< Nehemia 7 >
1 Baada ya ukuta kukamilika kujengwa upya na nikaweka milango, mabawabu wa lango, waimbaji, na Walawi waliteuliwa.
Una vez reconstruida la muralla y levantadas las puertas, nombré a los porteros, a los cantores y a los levitas.
2 Nikamweka Hanani ndugu yangu kuwa kiongozi wa Yerusalemu, pamoja na Hanania jemadari wa ngome, kwa kuwa alikuwa mtu mwadilifu na mwenye kumcha Mungu kuliko watu wengine.
Puse a mi hermano Hanani a cargo de Jerusalén, junto con Hananías, el comandante de la fortaleza, porque era un hombre honesto que respetaba a Dios más que muchos otros.
3 Nikawaambia, “Malango ya Yerusalemu yasifunguliwe mpaka jua litakapokuwa limepanda. Walinzi wa malango wakiwa bado kwenye zamu, waamuru wafunge milango na waweke makomeo. Pia wateueni wenyeji wa Yerusalemu wawe walinzi, kila mmoja kwenye lindo lake, na wengine karibu na nyumba zao wenyewe.”
Les dije: “No permitan que se abran las puertas de Jerusalén hasta que el sol esté caliente, y asegúrate de que los guardias cierren y echen el cerrojo a las puertas mientras estén de servicio. Nombra a algunos de los habitantes de Jerusalén como guardias, para que estén en sus puestos, frente a sus propias casas”.
4 Mji ulikuwa mkubwa, tena wenye nafasi nyingi, lakini walikuwepo watu wachache ndani yake, nazo nyumba zilikuwa bado ni magofu.
En aquellos tiempos la ciudad era grande y con mucho espacio, pero no había mucha gente en ella, y las casas no habían sido reconstruidas.
5 Hivyo Mungu wangu akaweka moyoni mwangu kuwakusanya wakuu, maafisa na watu wa kawaida kwa ajili ya kuorodheshwa kulingana na jamaa zao. Nilikuta orodha ya vizazi ya wale waliokuwa wa kwanza kurudi toka utumwani. Haya ndiyo niliyokuta yameandikwa humo:
Mi Dios me animó a que todos -los nobles, los funcionarios y el pueblo- vinieran a registrarse según su genealogía familiar. Encontré el registro genealógico de los que habían regresado primero. Esto es lo que descubrí escrito allí.
6 Hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
Esta es una lista de la gente de la provincia que regresó del cautiverio. Estos eran los exiliados que habían sido llevados a Babilonia por el rey Nabucodonosor. Regresaron a Jerusalén y a Judá, a sus ciudades de origen.
7 wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispereti, Bigwai, Nehumu na Baana): Orodha ya wanaume wa Israeli ilikuwa:
Estaban dirigidos por Zorobabel, Jesúa, Nehemías, Azarías, Raamías, Nahamani, Mardoqueo, Bilsán, Misperet, Bigvai, Nehum y Baana. Este es el número de hombres del pueblo de Israel:
Los hijos de Paros, 2.172;
los hijos de Sefatías, 372;
11 wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,818
los hijos de Pahat-moab, (los hijos de Jesúa y Joab), 2.818;
los hijos de Elam, 1.254;
los hijos de Azgad, 2.322;
18 wazao wa Adonikamu 667
los hijos de Adonicam, 667;
los hijos de Bigvai, 2.067.
21 wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
Los hijos de Ater, (hijos de Ezequías), 98;
26 watu wa Bethlehemu na Netofa 188
el pueblo de Belén y Netofa, 188;
el pueblo de Anatot, 128;
28 watu wa Beth-Azmawethi 42
el pueblo de Bet-azmavet 42;
29 watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
el pueblo de Quiriat-jearim, Cafira y Beerot, 743;
30 watu wa Rama na Geba 621
el pueblo de Ramá y Geba, 621;
el pueblo de Micmas, 122;
32 watu wa Betheli na Ai 123
el pueblo de Bet-el y Ai, 123;
el pueblo del otro Nebo, 52;
los hijos del otro Elam, 1.254;
los hijos de Jericó, 345;
37 wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 721
los hijos de Lod, Hadid y Ono, 721;
los hijos de Senaa, 3.930.
39 Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
Este es el número de los sacerdotes: los hijos de Jedaías (por la familia de Jesúa), 973;
los hijos de Imer, 1.052;
41 wazao wa Pashuri 1,247
los hijos de Pasur, 1.247;
los hijos de Harim, 1.017.
43 Walawi: wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia) 74
Este es el número de los levitas: los hijos de Jesúa por Cadmiel (hijos de Hodavías), 74;
44 Waimbaji: wazao wa Asafu 148
los cantores de los hijos de Asaf, 148;
45 Mabawabu wa malango: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 138
los porteros de las familias de Salum, Ater, Talmón, Acub, Hatita y Sobai, 138.
46 Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
Los descendientes de estos servidores del Templo: Ziha, Hasufa, Tabaot,
47 wazao wa Kerosi, Sia, Padoni,
Queros, Sia, Padón,
48 wazao wa Lebana, Hagaba, Shalmai,
Lebana, Hagaba, Salmai,
49 wazao wa Hanani, Gideli, Gahari,
Hanán, Gidel, Gahar,
50 wazao wa Reaya, Resini, Nekoda,
Reaía, Rezín, Necoda,
51 wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,
Gazam, Uza, Paseah,
52 wazao wa Besai, Meunimu, Nefusimu,
Besai, Mehunim, Nefusim,
53 wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
Bacbuc, Hacufa, Harhur,
54 wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
Bazlut, Mehída, Harsa,
55 wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
Barcos, Sísara, Tema,
56 wazao wa Nesia na Hatifa.
Nezía, y Hatifa.
57 Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,
Los descendientes de los siervos del rey Salomón: Sotai, Soferet, Perida,
58 wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
Jaala, Darcón, Gidel,
59 wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Amoni.
Sefatías, Hatil, Poqueret-hazebaim y Amón.
60 Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
El total de los siervos del Templo y de los descendientes de los siervos de Salomón era de 392.
61 Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
Los que procedían de las ciudades de Tel-mela, Tel-Harsa, Querub, Addán e Imer no podían demostrar su genealogía familiar, ni siquiera que eran descendientes de Israel.
62 wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 642
Entre ellos estaban las familias de Delaía, Tobías y Necoda, 642 en total.
63 Na kutoka miongoni mwa makuhani: wazao wa Hobaya, Hakosi na Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
Además había tres familias sacerdotales, hijos de Habaía, Cos y Barzilai. (Barzilai se había casado con una mujer descendiente de Barzilai de Galaad, y se llamaba por ese nombre).
64 Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani, kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
Se buscó un registro de ellos en las genealogías, pero no se encontraron sus nombres, por lo que se les prohibió servir como sacerdotes.
65 Kwa hiyo, mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
El gobernador les ordenó que no comieran nada de los sacrificios del santuario hasta que un sacerdote pudiera preguntar al Señor sobre el asunto utilizando el Urim y el Tumim.
66 Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
El total de personas que regresaron fue de 42.360.
67 tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 245.
Además había 7.337 sirvientes y 245 cantores y cantoras.
68 Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245
Tenían 736 caballos, 245 mulas,
69 ngamia 435 na punda 6,720.
435 camellos y 6.720 burros.
70 Baadhi ya viongozi wa jamaa walichangia kazi ya ujenzi. Mtawala alikabidhi kwenye hazina darkoni 1,000 za dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 kwa ajili ya makuhani.
Algunos de los jefes de familia hicieron contribuciones voluntarias para el trabajo. El gobernador entregó a la tesorería 1.000 dáricos de oro, 50 cuencos y 530 conjuntos de ropa para los sacerdotes.
71 Baadhi ya viongozi wa jamaa walikabidhi kwenye hazina darkoni 20,000 za dhahabu, na mane 2,200 za fedha kwa ajili ya kazi hiyo.
Algunos de los jefes de familia donaron al tesoro para la obra 20.000 dáricos de oro y 2.200 minas de plata.
72 Jumla ya matoleo ya watu wengine yalikuwa ni darkoni 20,000 za dhahabu, mane 2,000 za fedha, na mavazi sitini na saba ya makuhani.
El resto del pueblo donó 20.000 dáricos de oro, 2.000 minas de plata y 67 conjuntos de ropa para los sacerdotes.
73 Makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji na watumishi wa Hekalu, pamoja na baadhi ya watu wengine na Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao wenyewe. Ilipotimia miezi saba, nao Waisraeli wakiwa tayari wanaishi katika miji yao,
Los sacerdotes, los levitas, los porteros, los cantores y los servidores del Templo, así como parte del pueblo y el resto de los israelitas, volvieron a vivir en sus pueblos específicos. En el séptimo mes los israelitas vivían en sus pueblos,