< Nehemia 7 >
1 Baada ya ukuta kukamilika kujengwa upya na nikaweka milango, mabawabu wa lango, waimbaji, na Walawi waliteuliwa.
Or il arriva, quand la muraille fut bâtie et que j’eus posé les battants [des portes], qu’on établit dans leurs emplois les portiers, et les chantres, et les lévites.
2 Nikamweka Hanani ndugu yangu kuwa kiongozi wa Yerusalemu, pamoja na Hanania jemadari wa ngome, kwa kuwa alikuwa mtu mwadilifu na mwenye kumcha Mungu kuliko watu wengine.
Et je chargeai du gouvernement de Jérusalem Hanani, mon frère, et Hanania, chef du château fort; car c’était un homme fidèle, et il craignait Dieu, plus que beaucoup [d’autres];
3 Nikawaambia, “Malango ya Yerusalemu yasifunguliwe mpaka jua litakapokuwa limepanda. Walinzi wa malango wakiwa bado kwenye zamu, waamuru wafunge milango na waweke makomeo. Pia wateueni wenyeji wa Yerusalemu wawe walinzi, kila mmoja kwenye lindo lake, na wengine karibu na nyumba zao wenyewe.”
et je leur dis que les portes de Jérusalem ne devaient pas être ouvertes avant que le soleil ne soit chaud, et qu’on devait fermer les battants [des portes] pendant qu’ils étaient là, et mettre les barres, et qu’on devait placer des gardes d’entre les habitants de Jérusalem, chacun à son poste, et chacun devant sa maison.
4 Mji ulikuwa mkubwa, tena wenye nafasi nyingi, lakini walikuwepo watu wachache ndani yake, nazo nyumba zilikuwa bado ni magofu.
Or la ville était spacieuse et grande, mais le peuple peu nombreux au milieu d’elle, et il n’y avait point de maisons bâties.
5 Hivyo Mungu wangu akaweka moyoni mwangu kuwakusanya wakuu, maafisa na watu wa kawaida kwa ajili ya kuorodheshwa kulingana na jamaa zao. Nilikuta orodha ya vizazi ya wale waliokuwa wa kwanza kurudi toka utumwani. Haya ndiyo niliyokuta yameandikwa humo:
Et mon Dieu me mit au cœur de rassembler les nobles et les chefs, et le peuple, pour les enregistrer par généalogies. Et je trouvai le registre généalogique de ceux qui étaient montés au commencement, et j’y trouvai écrit:
6 Hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
Voici ceux de la province qui remontèrent de la captivité de ceux qui avaient été transportés, lesquels Nebucadnetsar, roi de Babylone, avait transportés, et qui retournèrent à Jérusalem et en Juda, chacun à sa ville,
7 wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispereti, Bigwai, Nehumu na Baana): Orodha ya wanaume wa Israeli ilikuwa:
ceux qui vinrent avec Zorobabel, Jéshua, Néhémie, Azaria, Raamia, Nakhamani, Mardochée, Bilshan, Mispéreth, Bigvaï, Nehum, [et] Baana. Nombre des hommes du peuple d’Israël:
Les fils de Parhosh, 2 172;
les fils de Shephatia, 372;
11 wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,818
les fils de Pakhath-Moab, des fils de Jéshua et de Joab, 2 818;
18 wazao wa Adonikamu 667
les fils d’Adonikam, 667;
les fils de Bigvaï, 2 067;
21 wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
les fils d’Ater, [de la famille] d’Ézéchias, 98;
26 watu wa Bethlehemu na Netofa 188
les hommes de Bethléhem et de Netopha, 188;
les hommes d’Anathoth, 128;
28 watu wa Beth-Azmawethi 42
les hommes de Beth-Azmaveth, 42;
29 watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
les hommes de Kiriath-Jéarim, de Kephira et de Beéroth, 743;
30 watu wa Rama na Geba 621
les hommes de Rama et de Guéba, 621;
les hommes de Micmas, 122;
32 watu wa Betheli na Ai 123
les hommes de Béthel et d’Aï, 123;
les hommes de l’autre Nebo, 52;
les fils de l’autre Élam, 1 254;
les fils de Jéricho, 345;
37 wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 721
les fils de Lod, de Hadid et d’Ono, 721;
les fils de Senaa, 3 930.
39 Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
Sacrificateurs: les fils de Jedahia, de la maison de Jéshua, 973;
41 wazao wa Pashuri 1,247
les fils de Pashkhur, 1 247;
les fils de Harim, 1 017.
43 Walawi: wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia) 74
Lévites: les fils de Jéshua [et] de Kadmiel, d’entre les fils d’Hodva, 74.
44 Waimbaji: wazao wa Asafu 148
Chantres: les fils d’Asaph, 148.
45 Mabawabu wa malango: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 138
Portiers: les fils de Shallum, les fils d’Ater, les fils de Talmon, les fils d’Akkub, les fils de Hatita, les fils de Shobaï, 138.
46 Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
Nethiniens: les fils de Tsikha, les fils de Hasupha, les fils de Tabbaoth,
47 wazao wa Kerosi, Sia, Padoni,
les fils de Kéros, les fils de Sia, les fils de Padon,
48 wazao wa Lebana, Hagaba, Shalmai,
les fils de Lebana, les fils de Hagaba, les fils de Sçalmaï,
49 wazao wa Hanani, Gideli, Gahari,
les fils de Hanan, les fils de Guiddel, les fils de Gakhar,
50 wazao wa Reaya, Resini, Nekoda,
les fils de Reaïa, les fils de Retsin, les fils de Nekoda,
51 wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,
les fils de Gazzam, les fils d’Uzza, les fils de Paséakh,
52 wazao wa Besai, Meunimu, Nefusimu,
les fils de Bésaï, les fils de Meünim, les fils de Nephissim,
53 wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
les fils de Bakbuk, les fils de Hakupha, les fils de Harkhur,
54 wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
les fils de Batslith, les fils de Mekhida, les fils de Harsha,
55 wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
les fils de Barkos, les fils de Sisera, les fils de Thamakh,
56 wazao wa Nesia na Hatifa.
les fils de Netsiakh, les fils de Hatipha.
57 Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,
Fils des serviteurs de Salomon: les fils de Sotaï, les fils de Sophéreth, les fils de Perida,
58 wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
les fils de Jaala, les fils de Darkon, les fils de Guiddel,
59 wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Amoni.
les fils de Shephatia, les fils de Hattil, les fils de Pokéreth-Hatsebaïm, les fils d’Amon.
60 Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
Tous les Nethiniens et les fils des serviteurs de Salomon, 392.
61 Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
Et voici ceux qui montèrent de Thel-Mélakh, de Thel-Harsha, de Kerub-Addon, et d’Immer; mais ils ne purent pas montrer leurs maisons de pères et leur descendance, s’ils étaient d’Israël:
62 wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 642
les fils de Delaïa, les fils de Tobija, les fils de Nekoda, 642;
63 Na kutoka miongoni mwa makuhani: wazao wa Hobaya, Hakosi na Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
et des sacrificateurs, les fils de Hobaïa, les fils d’Hakkots, les fils de Barzillaï, qui prit une femme d’entre les filles de Barzillaï, le Galaadite, et fut appelé de leur nom.
64 Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani, kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
Ceux-ci cherchèrent leur inscription généalogique, mais elle ne se trouva pas; et ils furent exclus, comme profanes, de la sacrificature.
65 Kwa hiyo, mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
Et le Thirshatha leur dit qu’ils ne devaient point manger des choses très saintes, jusqu’à ce que soit suscité le sacrificateur avec les urim et les thummim.
66 Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
Toute la congrégation réunie était de 42 360 [personnes],
67 tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 245.
sans compter leurs serviteurs et leurs servantes; ceux-ci [étaient au nombre de] 7 337; et parmi eux, il y avait 245 chanteurs et chanteuses.
68 Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245
Ils avaient 736 chevaux, 245 mulets,
69 ngamia 435 na punda 6,720.
435 chameaux, [et] 6720 ânes.
70 Baadhi ya viongozi wa jamaa walichangia kazi ya ujenzi. Mtawala alikabidhi kwenye hazina darkoni 1,000 za dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 kwa ajili ya makuhani.
Et une partie des chefs des pères firent des dons pour l’œuvre. Le Thirshatha donna au trésor 1000 dariques d’or, 50 bassins, 530 tuniques de sacrificateurs.
71 Baadhi ya viongozi wa jamaa walikabidhi kwenye hazina darkoni 20,000 za dhahabu, na mane 2,200 za fedha kwa ajili ya kazi hiyo.
Et des chefs des pères donnèrent au trésor de l’œuvre 20000 dariques d’or et 2200 mines d’argent.
72 Jumla ya matoleo ya watu wengine yalikuwa ni darkoni 20,000 za dhahabu, mane 2,000 za fedha, na mavazi sitini na saba ya makuhani.
Et ce que donna le reste du peuple fut 20000 dariques d’or, et 2000 mines d’argent, et 67 tuniques de sacrificateurs.
73 Makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji na watumishi wa Hekalu, pamoja na baadhi ya watu wengine na Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao wenyewe. Ilipotimia miezi saba, nao Waisraeli wakiwa tayari wanaishi katika miji yao,
Et les sacrificateurs, et les lévites, et les portiers, et les chantres, et ceux du peuple, et les Nethiniens, et tout Israël, habitèrent dans leurs villes. Et quand arriva le septième mois, les fils d’Israël étaient dans leurs villes.