia, Shema, Anaya, Uria, Hilkia na Maaseya. Upande wake wa kushoto walikuwepo Pedaya, Mishaeli, Malkiya, Hashumu, Hashbadani, Zekaria na Meshulamu.
Te vaengah cadaek Ezra te olthui vaengah kah ham a dawn tlaang thing dongah pai. Anih taengah Mattithiah neh Shema, Anaiah neh Uriah, Hilkiah neh Maaseiah, a banvoei neh a bantang ah Pedaiah neh Mishael, Malkhiah neh Hashum, Hashbaddanah, Zekhariah neh Meshullam pai.
5 Ezra akakifungua kile kitabu. Watu wote waliweza kumwona kwa sababu alikuwa amesimama juu zaidi, naye alipokifungua watu wote wakasimama.
Ezra loh cabu te pilnam boeih kah mikhmuh ah a ong. Pilnam boeih so la om tih cabu a ong vaengah pilnam khaw boeih pai uh.
6 Ezra akamsifu Bwana, Mungu mkuu, nao watu wote wakainua mikono yao na kuitikia, “Amen! Amen!” Kisha wakasujudu na kumwabudu Bwana hali nyuso zao zikigusa ardhi.
Ezra loh boeilen Pathen BOEIPA te a uem vaengah pilnam pum loh a kut thueng neh, “Amen, Amen,” tila a doo uh. Te phoeiah a tal te diklai la a buluk uh tih BOEIPA te a bawk uh.
7 Watu wakiwa wamesimama pale, Walawi wafuatao waliwafunza ile Sheria: Yeshua, Bani, Sherebia, Yamini, Akubu, Shabethai, Hodia, Maaseya, Kelita, Azaria, Yozabadi, Hanani na Pelaya.
Jeshua, Bani, Sherebiah, Jamin, Akkub, Shabbethai, Hodiah, Maaseiah, Kelita, Azariah, Jozabad, Hanan, Pelaiah neh amih Levi rhoek loh olkhueng te pilnam taengah a thuicaih pah. Te vaengah pilnam tah amamih paihmuen ah paiuh.
8 Walisoma kutoka kile Kitabu cha Sheria ya Mungu, wakiifafanua na kuwapa maelezo ili watu waweze kufahamu kile kilichokuwa kikisomwa.
Pathen kah olkhueng cabu lamkah te puk a tae uh tih lungmingnah khaw a paek dongah tingtunnah ham khaw a yakming uh.
9 Ndipo Nehemia aliyekuwa mtawala, Ezra kuhani na mwandishi, pamoja na Walawi waliokuwa wakiwafundisha watu wakawaambia wote, “Siku hii ni takatifu kwa Bwana Mungu wenu. Msiomboleze wala msilie.” Kwa kuwa watu wote walikuwa wakilia walipokuwa wakisikiliza maneno ya ile Sheria.
Te vaengah tongmang boei Nehemiah amah neh khosoih cadaek Ezra, pilnam ham aka thuicaih Levi rhoek loh pilnam boeih taengah, “Na Pathen BOEIPA kah khohnin cim ah he nguekcoi uh boeh, rhap uh boeh. Olkhueng ol a yaak vanbangla pilnam boeih rhap coeng,” a ti nah.
10 Nehemia akasema, “Nendeni mkafurahie chakula kizuri na vinywaji vitamu, na mpeleke sehemu kwa wale ambao hawana chochote cha kula. Siku hii ni takatifu kwa Bwana. Msihuzunike, kwa kuwa furaha ya Bwana ni nguvu zenu.”
Amih te, “Cet uh, buhtha te ca uh lamtah didip tui khaw o uh. Mamih Boeipa kah khohnin he a cim dongah maehvae te a taengah aka sikim pawt taengah thak uh. BOEIPA kah kohoenah he nangmih kah lunghim la a om dongah kothae sak uh boeh.
11 Walawi wakawatuliza watu wote wakisema, “Kuweni watulivu, kwa kuwa hii ni siku takatifu. Msihuzunike.”
Aka ngam Levi rhoek long khaw pilnam boeih taengah, “Saah lah, khohnin cim ni, na kothae sak uh boeh,” a ti nah.
12 Kisha watu wote wakaondoka kwenda kula na kunywa, na kupeana sehemu ya chakula, na wakaadhimisha kwa furaha kubwa, kwa sababu sasa walifahamu maneno yale waliyokuwa wameelezwa.
Amih taengah a thuicaih pah ol te a yakming uh coeng dongah tah pilnam pum te caak ham neh ok hamla, maehvae tael hamla, kohoenah len saii hamla cet uh.
13 Katika siku ya pili ya mwezi, wakuu wa mbari zote, pamoja na makuhani na Walawi, walikusanyika wakimzunguka Ezra mwandishi ili wapate kusikiliza kwa makini maneno ya Sheria.
A hnin bae dongah tah pilnam pum kah a napa boeilu rhoek, khosoih rhoek neh Levi rhoek tah cadaek Ezra taengah olkhueng ol dongah lungming la om ham tingtun uh.
14 Wakakuta imeandikwa katika ile Sheria, ambayo Bwana aliiamuru kupitia kwa Mose, kwamba Waisraeli walipaswa kukaa katika vibanda wakati wa sikukuu ya mwezi wa saba,
Te vaengah, 'Israel ca he hla rhih vaengkah khotue ah dungtlungim khuiah khosa saeh,’ tila BOEIPA loh Moses kut ah a uen tih olkhueng khuiah a daek te a hmuh uh.
15 na kwamba walipaswa kutangaza neno hili na kulieneza katika miji yao na katika Yerusalemu wakisema: “Enendeni katika nchi ya mlima na kuleta matawi kutoka miti ya mizeituni, mizeituni mwitu, mihadasi, mitende na miti ya kivuli, ili kutengeneza vibanda,” kama ilivyoandikwa.
Te dongah amamih kho takuem ah a yaak sak uh tih ol a haeh uh. Jerusalem ah khaw, “Tlang la cet uh lamtah olive hnah, situi thing hnah, cuihal hnah, rhophoe hnah neh thing hnah aka bu te lo uh. A daek bangla dungtlungim saii ham om,” a ti nah.
16 Basi watu wakaenda na kuleta matawi, nao wakajijengea vibanda juu ya paa za nyumba zao, katika nyua zao, katika nyua za nyumba ya Mungu, na katika uwanja karibu na Lango la Maji na uwanja wa Lango la Efraimu.
Pilnam te cet tih a khuen phoeiah tah amamih ham dungtlungim te a imphu ah khaw, a vongup ah khaw, Pathen im kah vongup ah khaw, tui vongka kah toltung ah khaw, Ephraim vongka kah toltung ah khaw rhip a saii uh.
17 Jamii yote ya watu waliorudi kutoka utumwani wakajenga vibanda na kuishi ndani yake. Tangu wakati wa Yoshua mwana wa Nuni mpaka siku ile, Waisraeli hawakuwahi kuiadhimisha namna hii. Furaha yao ilikuwa kubwa sana.
Tamna lamkah aka mael hlangping boeih long khaw dungtlungim a saii uh tih dungtlungim ah kho a sak uh. Nun capa Jeshua tue lamloh te khohnin hil Israel ca rhoek loh ana saii moenih. Te dongah kohoenah khaw muep om khungdaeng mai.
18 Siku baada ya siku, kuanzia siku ya kwanza hadi ya mwisho, Ezra alisoma kutoka kwenye kile Kitabu cha Sheria ya Mungu. Wakaiadhimisha sikukuu ile kwa siku saba, nayo siku ya nane, kufuatana na maagizo, kulikuwa na kusanyiko maalum.
Pathen kah olkhueng cabu te a hnin, hnin ah a tongcuek hnin lamloh a bawt hnin hil a tae pah. Khotue te hnin rhih a saii uh tih a hnin rhet dongah tah a khosing bangla pahong uh.