< Nehemia 7 >

1 Baada ya ukuta kukamilika kujengwa upya na nikaweka milango, mabawabu wa lango, waimbaji, na Walawi waliteuliwa.
Postquam autem ædificatus est murus, et posui valvas, et recensui ianitores, et cantores, et Levitas:
2 Nikamweka Hanani ndugu yangu kuwa kiongozi wa Yerusalemu, pamoja na Hanania jemadari wa ngome, kwa kuwa alikuwa mtu mwadilifu na mwenye kumcha Mungu kuliko watu wengine.
præcepi Hanani fratri meo, et Hananiæ principi domus de Ierusalem (ipse enim quasi vir verax et timens Deum plus ceteris videbatur)
3 Nikawaambia, “Malango ya Yerusalemu yasifunguliwe mpaka jua litakapokuwa limepanda. Walinzi wa malango wakiwa bado kwenye zamu, waamuru wafunge milango na waweke makomeo. Pia wateueni wenyeji wa Yerusalemu wawe walinzi, kila mmoja kwenye lindo lake, na wengine karibu na nyumba zao wenyewe.”
et dixi eis: Non aperiantur portæ Ierusalem usque ad calorem solis. Cumque adhuc assisterent, clausæ portæ sunt, et oppilatæ: et posui custodes de habitatoribus Ierusalem, singulos per vices suas, et unumquemque contra domum suam.
4 Mji ulikuwa mkubwa, tena wenye nafasi nyingi, lakini walikuwepo watu wachache ndani yake, nazo nyumba zilikuwa bado ni magofu.
Civitas autem erat lata nimis et grandis, et populus parvus in medio eius, et non erant domus ædificatæ.
5 Hivyo Mungu wangu akaweka moyoni mwangu kuwakusanya wakuu, maafisa na watu wa kawaida kwa ajili ya kuorodheshwa kulingana na jamaa zao. Nilikuta orodha ya vizazi ya wale waliokuwa wa kwanza kurudi toka utumwani. Haya ndiyo niliyokuta yameandikwa humo:
Deus autem dedit in corde meo, et congregavi optimates, et magistratus, et vulgus, ut recenserem eos: et inveni librum census eorum, qui ascenderant primum, et inventum est scriptum in eo.
6 Hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
Isti filii provinciæ, qui ascenderunt de captivitate migrantium, quos transtulerat Nabuchodonosor rex Babylonis, et reversi sunt in Ierusalem, et in Iudæam, unusquisque in civitatem suam.
7 wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispereti, Bigwai, Nehumu na Baana): Orodha ya wanaume wa Israeli ilikuwa:
Qui venerunt cum Zorobabel, Iosue, Nehemias, Azarias, Raamias, Nahamani, Mardochæus, Belsam, Mespharath, Begoai, Nahum, Baana. Numerus virorum populi Israel:
8 wazao wa Paroshi 2,172
Filii Pharos, duo millia centum septuaginta duo:
9 wazao wa Shefatia 372
Filii Saphatia, trecenti septuaginta duo:
10 wazao wa Ara 652
Filii Area, sexcenti quinquaginta duo:
11 wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,818
Filii Phahathmoab filiorum Iosue et Ioab, duo millia octingenti decem et octo:
12 wazao wa Elamu 1,254
Filii Ælam, mille ducenti quinquagintaquattuor:
13 wazao wa Zatu 845
Filii Zethua, octingenti quadragintaquinque:
14 wazao wa Zakai 760
Filii Zachai, septingenti sexaginta:
15 wazao wa Binui 648
Filii Bannui, sexcenti quadragintaocto:
16 wazao wa Bebai 628
Filii Bebai, sexcenti vigintiocto:
17 wazao wa Azgadi 2,322
Filii Azgad, duo millia trecenti vigintiduo:
18 wazao wa Adonikamu 667
Filii Adonicam, sexcenti sexagintaseptem:
19 wazao wa Bigwai 2,067
Filii Beguai, duo millia sexagintaseptem:
20 wazao wa Adini 655
Filii Adin, sexcenti quinquagintaquinque:
21 wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
Filii Ater, filii Hezeciæ, nonagintaocto:
22 wazao wa Hashumu 328
Filii Hasem, trecenti vigintiocto:
23 wazao wa Besai 324
Filii Besai, trecenti vigintiquattuor:
24 wazao wa Harifu 112
Filii Hareph, centum duodecim:
25 wazao wa Gibeoni 95
Filii Gabaon, nonagintaquinque:
26 watu wa Bethlehemu na Netofa 188
Filii Bethlehem, et Netupha, centum octogintaocto.
27 watu wa Anathothi 128
Viri Anathoth, centum vigintiocto.
28 watu wa Beth-Azmawethi 42
Viri Bethazmoth, quadragintaduo.
29 watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
Viri Cariathiarim, Cephira, et Beroth, septingenti quadragintatres.
30 watu wa Rama na Geba 621
Viri Rama et Geba, sexcenti vigintiunus.
31 watu wa Mikmashi 122
Viri Machmas, centum vigintiduo.
32 watu wa Betheli na Ai 123
Viri Bethel et Hai, centum vigintitres.
33 watu wa Nebo 52
Viri Nebo alterius, quinquagintaduo.
34 wazao wa Elamu 1,254
Viri Ælam alterius, mille ducenti quinquagintaquattuor.
35 wazao wa Harimu 320
Filii Harem, trecenti viginti.
36 wazao wa Yeriko 345
Filii Iericho, trecenti quadragintaquinque.
37 wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 721
Filii Lod Hadid et Ono, septingenti vigintiunus.
38 wazao wa Senaa 3,930
Filii Senaa, tria millia nongenti triginta.
39 Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
Sacerdotes: Filii Idaia in domo Iosue, nongenti septuagintatres.
40 wazao wa Imeri 1,052
Filii Emmer, mille quinquagintaduo.
41 wazao wa Pashuri 1,247
Filii Phashur, mille ducenti quadragintaseptem.
42 wazao wa Harimu 1,017
Filii Arem, mille decem et septem. Levitæ:
43 Walawi: wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia) 74
Filii Iosue et Cedmihel filiorum
44 Waimbaji: wazao wa Asafu 148
Oduiæ, septuagintaquattuor. Cantores:
45 Mabawabu wa malango: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 138
Filii Asaph, centum quadragintaocto.
46 Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
Ianitores: filii Sellum, filii Ater, filii Telmon, filii Accub, filii Hatita, filii Sobai: centum trigintaocto.
47 wazao wa Kerosi, Sia, Padoni,
Nathinæi: filii Soha, filii Hasupha, filii Tebbaoth,
48 wazao wa Lebana, Hagaba, Shalmai,
filii Ceros, filii Siaa, filii Phadon, filii Lebana, filii Hagaba, filii Selmai,
49 wazao wa Hanani, Gideli, Gahari,
filii Hanan, filii Geddel, filii Gaher,
50 wazao wa Reaya, Resini, Nekoda,
filii Raaia, filii Rasin, filii Necoda,
51 wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,
filii Gezem, filii Aza, filii Phasea,
52 wazao wa Besai, Meunimu, Nefusimu,
filii Besai, filii Munim, filii Nephussim,
53 wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
filii Bacbuc, filii Hacupha, filii Harhur,
54 wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
filii Besloth, filii Mahida, filii Harsa,
55 wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
filii Bercos, filii Sisara, filii Thema,
56 wazao wa Nesia na Hatifa.
filii Nasia, filii Hatipha,
57 Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,
filii servorum Salomonis, filii Sothai, filii Sophereth, filii Pharida,
58 wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
filii Iahala, filii Darcon, filii Ieddel,
59 wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Amoni.
filii Saphatia, filii Hatil, filii Phochereth, qui erat ortus ex Sabaim, filio Amon.
60 Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
Omnes Nathinæi, et filii servorum Salomonis, trecenti nonagintaduo.
61 Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
Hi sunt autem, qui ascenderunt de Thelmela, Thelharsa, Cherub, Addon, et Emmer: et non potuerunt indicare domum patrum suorum, et semen suum, utrum ex Israel essent.
62 wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 642
Filii Dalaia, filii Tobia, filii Necoda, sexcenti quadragintaduo.
63 Na kutoka miongoni mwa makuhani: wazao wa Hobaya, Hakosi na Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
Et de Sacerdotibus, filii Habia, filii Accos, filii Berzellai, qui accepit de filiabus Berzellai Galaaditis uxorem: et vocatus est nomine eorum.
64 Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani, kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
Hi quæsierunt scripturam suam in censu, et non invenerunt: et eiecti sunt de sacerdotio.
65 Kwa hiyo, mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
Dixitque Athersatha eis ut non manducarent de Sanctis sanctorum, donec staret Sacerdos doctus et eruditus.
66 Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
Omnis multitudo quasi vir unus quadragintaduo millia trecenti sexaginta,
67 tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 245.
absque servis et ancillis eorum, qui erant septem millia trecenti trigintaseptem, et inter eos cantores, et cantatrices, ducenti quadragintaquinque.
68 Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245
Equi eorum, septingenti trigintasex: muli eorum, ducenti quadragintaquinque:
69 ngamia 435 na punda 6,720.
cameli eorum, quadringenti trigintaquinque: asini, sex millia septingenti viginti.
70 Baadhi ya viongozi wa jamaa walichangia kazi ya ujenzi. Mtawala alikabidhi kwenye hazina darkoni 1,000 za dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 kwa ajili ya makuhani.
Nonnulli autem de principibus familiarum dederunt in opus. Athersatha dedit in thesaurum auri drachmas mille, phialas quinquaginta, tunicas sacerdotales quingentas triginta.
71 Baadhi ya viongozi wa jamaa walikabidhi kwenye hazina darkoni 20,000 za dhahabu, na mane 2,200 za fedha kwa ajili ya kazi hiyo.
Et de principibus familiarum dederunt in thesaurum operis auri drachmas viginti millia, et argenti mnas duo millia ducentas.
72 Jumla ya matoleo ya watu wengine yalikuwa ni darkoni 20,000 za dhahabu, mane 2,000 za fedha, na mavazi sitini na saba ya makuhani.
Et quod dedit reliquus populus, auri drachmas viginti millia, et argenti mnas duo millia, et tunicas sacerdotales sexagintaseptem.
73 Makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji na watumishi wa Hekalu, pamoja na baadhi ya watu wengine na Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao wenyewe. Ilipotimia miezi saba, nao Waisraeli wakiwa tayari wanaishi katika miji yao,
Habitaverunt autem Sacerdotes, et Levitæ, et ianitores, et cantores, et reliquum vulgus, et Nathinæi, et omnis Israel in civitatibus suis.

< Nehemia 7 >