< Nehemia 7 >
1 Baada ya ukuta kukamilika kujengwa upya na nikaweka milango, mabawabu wa lango, waimbaji, na Walawi waliteuliwa.
and to be like/as as which to build [the] wall and to stand: stand [the] door and to reckon: overseer [the] gatekeeper and [the] to sing and [the] Levi
2 Nikamweka Hanani ndugu yangu kuwa kiongozi wa Yerusalemu, pamoja na Hanania jemadari wa ngome, kwa kuwa alikuwa mtu mwadilifu na mwenye kumcha Mungu kuliko watu wengine.
and to command [obj] Hanani brother: male-sibling my and [obj] Hananiah ruler [the] palace upon Jerusalem for he/she/it like/as man truth: faithful and to fear: revere [obj] [the] God from many
3 Nikawaambia, “Malango ya Yerusalemu yasifunguliwe mpaka jua litakapokuwa limepanda. Walinzi wa malango wakiwa bado kwenye zamu, waamuru wafunge milango na waweke makomeo. Pia wateueni wenyeji wa Yerusalemu wawe walinzi, kila mmoja kwenye lindo lake, na wengine karibu na nyumba zao wenyewe.”
(and to say *Q(K)*) to/for them not to open gate Jerusalem till to warm [the] sun and till they(masc.) to stand: appoint to shut [the] door and to grasp and to stand: appoint charge to dwell Jerusalem man: anyone in/on/with custody his and man: anyone before house: home his
4 Mji ulikuwa mkubwa, tena wenye nafasi nyingi, lakini walikuwepo watu wachache ndani yake, nazo nyumba zilikuwa bado ni magofu.
and [the] city broad: wide hand: spacious and great: large and [the] people little in/on/with midst her and nothing house: home to build
5 Hivyo Mungu wangu akaweka moyoni mwangu kuwakusanya wakuu, maafisa na watu wa kawaida kwa ajili ya kuorodheshwa kulingana na jamaa zao. Nilikuta orodha ya vizazi ya wale waliokuwa wa kwanza kurudi toka utumwani. Haya ndiyo niliyokuta yameandikwa humo:
and to give: put God my to(wards) heart my and to gather [emph?] [obj] [the] noble and [obj] [the] ruler and [obj] [the] people to/for to enroll and to find scroll: book [the] genealogy [the] to ascend: rise in/on/with first and to find to write in/on/with him
6 Hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
these son: descendant/people [the] province [the] to ascend: rise from captivity [the] captivity which to reveal: remove Nebuchadnezzar king Babylon and to return: return to/for Jerusalem and to/for Judah man: anyone to/for city his
7 wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispereti, Bigwai, Nehumu na Baana): Orodha ya wanaume wa Israeli ilikuwa:
[the] to come (in): come with Zerubbabel Jeshua Nehemiah Azariah Raamiah Nahamani Mordecai Bilshan Mispereth Bigvai Nehum Baanah number human people Israel
son: descendant/people Parosh thousand hundred and seventy and two
son: descendant/people Shephatiah three hundred seventy and two
son: descendant/people Arah six hundred fifty and two
11 wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,818
son: descendant/people Pahath-moab Pahath-moab to/for son: descendant/people Jeshua and Joab thousand and eight hundred eight ten
son: descendant/people Elam thousand hundred fifty and four
son: descendant/people Zattu eight hundred forty and five
son: descendant/people Zaccai seven hundred and sixty
son: descendant/people Binnui six hundred forty and eight
son: descendant/people Bebai six hundred twenty and eight
son: descendant/people Azgad thousand three hundred twenty and two
18 wazao wa Adonikamu 667
son: descendant/people Adonikam six hundred sixty and seven
son: descendant/people Bigvai thousand sixty and seven
son: descendant/people Adin six hundred fifty and five
21 wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
son: descendant/people Ater to/for Hezekiah ninety and eight
son: descendant/people Hashum three hundred twenty and eight
son: descendant/people Bezai three hundred twenty and four
son: descendant/people Hariph hundred two ten
son: descendant/people Gibeon ninety and five
26 watu wa Bethlehemu na Netofa 188
human Bethlehem Bethlehem and Netophah hundred eighty and eight
human Anathoth hundred twenty and eight
28 watu wa Beth-Azmawethi 42
human Beth-azmaveth Beth-azmaveth forty and two
29 watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
human Kiriath-jearim Kiriath-jearim Chephirah and Beeroth seven hundred forty and three
30 watu wa Rama na Geba 621
human [the] Ramah and Geba six hundred twenty and one
human Michmash hundred and twenty and two
32 watu wa Betheli na Ai 123
human Bethel Bethel and [the] Ai hundred twenty and three
human Nebo another fifty and two
son: descendant/people Elam another thousand hundred fifty and four
son: descendant/people Harim three hundred and twenty
son: descendant/people Jericho three hundred forty and five
37 wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 721
son: descendant/people Lod Hadid and Ono seven hundred and twenty and one
son: descendant/people Senaah three thousand nine hundred and thirty
39 Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
[the] priest son: descendant/people Jedaiah to/for house: household Jeshua nine hundred seventy and three
son: descendant/people Immer thousand fifty and two
41 wazao wa Pashuri 1,247
son: descendant/people Pashhur thousand hundred forty and seven
son: descendant/people Harim thousand seven ten
43 Walawi: wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia) 74
[the] Levi son: descendant/people Jeshua to/for Kadmiel to/for son: descendant/people to/for Hodevah seventy and four
44 Waimbaji: wazao wa Asafu 148
[the] to sing son: descendant/people Asaph hundred forty and eight
45 Mabawabu wa malango: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 138
[the] gatekeeper son: descendant/people Shallum son: descendant/people Ater son: descendant/people Talmon son: descendant/people Akkub son: descendant/people Hatita son: descendant/people Shobai hundred thirty and eight
46 Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
[the] temple servant son: descendant/people Ziha son: descendant/people Hasupha son: descendant/people Tabbaoth
47 wazao wa Kerosi, Sia, Padoni,
son: descendant/people Keros son: descendant/people Siaha son: descendant/people Padon
48 wazao wa Lebana, Hagaba, Shalmai,
son: descendant/people Lebanah son: descendant/people Hagaba son: descendant/people Shalmai
49 wazao wa Hanani, Gideli, Gahari,
son: descendant/people Hanan son: descendant/people Giddel son: descendant/people Gahar
50 wazao wa Reaya, Resini, Nekoda,
son: descendant/people Reaiah son: descendant/people Rezin son: descendant/people Nekoda
51 wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,
son: descendant/people Gazzam son: descendant/people Uzza son: descendant/people Paseah
52 wazao wa Besai, Meunimu, Nefusimu,
son: descendant/people Besai son: descendant/people Meunim son: descendant/people (Nephushesim *Q(K)*)
53 wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
son: descendant/people Bakbuk son: descendant/people Hakupha son: descendant/people Harhur
54 wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
son: descendant/people Bazluth son: descendant/people Mehida son: descendant/people Harsha
55 wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
son: descendant/people Barkos son: descendant/people Sisera son: descendant/people Temah
56 wazao wa Nesia na Hatifa.
son: descendant/people Neziah son: descendant/people Hatipha
57 Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,
son: descendant/people servant/slave Solomon son: descendant/people Sotai son: descendant/people Sophereth son: descendant/people Peruda
58 wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
son: descendant/people Jaalah son: descendant/people Darkon son: descendant/people Giddel
59 wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Amoni.
son: descendant/people Shephatiah son: descendant/people Hattil son: descendant/people Pochereth-hazzebaim Pochereth-hazzebaim son: descendant/people Amon
60 Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
all [the] temple servant and son: descendant/people servant/slave Solomon three hundred ninety and two
61 Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
and these [the] to ascend: rise from Tel-melah Tel-melah Tel-harsha Tel-harsha Cherub Addon and Immer and not be able to/for to tell house: household father their and seed: children their if from Israel they(masc.)
62 wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 642
son: descendant/people Delaiah son: descendant/people Tobiah son: descendant/people Nekoda six hundred and forty and two
63 Na kutoka miongoni mwa makuhani: wazao wa Hobaya, Hakosi na Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
and from [the] priest son: descendant/people Habaiah son: descendant/people Hakkoz son: descendant/people Barzillai which to take: marry from daughter Barzillai [the] Gileadite woman: wife and to call: call by upon name their
64 Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani, kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
these to seek writing their [the] to enroll and not to find and to defile from [the] priesthood
65 Kwa hiyo, mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
and to say [the] governor to/for them which not to eat from holiness [the] holiness till to stand: appoint [the] priest to/for Urim and Thummim
66 Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
all [the] assembly like/as one four ten thousand thousand three hundred and sixty
67 tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 245.
from to/for alone: besides servant/slave their and maidservant their these seven thousand three hundred thirty and seven and to/for them to sing and to sing hundred
68 Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245
(horse their seven hundred thirty and six mule their hundred *R*) and forty and five
69 ngamia 435 na punda 6,720.
camel four hundred thirty and five donkey six thousand seven hundred and twenty
70 Baadhi ya viongozi wa jamaa walichangia kazi ya ujenzi. Mtawala alikabidhi kwenye hazina darkoni 1,000 za dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 kwa ajili ya makuhani.
and from end head: leader [the] father to give: give to/for work [the] governor to give: give to/for treasure gold drachma thousand bowl fifty tunic priest thirty and five hundred
71 Baadhi ya viongozi wa jamaa walikabidhi kwenye hazina darkoni 20,000 za dhahabu, na mane 2,200 za fedha kwa ajili ya kazi hiyo.
and from head: leader [the] father to give: give to/for treasure [the] work gold drachma two ten thousand and silver: money mina thousand and hundred
72 Jumla ya matoleo ya watu wengine yalikuwa ni darkoni 20,000 za dhahabu, mane 2,000 za fedha, na mavazi sitini na saba ya makuhani.
and which to give: give remnant [the] people gold drachma two ten thousand and silver: money mina thousand and tunic priest sixty and seven
73 Makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji na watumishi wa Hekalu, pamoja na baadhi ya watu wengine na Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao wenyewe. Ilipotimia miezi saba, nao Waisraeli wakiwa tayari wanaishi katika miji yao,
and to dwell [the] priest and [the] Levi and [the] gatekeeper and [the] to sing and from [the] people and [the] temple servant and all Israel in/on/with city their and to touch [the] month [the] seventh and son: descendant/people Israel in/on/with city their